No video

"NIPENI Huyo M SOUTH, ITAKUWA Ndio MWISHO Wake KUJA TANZANIA, KIDUKU Sio BONDIA wa TAIFA" - MWAKINYO

  Рет қаралды 206,597

Bongo Boxing Safari

Bongo Boxing Safari

Күн бұрын

"NIPENI Huyo M SOUTH, ITAKUWA Ndio MWISHO Wake KUJA TANZANIA, KIDUKU Sio BONDIA wa TAIFA" - MWAKINYO
BONDIA Hassan Mwakinyo amesema yupo tayari kucheza na Msouth Assemahle Wellem ambaye kwa hapa Tanzania amempiga Twaha Kiduku na kupata droo kwa Seleman Kidunda.

Пікірлер: 203
@aaronswai3092
@aaronswai3092 6 ай бұрын
Mwakinyo anafahamu ngumi na mifumo ya ngumi. Hongera Mwakinyo
@mohamedswalehe4777
@mohamedswalehe4777 6 ай бұрын
Bwege tu huyo bondia muoga,akileta mabondia wake wa kupigana naye analeta wagonjwa
@saidbakari2408
@saidbakari2408 6 ай бұрын
​@@mohamedswalehe4777Ngumi si matako kaka useme kila mtu anayo
@mohamedswalehe4777
@mohamedswalehe4777 6 ай бұрын
@@saidbakari2408 achague mabondia imara bana kupigwa kupo tu asiogope
@user-kj2xr2eb8s
@user-kj2xr2eb8s 5 ай бұрын
Mwinjo hauna viwango vya kupigiana na msauzi acha siasa
@aziziabeid6052
@aziziabeid6052 6 ай бұрын
Huyu jamaa yuko so smart,, Mwakinyo yuko smart
@Mja_Gongo
@Mja_Gongo 6 ай бұрын
Huyu jamaa mimi siyo shabiki yake,lakini nimemfuatilia sana interviews zake,jamaa anastahili kunifanya niwe shabiki yake,from now on nimemkubali na nina mpa heshima kubwa kwamba yy ni best fighter
@saadmotto965
@saadmotto965 6 ай бұрын
Mwakinyo anajua sana ngumu na ana uelewa mkubwa wa ngumi na anafatilia sana sana, huyu ni pure boxer and fighter....
@rashidmsuya5721
@rashidmsuya5721 6 ай бұрын
Aseeh we jamaa unatakia ata upewe kauongozi mbn unatema madini sana sio kama porojo zao pamoja sana kaka nakukubali zaidi ya sana
@bigemagomabigemagoma6312
@bigemagomabigemagoma6312 6 ай бұрын
Ivi mnamuelewa mwakinyo au mnaleta chuki zenu TU. Mwakinyo ameongea point sanaa. Msikilizen kwanza kabra ya kumkosoa. Hii inaonesha waTz wengi wana roho ya korosho na vijicho vibaya roho mbaya Tz
@enoshmhemakapaya
@enoshmhemakapaya 6 ай бұрын
Kunamijitu kazi kukosoa tuu
@ismailmollel4242
@ismailmollel4242 6 ай бұрын
Ukimsikiliza vizuri mwakinyo ,amethibitisha kua kidunda kapigwa ,,kuna visentensi falni anaviongea hv yani
@user-gk7vj4bq5h
@user-gk7vj4bq5h 6 ай бұрын
Umeongea vizuri sana Champez💯☝️✍️⭐️
@otitokinyaha2292
@otitokinyaha2292 6 ай бұрын
It’s true Mwakinyo, SA boxers are well equipped and have more resources and well maintained by there management
@Presenterramjtz
@Presenterramjtz 6 ай бұрын
Tanzania one champeeez more stamina, pumzi. Busara na maufundi one love mwambaaa ❤❤
@MohammedMohammed-uo5sk
@MohammedMohammed-uo5sk 6 ай бұрын
Nafurahi sana Tz wanajaribu sana katika michezo na WA Tanzania watafaulu wakifuata utaratibu wakimataifa coz boxing au ndondi ni kazi kama kazi zingine tuu na zinaingiza kipato muulizeni mwakinyo
@jumamlanda5266
