Nenga ni mpambanaji na Ana pesa wabongo acheni dharau Endelea kupambana kijana waache wanao jaji maisha ya watu ❤❤❤🔥 🔥 🔥 🔥 🔥 🔥 😍👌
@magrethherin71103 ай бұрын
Majibu konki mwachaneni ale maisha yke na nyinyi leleweni kama ni rahisi
@user-oc3wu7js5k3 ай бұрын
Huyo kaka mpole sana hana makuu
@mwashiwamwashi56203 ай бұрын
Ndugu yangu NENGA walimwengu wasikusumbuwi, kwanza hao watangazaji wa wasafi unawazidi hela wote, hakuna hata Moja mweye account yanyekuwa na hela kama ya kwako. Kwaiyo wasikusumbuwi jamani.
@FirdausyAbubakary-bl2wo3 ай бұрын
Kabsaa wambea saana na hua wanahoji maswali ya kichonganishi saana, kuweka matabaka au makundi baina ya watu inshort wako unproffessional kabisaa sheet!
@idatonymassawe3 ай бұрын
Nimemwelewa sana nenga. Kaishi na mitizamo yao
@emratekawala58533 ай бұрын
My papa billnass ❤❤❤❤
@pharleserasto31143 ай бұрын
Big up nenga washamba hawawez kuelewaaisha yko kaz yao umbea tu
@judithtitomalyeta40003 ай бұрын
Komesha jibu zuri sana kawaweza sana
@Zenny893 ай бұрын
Alichovaa kichwani watu wanajua kazi yake ni nini kweli? au ndo swagger🤣🤣
@deepstate0013 ай бұрын
Nenga hana jasho😂 itabidi alelewe tu😂😂 atakulaje kwa jasho😂😂
@LeilaAbdull-jg6ho3 ай бұрын
Jaman hapo analelewaje SASA mbona wanalingana bado Kaka yupo Kwenye kuhaso MDA mref
@yayaalee72293 ай бұрын
Nenga ❤
@Mohaa43093 ай бұрын
Kupiga kiuno pia nkazi ya jasho 😂❤
@braggadachu17233 ай бұрын
Amejibu kisomi sana hapo kwenye kulelewa angekataa mada ingekuwa kubwa sana
@dolphin47913 ай бұрын
Nengaaa🔥🔥🔥🙌🙌pambana unajua sanaa
@naviebeatz3 ай бұрын
hii content mbona ilishapitaga mkuu imagine angekua ndo dada ako alaf una kumbushia makovu kama aya ishushe hii
@muniraahmed6243 ай бұрын
Wakuu aseee🎉🎉
@dayana5513story3 ай бұрын
Jibu zuri sana 👏👏
@user-fy9pw2zr8l3 ай бұрын
MJibu yakihakili
@JP-lx1le3 ай бұрын
Jasho hilo bilinasi hana mamae😅😅
@SephMkondokaya3 ай бұрын
Mangi kama mangi
@ashakijaji58693 ай бұрын
Kumbe mtu mwenyewe hata halelewi,na magar yote hayo Sasa analelewa vp
@ladislausmoris96383 ай бұрын
Sasa hiyo pin unatupa tafsiri gan au umeshaolewa na wachinaaaaa
@user-vz4xj2ci2w3 ай бұрын
muache siuvae na wewe
@Mimy_keys3 ай бұрын
Nenga Mtu Mwenye Busara na Hekima 🫡💯🔥
@BerthaAmos3 ай бұрын
😅
@AminaLugundy3 ай бұрын
Kwani katoboa pua
@Gersah3 ай бұрын
Ndio
@HamadMwagoani3 ай бұрын
Mtoto wa mama mwanaume analea alelewi jitambue mshamba
@debramsanga83793 ай бұрын
Sasa wewe kama umesikia interview toka mwanzo ...ungejuwa billnass anafanya jokes...ama ujasikia vile alianza biashara yake...learn to listen before commenting