No video

Njia Nne Za Kutengeneza Pesa (Cash Flow Quadrant)

  Рет қаралды 59,190

Joel Nanauka

Joel Nanauka

Күн бұрын

🔥🔥🔥 Unataka KUJIFUNZA Zaidi? Nenda hapa: joelnanauka.se... 🔥🔥🔥

Пікірлер: 143
@abelmwakalinga2305
@abelmwakalinga2305 5 жыл бұрын
Asante sana Coacher, Mimi nipo upande wa kushoto bado, ndani ya miaka mitano hadi kumi, nitakua upande wa kulia..
@angumbwikemwalupogo8500
@angumbwikemwalupogo8500 6 жыл бұрын
Ahsante brother nimepata kitu, kwa kuwa Mfumo Wa maisha unataka makundi yote 4 ya exist ili maisha yapate mtengamano ni jambo jema kufanya maamuzi ya kuwa employed na Investor. Ama self employed Ku adverse to business owner
@abuuharuna4278
@abuuharuna4278 6 жыл бұрын
poa sana joeli
@salminasalim5630
@salminasalim5630 6 жыл бұрын
Shukran sana, yaani mimi nilikuwa na experience emortional pain, kupitia mambo mengi ya maumivu niliyo yapitia lakini kupitia somo nililoangalia kwenye yu tube nimejifunza mengi and i have to over come my emotional pain accordingly.
@heroes1932
@heroes1932 6 жыл бұрын
Asante kaka kwa elimu utupatiayo mungu akubariki sana
@jacklinemutua416
@jacklinemutua416 5 жыл бұрын
Inshaallah kwa uwezo wa Allah na juhudi zangu nitajiajiri
@gracenyanza432
@gracenyanza432 6 жыл бұрын
asante kaka huu mwaka najiajili nimechoka kuajiliwa mm sio mtumwa wa pesa asant kaka barikiwa san umenifumbua kbs
@swabuldinabdul4763
@swabuldinabdul4763 4 жыл бұрын
Mimi ni BUSINESS OWNER ninamiliki mfumo nilioanza peke yangu Lakini sasa hivi mfumo una Watu zaidi ya 1000 na ndani ya nchi 10 Duniani namshukuru mungu Kama unahitaji Ushauri Njoo nik Ushauri Learn from successful people or from people who have or know what you don’t know or don’t have
@swabuldinabdul4763
@swabuldinabdul4763 4 жыл бұрын
Kama unahitaji msaada wa Ushauri ni buree check on WhatsApp or call +255758112230
@eliamalaki9861
@eliamalaki9861 5 жыл бұрын
Asante sana video hizi zinanifanya bora kila cku
@sebastianmsuya25
@sebastianmsuya25 6 жыл бұрын
Asante sana Joel, niko kushoto ila piga uwa galagaza ndani ya miaka 3 nitakuwa nimetulia kulia
@29WavesTV
@29WavesTV 5 жыл бұрын
Nipo katika upande wa kwanza nimeajirwa na nimeajiri watu kwenyu shughuli zangu .Ndani ya miaka mitano natarajia kujikuta katika upande wa piliI BELIEVE IT'S POSSIBLE!
@aaaavvvv4261
@aaaavvvv4261 5 жыл бұрын
Wao nmengia darasani sasa najifunza tu zaidi
@salomekombo6166
@salomekombo6166 5 жыл бұрын
Aisee tnx broo kwa kunipa mwanga mana nipo upande wa kushoto lkn ndoto yng kubwa niwe invstor asnte kwa somo hil mana nimeingiza kitu
@mbatilombatilo5526
@mbatilombatilo5526 6 жыл бұрын
Pia nimekisoma kitabu kinacho elezea hii kitu, it is one among the best books for me...