@jumamlanda5266 6 ай бұрын
Bondia wangu,my only favourite boxer in tz Hassan mwaking! Day1 nakuona kwa TV sikujua kwamba ww ni m tz mwamba huyu apa,na unaonekana skills zaualimu unazo pia.All the best king H.M
@Elizakilisipinilikolika1996
@Elizakilisipinilikolika1996 6 ай бұрын
Nakupenda sana mwakinyo mungu azidi kukulinda daima ❤❤❤❤
@Fesary
@Fesary 6 ай бұрын
Umabadilika sana, leo umeongea point
@jazzjeff8431
@jazzjeff8431 6 ай бұрын
Currently,No boxer is ready for Asemahle wellen....the boy is skilled boxer
@yusuphsaid564
@yusuphsaid564 6 ай бұрын
Exactly
@thepresidenttobe5481
@thepresidenttobe5481 6 ай бұрын
Mwakinyo is skilled enough to knock him down. Get informed
@athumanmakunja941
@athumanmakunja941 6 ай бұрын
@@thepresidenttobe5481no way huyo wellen yupo skilled na anagumi kali sana + height yake sioni kama wabongo tunawezana nae
@user-wj7no2eb7l
@user-wj7no2eb7l 5 ай бұрын
Mwakinyo ,the best of tz
@colmanuiso545
@colmanuiso545 6 ай бұрын
Mwakinyo Anajua Ngumi [Boxing] Japokua judges yesterday walimuonea Yule Kijana aliyepigana Na Kidundaa
@ZuberiAbdallah-vs1ko
@ZuberiAbdallah-vs1ko 6 ай бұрын
Maneno yenye busara usemwa na wenye busara hongera kwa maneno mazur
@cyriacuskakira1101
@cyriacuskakira1101 6 ай бұрын
Mahojiano mazuri haya! Safi👏🏾
@harrisntibuhera8201
@harrisntibuhera8201 6 ай бұрын
International champion nan? Anabishaa💯💯💯
@user-ih7nl5nv3c
@user-ih7nl5nv3c 6 ай бұрын
Perfect man champez
@hafidhahmedabdallah5027
@hafidhahmedabdallah5027 6 ай бұрын
Game itakuwa ni rahisi sana kwa Hassan
@abdallahussi2978
@abdallahussi2978 6 ай бұрын
Kwa hiyo maana ya ndani ya mwakinyo ni kwamba kidunda amepigwa anaona haya tu kuweka wazi
@user-zg6ne2nn9w
@user-zg6ne2nn9w 6 ай бұрын
Sema wewe ulivyoona kidunda kashinda au?
@user-gp3pm4qp5y
@user-gp3pm4qp5y 6 ай бұрын
Mwakinyo nimekuelewa ila majaji wa jana sikuwaelewa huyu bwana mdogo alishinda
@user-xf8dn4yv2b
@user-xf8dn4yv2b 6 ай бұрын
Mwakinyo anajua nini anafanya nampa big Up
@nassoromussa2423
@nassoromussa2423 6 ай бұрын
Mwakinyo: "lazima liwe kwa nini lisiwe, labda nife kwa7bu mimi naishi kimifumo!." What a conscious!
@RamadhaniShabani-nc5ve
@RamadhaniShabani-nc5ve 6 ай бұрын
Mwakinyo is Tanzania 🇹🇿 one
@goodwellmutambo7607
@goodwellmutambo7607 6 ай бұрын
Pamoja sana Chapeez
@user-rk7gk8lm6e
@user-rk7gk8lm6e 6 ай бұрын
Umeongea vizuri sana
@atyahoodotcome1846
@atyahoodotcome1846 6 ай бұрын
Leo ndio umeongea point bro
@MatronaThomas-wz5si
@MatronaThomas-wz5si 6 ай бұрын
Nakukubali Mwakinyo
@deniskyangala3400
@deniskyangala3400 5 ай бұрын
Ikitokea mwakinyo akampiga uyu msouth, nasema mwakinyo ndio bondia bora tanzania kwa ngazi zote, yule msouth mtu sana tena sana, nirikua na matunaini na kinunda ila kilichomtokea sitamani ata warudiane kupigana tena, msouth akili nyingi, power na pumzi anazo za kutosha, shorty yupo perfectly.
