Kupitia madhabahu hii wates wangu woote nawaweka peupe kwa jina la Yesu.
@fatumaazidi45182 жыл бұрын
Hakuna lakushindika ukiwa ngomeni mwa yesu,hakika yesu wa kuhana naomba unisaidie namimi katika masomo yangu nifanye vizuri 🙏 ameen 🙏
@catherinelenard83272 жыл бұрын
Najiungamanisha na madhabahu ya mtumishi wa mungu musa nasimama kinyume na roho za mauti na maroho wachafu yashindwe kwa jina la yesu ngoa kila roho chafu mtumishi wa mungu
@jmubs95 Жыл бұрын
God's revenge is the best it has no appeal. Barikiwa sana maishani dada🙏🏼
@GetfordMasehe-c1o7 ай бұрын
Ubarikiwe sana Nabii nakukubali
@MtemiChitema3 ай бұрын
My god is spiritual in answering people's questions 😮😮
@innocentbrayan44602 жыл бұрын
kwakwel kuhani musa Mwenyeez Mungu azid kukusimamia baba atutokata tamaa watoto wako kama ulivo baba na ss wanao ndivo ivo ivo
@SmilingJellyFish-vf6xy8 ай бұрын
Ameeeeeen. Baba . MusaLichrd. Mwacha. Balikiwa Baba. 😊
@HusnaSharifu4 ай бұрын
Asante Yesu
@felixmagulu6142 Жыл бұрын
Pole sana Dada Mungu ni mwema atakufungua katika vifungo
@hildamkumbwa32583 жыл бұрын
Bonge la ushuhudaa!! Bwana Yesu na matendo yake makuu kupitia mtumishi wake Kuhani Musa, Mungu akubariki mtumishi wa Mungu kwa huduma njema
@esthergerald62942 жыл бұрын
Amen
@HusnaSharifu4 ай бұрын
😢😢Yesu asante Kwa ukombozi wako nalia Kwa huu ushuhuda yoote nimeyapitia hayo jamani
@djumazuena522 жыл бұрын
AMEN AMEN AMEN. mungu ni.mkuu
@pillyjoseph Жыл бұрын
Amen
@PhilippebediАй бұрын
Mungu abariki mitumishi wa mungu,nime barikiwa
@PhilippebediАй бұрын
Mungu wako afunguwe maisha yangu mitumishi wa mungu
Yesu wa Kuhani musa naomba na omba mkomboe mume wangu mikononi kwa wachawi wamemchukua tangu mwezi wa saba kwa damu ya yesu naomba nisaidie.
@ashuramwangi48392 жыл бұрын
Mungu akubariki na aendelee kukuweka uendelee kutufungua
@ButemiKadarajaКүн бұрын
Amina sana
@RehemaFidelis5 ай бұрын
🤲🤲🤲🙏🙏ameni.sana
@AndrewMayende-z5b Жыл бұрын
Aminna
@chazyshadrack25582 жыл бұрын
amina baba huu mwaka wangu
@adisabetty2173 Жыл бұрын
Majabu Amiiina Baba Niko vibaya Niombeye Amiiina
@ashuramachinja3 ай бұрын
Aminaa
@asiri-romy-simba36712 жыл бұрын
Yesu Kama Yesu yupo Imara
@leticialawi9569 Жыл бұрын
Nami watesi wangu waisheee
@Kigalirwanda-c5y7 ай бұрын
Ameeeeeeeeeeeena Baba Musa Lichard Mwachard 🖐️🖐️🖐️🖐️😁😁😁😁😁
@adisabetty2173 Жыл бұрын
Baba mudogo akakufa Amiiiiiiiiiina Baba
@jasminswedy2351 Жыл бұрын
Aminaaa kubwa sana na Mimi nakuomba yesu wa ngomeni mussa unitembelee katika fammilyia yangu unitibu roho chafu
@godfreyswai49656 ай бұрын
Ashukuriwe yesu alie kupa hii kazi,yakusaidia Hawa watu,baba kuhani.
@beatriceumuhevyi1882 жыл бұрын
Mungu ni mukubwa kabisa
@GetfordMasehe-c1o7 ай бұрын
Amina Amina 😁😁😁😁
@johnshayo1793 жыл бұрын
Amina baba
@peteryukunda92392 жыл бұрын
Mungu akikutaka,lazima utapatikana tu,Amina kubwa mno.
