No video

NILITENDWA NUSURA NIPOTEZE MAISHA|NILIACHIWA URITHI NA BIBI WA KIZUNGU|NILIFELI FORM 4 SASA NINA PHD

  Рет қаралды 61,724

Official Dating Assistance

Official Dating Assistance

Күн бұрын

Safari ya Dr. Beatrice kuanzia maisha yake kutoka Musoma mpaka kufika Dar e salaam
Hakupata matokeo mazuri kidato cha nne lakini aliweza kujifikisha UK kwaajili ya masomo na sasa ana PHD.
Nia yake ya kuanzisha NGO kwa lengo la kusaidia watoto Tanzania iligeuka kua kizungumkuti kilichompa maumivu mengi na kushtakiwa mahakamani.
Kesi iliunguruma takribani miaka 2 ambapo aliowaamini kufanya nao kazi walikua wanawaza kupiga pesa tu.
Mahusiano yake na mtanzania mwenzie aliewachanganya na kufikia kupata msongo wa mawazo na kuharibu afya yake na kupelekea kuishia kwenye coma nusura apoteze maisha.
Bill Gates alimuandikia email wafanye wote kazi na mpaka sasa anafanya kazi na Bill Gates foundation
Instagram yake angelstwinstz
Thank you Beatrice for allowing this to be online
www.oda.international

Пікірлер: 302
@OfficialDatingAssistance
@OfficialDatingAssistance 4 ай бұрын
Instagram yake ni @twinsangelstz muandikie dm atakujibu
@marthandenuka7903
@marthandenuka7903 4 ай бұрын
Asante sana Shena ntamwandikia.
@HefsibaDavid
@HefsibaDavid 7 күн бұрын
Mbona simpati hiyo account haipo jaman
@SalimTiger-bz7xk
@SalimTiger-bz7xk 3 ай бұрын
Waw nimeipenda story imeniweka very active She make my Day Dar Beatrice naomba no yako mimi nipo uk na nipo very interesting abouts charity & helping people I owned a Big company
@Marymrisho
@Marymrisho 3 ай бұрын
Nisaidie na mm
@graceandrew3988
@graceandrew3988 5 ай бұрын
Hongera sana kwa ujasiri wa kusaidia hao watoto,pole kwa misukosuko ila Mungu hatakutupa.Usikate tamaa Beatrice hakuna mafanikio yasiyokuwa na changamoto...ubarikiwe kwa moyo wako wa upendo.Mwamini Mungu siku zote
@hellenmwasalwiba6555
@hellenmwasalwiba6555 4 ай бұрын
Beatrice, napenda sana jinsi unavyomjua Mungu na jinsi unavyotembea na Yeye katika kila jambo. Nakushukuru sana kwa kuzungumza kwa uwazi, na nimejifunza mengi kutoka kwako. Mojawapo ya mambo muhimu niliyojifunza ni umuhimu wa kuwa focused, uaminifu, bidii, ya kazi na kuwa karibu zaidi na Mungu. Asante kwa kuwa mfano wa kuigwa kwenye hayo.
@florakidamwina7516
@florakidamwina7516 5 ай бұрын
Dada Beatrice hakika story yako imenifunza mengi sana mwenyezi Mungu akubariki sana kwa moyo wako wa imani.
@sophiarwehumbiza209
@sophiarwehumbiza209 5 ай бұрын
dada Beatrice pole kwa changamoto zote yaan kwa mawazo yangu yaan sijui ni mimi ninayeona yaan watu wa sikuizi ni wabinafsi mno mpaka makanisan wanajiangali wao nafamilia zao wewe mungu kam mungu amekupa moyo wa kusaidia saidia endelea na maisha Mungu atakusaidia badae
@hildajoel5
@hildajoel5 5 ай бұрын
Bongo watu wnaendekeza njaa ndio maana tunakufa maskini😢😢 Una moyo wa kipekee sana Beatrice
@SeleineMyeya
@SeleineMyeya 5 ай бұрын
Dada Beatrice hongera kwa history ndefu nzuri na za kutia moyo sana mimi nahitaji mawasiliano ya email yako nina ndoto ya kuanzisha Ng'o ya kuwasaidia wazee ambao mara nyingi wanamatatizo ya kupata huduma za matibabu ingawaje serikali inasema inatoa matibabu bure kwa kweli wanapata shida sana.
