Usisahau ku "SUBSCRIBE" Channel yetu kwa habari nyinginezo nyingi na nzuri NI FURAHA SOMO WA WOLPER ALIVYO INGOA KWENYE SINGO YA WOLPER/AINGIA MSAFARA WA KUTOSHA #Bonatv #Exclusive
Пікірлер: 78
@jacquilinenoah949 Жыл бұрын
uyu somo ananimalizia bandle langu cchok kumuangalia bandle lenyewe la mkopo😂😂😂😂hongera kwa somo
@ummkolthumkoalthum3271 Жыл бұрын
Manyakanga tumeona Somo umecheza viuno vya unyagoni starehe chumbani Safi sana hongera mingi mingi somo 🔥🔥
@safiyatheonlything7848 Жыл бұрын
somo lazima atukuwa kampa mafundo pambee biharusi maana anaoneka siyo mtu wa mambo mengi mashallha
@zubedakiluwa4246 Жыл бұрын
Jmn.somo yupo vzl afu kistaarabu zaidi...kachangamka sanaa
@yfhff5268 Жыл бұрын
Somo unayaweza umependeza sana nashep yako mwaaaa
@marianamsuha3899 Жыл бұрын
Somo pambeee
@dijadiose7400 Жыл бұрын
Somo umetisha,nimekupenda bureeee😍
@azzamahamdu7039 Жыл бұрын
Somo pambee ka hataki vile safiii😅🥰🥰🥰🥰full confidence
@KidotiTwiga Жыл бұрын
Nmempenda sana jmn anaonekana hana mambo mengi
@kairatiswahilli7024 Жыл бұрын
Somo nimependa Sans mambo yake ya kisomo somo👌👌👌
@catherinekiwipa9271 Жыл бұрын
somo.anatia raha tuliofundwa kinyamwez tunaelewa uno lake
@salmasaid1521 Жыл бұрын
Mashallah somo upo vzr
@aggynzungu3422 Жыл бұрын
Somo umetisha
@zwinaalhabsi664 Жыл бұрын
Mashaallah huyo ndio somo pambe mambo yake muruwa
@zulfahamad6485 Жыл бұрын
Nimempenda uyu dada jamani kiukweli anajua❤️
@hildakiwili5374 Жыл бұрын
somo kama somo wajuz hawana mbwembwe👌 woyooo
@ashaabdallah9729 Жыл бұрын
Naima wangu unajua tena unajua tena
@rosemahenge9071 Жыл бұрын
Uchezaji wa mtu anaejielewa utaujua tu huyu dada anaejielewa angekuwa shankupe hapo wangejuta kumfahamu🤣
@bernardzuhura4187 Жыл бұрын
😂😂😂
@rosemahenge9071 Жыл бұрын
@@bernardzuhura4187 😂😂nakwambia
@bernardzuhura4187 Жыл бұрын
@@rosemahenge9071 ni kweli ana cheza kistaarabu yani ana jielewa mwngn angekata miuno mpaka chini apigiwe kelel apate sifa kumbe ana jiaibisha tu
@r9ayyansaid652 Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@consolatamedard6593 Жыл бұрын
Kiukweli kacheza kiustarabu sana
@fatumamakwaia1126 Жыл бұрын
Nice
@mwanaidathuman78 Жыл бұрын
Hongey kwake
@lavuulovenes1682 Жыл бұрын
Noma sana 💕💕💕
@habibangawile7024 Жыл бұрын
Somo MashaaAllah
@shekhajuyah8239 Жыл бұрын
Somo wa kutakata somo wa kueleweka somo wa uhakika somo wa shindo somo kwel kwel
@ummysalama1355 Жыл бұрын
Somo anajua anajua tena anajua tena anajua tena
@faridaabdallah7424 Жыл бұрын
Nimempenda SoMo jamani naombeni namba yake aje anifunde mie pls bona
@mwanabayadola5476 Жыл бұрын
Tupeni no ya some bona TV hatari
