RICARDO MOMO afunguka SABABU ZA KUACHANA NA MALAIKA "SIKUSHINDWA KUMTUNZA, MAPENZI YALIISHA"

  Рет қаралды 51,044

Wasafi Media

Wasafi Media

Күн бұрын

www.youtube.co...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Пікірлер: 125
@umfahad2609
@umfahad2609 5 ай бұрын
Nakuombea kwa Mungu upate mke mwengine mwema na mwenye heri na wewe Momo.❤
@OfficialA83640
@OfficialA83640 5 ай бұрын
Kwa vile alivyo sasa hivi shukuru Mungu maana sio wakuwa nae mtu kafikia kuvaa uchi vile Astaghafilullah 😢
@kbjr1115
@kbjr1115 5 ай бұрын
Jamaa linajua dini ila maisha ya kidunia yanemfanya aingie ktk mambo yaliyo nje ya misingi ya dini ktk masuala ya kubeti na kujiingiza ktk masuala ya miziki na mastarehe, ALLAH amuongoe IN SHAA ALLAH
@meyuuabdallah4674
@meyuuabdallah4674 5 ай бұрын
Fact
@JOHNJOHN-pu7wb
@JOHNJOHN-pu7wb 5 ай бұрын
Asa hapo linajua kwan yeye ni tembo gurudumu flani?
@aminaabasi2146
@aminaabasi2146 5 ай бұрын
Me pia namkubali sana ricaldoh
@imamuhamisi4421
@imamuhamisi4421 5 ай бұрын
Nj​@@JOHNJOHN-pu7wb ametumia ninjia yakusifia kitu , nd maan unawez kitu mfano jamaa linajua hili
@ahmedmakkuka9348
@ahmedmakkuka9348 5 ай бұрын
Mziki uko juu unaathiri maongezi
@malietamaliet
@malietamaliet 5 ай бұрын
😂😂Mzee wa kudelee za ndaaaaaaniiiiii kabisaaaaa linapenda kulamba mdomo wake wajuu uyu momo big up to you bro Mimi shabiki Ako Niko hapa
@BibieMakame
@BibieMakame 5 ай бұрын
Kaka momo mstaarabu sana
@rosehaule6765
@rosehaule6765 5 ай бұрын
Nampendaga tu licado yupo na busara ti brother mm nakuelewa sana na yupo na heshima kwa mwenza x wke wote awajadhalilishana safi sanaMungu awafanyoe wepesi ndoa ni rehema na barasa na ndoa nyingi zina changamoto nyingi hakika umeongea hasaa na sote tuna mapungufu mkamilifu ni Mungu tusinyoosheane vidole❤
@mwanjumajongette8187
@mwanjumajongette8187 5 ай бұрын
Momo Allah akupe ungine mke mwema inshallah
@HusseinSeif-wi2st
@HusseinSeif-wi2st 5 ай бұрын
Unajua kuongea momo 👏
@Shadia544
@Shadia544 5 ай бұрын
Inshaallah allah atajalia mke mwema na mwenye kujistiri pia inshaallah 🤲🤲🤲🤲
@emmajuma896
@emmajuma896 5 ай бұрын
Ricardo ana ngozi nyororo. Handsome boy
@nancyg8664
@nancyg8664 5 ай бұрын
😂
@moudrickmouh3569
@moudrickmouh3569 5 ай бұрын
Shwaaah🌈😂
@HusinaKarama-ti9jm
@HusinaKarama-ti9jm 5 ай бұрын
Mashaallah momo mi nakupenda Sana ❤❤❤
@veronicapastory-k5u
@veronicapastory-k5u 5 ай бұрын
@toyikudratullah1466
@toyikudratullah1466 5 ай бұрын