@Bifa_2024
@Bifa_2024 5 ай бұрын
Congratulations dada Beatrice nimevutiwa sana historia yako especially kwa upande wa shule natamani mabinti tungejifunza kwenda kusoma zaidi na kuweka kupata financial freedom men will find you up there!
@selahkitchen2022
@selahkitchen2022 2 ай бұрын
Interview nzuri mnomno. Nimejifunza mengi mnoo. Hizi interview ni zaidi ya ticket ya ndege. Yaani kama uko na sikio la kusikia basi unawezajikuta umesafiri nchi nyingi sana kwa kulipia bundle tuu pasipokupanda ndege. Hongera Shena kwa kazi hii nzuri
@amourmtungo623
@amourmtungo623 5 ай бұрын
🤔Tumetokana na vizazi, kasoro na malezi tafauti. Wazazi wetu wengi nchini Tanzania upeo wao ulikuwa ni mdogo sana kuhusu maisha. Halafu pia mifumo yetu ya skuli lazima ibadilike ili kwenda na wakati uliopo. Wazazi wetu ni maskini lakini sio busara sisi wenye mtazamo tafauti kufa maskini. Tusiwalaumu wazazi ispokuwa sisi sasa tulioko nje ya nchi tufanye mabadiliko ya wenzetu Watanzania, familia zetu na marafiki. Hakuna ubishi kusafiri nje ya nchi ni somo zuri sana wengi watakaokosa fursa hii hawatajua faida na hasara zake. Asanteni kwa mchango wenu na hasa Shena unafanya kazi nzuri hongera🤝.
@OfficialDatingAssistance
@OfficialDatingAssistance 5 ай бұрын
Ahsante sana 🙏Karibu pia
@mosialice9305
@mosialice9305 5 ай бұрын
Nahitaji urafiki na huyu dada. She's Godly, kanivutia. Natamani ukaribu nae kwa ajili yangu na wanangu. Ni mwalimu mzuri sana.
@SikudhanMustafa
@SikudhanMustafa Ай бұрын
L L
@vasudepika4521
@vasudepika4521 5 ай бұрын
I do appreciate this program, as they are opening out eyes as many we are working we don't know what is in the world. But you get a chance to learn how the world goes on. Honestly we are learning a lot as also in international marriage we desire .
@OfficialDatingAssistance
@OfficialDatingAssistance 5 ай бұрын
Thank you very much, I really appreciate your comment 🙏 bless you
@Joliegal834
@Joliegal834 5 ай бұрын
Hii story ya huyu dada kifup chake ukimtumikia Mungu au kuwa karibu na Mungu kuna faida kubwa sana kila jambo linaenda kiuwepesi sana😊
@OfficialDatingAssistance
@OfficialDatingAssistance 5 ай бұрын
Well said Mungu ni mkuu 🙏
@joycechibindo534
@joycechibindo534 5 ай бұрын
You have a big heart. It's not easy with today's world.
@SawayaNm
@SawayaNm 5 ай бұрын
I got a friend like her, she is not very good narrator! I almost get negative energy listening to her! But I took my patience like Sheinnah! Mimi na yeye, we are twins when comes to kids! She said something my kids say to each other “sharing is caring”. Most of topics when she talk about kids, I can tell if she is mom or not! You nail again Sheinnah! But always remember we are not the same no matter what! Not everyone can be patient like you listen to people life stories! Good job again 👍🙌😊
@charleskuyeko4400
@charleskuyeko4400 5 ай бұрын
Nimefurahishwa sana na story ya huyu Dada. Kwanza nampongeza kwa juhudi zake za kutafuta elimu tangu utotoni. Na pia nimpongeze kwa kumshika na kumtegemea Mungu. Tuna mambo mengi sana ya kujifunza kutoka kwenye ushuhuda huu ikiwa ni pamoja na kumwamini na kumtegemea Mungu. Sasa nina ushauri mmoja tu kwamba pamoja na huruma alizonazo huyu Dada lakini anapaswa kudai fidia kwa watu waliokusumbua mahakamani bila kujali kwamba unahudumia jamii duni isiyovutia wengi kusaidia. Najua utasema unasamehe lakini kwakweli walichokufanyia pamoja na mawakili wako waliokusaliti ni kitu kibaya sana. Mwenyezi Mungu akubariki na kukutunza wewe na familia yako.
