GB 64 ALIPUKA USAJILI WA YUSUPH KAGOMA, SIMBA YA MSIMU UJAO NI TISHIO

  Рет қаралды 36,003

Ngwale Sports HD

Ngwale Sports HD

Күн бұрын

usajili wa simba

Пікірлер: 60
@ZakariaSimon-gp1gr
@ZakariaSimon-gp1gr 2 ай бұрын
Tunakuja simba ❤ watajificha uto
@JohnMbogo-c1n
@JohnMbogo-c1n 2 ай бұрын
Hii timu kuja kuwa seriius sijuwi lini asee hadi naogopa. Huyu si ndo alikua analia na kushindia pombe mwezi mzima kisa matokeo ya timu ambayo imefika hadi robo fainali. Sasa subiri ligi ianze sijuwi watabadirikaje asee😂😂😂😂😂😂
@JosephTibu
@JosephTibu 3 ай бұрын
mungu wabariki wachezaji wetu wasitupiwe majini
@robertphilip385
@robertphilip385 2 ай бұрын
Hiyo kazi inafanyagwa na shomari kapombe na Zimbwe Ili kulinda namba zao
@othmanali5799
@othmanali5799 2 ай бұрын
Hiooo Kaz anafanya Mgunda maana akipewa timuu yy inafanya vizuri badae wanampokonya ndipooo anaenda kuwalogaa
@amaniomar1755
@amaniomar1755 2 ай бұрын
Napenda sana confidence ya team zote mbili naona msimu ujao ukiwa msimu bora sana. Wachezaji wazee ni Chama na Dube sajili zengine zilizobaki ni U25 rekebisha kauli yako ndugu. Kwa Dube bado akina Musonda na Mzize wapo.
@DavidLucas-cb1hx
@DavidLucas-cb1hx 2 ай бұрын
❤❤❤❤❤mm kama mwanasimba apo kichapo 2
@YOSHUAMWAMPETA
@YOSHUAMWAMPETA 2 ай бұрын
Je mnajua kwanini SIMBA IMESAJILI WACHEZAJI ambao walikuwa wachezaji bura KATIKA TIMU WALIZOTOKA ? JIBU: NI KWASABABU SIMBA NI TAIFA KUBWA
@JohnMbogo-c1n
@JohnMbogo-c1n 2 ай бұрын
Wachezaji wa bukubuku watawahusu sana tu na hivi mnapenda kulialia mtalia sana. Wachezaji wa maana hamuwezi kusajiri tajiri hana hela😂
@EliaNelson-l6c
@EliaNelson-l6c 2 ай бұрын
❤❤❤❤
@essaumapunda5766
@essaumapunda5766 2 ай бұрын
Mo Dwj big up
@amaniomar1755
@amaniomar1755 2 ай бұрын
Team ikiyumba pia mumtaje Mo Dwj msimtaje Mangungu hata siku moja.
@petermkinga3566
@petermkinga3566 2 ай бұрын
GB umenifurahisha kwenye kazi na umri!
@SostenesyMngongo
@SostenesyMngongo 2 ай бұрын
Mnge msaji mayelle salum fei toto ningewaamini lakini aaa
@AsumaniMkumba
@AsumaniMkumba 2 ай бұрын
Wew acha ushamb
@JohnMbogo-c1n
@JohnMbogo-c1n 2 ай бұрын
Acha uongo Dube ni msumali wa moto kwa simba keshawafunga katika mechi zote 4 mlizokutana na Azam. kibu kawafunga Yanga mara 2. Halafu kuna Aziz Ki ambaye anajipigiaga tu simba tangu akiwa Asec😂
@zakayomosha13
@zakayomosha13 3 ай бұрын
Tajiri ameamua mazima!
@nabiljumaothman5912
@nabiljumaothman5912 3 ай бұрын
Wachezaji wa buku buku kibao 😂😂😂
@IlhamKhalid-mt3jp
@IlhamKhalid-mt3jp 2 ай бұрын
Mpumbavu wewee
@AlfaniMichael
@AlfaniMichael 2 ай бұрын
Au cyo
@AlfaniMichael
@AlfaniMichael 2 ай бұрын
Buku we unalo hlo buku kasajil na wewe
@SwaumuMalau-jh1hb
@SwaumuMalau-jh1hb 2 ай бұрын
Bora ule chakula Cha buku kuliko walichoachia wenzio
@jitihadaharuna9448
@jitihadaharuna9448 2 ай бұрын
we ndio kuku kweli hujui kitu hujui hichi kikosi kinagharama kubwa kuliko timu yeyote tanzania. mchezaji wa umri chini 25 anagharama kubwa sio chini ya $300 350 unafikiria ni mchezo
@Samuel-q2j8v
@Samuel-q2j8v 3 ай бұрын
@lumistarboy8499
@lumistarboy8499 2 ай бұрын
Kati kati ya msimu msije mtukana Mangungu 😅
