No video

LIFE WISDOM: VITU VINAVYOFANYA UNG'AE - JOEL NANAUKA

  Рет қаралды 26,840

Joel Nanauka

Joel Nanauka

Күн бұрын

🔥🔥🔥 Unataka KUJIFUNZA Zaidi? Nenda hapa: joelnanauka.se... 🔥🔥🔥

Пікірлер: 112
@Tobejr
@Tobejr 2 ай бұрын
Every day i used to sharpen my life from your teachings,,,May our almighty God bless you.
@user-qv3eo5pb3g
@user-qv3eo5pb3g 5 ай бұрын
Joel wewe umezid kunifanya niweze kupanga malengo na natarajia kuwa billionare inshaallah joel napenda kaz zako
@lampadshigonko3006
@lampadshigonko3006 5 ай бұрын
🤣 🤣 🤣 billionaire?
@RUCKY_
@RUCKY_ 5 ай бұрын
Huamni au usicheke huwezi kujua kesho ya mtu watu wana jipanga wewe​@@lampadshigonko3006
@joelnanauka
@joelnanauka 5 ай бұрын
Ameen 🙏
@nasruddinali9197
@nasruddinali9197 5 ай бұрын
Insha Allah
@InviolataNduye
@InviolataNduye 3 ай бұрын
Amen
@stellasoraya1138
@stellasoraya1138 2 ай бұрын
Nakuelewa sanaa Joel birthday mate wangu lazima nitembee kwenye vision zangu
@jumannemlimakala6442
@jumannemlimakala6442 3 ай бұрын
Kaka Joel Nanauka mungu Akupe maisha marefu sana kaka mimi nipo japan lakini Unanifundisha mambo mengisana mwezi wa8 Nitakuja na nitajitaidi nikutafute 🙏🏿
@TumaSuda-oz5mn
@TumaSuda-oz5mn 5 ай бұрын
Mumenitoa mbali sana kaka Nanauka sichoki kukufatilia zikipita siku tatu sijakusikiliza huwa nahisi kuumwa nilitaka kukata tamaa ukanipa moyo naiona kesho yangu nzuri kupitia speech zako Mungu akutunze and see you at the top
@user-vg9is2oi4l
@user-vg9is2oi4l Ай бұрын
Asant bro
@mahambagislain9618
@mahambagislain9618 25 күн бұрын
Asante Kaka 🎉🎉🎉✍️🇨🇩
@ChantalNdayizeye-ol1re
@ChantalNdayizeye-ol1re 5 ай бұрын
Kwanza mimi,2026 lazima tukutane,,yan na changanyikiwa kabx,from burundi
@joelnanauka
@joelnanauka 5 ай бұрын
Tuombe uzima, Mungu atatufanikisha🙏
@RosemaryMusa-eb2gp
@RosemaryMusa-eb2gp 2 ай бұрын
Ahsante Sana, Mungu akubariki na azidi kukuinua viwango hadi viwango hakika umekuwa baraka.
@NaomyPoul
@NaomyPoul 5 ай бұрын
Kaka Joel usiwe unajificha jamani tumezoea kukuona ukiwa unafundisha pia Asante kwa somo zuri🎉🎉
@godfreygermanus
@godfreygermanus 5 ай бұрын
Wewe ndio maono yangu daaah
@tawakaliramadhani1352
@tawakaliramadhani1352 22 күн бұрын
Kaka kuna vitu umeningizia kichwani vinaniongoza vyema shukrani sana
@tabithampinga4606
@tabithampinga4606 5 ай бұрын
Mimi nitakua nimeserve millions of money na ntafungua biashara ya pili mwez wA 12 trh 31 ntakuja hapa hapa serve my comment ....n this is possible due to the ebook of money formula najilipa sio tu 5% but 10% each day. Bless u bro.
@joelnanauka
@joelnanauka 5 ай бұрын
Big congratulations👏🏽👏🏽👏🏽 tunasubiria ushuhuda wako zaidi
@user-rc6fe9xv1m
@user-rc6fe9xv1m 13 күн бұрын
Barikiwa Sana kaka Joel
@MANDALAS_LIFE_COACHING
@MANDALAS_LIFE_COACHING 5 ай бұрын
Thanks brother Joel Nanauka you were born to help many
@brackskinyozi3280
@brackskinyozi3280 Ай бұрын
Asante nimejifunza kitu
@Abdulrahmanhassan18
@Abdulrahmanhassan18 5 ай бұрын
Ahsante sana kwa elimu mwalimu, ila naomba hiyo sautu ya music inayosikika uibadilishe kama itakupendeza wazo hili, tafuta muziki mwingine mzuri maana sauti ikikutana na music nzuri somo au simuluzi inakuwa na ladha zaidi. Ahsante sana