@graceandrew3988
@graceandrew3988 5 ай бұрын
Nimekupenda kwa kushikilia imani yako ya dini,big up
@graceandrew3988
@graceandrew3988 5 ай бұрын
Wooh I know those fathers hapo UDSM enzi hizo,Fr.Mogella na Fr.Mbiku (R.I.P) Mungu awabariki kwa kuku guide
@leahenockmrina5381
@leahenockmrina5381 5 ай бұрын
Asante sana Beatrice ni mwanamke shupavu hodari mpambanaji mwenye upendo na kujari wengine na mcha Mungu
@Ericzdeking24
@Ericzdeking24 5 ай бұрын
Watoto kulelewa familia tofauti baada ya wazazi kufariki si kitu kizuri.Nimeona kwa rafiki yangu wa karibu.
@surusuru1994
@surusuru1994 5 ай бұрын
🤗hapo nakusampot sister ata mee nilivokuwa darasa 3niliwahi vikiria vitu vikubwa ila sikuwahi adisia naleo nimefanikiwa kujega naile sehem nilio iwaza ndo nilipo ila naogopa kuolewa bali na hom nashidwa kiukwli ilove Tanzania saaan❤
@kristophermassawe5820
@kristophermassawe5820 5 ай бұрын
Madam Beatrice congratulations, personally I'm impressed with your whole story. Keep it what you are doing.
@victoriamchome9679
@victoriamchome9679 4 ай бұрын
Mpaka hapo nimejifunza mengi sana kutoka kwako nataman nikutane na wewe, Hongera sana Bite.God be with you always.
@ghaosalsalum
@ghaosalsalum 5 ай бұрын
Hongera sana dada wewe una mungu na zidi kumtumikia mungu
@mariamsamson2679
@mariamsamson2679 5 ай бұрын
Asante dada kwa elimu nzuri uliyotupatia,ningependa unisaidie mawasiliano ya dada beatrice
@samtushi1759
@samtushi1759 5 ай бұрын
Napenda sana this channel kina mafunzo mazuri. Naomba hiyo link ya medicine courses
@rosiehayatta2619
@rosiehayatta2619 5 ай бұрын
Hiyo will angekuwa amepewa Nigeria wallah asingewapa inawezekana hawakumjali ndio maana wengine wanaacha mali kwa Charity au paka. Ungepewa sawasawa na hao kuna kitu kibaya watakuwa walimfanyia she never received love from them
@evelynekabaka7405
@evelynekabaka7405 3 ай бұрын
Nimekupenda Beatrice,ninaomba unitafute ni mchungaji mama niko Dar Tz.
@shamimukanju8402
@shamimukanju8402 5 ай бұрын
Hongera Beatrice nimekupenda umeongea mambo mzr
@geraldmanoti1716
@geraldmanoti1716 5 ай бұрын
Hongera kwamapambano, Mama Maria mamayake YESU KRISTO, Alikusimamia.
@kevinmary7129
@kevinmary7129 5 ай бұрын
Sema inner voice not inner parts 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@kevinmary7129
@kevinmary7129 5 ай бұрын
Mkikaa nje inakuwa extremely feminist magaid na wakolofi sanaaa ingawa kuna Gaidi pia tamaduni zetu sio nzuri sanaaaaaaa mara wakolofi wote wanawake na wanaume
@kevinmary7129
@kevinmary7129 5 ай бұрын
Hiyo attitude yours is ours and zako ni zako ni more than devil mindset 100% acha ukorofi
@MohamedSarahani-gk6jx
@MohamedSarahani-gk6jx 5 ай бұрын
​@@kevinmary7129o
@neemasalema1546
@neemasalema1546 5 ай бұрын
Dada Beatrice nimekupenda sana nimekusikiliza muda hapo kwenye kumerch ndio penyewe upate watu wakufanana na wewe hata asilimia 80% kama huwezi kupata 100% . Ila naamini sio rahisi bila Mungu ni ngumu sana Bwana Yesu akupiganie sana nimekupenda sana ningependa sana kuonana na wewe.