@MartinKibosho
@MartinKibosho 5 ай бұрын
Mwakinyo ni professional
@DidierMkubwa
@DidierMkubwa 6 ай бұрын
Kabisa uko sahihi hassani
@HisaniKasim
@HisaniKasim 5 ай бұрын
Nakukubari sana kaka
@ASALABOY
@ASALABOY 6 ай бұрын
Uyu jamaa ni mwamba sana kwa Fact zake namkubalia sana Mimi binafsi
@user-xg7nm5lc7d
@user-xg7nm5lc7d 6 ай бұрын
Mwakinyo Anaendelea kudhihirisha ubora wake
@DavalsonMarlony
@DavalsonMarlony 6 ай бұрын
ila jamaa anatemaga point sana
@ONEdreamfilmtz
@ONEdreamfilmtz 6 ай бұрын
Ameongea point sana ✅
@JohnsonJohn-hm8ck
@JohnsonJohn-hm8ck 6 ай бұрын
Mwakinyo 🥊 ana kitu kikubwa sana
@user-pv2ez1nd3h
@user-pv2ez1nd3h 6 ай бұрын
Mwakinyo umepotea ndege pia anamfumo wake anaoishi ambao amejaliwa na Allah na anaulimwengu wake
@TALLUBOY
@TALLUBOY 6 ай бұрын
Kabisa uyu nibondia Mwenye maarifa uwa Siyo mtu mkari sanaa Uyu ukikaa nae mbal anamazala sana jebu yake Uwa ni kari sana na inaumiza
@walinaziontime7300
@walinaziontime7300 6 ай бұрын
Toka hapa... Uchelewi kutuuza..... Yaanii uchukue pesa utuachie mabishano.... Nilisha Sema brother unapoelekea utakuwa Kama 20% hii Bongo Wewe brother ni Sawa nipo na Gold katika nchiii Yangu alafu hainipi faida.....
@likoswegenius5662
@likoswegenius5662 6 ай бұрын
Hauchelewi kusema viatu vinakubana Mzee tunakujua vizuri😅😅😅😅
@user-oc2rw5ns4m
@user-oc2rw5ns4m 5 ай бұрын
Akika asani mwakinyo najielewa sana
@user-ms1xg1fp4v
@user-ms1xg1fp4v 6 ай бұрын
Mwakinyo ndio pekee anaweza kumlaza dogo wallem usingizi fofofo ndani ya raundi saba za pambano.kwakua miongoni mwagharama iliyotupata ni umri mkubwa wa captain.ndio maana akaipata Drow
@RamadhanMalibiche
@RamadhanMalibiche 5 ай бұрын
Namkubal sana mwakinyo❤
@sumarago_tv
@sumarago_tv 6 ай бұрын
Majaji walio hamuwa mchezo wa kidunda na south africa boy inafaa awe disqualified in boxing decisions. Ukweli nikwamba kidunda alidundwaaaaa. Uwamuzi droo haukuwa sahihi. Mawazo yangu naomba walimu wa mchezo wa ngumi wawe making katika kufindisha mchezo huu na pia majaji wasiwe na upendeleo katika maamuzi yao. Na hili litafanya maboxing wetu kufanya mazoezi vizuri na watajuwa ukipigwa umepigwa sio ukipigwa upendeleo upo kwasababu ya hom ground. Tunaomba majaji wale wasitoe tena uwamuzi katika pambano lolote.....for the benefit of boxing in tanzania.🇹🇿
@paterinishayo-ef4sx
@paterinishayo-ef4sx 6 ай бұрын
Mm nasikitika wamemchafulia yule dogo cv yake ilitakiww isome mapambano nane yote kashinda unaenda kumwekea droo ya nn sasa wameniudhi sana kama mtu anauwezo apewe tuu