@alfredkyalo2739
@alfredkyalo2739 6 жыл бұрын
Thanks sana JOEL kwa kunifafanulia cash flow, coz nimeisoma kwa kiyosaki book bt I didn't understand it deep thanks bro
@chidzykijiji8777
@chidzykijiji8777 6 жыл бұрын
napenda sana kuwe muwekezaji wa hisa hasa katika mitandao
@davidandrew4320
@davidandrew4320 6 жыл бұрын
Asnte sana Kaka Nanauka binafsi Naingiza kipato changu Kwa kuajiriwa..natamani baada ya ktk miaka 10 niingize kipato kupitia Biashara..#mfanya Biashara mkubwa sana...#my mentor
@joelnanauka
@joelnanauka 6 жыл бұрын
David Andrew safi sana,umeshachagua aina ya biashara ya kufanya
@hilalychona9973
@hilalychona9973 6 жыл бұрын
Ila kwa sasa nipo kushoto ila naamini m/mungu nikuwa inshaallah
@salomefrancis4307
@salomefrancis4307 6 жыл бұрын
nashkr kwa somo hili.,,binafsi saiz nipo katka kundi la pili.,,lakn baada ya muda nataka niwe kwenye kund la tatu(business owner). napenda San.
@chiticollemans
@chiticollemans 5 жыл бұрын
you are the best
@deevoice5381
@deevoice5381 6 жыл бұрын
great>>>>100%
@deusmjinja5883
@deusmjinja5883 6 жыл бұрын
Noted
@neemawilson8531
@neemawilson8531 5 жыл бұрын
in five years time nitakuwa business owner n in next five years nitakuwa investor.kwa sasa napata kipato changu kwa kuajiriwa na as business owner but wa kiwango cha chini
@bonfacemasharia5843
@bonfacemasharia5843 5 жыл бұрын
Am Boniface from Kenya,am employed, and I love cars a lot and reggae music,am caught in between these two why?: 1)how can I start to be a musician? 11) is it right to do mechanics,since I love cars? Please Mr Nanauka,I need your help
@hilalychona9973
@hilalychona9973 6 жыл бұрын
Nashukuru sana bro kuna kitu nakiona sasa ktk maisha yangu nafatilia sana page yako
@sodahjohn1513
@sodahjohn1513 6 жыл бұрын
Nilisoma hizo aina za kutengeneza pesa kwenye kitabu cha rich Dady poor dady cha Robert sikuelewa vzr sasa nimepaelewa vzr
@bintkiondo6882
@bintkiondo6882 6 жыл бұрын
dah!!! asnt kaka unagusa mioyo yetuuuu
@sulejureij3799
@sulejureij3799 5 жыл бұрын
Thanks bro, muajiriwa ila soon navuka boda inshallah. Umenifungua akili sana bro, thumb up
@eze9933
@eze9933 5 жыл бұрын
E= you trade ur time for money S= you trade ur time for money B=you have a system in place (people working for you)....you are not selling ur time for money,but rather selling products or service I=this is where u truly have passive income Nmepend xn mafudsho yko mkuu huwa natizama video tu lakin cjawahi comment leo imenibid......lakin naomba namb yko if possible I=
@beatricejoseph2769
@beatricejoseph2769 5 жыл бұрын
for now i am in a left side since nimeajiriwa tuu miezi 5 iliyopita, but i hope when things goes better historia itabadilika
@josephdavid7410
@josephdavid7410 6 жыл бұрын
Asante j.mimi naitwa musa shabahn npo Mwanza hua nakufuatiria sna mafundisho yko na Mungu akubariki sna naomb kujua hiri rifuatalo unakuta mtu anapesa kidogo iwe raki tano &milion moj hapendi kuajilia je huyu mtu atumie njia gani iri atoke kwa maan ukiangaria hiyo pesa nindogo sna kufanya biashala? naomba unisaidie
@joelnanauka
@joelnanauka 6 жыл бұрын
Joseph David hakuna pesa ndogo katika kuanza biashara.Unachotakiwa ni kutafuta kitu sahihi,angalia Ile video niliyoeleza jinsi ya kupata wazo la kufanya biashara
@khalidunited5978
@khalidunited5978 6 жыл бұрын
Joseph David r
@rugembejoel4620
@rugembejoel4620 6 жыл бұрын
Nko upande wa kushoto but baada ya miaka kadhaa nyakua upande wa kulia napenda sana kijiajili
@mobilesolution2413
@mobilesolution2413 6 жыл бұрын
safi sana kaka joel elimu kama hyo na sio kumshawishi boss..! mimi npo kundi la kwanza
@amarsohal2929
@amarsohal2929 6 жыл бұрын
Kwa sasa nipo kushoto ila nataka by december niwe kulia na nazidi kukufatilia teacher tena ningependa kutoa asante teacher JOEL ARTHUR NANAUKA.