@jackbahizire5214
@jackbahizire5214 5 ай бұрын
Dada shena, hongera kwa kazi kubwa unayo ifanya kwa kuelimisha jamii. Beatrice ,Robby wa Devota Live channel ni wapambanaji kweli.
@OfficialDatingAssistance
@OfficialDatingAssistance 5 ай бұрын
Shukran dear
@user-bi1lb5ry5e
@user-bi1lb5ry5e 5 ай бұрын
This is a very nice story and educational. Bravo Beatrice. Keep up.
@josephkmarwa7425
@josephkmarwa7425 5 ай бұрын
Hongera..sana..umewainua..wanawake..wamara..kwa .msimamo..wakumbuke .wakurya..wanawake..uwainue..kifikira.🙏🙏🙏
@saida5091
@saida5091 5 ай бұрын
Da Beatrice nimekupenda sana……❤❤❤
@jesuspower2390
@jesuspower2390 5 ай бұрын
she is very bright ...i like u Beatrice
@Renatusmgusii
@Renatusmgusii 4 ай бұрын
Beatrice hii clip yako ni very educative. Nimesikiliza na nitawashirikisha wanangu. Vitu 3 vizuri sanà ambavyo vijana wanaweza kujifunza. Kumwamini Mungukwa dhati, kuwa na vision na kufanya kazi kwà bidii. Pole kwa yaliyokukuta. Watanzania tuna tabia za ajabu sana. Watu tunafikiri hela zinapatikana kirahisi. Na vijana wanafikiri kupata fedha haraka hàraka. Hii clip ni darasa zuri sana. Mungu akusimàmie na uendelee kujitolea. Mwezi Januari jamaa yangu alipoteza watoto 2 kati ya 3 waliozaliwa kwa mara moja ( triplets) iliniuma sana.
@beatricemachota8017
@beatricemachota8017 4 ай бұрын
Sad indeed...... Nyumbani Multiple birth under 5 years wanakufa sana, tena kwa magonjwa ambayo yangeweza kutibika 😩 Poleni sana Watoto wapumzike kwa amani 🙏
@jennifersongani2734
@jennifersongani2734 5 ай бұрын
Ni kweli Beatrice Mungu siyo mchoyo,uumpa kila mtu aja ya moyo wake.
@maria_mutondioriginal5
@maria_mutondioriginal5 4 ай бұрын
Nimempenda ana confident na anampenda Mungu sana which is very good 👍
@user-gj9yw1nj2h
@user-gj9yw1nj2h 5 ай бұрын
Congrats ❤ you made me feel good because I have the situation like yours
@eliasharun3273
@eliasharun3273 5 ай бұрын
Tunashukuru sana dada kwa hiki kipindi,kinatupa exposure nasisi tuliopo nyumbani Africa
@OfficialDatingAssistance
@OfficialDatingAssistance 5 ай бұрын
Nashukuru kusikia 🙏
@user-bq2pq7sh5r
@user-bq2pq7sh5r 5 ай бұрын
Pole sana, Ubinadam kazi, ila waaminifu wapo sema Bado hujakutana nao
@joycechibindo534
@joycechibindo534 5 ай бұрын
Great heart. Also don't forget to tell us about Bilgetes
@eliasharun3273
@eliasharun3273 5 ай бұрын
Aludi alikotoka,hajamaliza kazi,imenigusa sana kwa matendo makuu ya Mwenyezi Mungu.