@SajiKizunga
@SajiKizunga 6 ай бұрын
Tupe vigezo vya ushindi na utoe ushahidi,,mkilalamika tu haitosaidia,,majaji wanajua vigezo ,,wakati nyie mnaangalia mtu kuchoka,bila kujua scores za Kila mmoja Kwa Kila round
@kimodomusic9760
@kimodomusic9760 6 ай бұрын
Good
@goodlucktemu3149
@goodlucktemu3149 6 ай бұрын
Mwakinyo akili kubwa anaongea kama mtu mwenye utimamu wa akili 🤝
@dogopctz2749
@dogopctz2749 2 ай бұрын
Safi mwakinyo
@user-ho6de4qh1t
@user-ho6de4qh1t 6 ай бұрын
Nakukubali xn mwakinyo kwaxbb tunatoka wote tanga na unajua boxing tuletee heshima ya taifa tupigie huyo msouth
@StevenMgassa
@StevenMgassa 6 ай бұрын
Yani huyo mwakinyo ndo hawezi kabisa kupigana na msouth na hawez akakubali kupigananae maana atapigwa
@officiallnobystar
@officiallnobystar 6 ай бұрын
Mimi Kama Mtanzania Twaha Kapigwa Kidunda Kapigwa Hila Nikuambie Ukweri Yule Bondia Wa South Anatumia Akili Sana Ndio Mana Kawapiga Wote Nilio Kutajia Hila Amini Siku Mwakinyo Akiletewa Huyu Bondia Ndipo Utakuja Kumueshimu Mwakinyo
@officiallnobystar
@officiallnobystar 6 ай бұрын
Kaka Naomba Fuatilia Ngumi Vizuri
@S.A_media1
@S.A_media1 6 ай бұрын
Mwakinyo sio poa ✊🏿
@eaglecrown1101
@eaglecrown1101 6 ай бұрын
Kamanda kidunda kadundwa😂😂😂😂😂😂😂😂😂c
@DiwanCivanny
@DiwanCivanny 6 ай бұрын
Champez💪💪💪💪💪
@akiletv
@akiletv 6 ай бұрын
The only boxer I know in Tanzania.
@user-bh1cx7wg5z
@user-bh1cx7wg5z 5 ай бұрын
🙏🙏🙏
@user-ho6wl8nd2j
@user-ho6wl8nd2j 6 ай бұрын
God broo
@shadidasadick5077
@shadidasadick5077 6 ай бұрын
Nakupenda kidunda
@dwaynekijangwa9591
@dwaynekijangwa9591 6 ай бұрын
Hiyo Ndio Maana ya kua professional boxing
@Dominick-zj6fz
@Dominick-zj6fz 4 ай бұрын
❤❤❤
@chuxdampa8664
@chuxdampa8664 6 ай бұрын
uko vzr
@zuberihussein5761
@zuberihussein5761 6 ай бұрын
Anajua anachofanya.... Sema bongo ukiwa na misimamo tu, we jeuri 😂😂😂😂.. na unafungiwa Busta
@edgarmwansasu4743
@edgarmwansasu4743 6 ай бұрын
That's champez
@ChesnoldLuhanga
@ChesnoldLuhanga 6 ай бұрын
Huyu ndiye bondia wa kweli
@mohamedmagongo9348
@mohamedmagongo9348 6 ай бұрын
Tatizo lako Mwakinyo unapenda kudandia treni kwa mbele! Yule Dogo Msouth usimchukulie poa, endapo hukienda kichwa kichwa anaweza kukupiga KO ya aibu.
@user-ng4in1ms1m
@user-ng4in1ms1m 6 ай бұрын
Bob mchezo wangumi unaujua lakini? Isije ikawa unaongea kwachuki . Na vile vile upiganaji wamwakinyo unaufahamu?
