Katoto mashallah kanajua kujieleza Hapo hakuna cha kumalizana kindugu lazma jambo liende kisheria mtoto apate haki zake
@jaredayiera32792 ай бұрын
Hawa watu wote wahusika,na wao pia wachomwe Hadi kiwango cha azilimia 100 kw 100
@verdianabanabi22052 ай бұрын
Aliyemchoma na yeye achomwe asikie raha yake.
@UpendoLembris2 ай бұрын
Mwenyekiti na mjomba washughulikiwe kwakweli inauma Sana 😭😭😭😭
@aderanderwa76232 ай бұрын
Yaani Mama unamuacha mwanao achomwe hivi jamani YESU KRISTO UTUREHEMU SISI
@FekiHappy2 ай бұрын
Kuna wizi ambao wanangoja.mgeni aje waited ionekane kuwa mgeni ameiba hii ilitukuta kwa mdogo wetu kila mgeni akienda kunatokea uwizi watu wanagombana kila mara kila kumbe ni kijana wa kazi wanashirilkiana bint wa kazi cku moja ikagundulika kuliibiwa computer akaambiwa kaka mtu ndio wakaashangaa hee kufatilia wanaiba sana vitu wanauza kwa.majirani nk ikajulikana Bana hivyo kuna mwizi smart hapo
@SamsunGalaxy-e5k2 ай бұрын
Asant shangaxi mungu akulindee
@donathamwangobe27762 ай бұрын
Aisee nimeumia sana
@MohamedyOmary-cv6gk2 ай бұрын
Shangazi uko vizuri
@nesielias94932 ай бұрын
Hata kama mtoto ameiba kweli, Lakini huu ukatili haukubariki hatua Kali zichukuliwe kwa muhusika
@Pixxmoleli2 ай бұрын
Pole sana mrembo.Mungu atakutetea
@infodigtechforcommunityemp41032 ай бұрын
Mungu wangu
@yukundapeter82002 ай бұрын
Itakuwa ni hao wanaoishi hapo kwa mjomba ili ionekane ni mtoto.
@PendoMatemba2 ай бұрын
Mashangazi hoyeeeee
@angonzamujunangoma87752 ай бұрын
Ukatili wa hali ya juu,mjomba ni mama sasa tunaenda wapi 😢😢.
@DeboraChediely2 ай бұрын
Jmn bibi hana makosa mdogo wangu polee sanaa
@evamlay89972 ай бұрын
Haki atakua ameiba kusingiziwa kunauma hata halii kweli
@KuruthumKikuyu2 ай бұрын
huyo mjomba afungwe maisha unamtia mtoto ulemavu wa maisha
@victamacha55262 ай бұрын
Dah pole sana achukuliwa hatua haki za binadam msaidiyeni huyo mtoto
@consomatogaudence1362 ай бұрын
Mjomba dah ninavyojua wajomba wana huruma sana sasa huyu ni mjomba au jinamiz kah hapo ni 70 tu ikiwa milion sasa c angenyonga
@bintmrisho35262 ай бұрын
Sijui hata mjomba wa aina gan huyu mimi kaka zangu wananilelea watoto wangu vizur hadi nafurah
@AnithaThadeo-n2i2 ай бұрын
Arusha n kama walitupiwa roho ya kikatli
@salewajudic1972 ай бұрын
Afugwe maisha
@jacquelineeliasmollel52602 ай бұрын
Maumivu ya Moto jamani Uwiii Mtoto asaidiwe apate haki zake msingi jamani
@PendoMatemba2 ай бұрын
Huyu mwenyekiti, na mjomba wore moto, kwanini mwenyekiti anyamaze.
@fatihiyadossa3752 ай бұрын
Huko kuna wa meru na wamasai dah niatar wallah
@efraimjohn49562 ай бұрын
Huyo aliyemchoma mtoto naye achukuluwe hatua za kisheria
@PendoMatemba2 ай бұрын
Mjomba ni jinamizi, ni pepo, mjomba ni nyangau
@RoseKaiza-g2j2 ай бұрын
Adhabu muliyompa ni kubwa sana japo huyu mtoto anaonekana dogo janja sana na inawezekana aliiba kweli ila hakutakiwa kupewa adhabu kama hii najua mjomba atakua alikua na hasra na hali ya uchumi ilivyo kwa sasa ukitumia hasra waweza kuuwa buree!