@nureyna629
@nureyna629 5 ай бұрын
Jamani nimeijua jana hii channel, tokea jana mimi ni kusikiliza tuu stori, jamani najifunza sana, asanteni sana nyoteee😊
@OfficialDatingAssistance
@OfficialDatingAssistance 5 ай бұрын
Enjoy and learn dear Share na wengine wajifunze pia 🥰🥰 Karibu sana
@nureyna629
@nureyna629 5 ай бұрын
@@OfficialDatingAssistance kwakweli❤️
@elizabethbuchebuche5553
@elizabethbuchebuche5553 4 ай бұрын
​@@OfficialDatingAssistanceniunganishe na huyu dada ili nikafanye kazi huko
@user-kr2yk6gn4q
@user-kr2yk6gn4q 5 ай бұрын
Safi sana da Beatrice
@liannsambu7264
@liannsambu7264 5 ай бұрын
Great story ,na inafunza sana sema Kuna sehemu nlikuwa nashindwa kuelewa hope ni ishu ya communication na msimulizi wetu MZURI anastory nyingi anataman kueleza VYOTE Kwa muda mfupi 😂
@blandinamwarabu5025
@blandinamwarabu5025 5 ай бұрын
Hongera sana mjita😂wasu
@user-xn8jh1yw1h
@user-xn8jh1yw1h 5 ай бұрын
Pole sana Madame.Beatrice.
@joycebenjamin6017
@joycebenjamin6017 5 ай бұрын
Hongera sana shena kwa interview nzuri,mie napenda kulea wazee lkn Mungu atafanya jambo.
@OfficialDatingAssistance
@OfficialDatingAssistance 5 ай бұрын
Pole, jifunze japo kwa uchache
@user-lp9uc1uw7v
@user-lp9uc1uw7v 5 ай бұрын
Pole sana kwa yaliyokupata...ila usikate tamaa endelea kusaidia akina mama wenzetu wenye uhitaji. Barikiwa sana.
@sifunimashambo6758
@sifunimashambo6758 5 ай бұрын
Mimi nimekukukubali sana my sister halafu sitory yako naisikiliza mara nyingi sichoki
@zawadielgasper8804
@zawadielgasper8804 5 ай бұрын
Beatrice nakukumbuka tuliishi wote chuo,tulisoma wote mlimani primary school . I remember father mbiku, and mogela (Rip) father mbiku alikuwa mkali mno ila ametusaidia sana,mmmh Beatrice pole na hongela kwa kujaribu.
@beatricemachota8017
@beatricemachota8017 5 ай бұрын
Sure, ukali wake ulikuwa na faida kubwa sana.....May his soul continue to rest in peace 🙏
@thobiethalibutu1465
@thobiethalibutu1465 5 ай бұрын
Hi Dr Beatrice, Thank you for allow your experience to reach us. Dear Shena, please know that, I learn every time when I reach this platform. God bless you.
@OfficialDatingAssistance
@OfficialDatingAssistance 5 ай бұрын
Thank you, I’m very humbled.. 🙏 Please share with others to subscribe wasipitwe na elimu 🙏🙏
@jareengeorge5478
@jareengeorge5478 5 ай бұрын
Da bite Mimi mwenyewe napenda Sana kuhudumia watoto.kama kituo kitakua tayari plz naomba nipate nafasi hapo.ninahofu ya Mungu pia. Mungu akutie nguvu kwenye kazi zako
@GODisable7573
@GODisable7573 5 ай бұрын
She is very smart,
@rosiehayatta2619
@rosiehayatta2619 5 ай бұрын
Am watching from Dar es Salaam i like this sight and am following. Keep it up Shena
@OfficialDatingAssistance
@OfficialDatingAssistance 5 ай бұрын
Thank you 🙏
@veronicawilsonmbwambo1054
@veronicawilsonmbwambo1054 5 ай бұрын
Hongera sana unapenda Mungu endelee hivyo2
@ghaosalsalum
@ghaosalsalum 5 ай бұрын
Umenishajihisha sana dada mungu akubariki
@lucykangwa8657
@lucykangwa8657 4 ай бұрын
Shena ur work is so awesome...mimi ni mtanzania but nimeishi Zambia for a long time...u are so humble dada wetu...mungu akubariki...iam so impressed with Beatrice interview and really appreciate her advise towards hard work ... kindly help with any links for university in Scotland ...or any university in the uk....