@minaaminaa1781
@minaaminaa1781 5 ай бұрын
Akina sisi tuna enjoy zaidi tumuona hasa huwa nahisi nipo nae karibu akinipa advice
@user-ut7ul5bv6b
@user-ut7ul5bv6b 5 ай бұрын
Usichokijua ni kwamba mziki wowote ambao hauna sound ama vocal ni special kaajili ya kutuliza akili yako,Ufahamu wako na usiwaze mambo mengine..
@Abdulrahmanhassan18
@Abdulrahmanhassan18 5 ай бұрын
@@user-ut7ul5bv6b unaposoma au kumsikiliza mtu jaribu kwanza kuelewa ulicho kisoma au ulicho kisikia kabla hujajibu, soma ili uwelewe nasio usome ili ujibu
@Grace00187
@Grace00187 5 ай бұрын
Nafurahi coz today nimeamka mapema kumsikiliza bro wangu, now I have seen my self at the top
@joelnanauka
@joelnanauka 5 ай бұрын
Wow, hongera sanaa🙏
@PrinceMugasha
@PrinceMugasha 28 күн бұрын
Kaka nakupata naona unaniongelea mim hapa najiamin sina kitu kwa sasa najiamin na ninaamin,nitaakikisha napambana aijalishi changamoto ganizitanikuta ila lazima nitamize maono yangu maana mungu ndie mtoaji bas kaka naona uduma yako ipo kiroho kabisa mungu amekuinua kwa ajili ya watu
@bonifaceferdinand566
@bonifaceferdinand566 5 ай бұрын
Bora ukose macho lakini uwe na maono.
@AbdallahFahm
@AbdallahFahm 4 ай бұрын
Msshallah unaupiga mwingi brother
@user-nj5tz7bw9v
@user-nj5tz7bw9v 5 ай бұрын
Naamini Sanaa katika masomo haya nauhakika baada ya mda flani sitakua hapa nilipo Mana matokeo nayaona Mungu Akubariki🙏
@MjataHashimu
@MjataHashimu 5 ай бұрын
Hongera xana braza
@user-jb5wb1mf7e
@user-jb5wb1mf7e 5 ай бұрын
Mungu awenawe
@macksemuyango6108
@macksemuyango6108 5 ай бұрын
This Morning Today kuna kitu kizuri nimejifunza toka kwako MWL WANGU JOEL NANAUKA....
@joelnanauka
@joelnanauka 5 ай бұрын
Nashukuru sana tuendelee kujifunza🙏
@user-xo2ct8ju1m
@user-xo2ct8ju1m 5 ай бұрын
Elimu nzuri
@HalimaAmadi
@HalimaAmadi 2 ай бұрын
Mungu akupe maisha marefu kaka ❤
@goldiegranted5501
@goldiegranted5501 5 ай бұрын
MAONO🔥🔥🔥🔥
@vanessasalema6087
@vanessasalema6087 5 ай бұрын
Noted.
@mwanaidihassan5868
@mwanaidihassan5868 4 ай бұрын
Somo Zuri sana bro, Bado napambana nipate clear vision
@rollahngimbwa6978
@rollahngimbwa6978 5 ай бұрын
Asante kaka joel, hkika nimejifunza kitu🙏🏽. Mwenyezi mng akutunze daima ufike mbali zaidi , akukirimie afya ilo imala sikhu zote. Balikiwa mnoo kaka Joel 🙏🏽🙏🏽
@joelnanauka
@joelnanauka 5 ай бұрын
Ameen Ameen 🙏
@user-mc7if8vy3j
@user-mc7if8vy3j 5 ай бұрын
Ahsante kaka ubarikiwe xana xana mungu azidi kukuinua.
@eugeniayaheze932
@eugeniayaheze932 5 ай бұрын
Barikiwa Sana Mr.J.N
@sebastianmbazi2811
@sebastianmbazi2811 5 ай бұрын
Amen amen 🙏🙏
@joelnanauka
@joelnanauka 5 ай бұрын
Ahsante sana sana🙏
@mosesjengela7425
@mosesjengela7425 5 ай бұрын
its my honour to meet you for more guidence❤❤
@joelnanauka
@joelnanauka 5 ай бұрын
Mungu atatusaidia tutaonana🙏
@kennethchinguku
@kennethchinguku Ай бұрын
Mungu akubariki pastor Joel,zikomo
@kainibachungege3430
@kainibachungege3430 5 ай бұрын