@shaloboy3861
@shaloboy3861 6 жыл бұрын
Saa hii ni muajiriwa after 10yrs mungu akinijalia uhai naitaji kua investor
@aminathoya4265
@aminathoya4265 6 жыл бұрын
Sasa hivi nimeajiriwa na inshaAllah nataka baada ya miaka mitatu nimiliki biashara..
@meckiemillz7348
@meckiemillz7348 6 жыл бұрын
im self employed ila njia rahisi na nzuri kabisa ninayo iona ya kuhamia upande wa kulia (huko kwa mamilionea) ni kujihusisha na Network Marketing
@eliudimwigi8368
@eliudimwigi8368 6 жыл бұрын
Kaka Joel Mwanafunzi wako Eliudi Nipo upande wa Kushoto S (SELF EMPLOYED) Baada ya Miaka Mitano na Kuendelea Malengo yangu Thabiti Nitakuwa Upande wa Kulia But Nimevutiwa Sana ktk Upande wa B (BUSINESS OWNER) hapa nimepapenda sana. MUNGU AKUBARIKI SIKU ZOTE ZA MAISHA YAKO HAKIKA UNATUFUNDISHA MAMBO MAZURI SANA.
@francismangula2715
@francismangula2715 6 жыл бұрын
barikiwa mkuu..lakini sauti leo haijawa poa sana inaskika kwa mbali kiasi.
@renatuskahindi8683
@renatuskahindi8683 6 жыл бұрын
mimi ndio kwanza naingia katika upande wa kushoto na nilikuwa nahitaji niweze kufanikiwa kuitengeneza kesho yangu
@godfreykatunzi9680
@godfreykatunzi9680 6 жыл бұрын
Nimejiajirii
@bwiganeafwene1039
@bwiganeafwene1039 5 жыл бұрын
Nimeajiriwa after five year nataka nifungue hospital yangu
@ussikhamisussi4882
@ussikhamisussi4882 6 жыл бұрын
Ahsante sana kwa elimu, kwa sasa nipo ktk upande wa kuajiriwa baada ya miaka 10 mbele najiona mbali sana.
@joelnanauka
@joelnanauka 6 жыл бұрын
ussikhamis ussi safi sanaa
@joelnanauka
@joelnanauka 6 жыл бұрын
ussikhamis ussi hongera kwa kujiona mbali
@ussikhamisussi4882
@ussikhamisussi4882 6 жыл бұрын
Joel Nanauka; ahsante sana.
@frankkristofa5676
@frankkristofa5676 5 жыл бұрын
Thangs friend this is the good and perfect ideas
@livingstonmoshi4319
@livingstonmoshi4319 6 жыл бұрын
Ninamiliki biashara Zang mwenyewe nategemea miaka 3 Mbele niwe mwekezaji nnajifunza sna kwako kk
@justinmmbando5386
@justinmmbando5386 6 жыл бұрын
Nameajiriwa pia namiliki biashara
@joelnanauka
@joelnanauka 6 жыл бұрын
Justine Mmbando naamini una mpango mzuri wa kufanikisha hilo
@homenews-q5o
@homenews-q5o 6 жыл бұрын
Upande wa kuchoto.
@andreamlwafu3844
@andreamlwafu3844 5 жыл бұрын
Mimi nipo upande wa kushoto japo sina furaha na sehemu nilipo ,natamani sana nikipata kucha wa kunisaidia ili niwe upande wa kulia ambao naamini utanirejeshea furaha yangu ambayo ndio asili yangu.
@johnchibanhila1850
@johnchibanhila1850 5 жыл бұрын
Point
@kainibachungege3430
@kainibachungege3430 2 жыл бұрын
Brother Nanaukaa Tunafarijika Sana na Mafundusho Yako. Mi ningependa niwe kwenye kundi la uwekezaji.