@OfficialDatingAssistance
@OfficialDatingAssistance 4 ай бұрын
Shukran Lucy Karibu sana kwa kipindi kushare maisha ya Zambia +4367764790884 Pia kuhusu beatrice unaweza mcheck instagram @twinsangelstz
@judithawadhi3510
@judithawadhi3510 5 ай бұрын
Hongera sana Dada B.
@user-ty1tp8ly8q
@user-ty1tp8ly8q 5 ай бұрын
Umeongea vzr Sana dada nyumban ndio tatizo .hawajui mm nipo oman lkn cha moto nakiona nyumban.m.mungu hatulinde sana
@zulekhasaud483
@zulekhasaud483 5 ай бұрын
Nimecheka kwa sauti na mie nipo omani 😂hapo unapokiona cha moto mie ndio wanivunja mbavu
@user-ty1tp8ly8q
@user-ty1tp8ly8q 5 ай бұрын
@@zulekhasaud483 cha moto htr usicheke oman shikamoo
@user-qi4hn8lq1f
@user-qi4hn8lq1f 5 ай бұрын
Yani mwenyew niko Omani ila chamtema kuni nakuona😂😂 mgongo nakiuno avina kazi
@OfficialDatingAssistance
@OfficialDatingAssistance 5 ай бұрын
Wapenzi wa Oman karibuni sana kwenye kipindi pia +436764790884
@emmatryphone6921
@emmatryphone6921 5 ай бұрын
Mwanamke jasiri. Endelea Kupambana na Hongera sana.
@beatricehenry6776
@beatricehenry6776 5 ай бұрын
Nimempendaje Beatrice wa Jina?Barikiwa Beatrice
@carolineoyieko4791
@carolineoyieko4791 5 ай бұрын
Kazi nzuri hiyo ya kusaidia watu wasiojiweza,,karol kutoka kenya,Lagcachildren
@OfficialDatingAssistance
@OfficialDatingAssistance 5 ай бұрын
Ahsante Karol, na hongera kwa kazi nzuri
@judithawadhi3510
@judithawadhi3510 5 ай бұрын
Kuna kuanguka inuka tena ,Ahsante saaana kwa hii kauli
@olivernyange2349
@olivernyange2349 5 ай бұрын
Beatrice uko vizuri
@user-jf1xx1hy2b
@user-jf1xx1hy2b 5 ай бұрын
At least leo tumepata mwanamke anaejielewa hongera dada
@sekikigosi8265
@sekikigosi8265 5 ай бұрын
Nimependa hii interview.Inafundisha sana.
@blessedaggie9159
@blessedaggie9159 5 ай бұрын
Jamani tamaa mbaya sana. Ndo maana Africa hatuendelei
@papamrte1949
@papamrte1949 5 ай бұрын
Asante Dada shena utakija n'a kwangu From Paris
@OfficialDatingAssistance
@OfficialDatingAssistance 5 ай бұрын
Shukran sana, Naomba tuyajenge +4367764790884
@nicedavid8536
@nicedavid8536 5 ай бұрын
Story nzuri,mtoto wa Bunda😊
@pendokissatu937
@pendokissatu937 Ай бұрын
😢ukiwa Na Moyo Mzuri watu wengi wanakuchukulia Advantage Mungu Azidi kukutunza Dada B ❤
@user-lp9uc1uw7v
@user-lp9uc1uw7v 5 ай бұрын
Hongera sana. Big up kwako .
@ramadhanseleman6051
@ramadhanseleman6051 5 ай бұрын
Jaman nimeipenda sana hii habar
@IsaackTiibuza
@IsaackTiibuza 4 ай бұрын
Batrice unapaswa kuwa mfano wa kuigwa na jamii,hongera Sana!
@annatemu4488
@annatemu4488 5 ай бұрын
Mahusiano ya kibongo jamanii🙌🏻🙌🏻
@user-xn8jh1yw1h
@user-xn8jh1yw1h 5 ай бұрын
Malkia wa Nguvu Murah! By the way, wewe ni Mtani wangu. Congrats.