Mungu Akubariki Sana ufikie viwango vikubwa kama vya akina Dr. Myles Munroe. Unaiwakilisha vema Sana nchi yetu ya Tanzania Hakika Tunajivunia Ume kuwa Masada Mkubwa Sana kwa nchi yetu na Dunia nzima kwa Ujumla. See you at the Top I❤ that.
@joelnanauka
@joelnanauka 5 ай бұрын
Nashukuru sana, na ahsante kwa dua njema🙏🙏
@user-cd8rc5jp2i
@user-cd8rc5jp2i 5 ай бұрын
Unajua mpaka unaboa Mungu akubariki❤❤❤🎉🎉
@Joyly-it2cp
@Joyly-it2cp Ай бұрын
Asante sana kwa mafunzo tangia nianze kukusikiza nimepata mafunzo mengi sana
@AmisiHassaniTygo
@AmisiHassaniTygo 5 ай бұрын
See you at the rop, you changed people's lives bro, God bless you
@joelnanauka
@joelnanauka 5 ай бұрын
Ameen Ameen
@pilichuli4449
@pilichuli4449 5 ай бұрын
Barikiwa sana kaka joel
@joelnanauka
@joelnanauka 5 ай бұрын
Ameen, ahsante sana🙏
@Sanagu05
@Sanagu05 5 ай бұрын
Ahsant sana kaka Joel kwa upeo wako tunazidi kupata maarifa kupitia wewe, Mungu azidi kukubariki kwa yote
@joelnanauka
@joelnanauka 5 ай бұрын
Ameen Ameen
@alexandermajula7268
@alexandermajula7268 5 ай бұрын
Akika unanijenga sana brother 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@raymondsulemansuleman485
@raymondsulemansuleman485 5 ай бұрын
KAZIYAKO NI NJEMAMNO,, NASHAURI VITABU UVITOE VIIIIINGI VISAMBAZE KATIKA NCHIYETU MAARIFAHAYA YATAINUA WATANZANIA WEENGI
@joelnanauka
@joelnanauka 5 ай бұрын
Ameen nitajitahidi kufanya hivyo🙏🙏
@tabithampinga4606
@tabithampinga4606 5 ай бұрын
Watu wenye malengo na wenye ndoto ngumu Yan ukiwaza kwa akili ya kawaida unaona kabisa it's impossible Ila tunaforce mpaka ijulikane, gonga like hapa and let's see each other at the top
@joelnanauka
@joelnanauka 5 ай бұрын
See You At The Top
@user-sk8hw5bx1v
@user-sk8hw5bx1v 4 ай бұрын
Joel Nanauka ,, nakupenda sana kaka for real me binafsi umenikuwa life coach wangu katika maisha yangu
@johnjames-pw1dp
@johnjames-pw1dp 5 ай бұрын
Gud message Bro 👍
@mohdsaid5988
@mohdsaid5988 5 ай бұрын
Haya madini ya siku yatolewa siku hizi karibuni so valuable
@joelnanauka
@joelnanauka 5 ай бұрын
Ahsante sana, nisaidie kushare🙏
@dullahtechtz3422
@dullahtechtz3422 5 ай бұрын
Amin kaka
@japhethcharles5791
@japhethcharles5791 5 ай бұрын
Mungu akubaliki sana Mr Joel ,
@williamcosmas1986
@williamcosmas1986 5 ай бұрын
Nanauka wewe ni mwalimu wangu
@joelnanauka
@joelnanauka 5 ай бұрын
Nashukuru tuendelee kujifunza🙏
@user-yi6mp3mu7r
@user-yi6mp3mu7r 5 ай бұрын
Ahsante kaka joel tunazidi kujinza🙏
@joelnanauka
@joelnanauka 5 ай бұрын
Ameen Ameen
@kuruthumukondo7149
@kuruthumukondo7149 5 ай бұрын
Thank u my brother ❤❤
@JanvierVenas-ro9us
@JanvierVenas-ro9us 5 ай бұрын
uzudi barikiwa Kaka
@irakazaeriekim4753
@irakazaeriekim4753 5 ай бұрын
Amen
@Estermvungi-cl2zc
@Estermvungi-cl2zc 3 ай бұрын
Mimi naomba mungu anijalie ning'ae kwenye biashara yangu
@user-gb1hn5ml8y
@user-gb1hn5ml8y 5 ай бұрын
From south Africa Durban sijachelewa sana mwalimu Asante limenifikia
@joelnanauka
@joelnanauka 5 ай бұрын
Hongera sana sanaa🙏
@Delphinusdeodatus-xu6nf
@Delphinusdeodatus-xu6nf 29 күн бұрын
🎉🎉
@ViviKitchen23
@ViviKitchen23 5 ай бұрын
See me at the top Ahsante kaka joel Mungu akulinde❤❤❤❤❤