@salamaswahibu5
@salamaswahibu5 6 ай бұрын
Mwakinyo kashapgana mechi nyingi ngumu je ushawah kumuona akipigwa k o bondia mzur niyule mwenye maarfa yakupigana nauwezo wakumsoma mpinzan nakujua style yakuchza ili aparfome mfano salim mtango mchnja yohana na ibrah class hao wanapigna kwa nidhamu naufundi ila sio kutumia manguvu nakota kota lazma mchezo uwe mgumu kwa style hyo
@hansboytz7494
@hansboytz7494 6 ай бұрын
Mwakinyo Respect xn
@user-ls1es8sd1s
@user-ls1es8sd1s 6 ай бұрын
Mwakinyo Bado mtoto mdogo Sana Asi jaribu Ata sku moja Ata zarili shwa vibaya Sana mwakinyo BondiA wa michongo 2 choko m moja mshamba Andele ku chaguA Ma BondiA wa Levi
@athumanimiraji751
@athumanimiraji751 6 ай бұрын
Chuki binafsi 😂😂
@athumanfuko199
@athumanfuko199 6 ай бұрын
Mwakinyo anamaarifa mengi kwenye boxing dogo anakaa mapema sana.
@karimjuma4019
@karimjuma4019 6 ай бұрын
Kumbe akili huna wenzio wanafikir Kwa kutumia kichwa we unaweza Kwa kutumia makalio ivi hapa tz Kuna bondia zaid ya mwakinyo ?
@bwagizoselemani8434
@bwagizoselemani8434 6 ай бұрын
Bas omba pambano
@huseinshedrack6180
@huseinshedrack6180 6 ай бұрын
Hv ww unafikiria kwa kutumia kichwa au matako...?
@izzahboe1442
@izzahboe1442 6 ай бұрын
🎉🎉🎉🎉🎉
@user-tt5rn7kc6l
@user-tt5rn7kc6l 6 ай бұрын
Umeongea kikubwa na kiufundi sana master champez,ww ndo jicho letu saiv, waweke mawe ya kutosha umwadabishe huyo mtoto wa madiba
@ramsonramadhan4156
@ramsonramadhan4156 6 ай бұрын
Huyu Hassana anaongea point na kama anavopiga ..ila Tz ujinga tu mwingi ila jamaa anweza kumpiga..Na sikku akimpiga watanzania watatafuta tu sababu ata za maradhi watasema alikuwa anaumwa
@selemanisabihi5994
@selemanisabihi5994 6 ай бұрын
Ww kapimwe
@charlesgyei9105
@charlesgyei9105 6 ай бұрын
sana mwakinyo point sana
@kondradymboya6557
@kondradymboya6557 6 ай бұрын
Azam ndo wamegoma kumpelekea maiki??
@jabrous2057
@jabrous2057 6 ай бұрын
❤ champz
@hemedindege4232
@hemedindege4232 6 ай бұрын
Salut mwakinyo hakuna mwingine
@abelaidan
@abelaidan 6 ай бұрын
Kila siku nawaambia huyu jamaa ni professional boxer. Watu wanatumia mihemko kumpinga na kumkataa huyu jamaa
@ezzepuritykamwene2121
@ezzepuritykamwene2121 6 ай бұрын
Huyu apewe mwakinyo, ,sema uzito wa ibra class ni wa chini ila ibra angemuweza km uzito ungekua sawa.
@mrishongwikwi6448
@mrishongwikwi6448 6 ай бұрын
Mmmh Ibra ataharisha uwanjani hamuwezi kabisaaa
@sirkipingu6721
@sirkipingu6721 5 ай бұрын
Apo sasa umeongea, ukimtandika uyo haina aja tena ya kupigana na kiduku wa kidunda
@mgazaabeid5873
@mgazaabeid5873 6 ай бұрын
kaka maneno mengi vitendo kidogo, kuwa km wenzio, wamemtaka msouth wamepewa! kiduku amekalishwa, Mjeda Pia amekalishwa!