@NaomiNakhumicha46362 ай бұрын
Serikali ya Tanzania tafadhali chukulieni hao wauaji sheria nikiwa mzazi pia moyo waumia 😭😭😭😭
@LinaSwai2 ай бұрын
Na ugomvi wa wazazi usimtese mtt , mam usimkandamize mwanao kisa ugomvi wenu
@christaoman88902 ай бұрын
Daah jamani mbona unyama uliopitiliza hivi hakuna cha kumsamehe nayeye apewe adhabu kali looh
@SamsunGalaxy-e5k2 ай бұрын
Huyo mama kifo kinamnyemelea pia huko kwa mumewe
@IsanjaRose-tk4nn2 ай бұрын
Kweli inauma sana
@lellovenance5702Ай бұрын
Huyu mtoto wamfundishe heshima, mjomba akichukia atataga mjini, alafu mjnamjanja Sana mtoto, 11:39 ,na mjomba kaa nae mbali huyo atakusingizia umebambaka, huyu mtoto wamfundishe heshima kweli kabisa atakuja kujuta mjini kimalaya Sana hiko nakujua kinaliwa hovyo na watu wa boda
@ElietiSilausi2 ай бұрын
Huyo mbaba nae akafie gerezani au yeye sio mzazi.maana kama ni mzazi hawezi kufanya ujinga kama huo.nahuyo mama alishindwa je kulala na mwanae? Mbona sisi wamama tunajali sana watoto ye huyo mama alishindwa je kulala na mwanae.aise kosa mali pata akili.pole mtot ukikuwa huyo mjomba wako utamsongesha tena kwaliba.
@angonzamujunangoma87752 ай бұрын
😢😢😢
@AndreahPaul2 ай бұрын
Daaah😢
@OmanOman-dd5qk2 ай бұрын
Kaka mwambie asiufunge kitambaa utazidi ili ukauke halaka
@PendoMatemba2 ай бұрын
Huyo mjomba ni pepo
@MaryamKhawar-h3j2 ай бұрын
Maskini shangazi anaumia kuliko mzazi anakubali mtoto wke afanyiwe hivo kwakweli hii dunia mwisho wapewe adhabu
@BARACKAPAUL2 ай бұрын
Mjomba umezingua sana.. inatakiwa ule adhabu Kali sana ...ACHA ujinga wakoo mjomba
@RosemaryMalya2 ай бұрын
Tena akome pumbafu sana mjomba
@RosemaryMalya2 ай бұрын
😂😂😂
@modestamodesta39402 ай бұрын
Daaah jmn 😭😭😭
@TomassBenson2 ай бұрын
Huyo sio mjomba wake labda huyo nishatani hakuna mjomba hana uchungu na mtoto wa dada yake
@LinaSwai2 ай бұрын
Je mbona hakuwauliza hao wengine huenda hao wengine watakuwa waliichukuwa
@SamsunGalaxy-e5k2 ай бұрын
Haki itendekee kwa mtoto kwa wotee walioshuhudia tukio
@RoseDaniel-od1oo2 ай бұрын
ShikamoonArushaaaa😢
@marryjumanne59712 ай бұрын
Marahaba
@StellahLivogah2 ай бұрын
Duh ila mtt anaongea vizur hadi raha uyo mjomba achukuliwe hatue aisee
@bintmrisho35262 ай бұрын
Yan nimempenda mtoto anajua kujieleza haswaaa
@RoseMrio2 ай бұрын
jmn eb nipewe t nkae nae
@carolinerubeya78172 ай бұрын
😭😭😭
@TomassBenson2 ай бұрын
Makonda tunaomba ulichukuwe kama mtoto wako
@BARACKAPAUL2 ай бұрын
Mjomba afungwe
@TumainiAkyoo2 ай бұрын
Mtoto mjanja huyu
@christaoman88902 ай бұрын
Kuna baadhi ya watu wa Arusha wanavuta bangi vibaya sana wanafanya km dozi ya dawa kutwa mara 3 huu ni unyama mkubwa sana
@josephineheriel52712 ай бұрын
Ukatili unafanyika sana Tanzania, ila Arusha Kamati zinazofuatilia maswala ya ukatili wako vizuri kwenye kuota taarifa ndiyo maana matokeo ya ukatili anaripotiwa sana