@joelnanauka
@joelnanauka 5 ай бұрын
Ameeen🙏🙏🙏
@jasminerashidi2782
@jasminerashidi2782 5 ай бұрын
Asante Sana mtumishi barikiwa mno
@anoldjose7793
@anoldjose7793 5 ай бұрын
Bro Nanauka unajua adi unakela Any way mungu aendelee kukuweka ili uendelee kutuelimisha
@joelnanauka
@joelnanauka 5 ай бұрын
Ameen Ahsante sana sana🙏🙏
@tukaesanatu2754
@tukaesanatu2754 5 ай бұрын
Amen baba,mungu akubariki
@joelnanauka
@joelnanauka 5 ай бұрын
Ameen ahsante sana sana
@user-jx7nr7ll3x
@user-jx7nr7ll3x 5 ай бұрын
❤❤❤
@irakazaeriekim4753
@irakazaeriekim4753 5 ай бұрын
Asante sana ❤
@williamcosmas1986
@williamcosmas1986 5 ай бұрын
Umenifanya nimfaham Helen Keller
@officialColB-yx4kr
@officialColB-yx4kr 5 ай бұрын
Amen amen❤ Joel nanauka
@victor_silvanus10
@victor_silvanus10 5 ай бұрын
💪🏿
@RICHARDWAUSA-ep4xe
@RICHARDWAUSA-ep4xe 5 ай бұрын
@user-sk8hw5bx1v
@user-sk8hw5bx1v 4 ай бұрын
Umenijenga sana kaka
@amanilwila1185
@amanilwila1185 5 ай бұрын
Vizuri brother nanauka.. But ningependa uwe unakuja na bonus ya online books ktk kila video ambazo tunaweza kuwa tunalipia.. GOD bless you
@niriacatering172
@niriacatering172 5 ай бұрын
Shukrani sana
@user-lt3fx1tl4z
@user-lt3fx1tl4z 5 ай бұрын
Thanks bro
@Calvin-xc2fs
@Calvin-xc2fs 5 ай бұрын
🎉
@mombasatv1994
@mombasatv1994 5 ай бұрын
Saa nyingine nenda direct kwa mada wengine bundle ni za shida kk mm nakubali sanaa lkn siku hizi kambe watufunza kingereza sio km pale mwanzo ulikuwa good coach lkn umekuwa postor na translation umesawai km ww life coach
@godianathuman705
@godianathuman705 5 ай бұрын
Bro mimi changamoto yangu naomba uniphundixhe jisi yakutengeza bajeti
@DoriceSanga
@DoriceSanga 4 ай бұрын
Kuna video ipo KZbin namna yakupanga bajet na kitabu chat money formula tafuta vyote hvo vitakusaidia...
@user-xc4tm5ho4h
@user-xc4tm5ho4h 5 ай бұрын
Asante
@EDMUNDSOSPETER
@EDMUNDSOSPETER 5 ай бұрын
#See me at the top
@joycemushi4916
@joycemushi4916 5 ай бұрын
Broo nawitaji wa ebook of money formula nitapataje?❤
@abdulrahmaniselemani8569
@abdulrahmaniselemani8569 5 ай бұрын
Hivi mtu ambae hana maino je afanye nini awe na maono?
Challenge matching picture with Alfredo Larin family! 😁
00:21
BigSchool
Рет қаралды 42 МЛН
Kids' Guide to Fire Safety: Essential Lessons #shorts
00:34
Fabiosa Animated
Рет қаралды 15 МЛН
黑天使遇到什么了?#short #angel #clown
00:34
Super Beauty team
Рет қаралды 45 МЛН
EPUKA MAMBO HAYA - JOEL NANAUKA
9:19
Joel Nanauka
Рет қаралды 101 М.
LIFE WISDOM : AINA 6 ZA UTAJIRI - JOEL NANAUKA
18:01
Joel Nanauka
Рет қаралды 14 М.
Maximizing your season - Joel Nanauka
1:23:37
Destiny City Church
Рет қаралды 7 М.
LIFE WISDOM : VITA YA MAPENZI  - JOEL NANAUKA
14:48
Joel Nanauka
Рет қаралды 17 М.
VITU MUHIMU VYA KUZINGATIA KABLA YA KUANZA BIASHARA
16:16
Jenifer Jovin
Рет қаралды 31 М.
Nyota Yako Ina Thamani | Maombi Ya Kuombea Taifa | Pastor Tony Osborn
21:11
Pastor Tony Kapola
Рет қаралды 134 М.
Aina 5 Za Watu Muhimu - Joel Nanauka
1:02:23
Joel Nanauka
Рет қаралды 164 М.
Challenge matching picture with Alfredo Larin family! 😁
00:21
BigSchool
Рет қаралды 42 МЛН