Aminaaaaa kubwaaaaaa ni yesu ngomeni matendo makuu ya yesu wa kuhani mussa richard mwacha
@titinmbega41282 жыл бұрын
Amen MUNGU ni mwaminifu Ubarikiwe Kuhani Musa. watching from saudi Arabia
@genevevamarcoАй бұрын
Bwana Yesu atukuzwe,nami naomba maombi dada yangu alipotea kwenye mazingira yasiyoeleweka ni Zaid ya miaka 18
@OgenKandieАй бұрын
🎉 lb😮
@FrancisMukojkatangal-pm5hr Жыл бұрын
Na pikiya mungu assante sana kwa kazi ya mungu kohani MUSA RICHARD mwacha ana tenda .nasema AMINA
@sherwinassociates30302 жыл бұрын
naomba nami maombi nko na inlaw wangu kutoka mkoo wa marangu mwika, kaka huyu niwazimu tulipata tarifa kwamba alipotea mwizi sita sasa na ajulikani alipo jina lake ni Jeradi kImaro ( I m from Kenya pls help us with ur prayers)
@kabwefrancine992 жыл бұрын
Himani yangu hina nifanya niamini miujiza unayo hitenda ,baba kuhani mungu wako ani kumbuke kweli na mimi🇧🇮🇧🇮 😭
@adisabetty2173 Жыл бұрын
Nachukuru kuona Niko KZbin. Amiiiina 🖐️🖐️🖐️🖐️🖐️🖐️🖐️
@TekraAllan3 ай бұрын
Mungu akubariki sana mtumishi wa mungu
@antoniashoo7462 жыл бұрын
Mungu akubariki mtumishi wa mungu kuhani Musa,, naomba yesu afichue na kwangu
@atamediatz11392 жыл бұрын
Hivi mbona yule binti aliyepita hotelini ambaye alisema amemefufuka mbona sijaona habari zake huku?, Video ninazo tulimrikodi na mbona yule kijana aliyesema kuwa ni baba yake mbona na yeye nimemuona kwenye mitandao kuwaalishakufa? Nizipost hizi video hapa....nipo nazo kwenye simu zisije kupotea
@maglenakessy21462 жыл бұрын
Jamani yesu wa ngomeni anatenda miujiza. Ubarikiwe sana kuhani musa
@AdediPharmacy2 ай бұрын
Nitakutafuta popote pale
@ZawadiMeshack23 сағат бұрын
Fichua na familia yetu watesi wote mtumishi wa mungu
@PriscaPatrick-kk9dd Жыл бұрын
Naomba na mm mungu wa kuhan musa akanionekanie na mm maana mama angu akamfijue
@MaselinaJoniАй бұрын
Mungu ni mkubwa sana tumwabudu mungu cku zote👏🙏 munguu Amina.
@iddyhamis68692 жыл бұрын
Mungu nitendeee yes wakwakohani msa najua upo na utatutendea mungu aendelee kumutumia huyu baba anatuokoa sanaaaa
@TekraAllan3 ай бұрын
Amina kubwa kbs
@GraceSambula2 ай бұрын
Mungu wetu ubaki kua Mungu
@HusnaSharifu4 ай бұрын
Muuguzi anakwepa maelezo jamani usifiche ukuu wa mungu hata uwe raisi
@margarethsaramaki39662 жыл бұрын
Praise Lord hakika Bwana anaweza na kutenda hakika tunashuhudia matendo ya Mungu🙏🏼🙏🏼
@miriamannamakhanu75922 жыл бұрын
Hi ushuhunda umenipa moyo jamani Mungu anatenda mambo makuu Jina la Yesu liinuliwe Mtumishi kuhani Musa nabii wa Mungu nikumbuke kwa maombi sina ndoa
@yustermathias3856 Жыл бұрын
Barikiwa sana Baba mwenyezi mungu azidi kukubariki sana
@fridahmbusa-g5x7 ай бұрын
Amina baba ni wewe tuu baba
@peridamtweve18822 жыл бұрын
Wewe yesu nissidie na mm matatizo yangu
@salmaali36752 жыл бұрын
Acheni mungu aitwe mungu hakuna wakulinganishwa nae 🙏🙏🙏
@SmilingJellyFish-vf6xy9 ай бұрын
Mungu Anatenda Natunamichukuru Amiiina Balikiwa yesu.
