Mashaa Allah,Allah awazidishie kutupa mafunzo mazri inshaa Allah
@migenimuse85978 күн бұрын
Masha allah tabarak allah sheikh hiyoo niuqeli allahu akbar
@WahidaAlharthi7 күн бұрын
😂😂😂😂😂❤❤❤❤❤❤. Safii Sana. Bibi aeleza
@ummusulaish55869 күн бұрын
Naona mabadiliko MashaAllah Mungu awafanyie wepes kwenye kaz zenu
@ashaidd29128 күн бұрын
Mashaallah kipindi kizuri sana jmn hd natamani ndoa Allah afanye wepesi
@hadharaally65239 күн бұрын
Ma shaa Allah Allah awabarik ka Toto kanguu ❤❤ ufike mbal nakuona Kwa jicho la mbali sn
@MariamChidi8 күн бұрын
Asant mamy nakupenda mnoo
@nadhifamohammed77498 күн бұрын
Sijachoka kuwasikiliza❤❤
@HI-vn2gx8 күн бұрын
MashaAllah Allah awabariki kila la kheri
@muhammedsaid15657 күн бұрын
Maalim Hassan. Inawezekana kusamehe kabla hujaombwa Radhi, kwasababu ukisema usisamehe huna uhakika kwa kuombwa msamaha, na ukiombwa msamaha leo kesho mtu anarudia tena, ndio maana m2 unahisi bora kusamehe kabla hajatenda kujitoa kwenye msongo wa mawazo
@ashaidd29128 күн бұрын
Mwl Hassan amungu akuweke sana
@Fathasssane-vs2th9 күн бұрын
Mambo moto kwa bibi et mmm,iiiiiiii😂😂😂mwali hassan hongera tunajifunza sana kwako ila wanaume hichi kipindi hawakipendi maan mengi yanawagusa