@drkimwaga9583
@drkimwaga9583 6 жыл бұрын
kwakwel ni mtu ambye nina doto nyingi ktk maish yang na had saiv nipo upand wa kushot lakn nahc miaka mitan ni ming san nitaingy upand wa kuliya kwa kujituma kwang .naomb tu utakapo ona ujumbe huu nijibu kuna kitabu na kihitaji kutoka kwako baba yang .Have a nice day ,night .
@forgivemoja2216
@forgivemoja2216 6 жыл бұрын
Nimependelea sana jinsi unavyoelimisha jamii. Naomba kujua ni jinsi gani ya kuwekeza kwa hati fungani, na au kuwekeza kwa hisa?
@user-cx5zi1tw1d
@user-cx5zi1tw1d 6 жыл бұрын
somo zuri
@heben3618
@heben3618 4 жыл бұрын
Somo zuri sana
@farajahrogath2506
@farajahrogath2506 6 жыл бұрын
saivi sipo popote ila napenda kutumia hela kuta futa hela nyingine
@alexmanoti8374
@alexmanoti8374 Жыл бұрын
Namiliki biashara
@anandungulu8256
@anandungulu8256 6 жыл бұрын
Mimi nimeajiliwa lakini ndoto yangu kubwa napenda sana kujiajili na lengo LA kujiajili ili niweze kusaidia yatima na wale wenye uitaji.
@googlemapservices1400
@googlemapservices1400 5 жыл бұрын
Asnt kw elim
@johnngongi4810
@johnngongi4810 6 жыл бұрын
Nipo upo upande wa Kushoto!!
@rafaelmwanyila33
@rafaelmwanyila33 5 жыл бұрын
kaka mimi naingiza pesa kwa njia ya kuajiriwa,baasa ya miaka kumi napenda niwe investor kaka,hasa kumiliki taasisi yangu ya elimu.
@thereal_mtangojr2634
@thereal_mtangojr2634 6 жыл бұрын
all employed is poor😂😂
@michaelkessy5740
@michaelkessy5740 6 жыл бұрын
Umenipa mwanga sana na Mimi ni mtu mwenye ndoto kubwa na huwa nayofikiria inakuwa ni sawa na video zako nyingi nakuwa niko sasa na wewe bila kujua najikuta nawaza Kama unavyotupa masomo.... Nimefanya biashara miaka 4 na mwenzangu tunashilikiana biashara nakujikuta malengo ambayo niliojiwekea kichwani kwangu ayatimii....tukabaatika kununua bus na duka la Jumla....nakuona niache kufanya biashara ya kushirikiana na kila mtu awe peke yake..... Nimeshapanga ktk mipango yangu kichwani na kuonyesha njia after 30 year niwe na miliki Trioni moja ya kitanzania or one billion dollars. Nimegundua nilikiwa nakosea ktk formula yako 80/20 rules nilikuwa nikipanga mambo kumi nafanya yote na matokeo yanakuwa 20 percent....sasa nitabadilika na kufanya machache ili nipate asilimia kubwa......