@JenniferMwaikukaАй бұрын
Mungu fundi
@lahabesheuya1257 Жыл бұрын
Mimi naamini maana mtesi aliekua nanashikilia nyumba yangu nakusema yakwake alikata moto
@lightessmbweli76242 жыл бұрын
Nakupend saan Babaa
@catherinelenard83272 жыл бұрын
Yesu ameimaliza
@furahammbibya81272 жыл бұрын
Jina la bwana libarikiwe sana
@kabwefrancine992 жыл бұрын
Na mimi maramingi niki kufwatilia youtube usiku, nakuhona kundoto Naku fatilia nyuma uni sahidiye ila cha ajabu baba kuhani musa ulikuwa una ni kwepa ,kwa kweli na shindwa kupata majibu, napiga sim kwenye nember nime chukua hapa youtube lakini amu nipokei 😭😭🇧🇮
@pilijohn14783 жыл бұрын
Da sawa sawa
@edmundkapondo40423 жыл бұрын
Mmm shuuda konk 🙋
@catherinelenard83272 жыл бұрын
Asante yesu asante yesu
@jescambogoma83942 жыл бұрын
Niombee mtumish was mumg
@jescambogoma83942 жыл бұрын
Amina
@shaniayahaya44372 жыл бұрын
Mtumishi redio ya channel yko ni ipi
@souzanenabuki5272 Жыл бұрын
Uni kumbuke Yesu wa kohani na Nabii Musa. Kwajina na Yesu christ.
@margarethsaramaki39663 жыл бұрын
Mungu atusaidie sana🙏🏼🙏🏼
@lahabesheuya1257 Жыл бұрын
haponikiboko Baba hakika
@MohdAbdallah-vl5ug2 ай бұрын
Naomba namba ya simu ya kohani nataka nije huko
@grorymsangi46512 жыл бұрын
Amina
@NeemaSalanga15 күн бұрын
Pihy naomba maombi niwwze kufika napitia magumu
@rehema6660 Жыл бұрын
Namie niponye bwana na mipango yote ya adui
@souzanenabuki5272 Жыл бұрын
Na pokeya kwajina la Yesu christ
@NeemaSalanga15 күн бұрын
Naombini namba yamungozo nahitaji kuja huko mutumshi
@mwamwajaupendo74712 жыл бұрын
Wanaomtesa mwanangu wanaswe na yesu wa ngomeni wa kuhani Musa wafe wafe katika jina la yesu
@munenejulius48922 жыл бұрын
Amen
@happykwekwe53122 жыл бұрын
Eeeeh mtumishi asifiwe yesu mm nmkenya nautanisaidia vp mtumishi
@philipinalyimo7164 Жыл бұрын
Hakika MUNGU wa kuwani ni mkubwaa
@IzkiOamn Жыл бұрын
Malipo ni hapahapa dunian tuombe na kuamin jmn
@mjemamjema99202 жыл бұрын
Nabii unapatikana wapi nimevutiwa na maombi shuhuda na unabii wako natamani kufika kwenywe kansa lako
@ButemiKadarajaКүн бұрын
Sio nabii ni Kuhani na mwalimu Musa Richard Mwacha, anapatikana Kimara temboni dar es salaam
@blessinganael13903 жыл бұрын
Yesu ni mwema Anaviinua vinyonge kutoka jaani
@jescambogoma83942 жыл бұрын
Amina mtumish niombee nasumbuliwa na tumbo
@sofiastifano55302 жыл бұрын
Maumbili nayapenda na uponyaje mtumishi musa ninakukumbali
@martinsnyirenda211 Жыл бұрын
Doccoment
@susanngatia49282 жыл бұрын
Kipimo walichonipimia watapimiwa mara thelathini kWa damu ya yesu kristo
@emanueljmassawemassawe-qs2zlАй бұрын
🇮🇱 🙏 🇮🇱
@lumandesarah62402 жыл бұрын
Nabii wa kuhani Musa namiye bachawi yote vente balishaka funga batoto yangu bakate moto bote