Muniombee sana , sojielewi kwakifupi ,ila nukonipa mdaa nivema
@user-xr2my1et3l5 ай бұрын
Thanks, pastor for the good message, plz pray for my daughters sitting for this year form four to pass and my daughter who doesn't concentrate on her studies always falls asleep whenever the teacher is around but when the teacher is not around she is okay
@user-ud3zw9pu3e7 ай бұрын
Bwana yesu asifiwe niombee mume wangu aache pombe aache maugovi maana nyumban hamna aman kuanzia watoto had Mimi mwenyewe. Amekuwa ni mtu wa kutoa laan zisizokuwa na maana
@hadijaraphael83826 ай бұрын
Amina mchungaji nikiwa nachangamoto nafungua yutub mafundisho haya barikiwa pasta
@esthergeras53555 ай бұрын
sikiliza hata usipokua na changamoto ni hazina kubwa
@alicekadzotsofwatsofwa86184 ай бұрын
Amen ubarikiwe sana pastor Kwa hili neno
@andrewnicodemus8274Ай бұрын
Mungu anibaliki katika biashara yangu na aeendele kunishika mkono kwakila kitu na anapo nibaliki nisijikwaze Bali vyote yafanyike Kwa mapenzi yake
@user-ev3tk3tv8e4 ай бұрын
Ahasanti mch. Mbaga mafundisho yako, taangu nianse kuyafuatilia nimepata mwanga mkubwa sana moyoni mwangu. Ubarikiwe sana
@Joycependopendo-dv2tb7 ай бұрын
Amen mungu akushidishee hekima Na kibali Na pia akulindee Na wewe Na familia yako hakika mafundisho haya nazidii kuniongeza kiimani Na pia kiroho
@ziporamachilu68777 ай бұрын
Amina ukweli nimebarikiwa sana na somo hili nimejifunza somo muhimu kwangu na nimepona kimwili na kiroho .Hakika mchunguji wewe ni nchaguo sahihi kwa Bwana
@beatricebenson94755 ай бұрын
Amen mchungaji barikiwa sana , ni kweli hata sasa kumekua mambo ya spiritual awakening ambayo imefanya vijana wengi sana kuangukia huko sababu ya watu kuona maombi Yao hayajibiwi mimi pia nilianguka huko Lakini mafundisho yako pastor yameniinua tena , Ubarikiwe sana sana
@rahabusanga15597 ай бұрын
amen ..mchungaji Mbaga sichoki kukusikiliza everyday namshukuru Mungu kwa ajili yako .
@neemamwanjala3 ай бұрын
Mungu wangu nikumbuke zaidi ya ulivyo nikumbuka, mbariki mch, mbaga awemo ndani ya watakao kombolewa.
@RachaelMbeyu19 күн бұрын
Naomba uniombeee huduma yangu isime isitingisike na ndoa yangu jumla familia yangu mungu awainue kwa uchumi
@user-ep9by3ui1v7 ай бұрын
Asante mtumishi wa mungu nafarijiwa sana kwa mafundisho yako mungu azidi kukuongezea maharifa 🙏🙏💖
@JestinaNgwembele3 ай бұрын
Mungu akubariki sana pr
@raphaelmuiris75175 ай бұрын
Yesu nihirume
@mkalibizzАй бұрын
Asante mtumish
@perisbosibori22497 ай бұрын
AMEN! Obeying GOD is something of great importance. May our SOVEREIGN LORD uplift you as you continue blessing many with the word.
@kabalizasekanabomarko60637 ай бұрын
Mungu wetu asifiwe sana❤
@asooraaasooraa48164 ай бұрын
Amina Amina Mungu akubariki sanaa pastor Asante kwa somo hakika Nitainuka tena Bwana AMEKWISHA nitendea hitaji la moyo wangu Kwa jina la Yesu Amen
@neemaeliya-js5oy6 ай бұрын
Amina
@eustina07 ай бұрын
Mungu nmwema kwako aliko nitoa nmbali sana kumbuka mum yangu na ndugu zangu wamalize shule aminaa Mungu amwandalie mum ushuhuda
@user-dp3nb8wg4z7 ай бұрын
Barikiwa mtumishi Mungu atusadie kutembea ktk ukamilifu ili tumpendeze km kazi ya mikono yake, AMINA
@rosemuia7 ай бұрын
Growly to JESUS mjungaji mafuzo yako yanabadirisha maisha yetu my GOD bless you naomba kijana yangu anakunywa pombe vibaya lnaomba maombi tuzidi kuamini mungu ako nawezo namlka jm blessed jlm in saudi
@esthersimuli99526 ай бұрын
Amen
@user-vg4sw7kp6o7 ай бұрын
Amen nashukuru Kwa fundisho nzuri naomba mungu aniwezeshe kusimama tena.....🙏🙏
@user-ts9ww9ll2j5 ай бұрын
Nimekuwa na naden sana paka nachanganyikiwa naomba naombi Kwa hili
@MarimaAlez-kc5rj7 ай бұрын
AMEN pastor mmbaga bwana asifiwe masomo yako nisiraha kwamaisha yakiroho nakimwiri maubiri yako yananisimamisha imara yesu asifiwe Mimi nimu zambia tunapokea maubiri yako Mimi peter m sikazwe
@user-gq4du2jy4k7 ай бұрын
Hakika Mungu amesimama nasi katika nyakati zote ni mengi magumu na mazito ambayo Mungu amenivusha Hadi Sasa nashukuru Mungu Yuko nami
@purity1347 ай бұрын
Amen.hata ingawa baba na mama wataniacha Mungu hatoniacha kamwe.