@robertabely5794
@robertabely5794 4 жыл бұрын
michael kessy hongera sana ww uko katk nafas kubwa san, nawaza kujiajili sana napambana lakn wapi, naona sijalenga point husika Nahtaji msaada wako mkuu 0756233379
@noreenrowland6063
@noreenrowland6063 4 жыл бұрын
Nimeajiriwa na mshaara mdogo mno nimeaza kujiekeza next year nijiajir
@mwadumahemmanuel148
@mwadumahemmanuel148 5 жыл бұрын
Nipo kundi namba 1 nimeajiriwa, Na baada ya miaka mitano nataka kujiajiri Na kuwekeza yaaan kutumia hela kuleta hela ushauri please
@jacksonmwanyika5697
@jacksonmwanyika5697 6 жыл бұрын
Joel Mara nyingi wewe na luvanda Mara nyingi huwa mnaishia morogoro huku chuo kikuu tunakuhitaji
@AbdulWahid-hp8qr
@AbdulWahid-hp8qr 6 жыл бұрын
Mm nimeajiriw lakini tataka nijiajiri mwenyewe lakini nafikiria kuw nitaweza kujiajiri mm mwenyew
@bitemwita6809
@bitemwita6809 5 жыл бұрын
sipo upande wowote ila nahitaji kuown business na kuwa mwekezaji lakini nipo kwenye mipango ya mwisho ya kujiajiri kwa sasa ili niweze kuanza
@DRICK-vn3oj
@DRICK-vn3oj 6 жыл бұрын
video zako hazina zauti ongeza sauti
@azizamasoud394
@azizamasoud394 5 жыл бұрын
Am investor
@kassimbakar2780
@kassimbakar2780 5 жыл бұрын
MM NIKO NAMBA MOJA MOJA MKONO WA KUSHOTO BAADA YA MIAKA 7 MUNGU AKIPENDA NATAKA NIVUKE UPANDE WA PILI MKONO WA KULIA KUFANYA BIASHARA
@salya8884
@salya8884 5 жыл бұрын
Joel nko na fanya kazi ya nyumba Oman but Nimenunua shamba Sasa nko na mpango ya kununua bus so ni saidie na mawaida kwa vile na sarary ni 23 thousands ni fanye nn ni make hiyo wazo langu pls nisaidie have nice day
@chinatanzaniabusiness1262
@chinatanzaniabusiness1262 6 жыл бұрын
I really like u bro
@erickmsallenge3724
@erickmsallenge3724 6 жыл бұрын
Somo zuri.....Mimi nipo upande wa kushoto self employee ila najitahidi kuwekeza ktk biashara tofauti ili niweze kuwa upande wa kulia
@joelnanauka
@joelnanauka 6 жыл бұрын
erick Msallenge safi sana,Pambana naamini utafanikiwa
@erickmsallenge3724
@erickmsallenge3724 6 жыл бұрын
Asante sana mkuu...ubarikiwe sana
@felisterfrank9087
@felisterfrank9087 6 жыл бұрын
Asantee
@hadijarashid38
@hadijarashid38 6 жыл бұрын
Kwa sasa ni mwajiliwa na natamani na matumaini kuja kua muwekezaji
@mandyfitnesstv6738
@mandyfitnesstv6738 6 жыл бұрын
Nimeajiriwa Lakini nimeanza juhudi za kuwa mwekezaji
@luccabosslugendo9722
@luccabosslugendo9722 6 жыл бұрын
dah nipo upande wa1 naahukuru nimejtbua mapema
@joelnanauka
@joelnanauka 6 жыл бұрын
Lucca Boss hongera kwa kujitambua mapema
@landscapephotographer8385
@landscapephotographer8385 6 жыл бұрын
Nipo upande wa muajiriwa
@godfreymalima9502
@godfreymalima9502 6 жыл бұрын
Joel huwa unasoma hizi comments? Nijibu tafadhali
@marthajeremiah
@marthajeremiah 5 жыл бұрын
business owner now,then investor
@elizabethemanuel2122
@elizabethemanuel2122 Жыл бұрын
Emproyed bt 10 year I want to be bussine and ivestor
@eliasisaya9273
@eliasisaya9273 6 жыл бұрын
Kwa sasa nimejiajiri lakini nimeweka maleko ya kumiliki biashara siku zijazo
@princessamina5035
@princessamina5035 3 жыл бұрын
Nimejiajiri ila natamani kukua zaidi kibiashara
@realysoud3919
@realysoud3919 6 жыл бұрын