@muzungunamalwalinet3242 жыл бұрын
Amen atukuswe yesu wa gomeni
@bahatiagape71212 жыл бұрын
Jaman Mungu wa mbingun nirudishie na mama angu jaman...Dahha Mungu tenda miujuza kwa Mama angu.🥺
@adisabetty2173 Жыл бұрын
Amiiiina & Amiiiina 🖐️🖐️🖐️🖐️🖐️🖐️🖐️🖐️🖐️🖐️
@rhodamagembe55352 жыл бұрын
Uyo anaemuhoji anatakiwa amuhoji vizuri maana atuelewi chanzo Nini adikuonekana na Nani alimuweka msukule
@adisabetty2173 Жыл бұрын
Mungu wewe!!!??????? Amiiiina munguu Baba Musa lichard nachukuru saana Balikiwa Nuru ya mbinguni iwongeze iguchukiye Amiiiiina baba
@adisabetty2173 Жыл бұрын
Na wanafanana na Mutoto wako 🖐️🖐️🖐️🖐️🖐️🖐️🖐️
@princemozes99232 ай бұрын
Emeni 👍👍👍👍
@edwinmsunza12462 жыл бұрын
Yesu wa ngomeni anaweza
@estareliasmagesa87912 жыл бұрын
Yesu akuweke milele love dady mwacha
@marylovemakiria77712 жыл бұрын
Asante sana mungu WA ngomeni na nabii Richard musa hakika mungu anatenda
@valenakomba76862 жыл бұрын
SHETANI NI MWONGOOOOOO. YESU NI NGUVU.
@brigmtafutanjia4561 Жыл бұрын
Mungu nasema ni asante naamini siku nikifika ngomeni nitapokea uponyaji wangu na wachawi wote wanaofuatilia familia yangu watateketea
@KhadijaMhenangu8 ай бұрын
Amina baba tusaidie tu kwa nguvu za yesu wa ngomen ninaamin.
@astelliaadrea54782 жыл бұрын
Ngome ya kuhan musa ifunguwe milango na vifungo vyoote vilivyofunga maisha yangu
@samwelkirui28611 ай бұрын
Amina mungu wa kuhani musa naomba usitupite katika majaribu amen
@SmilingJellyFish-vf6xy9 ай бұрын
Yesu Atukuzae Tunachukure. Amiiina
@merrymussa28332 жыл бұрын
Daah wew ni mungu mfalume unae tawala milele🙏
@ciciliamusyoka62682 жыл бұрын
Watanzania mungu awabariki ingekuwa Kenya ,huyu mtumishi angekuwa ametusiwa
@bigirumanalululouise4540 Жыл бұрын
Amen nimimi namini mama yang tomuona amen🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇸🇦🇸🇦🇸🇦🙏🙏🙏🙏
@BettyGeorge-sn2nn Жыл бұрын
Jaman huyu mungu mwacheni tu
@joycewafula9352 жыл бұрын
Amiiina yesu wa ngomeni ya ..nabii Musa anaweza, mungu asidi kumpa kohani Musa miaka mingi am watching from Saudi Arabia 🇸🇦🇸🇦🇸🇦🇰🇪🇸🇦🇰🇪🇸🇦🇰🇪🇰🇪🇸🇦🇰🇪🇸🇦🇸🇦🇰🇪🇰🇪🇸🇦🇰🇪 🙏
@SmilingJellyFish-vf6xy9 ай бұрын
Nasisi tuliicha juwa Akwani. Musa Lichard Mwacha. 🖐️🖐️🖐️🖐️
Jamani kila aneandika humu Yesu anaandika kwa herufi ndogo hata majina ya watu Mungu awasaidie mbadilike maana mnapoandika yesu haipendezi wala haina utukufu kwa Mungu
@RodahDiwege-gt9pk Жыл бұрын
Ni kweli MUNGU syo Mungu
@AnitaKaogo-vh2gm Жыл бұрын
Bwana yesu asifiw mtumishi wabwana naomba uisaidie familia yangu na ndoa yangu na watto wetu
@victoriajulius50722 жыл бұрын
Mungu Asante kwaajil ya maish yangu na familia yangu nakupenda mungu wangu 🙏🙏
@bahatirichard8423 Жыл бұрын
Mungu wangu na mimi umkumbuke mdg wangu samson Richard mosha uko alikowekwa arudishwe jamani Mungu wew unaweza sana Mungu wa Kuhani Musa naomba ukumbke familia yangu
@estareliasmagesa87912 жыл бұрын
Aminaa yesu wa ngomeni anaweza yote
@AgripinaNdubulaRaphael2 ай бұрын
Mtumishi tajanasisitulihoko hulaya
@GodfreyFrola4 ай бұрын
Baba mfufue mwanangu na mimi jaman
@philomenetakubungo31802 жыл бұрын
Mungu ni mwema sana naataendelea kutenda tunajua kama kupitia iyi maombi nasi Mungu atatenda
@KakaKirikalaizer-ph8ts Жыл бұрын
dunia kuna maajabu