@mariammariamsalim7189 Жыл бұрын
Mashallah 🤗♥️
@rukiaomar1091 Жыл бұрын
Hata mm nimependa uingiaji wke
@amoremimik5270 Жыл бұрын
Some hoyeeee🎉 Hana mbambamba, Pambe tu❤
@mwanaidathuman78 Жыл бұрын
Tenaaaaaaa 🥰🥰👏👏
@aminamussahmsumuka6558 Жыл бұрын
Somo nimempenda bure
@peninashungu6633 Жыл бұрын
Kapendeza
@hamischatumwa3668 Жыл бұрын
Penda Sana somo ake mwali
@hhlkll9160 Жыл бұрын
Kama atakivile🥰🥰
@fatmahamesa2449 Жыл бұрын
Moto kiboko
@roqayaro9439 Жыл бұрын
SINGO YAKO DADA NOOMA NIMEIPENDA UPO VZR
@shamilajuma8718 Жыл бұрын
Yaan nakuangalia kila dk somo ake hasa ukicheza uwiii
@khanniebaraka6047 Жыл бұрын
Anaitwa Nani huyu somo namtaka
@saudaabdallah8468 Жыл бұрын
Somo shikamooo somo mdhungu
@fatumamakwaia1126 Жыл бұрын
Somo uo musondo tabora ndani siyo wa kuchezea kushinizya
@shamsakiobia6421 Жыл бұрын
Somo hatari jamani😄😄😄
@chulitolove6648 Жыл бұрын
Jina la huu wimbo jaman naombeni
@masharife9520 Жыл бұрын
Hamniwezi by Afua Suleiman
@sabrakiswanya769 Жыл бұрын
Hii nyimbo kaimba nan na inaitwajee
@Welcomehere Жыл бұрын
Hamniwezi fisadi kiwembe
@Jennifer-qb7wp Жыл бұрын
Meaning ya somo ni ??
@missindependent1893 Жыл бұрын
Kungwi,,,,ni mtu anaempa bi harusi mafundisho kuhusu ndoa vile atakavyokwenda ishi na mumewe
@clarissidi1437 Жыл бұрын
Wewe vyenye n Jennifer bas Jennifer mwengne n somo yako
@khadijakinyala9407 Жыл бұрын
Somo pambeeeee
@latiffasaid7653 Жыл бұрын
Hii taarab yaitwaje mweee
@bimumaulid1171 Жыл бұрын
Heeee hiili DUME limefata nini mtangazaji wa kiume wa nini
@mjunicharles1198 Жыл бұрын
SoMo anaijua mizungu ya bara na pwan
@babyhamisi1437 Жыл бұрын
Somo hatumii nguvu
@tatumlowe5741 Жыл бұрын
Somo
@roqayaro9439 Жыл бұрын
KUGWI YUPO VZR
@leilaabdallah9786 Жыл бұрын
Somo hatari na nusu
@peninashungu6633 Жыл бұрын
Maimatha kama mchawi ragia ya peke yake utasema singo ya kwakeq
@nidaquincy5669 Жыл бұрын
Yuko wapi sijamuona hahaha 🤣
@salomeraymond2051 Жыл бұрын
@@nidaquincy5669 🤣🤣🤣apo krb n mc wa kiume kavaa kihindi🤣🤣🤣
@khadijahali4837 Жыл бұрын
@@nidaquincy5669 si hy alie vaa km kihindi hk kwa mc
@florencegideon8362 Жыл бұрын
Somo pambeee tuuuuu
@lucresiahamad1717 Жыл бұрын
Somo kiuno kizito
@fatmaally9357 Жыл бұрын
Ulitaka ajiachie kama masha love..alafu maana ya somo itakua wap ama huelewi somo n nan
@Koki-xd2co Жыл бұрын
Somo kacacuka bala
@rehemamwinyi1909 Жыл бұрын
Pambe tuuu
@mwanahamisbwanga1184 Жыл бұрын
SoMo kiuno kigumuuuu awapiii
@janemahenge2625 Жыл бұрын
Siyo wanahitaji viuno vya bendi wengine vya kitandani taratibu anaelewa mechi
@latiffasaid7653 Жыл бұрын
Taarab haitak kiuno mumy alivocheza ndio penyewe kama hataki