Me my self from burundi mola akuwekey wepes recardo momo ex wif wako alipo kuwa anahojiwa na sns dada yule amekuw namaneno machach san san yahekima hiyo itoshe kusema nimisingi bora y recardo momo amerithi kwake pesa majumba nivitu vikubwa mnoo
@aminahomary2532
@aminahomary2532 5 ай бұрын
Ricardo anafanana na caleb wa malkia karen ❤
@KhalilaTi-vw6vt
@KhalilaTi-vw6vt 5 ай бұрын
Kiukweli ukweli ulichoongea ni sahihi masha Allah Allah atuongoze biidhnillah
@MunirAbdullah-h9l
@MunirAbdullah-h9l 5 ай бұрын
Hiii interview nimeipenda sanaa cjui kama itatokea
@toyikudratullah1466
@toyikudratullah1466 5 ай бұрын
Recardo momo soon i,m coming to bongo taku check apo unyamani from burundi 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
@toyikudratullah1466
@toyikudratullah1466 5 ай бұрын
Nimeyipenda san bro uko vizuri san kiyasi cha dini kipo i,m talking as ustadh
@MinskBelarus-il2tl
@MinskBelarus-il2tl 5 ай бұрын
Ustadh,samahani saaaana kama nitakukwaza. Nini maana ya USTADH
@umfahad2609
@umfahad2609 5 ай бұрын
Ricard unaonekana ni mtu wa dini saana. Namuomba ALLAH akuzidishie na ucbadilike mdogo wng.
@ZurehaMiraji
@ZurehaMiraji 5 ай бұрын
Kwa sasa anapiga mixa 😂😂the ushekhe umekua wamchongo
@mhabimina4023
@mhabimina4023 5 ай бұрын
True that 👌
@umfahad2609
@umfahad2609 5 ай бұрын
Kwa kweli mimi namkubali saana Momo. Cmjui sana, ila kwa mtazamo wng namuhic ni kijana mstaarabu saana.
@SekelaJakson-ls7dd
@SekelaJakson-ls7dd 5 ай бұрын
Momo Kwan ni msanii
@yousramutwale2463
@yousramutwale2463 5 ай бұрын
Nikweli
@ahnafaykhan698
@ahnafaykhan698 5 ай бұрын
yani bro ukiaondokatu katika tasnia ya muziki pepo unaiona. mungu akuongoe zaidi
@toyikudratullah1466
@toyikudratullah1466 5 ай бұрын
Nikupem tena mauwa yako bro wng from burundi 🇧🇮🇧🇮🇧🇮 before one year nimekuj usafini umekuwepo hapo injee ila skuweza kukusabayi ila next time i,will come back to you kwa mimi binafsi ex wife wako malikiya misimamo ya uchache wamaneno pia kaathirika n hekma zako n busara zako my bro call me Abdoul ntaku check one day apo usafini bro umenyook san mola akupe faraja badala n Allah atuongezeye malikiya wetu frm burundi🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
@joycemuhoja4729
@joycemuhoja4729 5 ай бұрын
Studio Pambe Sanaa Maua Yako Mbunifu
@nguyekorajabu1592
@nguyekorajabu1592 5 ай бұрын
17:21 hadi 17:40 Momo Umeongea Madini sana . Superb.NAZINI HADI NAKUFA . SIKU UKIFA UNAMJIBU NINI MOLA WAKO.