@bahatimshali2731
@bahatimshali2731 2 ай бұрын
Eti NSSF Team. Bro wasije kukushambulia😂
@simonndunguru1629
@simonndunguru1629 2 ай бұрын
Makolo Mazuzu watakuja kulia. Vijana Walio Nao ni Mapambo Huyu atageuza tu ila Mangungu wasimseme nafasi ya 5 inawahusu Thimbaa Chakavu
@TomasiklistophaMwinuka
@TomasiklistophaMwinuka 3 ай бұрын
Boss huna baya ila tu walindwe hao wachezaji umesajil watu Bora kabisa nakupa maua yako 🌹
@PeterWillypnk
@PeterWillypnk 2 ай бұрын
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🤝
@maidafrancis45
@maidafrancis45 2 ай бұрын
wadaiwa sugu fc wanakoloma utopolo
@alhajimohamed1909
@alhajimohamed1909 2 ай бұрын
Kaka nitumie number yako nikutumie hata ya vocha umenifurahixha sana NSSF
@JohnMbogo-c1n
@JohnMbogo-c1n 2 ай бұрын
Eti ndugu yake Aziz Ki yaani ndo sifa😅😅😅😅😅😅. Yanga wamewashika pabaya sana utopolo wa mo dewji
@EmmanuelMsika
@EmmanuelMsika 2 ай бұрын
Pamoja
@EmanweljahazEmanweljahaz
@EmanweljahazEmanweljahaz 3 ай бұрын
Ninaaminin Sana simbo nguvu moja
@HussainIgayo
@HussainIgayo 2 ай бұрын
Wambie! Ngoja nicheze kwanz😂😂😂
@JohnMbogo-c1n
@JohnMbogo-c1n 2 ай бұрын
Yaani kagoma ndo tegemeo la kutengeneza timu kweli!?😂😂😂😂😂😂
@TomasiklistophaMwinuka
@TomasiklistophaMwinuka 3 ай бұрын
Gb 64 tuko pamoja boss Hana baya chakusema mim walindwe tu bas
@juliascherehani2330
@juliascherehani2330 2 ай бұрын
Simba pesa ipo
@JohnMbogo-c1n
@JohnMbogo-c1n 2 ай бұрын
Sawa huku NSSF kule wodi ya watoto halafu tuone ligi ikianza...usianze tu kula mataputapu yako na kwenda jela😂😂😂😂
@RashidiMkongewa
@RashidiMkongewa 2 ай бұрын
KIKULACHO KIKO KIKO KINGUONI MWAKO MNALOGANA WENYEWE SHOMAL NA SHABALALA NDIO WANAOLOGA WACHEZAJI WENU
@RashidiMkongewa
@RashidiMkongewa 2 ай бұрын
Nafasi ya 4 msimu huu inawahusu nimekaa pale😊
@hamisimsosi6237
@hamisimsosi6237 2 ай бұрын
Upande wa pili ni wazee fc😅😅😅😅😅😅😅😅
@SaidiSaidi-o6r
@SaidiSaidi-o6r 2 ай бұрын
wivu uo
@robertphilip385
@robertphilip385 2 ай бұрын
Kwausajili huu wa simba nafasi ya tatu iko palepale
@emalema7423
@emalema7423 2 ай бұрын
Hunakula hunavyo jiweza
@AsumaniMkumba
@AsumaniMkumba 2 ай бұрын
Mechi nne zip wewe
@RashidiMkongewa
@RashidiMkongewa 2 ай бұрын
Shomali nazimbwe ndio wanawaloga wenzao wapate namba siyo yanga
@DaxydizzyChristopher
@DaxydizzyChristopher 3 ай бұрын
𝙈𝙤 𝙠𝙞𝙡𝙞𝙤 𝙘𝙝𝙖𝙣𝙜𝙪 𝙣𝙞 𝙛𝙚𝙞 𝙣𝙖𝙟𝙪𝙖 𝙩𝙪𝙢𝙚𝙨𝙖𝙟𝙞𝙡 𝙬𝙖𝙘𝙝𝙚𝙯𝙖𝙟 𝙬𝙖𝙯𝙪𝙧 𝙞𝙡𝙖 𝙥𝙡𝙚𝙖𝙨𝙚 𝙣𝙖𝙢𝙪𝙤𝙢𝙗 𝙎𝙪𝙛𝙞
@robertphilip385
@robertphilip385 2 ай бұрын
Kwa Fei chora chini hizo ni ndoto za alnacha
@RashidiMkongewa
@RashidiMkongewa 2 ай бұрын
MWAMBIE OYO KOLO FEI NI NDOTO ZA ALNACHA
@DavidLucas-cb1hx
@DavidLucas-cb1hx 2 ай бұрын
❤❤❤❤❤mm kama mwanasimba apo kichapo 2
@DavidLucas-cb1hx
@DavidLucas-cb1hx 2 ай бұрын
❤❤❤❤❤mm kama mwanasimba apo kichapo 2
@DavidLucas-cb1hx
@DavidLucas-cb1hx 2 ай бұрын
❤❤❤❤❤mm kama mwanasimba apo kichapo 2
Ozoda - Lada ( Official Music Video 2024 )
06:07
Ozoda
Рет қаралды 21 МЛН
Players vs Corner Flags 🤯
00:28
LE FOOT EN VIDÉO
Рет қаралды 89 МЛН
GB 64 KWA UCHUNGU SARE IMETUUMIZA, TAREHE 19 POINT ZETU TUNAZICHUKUA
12:43
MCHUNGAJI WA SIMBA AWAKA MATOKEO YA SIMBA, SUB ZA KOCHA AMEKOSEA
8:39
Ngwale Sports HD
Рет қаралды 4,4 М.