@dn.n4983
@dn.n4983 5 ай бұрын
Ubarikiwe wote tufanye hiyo kweli akosti kitu ni maamuzi tu
@damariszuckschwert9489
@damariszuckschwert9489 5 ай бұрын
Kweli hapo kwa malezi wazazi wengi tunakosea sana sana. Mungu atusaidie.
@neemamassame8183
@neemamassame8183 5 ай бұрын
Wewe dada Mungu akubariki sana.
@deusdeditsimba4452
@deusdeditsimba4452 5 ай бұрын
ENGLAND,NORTH IRELAND, SCOTLAND, WALES (THAT UNITED KINGDOM)
@beatricemachota8017
@beatricemachota8017 5 ай бұрын
Absolutely 🙏
@fatmaalbeity9097
@fatmaalbeity9097 5 ай бұрын
Mbona wabongo muko hivyo kufitiniana huko London kazi ni hiyo wanafitiniana sana mpaka kusababisha wenzi wao kuwa deported
@edwardkasubi5135
@edwardkasubi5135 5 ай бұрын
Ni kweli hilo ni dhaifu letu kubwa mno ila Tunamshukuru sana MUNGU kutuepusha na UKABILA
@majabumbaga2349
@majabumbaga2349 5 ай бұрын
Sio London peke yake kufitiniana.Marekani pia
@abdifaraji2883
@abdifaraji2883 5 ай бұрын
Ukabila bado upo, usidanganyike.​@@edwardkasubi5135
@milkamugonya1275
@milkamugonya1275 4 ай бұрын
A​@@majabumbaga2349
@user-yf5gd5zz8p
@user-yf5gd5zz8p 4 ай бұрын
Huyo nduo ujanja wa wabonĝo Wanafitna saana ulaya na kusema uongo ila mungu anawaona na analipa hapa hapa Nawaokopa sana tena sana kila aina ya fitna wa nayo kubwa sana ila ndio maisha yawo tena wengi ni wanaume ndio wanatabia hizo Ukimkaribisha kwako kama uko na mke juwa kwamba umebomowa ndoa yako Kwa ujumla tuko na roho chafu saana ila mtowaji ni mungu basi
@MariamFrank-vm4nc
@MariamFrank-vm4nc 5 ай бұрын
Nimeshakuwa adicted na hii program yako
@OfficialDatingAssistance
@OfficialDatingAssistance 5 ай бұрын
Thanks 🙏
@zulekhasaud483
@zulekhasaud483 5 ай бұрын
Wajifunza mengi
@neemaseiler1122
@neemaseiler1122 5 ай бұрын
Interview nzuri sana😊
@MartinaItina
@MartinaItina 5 ай бұрын
Nice more than nice ,nimejifunza mengi
@robbyissack8575
@robbyissack8575 5 ай бұрын
Nimempenda sana huyu dada
@joycebosire3434
@joycebosire3434 5 ай бұрын
Habari Shena, thank you very much. This interview was very productive, dada kaonga vitu vizuri sana. Kikubwa zaidi nikupongeza yani unautukivu wa hali ya juu unamuacha mtu anaongea mpaka anamaliza point zake sio chanel zingine ni makelele mtu hajamaliza kuongea point kasharukia kati anauliza kitu kinge ne anampele mbele mara anarundisha nyuma, halafu wanaweka ule muziki wa back ground yani inakuwa too much. Mungu akubari kwa kweli unaelimisha wengi mmoja wao mimi. Soon nitajiunga kwenye group lako la ODA. SHUKRANI BARIKIWA.
@OfficialDatingAssistance
@OfficialDatingAssistance 5 ай бұрын
Shukran sana Barikiwa pia.. Ahsante
@user-vr7ou4xe2q
@user-vr7ou4xe2q 5 ай бұрын
​@@OfficialDatingAssistancesorry ilo group la ODA unajiungaje?