@hassannyale6901
@hassannyale6901 5 ай бұрын
Bro ulifanya sawa kuwachana naye...huo ulikuwa ni Moto..Fitna..urembo likuwa niwewe Tu uone... lakini malaika alitaka kuonesha kila kitu Kwa waume wa inje... ALLAH akusimamie.. Brother Momo
@sarahmcharo1548
@sarahmcharo1548 5 ай бұрын
onekanwaaa eeeh sawa sawa
@ukhutfatumah1154
@ukhutfatumah1154 5 ай бұрын
Majibu mazuli momo acha dunia imunyooshe maana sio kwa shape ile eee m/mungu naomba nijalie mwisho mwema vijana tunapotea snaa na ujana wallah😢
@husseinrashidi5828
@husseinrashidi5828 5 ай бұрын
Jamaa anajua kujibu kabisa majibu safi sana
@hilalalhabsi2047
@hilalalhabsi2047 4 ай бұрын
KWAKWELI WANAWAKE WENGI HAWAJIELEWI SANA, WAKIPATA BASI WANASAHAU SANA NINI DUNIA. NDIO MAANA WENGI WANAWAKE WATAINGIA MOTONI. MAMBO MWENGINE YANASIKITISHA SANA NA YANAUMIZA NI MTIHANI KWELI
@JoseHaule-tx7lu
@JoseHaule-tx7lu 5 ай бұрын
Yaani broo momo memo unakubalije kuhojiwa na bachela anajua chang a moto za kuishi na mwanamke
@JaphetJairos-n4l
@JaphetJairos-n4l 5 ай бұрын
Mzee wa kudele nakukubar sana hawa wanawake hawana shukuran kaka tena ata mawasiliano ungekataa mazima tunaumia sana kupenda watu wasiotupenda
@erickdanielkasindi564
@erickdanielkasindi564 5 ай бұрын
Hallow
@shadiwaigwa9230
@shadiwaigwa9230 5 ай бұрын
Malaika amekuwa shapeless
@queenbibisha1961
@queenbibisha1961 5 ай бұрын
Ila momo alimpenda sana malaika , yani inavyoonekana malaiki akimwambia turudi pamoja yupo tayari 😂😂😂🙆🏼‍♀️🙆🏼‍♀️🙆🏼‍♀️
@NM-yl2uw
@NM-yl2uw 5 ай бұрын
eti mtoto wa kslamu, kwan wakristo ndo wanaruhusu
@umfahad2609
@umfahad2609 5 ай бұрын
Wewe mchaga unamlazimisha mwenzio km kashindwa kumtunza. Mbona waliishi mpaka wamezaa wtt wawili?
@adijaniyonkuru9731
@adijaniyonkuru9731 5 ай бұрын
Inshallah atapata mwingine❤
@tinotyno679
@tinotyno679 5 ай бұрын
Ndo maana mnaambiwa redio ya ndugu
@FatmaHamad-g6s
@FatmaHamad-g6s 5 ай бұрын
Mtaka mbele mpishe bora umempisha kaka utapata mke mwema mke mkeo
@RizikiPonsiano
@RizikiPonsiano 5 ай бұрын
Huyu mtangazaji Bado ni mtoto,hajaoa Bado,hajui challenges za ndoa especially ndoa ikiwa na mtoto.Wanawake wakiwa kwenye ndoa baadhi ni mwiba, especially wakiwa au kupata umaarufu.