@MariMagdaline7 ай бұрын
Asainte sana mtushi wa mungu mungu akubariki sana u menitia nguvu sana amen amen amen ❤
@verynicelema58877 ай бұрын
Bwana yesu asifiwe mtumishi nabarikiwa na maubiri yako niombee ndoa yangu
@naftaljohn26577 ай бұрын
Mungu azidi kukutumia kama kipaza sauti mtoto wangu anasumbuliwa na vidonda vya tumbo na hitaji maombi 🙏
@gracedaniel72367 ай бұрын
Amen pastor natamn Sana katk siku 10 hz za maombi Mungu anijb ombi langu
@user-kq9je6zf3v7 ай бұрын
Amen mungu akubariki sana mutumishi wa mungu mafundisho mazuri nimebarikiwa sana mutumishi 🙏🙏🙏🙏🙌🙌🙌
@ItzNorelleYT7 ай бұрын
Mungu atubariki sote kwa somo la Leo
@beatricenyiro59137 ай бұрын
Man of God be blessed Muombee my mom afya yake ulcers and high blood pressure asante
Mungu aguse maisha ya familia yangu tumtumikie Kwa uaminifu
@bukebukemeshack44977 ай бұрын
Samahan pr maombi app haipo praysto na mbaya zaidi nilikua nayo tayari lakin ikaacha kufanyakaz mpaka Leo haipo
@user-tr6nn2vn9c6 ай бұрын
Naomba.umuombee bint yang amengiriwa.na.pepo
@user-dh3md8wi1u6 ай бұрын
Barkiwa milele mtu wa Mungu
@user-qc5eg6ne3f7 ай бұрын
Amina pr mbaga,muombee dada yangu anaitwa Regina fidelis anasumbuliwa na nguvu za Giza(roho ya mauti) na ugonjwa wa Kansas kwenye njia ya haja kubwa na ndogo Mungu amponye na kumuondolea maumivu.lkn pia amsamehe dhambi zote
@wahidakisingo35887 ай бұрын
Mungu amsamehe na kumponya magonywa yote kwa huruma na Neema yake🙏
@monicaphabian39085 ай бұрын
Mh pole sana mungu amusaidie maana ugonjwa mkubwa sana ,,mungu hatamuacha yu pamoja naye
@user-qc5eg6ne3f7 ай бұрын
Dada yangu anasumbuliwa na mauivu makali Bwana amponywe
@emmaanthony57304 ай бұрын
Naomba njsaidiwe namna ya kupata hiyo maombi app,,nipate hivo vitabu
@user-bw6rr7rp5c7 ай бұрын
Amen God bless you pastor, ombea family yangu upendo
@verynicelema58877 ай бұрын
Ameniì naomba maombi ya familia yangu
@user-tr6nn2vn9c6 ай бұрын
Mtumishi.niombee mwiri.wangu.unamaumivu.kira.kona
@WilondjaTchandja-so7df7 ай бұрын
Mungu asifiwe kweli Yani mchungaji ma theme yote yenye munasemaka inanigusaka sana
@rosemarymwanitega79267 ай бұрын
Amen Pastor nimebarikiwa sanaa
@user-tr6nn2vn9c6 ай бұрын
Naomba uniombee nimekuwa mrahibu wa ponogirafia
@bettymitanda46967 ай бұрын
Yesu anisaidie katika masomo yangu na mapenzi yake yatimie katika maisha yangu
@daudisobera93677 ай бұрын
Pastor morning God bless you.plz ombea mtoto wangu mwenye Ako na shida ya miguu.
@tumainirichard58797 ай бұрын
Nabarikiwa sana
@user-im8xm3gc1l7 ай бұрын
Amina Mungu azidi kukuinua ili tuendelee kubarikiwa.
@user-ff6jb5mf5z7 ай бұрын
Asante japo sioni mambi app play store
@geraldmwangira.49787 ай бұрын
Amen ubarikiwe Pastor.
@user-sh8nk8er7n7 ай бұрын
Asante YESU kwa kutusikia na kuitika tukuitapo 🙏❤
@robardmutisarobard46057 ай бұрын
Nmeamini Bwana ametenda
@alicemwaka37627 ай бұрын
Emeeen
@judithnjalambaya24507 ай бұрын
Amen 🙏
@jeremiahsigira98097 ай бұрын
Mungu nisaidie na family yangu
@shadrackkahindi48947 ай бұрын
Nataka maombi na umwa na titi
@shadrackkahindi48947 ай бұрын
Natafuta moto kwa mda mrefu
@magigesabai86747 ай бұрын
@@shadrackkahindi4894moto gani?
@user-xr2my1et3l5 ай бұрын
share pastor Mmbanga no.
@tumainirichard58797 ай бұрын
Amen
@josykogei76477 ай бұрын
Amen akika Mimi naona Rehema kwa MUNGU kabisa kwetu tumekuwa watu wa kuishi dhambi za Babu na baba zetu ila mungu ameacha Rehema ameinua mtumishi kwa boma
@user-tl6xv7fv3r7 ай бұрын
Amina
@bernadethanyarufunjo95187 ай бұрын
Niombee Mungu anitetee nitoke katika changamoto nyingi nilizonazo
@bernadethanyarufunjo95187 ай бұрын
Niombee Mungu azidi kunitetea katika changamoto na magumu nayopitia