@djumazuena522 жыл бұрын
Bwana yesu kristo wa ngomeni na mimi unikumbuke kama unavyokumbuka wengine
@zahormohammed44762 жыл бұрын
Hii kwangu siielewi iweje mtu apoteee miaka 12 eti ndugu wasifuatilie hata kidogo na hata polisi hawakutoa taarifa, na hiyo serikali ya Kijiji pia haikuweza kufuatilia
@frankkessy12602 жыл бұрын
walitoa taarifa na polisi walikuja ila ufahamu wa ndugu ulikamatwa na hata hawakukumbuka kumfuatilia
@zahormohammed44762 жыл бұрын
@@frankkessy1260 Basi mpaka serikali ya Kijiji pia ufahamu ulioamatwa, na iweje miaka 12 bila mawasiliano na bado wakakaa kimyaa
@zahormohammed44762 жыл бұрын
Pia kwa nini me miaka yote hiyo hawakuwahi hata kufungua hapo dukani kwake
@uchebechebe86532 жыл бұрын
Mwenye akili anaweza akapita juu Ya vichwa vya watu bila kuwatia maumivu🤣🤣🤣
@fatmaomary39812 жыл бұрын
Yesu wa ngomeni nitendee na mimi kwenye Familia yangu watu wanakufatu hapo kwetu yesu nitendee na mm Kuna mtoto wa kaka yangu kapotea tangu 2018, Mwezi 8 akiwa na Miaka 6 a naitwa Tedi yesu wangomeni nitendee nipo Omani 😭😭😭natamani ningekuwa tanzania na mm Familia yangu inateketea yesu wa ngomeni nisaidie
@husseingabo54972 жыл бұрын
Kwa akili zako we unajua hao misukule kweli ? Kuwa na akili sisi hapa tunae dogo ambae alipewa laki Moja ajifanye msukule Kwa kuhan Musa na tunae hapa na ukitaka nikupe hata namba yake utampigia atakwambia Kila kitu
@trophywilson72112 жыл бұрын
@@husseingabo5497 mmm mkakubali laki moja??
@trophywilson72112 жыл бұрын
@@husseingabo5497 ungesema alipewa milion 10,laki uigize kufa??
@Awatee2 жыл бұрын
@@husseingabo5497 Ajabu tena mtoto wa kiislamu eti yesu wangu msiba mkubwa huu ndugu zangu tusome dini yetu kwa hakika dada angu umekufuru hio ni shrki kwa sababu yesu hawezi lolote bila ya idhini ya ALLAH
@winfridagama58322 жыл бұрын
Kila MTU na Imani yake
@cecygeorge44432 жыл бұрын
Ruwa nawainenge pfinya lanye.na mtumishi wa Mungu Kuhani Musa Mungu akulinde na kukubariki dadyyy
@djumazuena522 жыл бұрын
AMEN AMEN AMEN
@fahauesau3667 Жыл бұрын
Asante bwanay
@RodahDiwege-gt9pk Жыл бұрын
Nilizan alizikwa
@atamediatz11392 жыл бұрын
Mungu wa Mbinguni aishiye Milele uso wake ukaende nanyi..
@FaridahMouhamed Жыл бұрын
Mungu Mkubwa
@giftpamelagiftpamela44942 жыл бұрын
Waaaah watu wanadhambi sana sio wote wana roho nzuri jamani
@magrethmollel10782 жыл бұрын
Wamejuaje kama kama alikuwa humo bandani
@kilonzokallage61592 жыл бұрын
Kweli maajabu ,aliekuwa anamnyoa msukule ndevu ni nani
@uchebechebe86532 жыл бұрын
Hawa wanaleta mzaha na Mungu,yani me mpk roho inaniuma jinsi unvyoona watu wakichinjwa Kwa Kisu butu😂😂😂alafu mwanahabari anajifanya Kama hajui kitu yaniii
@uchebechebe86532 жыл бұрын
Ipo siku Ukweli utajitenga na Uongo,... Daima hviambatani kati ya Maji na mafuta ya taa.... Yaani kweli kabisa mtu awekwe msukule then akule matunda....aaah ...hakika Msukule hali matunda
@annastanciaakoth25882 жыл бұрын
Mimi niko Kenya,ni sehemu gani kanisa lilipo natamani kufika huko nikutane na Mtumishi wa Mungu jamani
@neemawidisony59032 жыл бұрын
Daresalam karibu
@annastanciaakoth25882 жыл бұрын
@@neemawidisony5903 nikifika Dar nachukua daladala ya kwenda sehemu gani na nauli sh.ngapi za Tanzania?