@rubbymusa1971
@rubbymusa1971 5 ай бұрын
Mwanamke alifika hatua hakuwa anamuheshimu tena mumewe, Pole dada hana hofu na chochote yupo busy na urembo
@malikamohammed6641
@malikamohammed6641 5 ай бұрын
Hii family ya kina diamond ukiwachana nao tu lazima wakuseme vibaya kama wao niwakamilifu ili hali wao ndio Wanaongoza kwa skendo siwapendi
@khamisisuedi1056
@khamisisuedi1056 5 ай бұрын
Umpe ushauri nduguyo ni mzinifu mkubwa na kuzalisha kila aina ya wanawake nje ya ndoa
@Mariam237-u8c
@Mariam237-u8c Ай бұрын
Mwambie na kakako diomond aowe maana yeye ndo mzinifu mkubwa
@gloryassey3962
@gloryassey3962 5 ай бұрын
Mapenzi peke yake hayatoshi kuishikilia ndoa kuna sacrifice uvumilivu nk
@EvaWaziri-so3gi
@EvaWaziri-so3gi 5 ай бұрын
Wadada wa mjini wana mambo yao na wanaume wa mjini wana mambo yao
@IbrahimSuleyman-j8n
@IbrahimSuleyman-j8n 5 ай бұрын
Li momo dini linajua lkn dogo lake linampoteza Allah atuongoze sote
@itso.f.f.i.c.i.a.l
@itso.f.f.i.c.i.a.l 5 ай бұрын
dogo mchaga amemshikilia sana mzee wa kudere humu ndani 😂
@samchris1914
@samchris1914 5 ай бұрын
Watoto wazuri wote ni malaika muulize Ricardo momo😂
@hezronjoseph405
@hezronjoseph405 5 ай бұрын
Jibu sahihi umejibu,ndomana nmemuacha finish😂😂😂
@agnesjohn9382
@agnesjohn9382 5 ай бұрын
Bora mumeachana mwanamke anathamini makalio kuliko ndoa
@AzaAzamhmod
@AzaAzamhmod 5 ай бұрын
Lkn ukinioa msije pasha viporo na Malaika NTAUA😂😂😂😂NINA WIVU BALAHA. SHEM WANGU WA UKWEEE ATAKUA DAIMOND❤😂NAMI NIWE SUPERSTAR😂😂😂😂😂
@SylvesterCalido
@SylvesterCalido 5 ай бұрын
Mchaga anamaswali ya kukera ningekua Mimi kashakula mikono mingi hapohapo 😂😂
@Maryam-vj1rb
@Maryam-vj1rb 5 ай бұрын
😂😂😂 amekukomesha kwa majibu yake Rigal Naam
@wardawarda6535
@wardawarda6535 5 ай бұрын
Momo ukitaka mke mwengne miye nipo mwaya@Warda wa Momo 😂😂
@husnathabiti4114
@husnathabiti4114 5 ай бұрын
😅😅😅
@wardawarda6535
@wardawarda6535 5 ай бұрын
@@husnathabiti4114 nipo Hapa Bi Warda wa Momo akee
@Zenny89
@Zenny89 5 ай бұрын
Masheheee!!! Huwa wanakwama pabaya…usichezeee misambwanda🤣
@wemaMichael-fr4th
@wemaMichael-fr4th 5 ай бұрын
huyu nae siasa nyingi malaika kakuacha wew ulipambana sanaa kurekebisha ukashindwa
@jut1161
@jut1161 5 ай бұрын
Sasa kwani kuna shida gani. Si kakubali kushindwa ndio akaamua kumpa talaka ili Aishi Maisha anayoyapenda
@DanielMgeni-x1z
@DanielMgeni-x1z 5 ай бұрын
Mzee wakudele ulikosea Sana huyu Dada heshima isipotee ulitakiwa utie mimba akuzalie mtoto paka Leo angekua anakueshimu hawa ukiwa change hivi hivi wana dhalau sana
@faidhamyovela179
@faidhamyovela179 5 ай бұрын
mtot gan amezaa nae watot 2 mbon
@trice_yanga
@trice_yanga 5 ай бұрын
saivi hata mzae watoto 10 km mtu kashaamua lake anafanya tu mbona mtoto wanae sema huyu dada baad y kupata umaarufu kaona momo wa kazi gani
@AzaAzamhmod
@AzaAzamhmod 5 ай бұрын
Momo njoo unioe mie Lkn naogopa mkirudiana na Malaika je. Ukiniona Malaika haiingii hata robo😂😂😂😂😂😂cku hiz wanaume Hakuna. Malaika ataka KUDANGA. Sie twataka kustiriwaaa. Ila atakuja kumbuka shuka kumekuchaaaa😂😂😂😂
@samwelsanga4249
@samwelsanga4249 5 ай бұрын
😊
@aaa64sa13
@aaa64sa13 5 ай бұрын
❤❤🎉🙏
@Kabwela776
@Kabwela776 5 ай бұрын
Hivi hizi tv hazina mambo ya maana kuwahabalisha watanzania huu ni upuuzi , huyo malaika ndio Nani Na huyo momo ndio nani wengine hatumjui na
@Hassan-ot1mc
@Hassan-ot1mc 5 ай бұрын
Sasa unakunya nini
@Igauf3
@Igauf3 5 ай бұрын
Let’s see what are you going to do with that “one” next to you. Africa is watching.