@user-jo1zp7fj7r
@user-jo1zp7fj7r 6 ай бұрын
mamae huyo jamaa anapiga bondia yeyote hapa tanzania achen unafiki watanzania mwamba anajua hkn bondia wakupigana nae
@binsalum4339
@binsalum4339 6 ай бұрын
WATANZANIA tunaushamba sana,kwani LAZIMA hadi mmpige tafteni bondia mwingine sio huyu huyu,
@kelementbushishi3687
@kelementbushishi3687 6 ай бұрын
🙌🙌🙌
@RamadhanKhalfan-tq1go
@RamadhanKhalfan-tq1go 6 ай бұрын
Namkubali mwakinyo kwanza anajiamini pili mjur mchezo wa ngumi sio mchrzo wakitoto kwahyo tuondoeni chukizetu zisizokua na faida
@user-ih4kw5eb3d
@user-ih4kw5eb3d 4 ай бұрын
Usijisifu kijana nihatari sana
@user-zy6vq6lz7z
@user-zy6vq6lz7z 6 ай бұрын
Kidunda kabebwa kengele inagongwa bado second 35
@user-zm3ei8tt6h
@user-zm3ei8tt6h 6 ай бұрын
Fact
@mot.tvmsamvu6770
@mot.tvmsamvu6770 6 ай бұрын
jicho anapiga ili.tujue kweli naomba omba pambano hili
@hafidhimashaka7231
@hafidhimashaka7231 6 ай бұрын
Champez una baya
@AbiibakarAlaw
@AbiibakarAlaw 5 ай бұрын
Mtetezu wetu ktk boxer y tanzania
@user-iv4nl3zk8w
@user-iv4nl3zk8w 6 ай бұрын
Hasan nakukubali sana ila huu mfupa mgumu we kaa embeni waachie wenyewe waambane nao.asije akatuzalilisha huyu dogo
@takrimasamli7536
@takrimasamli7536 6 ай бұрын
Mwakinyo ni real champion
@fikirimgonanze6756
@fikirimgonanze6756 6 ай бұрын
Huyo sasa akiweza kumpiga ndiyo atakae fanya ote tutambu kuwa no one tz
@user-nk5si1fw5x
@user-nk5si1fw5x 5 ай бұрын
semaa ana ringaa ringaa😂😂😂
@justinekamala9703
@justinekamala9703 6 ай бұрын
Kidunda amepigwa Watanzania wote tumeona mwanzo mwisho, Majaji wetu wanaharibu mchezo wa ngumi,wanapenda sn kubeba beba mabondia wa Tanzania, hawajui wanawaharibia future yao ya kupambana ili nao weweze kufika mbali kidunia,
@YasreArafat-kk9en
@YasreArafat-kk9en 6 ай бұрын
oya champ umeongea kuntu
@ErastoKabuje
@ErastoKabuje 6 ай бұрын
Kipimo cha huyu mtoto wa madiba ni mwakinyo atamgeuza kipati haludi tena tanzania
@user-jo1zp7fj7r
@user-jo1zp7fj7r 6 ай бұрын
mamae km kpigwa kidunda huyo mchza maikoko hawez
@ezraelsewejo9755
@ezraelsewejo9755 6 ай бұрын
Kidunda kapigwa tuache ushabiki ndomana hatusongi mbele
@user-ll4wm3ni3d
@user-ll4wm3ni3d 6 ай бұрын
Ww ndio mkukombozi utaoba san
@user-iy2wy8vc4e
@user-iy2wy8vc4e 6 ай бұрын
Aaa kwa sasa chmpez utawaona mabon'go *2 hahaha
@allykazoa8324
@allykazoa8324 6 ай бұрын
Mwakinyo Acha kuongea San Itakuja kukukosti cku moja Dogo Umuwezi Ata Kidogo.
@criminalminds7723
@criminalminds7723 6 ай бұрын
Tukuletee wewe wamueza?
@allykazoa8324
@allykazoa8324 6 ай бұрын
@@criminalminds7723 ikiwezekana mlete Ukiwemo na ww pia
WILL IT BURST?
00:31
Natan por Aí
Рет қаралды 41 МЛН
Real Or Cake For $10,000
00:37
MrBeast
Рет қаралды 58 МЛН
when you have plan B 😂
00:11
Andrey Grechka
Рет қаралды 12 МЛН
Salama Na MWAKINYO Ep 44 | VITASA OVERLOAD Part 2
29:53
YahStoneTown
Рет қаралды 259 М.
SNURA NA MUMEWE USO KWA USO NA SHEIKH KISHK AL-HIKMA FOUDATION
18:56
Kishki Online TV
Рет қаралды 50 М.
HOTUBA YA MWAMBA IBRAHIMU TRAORE NI YA KUWAKERA MABEBERU
15:11
UKUU WA MWAFRIKA (IBM)
Рет қаралды 58 М.