@liannsambu7264
@liannsambu7264 5 ай бұрын
Hao ndo WATANZANIA DADA ,WENGI WAKO KWENYE VITU NA SIYO UTU ,WENYE UTU LABDA ENZI ZA MWALIMU NA MWINYI NJE YA HAPO WENGI NI MAKANJANJA , HATA WAKINA WALE WAZURI WANAHARIBU SIFA
@mussamazoya7994
@mussamazoya7994 5 ай бұрын
Asante sana naomba link ya vyuo hapo Scotland nina kijana wangu hapa tuone Tunafanyaje
@MadinaMalk-yd6kp
@MadinaMalk-yd6kp 5 ай бұрын
Nice interview da shena na da Beatrice 💐
@niwaelmburuja2056
@niwaelmburuja2056 5 ай бұрын
Beatrice, nakubali wewe ni wa pekee! Elimu uliyotoa hapa ni hai na itaendelea kubariki wengi. ASANTE SANA.
@beatricemachota8017
@beatricemachota8017 5 ай бұрын
Mungu ni Mwema🙏
@yusrasalum
@yusrasalum 5 ай бұрын
Huyu dada kajieleza vizuri pokea 💐 shena leo alikua msikilizaji 😅
@magrethmanintveld5477
@magrethmanintveld5477 5 ай бұрын
Yaani kama umeniona mimi nyumbani wsnatusumbua sana
@alnodamwasaka7632
@alnodamwasaka7632 5 ай бұрын
Nice interview ❤❤❤
@MagdalenaNnko
@MagdalenaNnko 5 ай бұрын
Hongera sana dada
@SM-fu1yv
@SM-fu1yv 5 ай бұрын
Ni kweri unayo yasema hapa uingereza bize hamna muda wa kuzungumza umbea na madeni ni mengi stresssss nyingi sana
@mosialice9305
@mosialice9305 5 ай бұрын
Kanibariki sana.
@sherry7339
@sherry7339 Ай бұрын
Aisee Mungu akutunze sana maana huo mtiti wa kukosa uaminifu naujua
@IbrahimMohamedally
@IbrahimMohamedally 5 ай бұрын
Charity yako da'da Beatrice uko upande gani kigamboni
@beatricemachota8017
@beatricemachota8017 5 ай бұрын
Mahenge
@hadijamodestar4387
@hadijamodestar4387 5 ай бұрын
Nimekuskiliza kwa makini sana nina ndoto ya kuja huko mda mrefu dada naomba mwongozo namna ya kufika huko nahitaji kazi hata ya kulea hao wazee
@beatricemachota8017
@beatricemachota8017 5 ай бұрын
Ndoto bila kuifanyia kazi INAKUFA, ifanyie kazi then nitafute
Everyday life in Kenya's capital Nairobi | DW Documentary
28:25
DW Documentary
Рет қаралды 825 М.
👨‍🔧📐
00:43
Kan Andrey
Рет қаралды 11 МЛН
Meet the one boy from the Ronaldo edit in India
00:30
Younes Zarou
Рет қаралды 18 МЛН
Look at two different videos 😁 @karina-kola
00:11
Andrey Grechka
Рет қаралды 15 МЛН
КАКУЮ ДВЕРЬ ВЫБРАТЬ? 😂 #Shorts
00:45
НУБАСТЕР
Рет қаралды 3,3 МЛН
THE REAL TALK: Je ni Sawa MWANAMKE Kumuomba Mwanaume NDOA?
24:33
Wasafi Media
Рет қаралды 5 М.
WANAUME WA KIAFRIKA KUOA NYUMBANI NA KUWAACHA WAKE KWA KIPINDI KIREFU
1:54:11
Official Dating Assistance
Рет қаралды 9 М.
RAFIKI AKAWA ADUI BAADA YA KUJUA MUME YUPO UK |MTANDAO UNAVYOSAIDIA KUANZISHA MAHUSIANO
1:35:30
KAZI ZA KULEA WATOTO NA KULEA WAZEE UJERUMANI | MAPENZI YA WAZUNGU SIO YALE YA TELEMUNDO
55:20
👨‍🔧📐
00:43
Kan Andrey
Рет қаралды 11 МЛН