@khalsasalim7930
@khalsasalim7930 5 ай бұрын
Huyo malaika sijui shetani surgery ikijakubuma ndia atajua hajui
@HASSANBAKARI-q9c
@HASSANBAKARI-q9c 5 ай бұрын
ATA MWANZO ULIMSHUPALIA TU,,SIJUI TAKO LILE,,,,SIO JAMII YA MWANAMKE UTAKAYEMUWEKA NDANI AKAFATA MISINGI YAKO,,,WE UNA HOFU,,MWENZIO HAJUI HATA HOFU YA MUNGU NI NN,,,
@naimasbuguza2395
@naimasbuguza2395 5 ай бұрын
Hahahaaa dah, jamaa amemkamia momo balaaa
@nehemia397
@nehemia397 5 ай бұрын
wakuu huyu dem nampataje
@nehemia397
@nehemia397 5 ай бұрын
mtangazaji huyo
@josephkiwale374
@josephkiwale374 5 ай бұрын
Momo anafanana xana na mama dangote,na RJ hapa kuna kitu chakuchukua
@sikudhanimohammad7692
@sikudhanimohammad7692 5 ай бұрын
Afanane kwani ni mwanae?
@kibirigeahamed7557
@kibirigeahamed7557 5 ай бұрын
pvbav kwan boss wako anafanye😂😂😂
@MichaelLukindo-ix4qz
@MichaelLukindo-ix4qz 5 ай бұрын
Hizi ndio kero za kuweka mahusiano Public..
@joshua.o.makundi3079
@joshua.o.makundi3079 5 ай бұрын
🤣🤣🤣🤣 ZA NDAAAAANI , NIMESKIA UJANA PLUS HAIFANYI KAZI. ZA NDANIIII LEO ZIMEHAMIA KWAKE HAHAHAHAHAHAHA
@EvaWaziri-so3gi
@EvaWaziri-so3gi 5 ай бұрын
Alafu uyo engel zamani ndyo alikuwa mnzuri syo now,ameenda kujiaribu tyu
@mwanamisiali5712
@mwanamisiali5712 5 ай бұрын
Umeonaeeh juzi niliona akihojiwa anaongea km mzee
@faidhamyovela179
@faidhamyovela179 5 ай бұрын
@@mwanamisiali5712 hilo dom kachemkaa😂
@aminatanzanya7475
@aminatanzanya7475 5 ай бұрын
Momo Malaika ni bomu bora mlivyoachan ungekufa umesimama
@abdulrahimomar8554
@abdulrahimomar8554 5 ай бұрын
Maaalim kapatikana leo😅
@BarbaraPatience-qt9cc
@BarbaraPatience-qt9cc 5 ай бұрын
Mchaga alikua ywambamiza MOMO tuu!!!! Momo alimkataa Malaika sababu za ustar
@josephatjordan2150
@josephatjordan2150 5 ай бұрын
4:59 pumbavu😂😂
@jumalihumbo5314
@jumalihumbo5314 5 ай бұрын
Leo ndio nimeelewa ndoa sio lelemama😅😅😅
@FatumaMohamedi-t6t
@FatumaMohamedi-t6t 5 ай бұрын
Ni kweli unaeza pata mke balaa na mwanmke ukapata mume kisanga ni kuomba Mungu atusaidie tu
@jedidahbintidaudi8241
@jedidahbintidaudi8241 5 ай бұрын
duuh watu wawili wawili kweli..huyu wanaimuinterview anaufanano na Daimond hivi..