@allymwakibinga4422 жыл бұрын
Dare salaam ,kimara temboni
@annaakwilini2446 Жыл бұрын
Dar es Salaam eneo linaloitwa Kimara Temboni karibuni sana
@margarethsaramaki39662 жыл бұрын
Amen Amen mama🙏🏼🙏🏼
@babievicta31492 жыл бұрын
Mungu nimwema
@RodahDiwege-gt9pk Жыл бұрын
Ila MUNGU anamtumia huyu baba
@agathemilulu6573 Жыл бұрын
Mungu nimwema kilasiku
@veronicamillinga Жыл бұрын
Amina Baba fichua nakaa familia yetu
@officialglorymichael7782 Жыл бұрын
Amen kweli mungu mwema
@afamefunaokeke69662 жыл бұрын
wapigweeee
@ev.walterkalenga97832 жыл бұрын
What is a msukule,,?
@uchebechebe86532 жыл бұрын
Msukule Can u say that is a people live like a die...am not sure if am light with ma broken lnguage
@kautharkayu6326 Жыл бұрын
Good bless
@kinggidion68332 жыл бұрын
Mung wa kuhani musa anatisha
@astelliaadrea54782 жыл бұрын
We mungu tuhurumie wanadam
@bernadetakadyi3955 Жыл бұрын
Achen Mungu aitwe Mungu
@DorikaDorika-ct7fp4 ай бұрын
Kamikazi
@kkjustn83852 жыл бұрын
Mungu ni mwema sana sana
@costavalenci76992 жыл бұрын
Hamueleweki
@gloryisrael.72122 жыл бұрын
Jamani naombeni namba za kihani
@valcomangapie8590 Жыл бұрын
Ngome ya YESU kimara temboni ndo habari ya mjini
@allymwakibinga4422 жыл бұрын
Duh, Bwana utuhurumie
@onedaymandando52252 жыл бұрын
🙏
@worldinternationalgospelmi49072 жыл бұрын
Amen
@esthersifa79952 жыл бұрын
Amen amen
@anethkiritha69332 жыл бұрын
Nami naamini wapendwawangu waliouwaa na watesiwangu watafufuka
@chazi1362 жыл бұрын
Mngu azid kukutumiya kuvunja nguvu zotezakichawi
@esthersifa79952 жыл бұрын
Yesu kristo ana nguvu kweli kweli
@dianeuwasee65232 жыл бұрын
Munipatie number ya watsap
@shilaggg5978 Жыл бұрын
mungu ni mwema
@trophywilson72112 жыл бұрын
Pole
@sweetletmushi28012 жыл бұрын
Yesu tusaidie
@fatmaomary39812 жыл бұрын
Nipo Omani Nawapenda sana
@maglenakessy21462 жыл бұрын
Tunatamani sana kuhani musa uje Moshi tunahitaji sana uponyaji baba.
@dianamdaku98022 жыл бұрын
Oooh GOD😢
@blandinamalenda89682 жыл бұрын
🙏🙏🙏🙏
@uchebechebe86532 жыл бұрын
Msukule Kwanza hauongei,pile hauwi na hali ya kibinaadam hata ikitokea umepatiwa dawa kwa haraka....Miaka 12,Msukule huo msukule wa aina gani 😆 aaaah bhas jamani inatoshaaaaaaa
@lizlovedbyGod2 жыл бұрын
Kitu gani kinashindikana mbele zake Mwenyezi Mungu? Mungu akifungua kinywa chake anaweza akaongea. Hivi unamwona Mungu ni mdogo sana hawezi kutenda miujiza kama haya? Basi hujamjua vizuri. Huyu Mungu njia zake na mawazo yake sio kama ya mwanadamu.
@newtonsamwel77902 жыл бұрын
@@lizlovedbyGod .achana na wachawi hawo mana wanavyoumbuliwa wanahasira sana hawajui Mungu ni zaidi ya kila kitu
@RodahDiwege-gt9pk Жыл бұрын
Huyu hakufa amepotea TU
@RodahDiwege-gt9pk Жыл бұрын
Bhana kuhani MUNGU amguse atoe waliyokufa wapigwe wanga