Sasa hivi nimeajiriwa Nataka nimilikibiashara
@dr.amos..ngailomd
@dr.amos..ngailomd 2 жыл бұрын
Employee next 10 years I will shift tobe investors
@PASSWORD-026
@PASSWORD-026 3 жыл бұрын
Wewe ni fala
@novatusfabian4109
@novatusfabian4109 6 жыл бұрын
niko upande wa kushoto ila miaka mitano mbele natumaini nitakuwa upande wa Julia na tayari nimeanza kuweka miundo mbinu
@ElizAbeth-un6he
@ElizAbeth-un6he 6 жыл бұрын
nipo upende wa kushoto nawaza kufika mbali biashara
@imantv544
@imantv544 6 жыл бұрын
Brother mi nipo njia ya pili na ningependa baada ya miaka mitano niwe njia ya nne
@latifapapaa5100
@latifapapaa5100 6 жыл бұрын
Sasa mm niko upande ya kusoto baadae ya maika mwili nataka niende upande ya kulia inshallah
@peterjaphet5048
@peterjaphet5048 3 жыл бұрын
Bro fundisha pa kuanzia maana hiyo tayari ni hatua ambazo watu wengi yamkini ata hawana
@manonipaul7056
@manonipaul7056 6 жыл бұрын
Mm nipo group LA kwanza self employment
@mariamogelasanayohana7442
@mariamogelasanayohana7442 3 жыл бұрын
kwasas nimeajiriwa lakini kwamika ijayo napeda kuwa mufanya bishara
@ronsonyleonard9435
@ronsonyleonard9435 6 жыл бұрын
Nipo upande wa kushoto baba
@jacksonmwanyika5697
@jacksonmwanyika5697 6 жыл бұрын
Nina maanisha chuo kikuu Dodoma (UDOM)
@cossy8503
@cossy8503 3 жыл бұрын
Kaka tungependa utufundishe kuhusu hisa na hati fungani
@ndootosakara2829
@ndootosakara2829 Жыл бұрын
Saivi mi ni mwajiriwa ila baada ya miaka 5-10 nataka kujiajiri
@gaomariwa7637
@gaomariwa7637 6 жыл бұрын
Sasa ivi nimeajiriwa ila sifurahii ajira natamani kujiajiri
@muchunofrank1326
@muchunofrank1326 6 жыл бұрын
Kiyosaki anachosema kipo sawa kabisa kwa wanaotaka kujitoa upande wa kushoto, lakini pande zote zinategrmeana imagine hamna mwalimu utampeleka wp mwanao, hamna daktari ukiumwa utaenda wp
@beatriceherbert4673
@beatriceherbert4673 5 жыл бұрын
WhatsApp' unatumia namba ipi kaka
@yusufurashidi4141
@yusufurashidi4141 6 жыл бұрын
Kaka mimi niko moçambique nawezaje kupata kitabu?
Ishi Katika Uwezo Wako Wa Kipekee Sehemu Ya Kwanza
17:27
Joel Nanauka
Рет қаралды 105 М.
AINA ZA VIPATO NA UHURU WA KIFEDHA - JOEL NANAUKA
8:04
Joel Nanauka
Рет қаралды 16 М.
艾莎撒娇得到王子的原谅#艾莎
00:24
在逃的公主
Рет қаралды 51 МЛН
Look at two different videos 😁 @karina-kola
00:11
Andrey Grechka
Рет қаралды 14 МЛН
Joker can't swim!#joker #shorts
00:46
Untitled Joker
Рет қаралды 39 МЛН
Why Is He Unhappy…?
00:26
Alan Chikin Chow
Рет қаралды 111 МЛН
EPUKA MAKOSA HAYA KWENYE SAFARI YA MAISHA YAKO  - JOEL NANAUKA
10:22
Njia 4 Za Kuongeza Thamani Yako Ili Ulipwe Zaidi
22:28
Joel Nanauka
Рет қаралды 45 М.
NJIA YA KUONGEZA PESA ZAIDI - JOEL NANAUKA
7:57
Joel Nanauka
Рет қаралды 56 М.
UBONGO WA MWANADAMU - JOEL NANAUKA
13:23
Joel Nanauka
Рет қаралды 69 М.
LIFE WISDOM: VITU VINAVYOFANYA UNG'AE - JOEL NANAUKA
17:12
Joel Nanauka
Рет қаралды 26 М.
Mafanikio Yako Yanatokana Na Ujasiri Wako  - Joel  Arthur Nanauka
7:19
EPUKA  HAYA KWENYE  ENEO LA KAZI - JOEL NANAUKA
10:44
Joel Nanauka
Рет қаралды 54 М.
TAMBUA MAJIRA MUHIMU KWENYE MAISHA YAKO - JOEL NANAUKA
10:18
Joel Nanauka
Рет қаралды 4,8 М.
艾莎撒娇得到王子的原谅#艾莎
00:24
在逃的公主
Рет қаралды 51 МЛН