@Bashitetako
@Bashitetako 5 ай бұрын
Kajilamba midomo mara 112
@analisacecy
@analisacecy 5 ай бұрын
😂😂😂😂
@coolson2925
@coolson2925 5 ай бұрын
jamaa analamba lamba domo ananikera kinomaaa
@khelefmatelephone9653
@khelefmatelephone9653 5 ай бұрын
Momooo mbna unauvuta sana huo mdomo shda nn😢😢
@trice_yanga
@trice_yanga 5 ай бұрын
huyu manzi umaarufu ndo umemponza
@khelefmatelephone9653
@khelefmatelephone9653 5 ай бұрын
Sasa huo mdomo umeufanya nn mzee au unataka ufanane na kaka😅😅
@saadabakar7750
@saadabakar7750 5 ай бұрын
😂anazuia kigugumizi
@aishabakari8040
@aishabakari8040 5 ай бұрын
Anaongea kigugumizi
@wemaMichael-fr4th
@wemaMichael-fr4th 5 ай бұрын
wewe na malaika mnamtoto mmoja tu yule wa pili ulimkuta kwa malaika sio wako acha uongo
@MinskBelarus-il2tl
@MinskBelarus-il2tl 5 ай бұрын
Sio Muongo Dada mdogo.....ila ni Hekima katumia. Huyo mtoto bila Shaka anamchukulia Momo kama BABA yake,na anaishi na kusoma na Mdogo wake. Busara imetumika kutokumkana kwenye Social Media.Ujue hii interview haitofutika iko siku huyo mwanae wa kumzaa anaweza kumwambia BABA.....mbona ulimkana ndugu yangu???? Halafu acha kumwita mwenzio "MUONGO" Unamjua kiundani??
@ZurehaMiraji
@ZurehaMiraji 5 ай бұрын
Usijitetee ulikosea kuoa wewe ustadh mvaa kanzu kaoe wavaa majuba wenzio sio kuoa shangingi la mji kisha useme status ilifuata ndoa kwa nn msiikemee 😂tatizo hamfuati miongozo ya dini ktk kutafuta mke huo ndo ukweli sheikh isemwe hata kama inauma stahamili sheikh😂
@jeremiahcharles6027
@jeremiahcharles6027 5 ай бұрын
Huyu jamaa kwa yule manz alicjochola
@mwanaidimussa
@mwanaidimussa 5 ай бұрын
Tatiz wanawake ,,, kubla ya kuolewa ni wema sana ngoja sasa umuoe
@chimamilion
@chimamilion 5 ай бұрын
Cjui analambaje midomo km ndan nae yn liulim lote nje
@badmanno.1650
@badmanno.1650 5 ай бұрын
Hivi momo mpaka arambe rambe lips 😅
@SalminiSamama
@SalminiSamama 5 ай бұрын
😂😂
@marrykigabimk
@marrykigabimk 5 ай бұрын
𝚁𝚒𝚌𝚊𝚛𝚍𝚘😂😂😂😂😂😂😂😂
@SalminiSamama
@SalminiSamama 5 ай бұрын
😂😂
SHAPALAQ 6 серия / 3 часть #aminkavitaminka #aminak #aminokka #расулшоу
00:59
Аминка Витаминка
Рет қаралды 2,6 МЛН
Don't look down on anyone#devil  #lilith  #funny  #shorts
00:12
Devil Lilith
Рет қаралды 33 МЛН
Every parent is like this ❤️💚💚💜💙
00:10
Like Asiya
Рет қаралды 21 МЛН
LUKAMBA AFUNGUKA KUHUSU P DIDY
29:18
CHUMBA CHA HABARI CLOUDS MEDIA GROUP
Рет қаралды 276
SHAPALAQ 6 серия / 3 часть #aminkavitaminka #aminak #aminokka #расулшоу
00:59
Аминка Витаминка
Рет қаралды 2,6 МЛН