NLIKUA NAMTAFUTIA SABABU | WAKUTANISHWA

  Рет қаралды 236,166

KIREDIO

KIREDIO

Күн бұрын

Пікірлер: 1 800
@AliamryBakar
@AliamryBakar 7 ай бұрын
Kama upo single kama mimi gonga like uku tukijipongeza na goma la jux ft diamond nainjoy
@salisali3738
@salisali3738 7 ай бұрын
😅😅😅
@AliamryBakar
@AliamryBakar 7 ай бұрын
Skuping
@AgnessJohn-cw9bs
@AgnessJohn-cw9bs 7 ай бұрын
❤❤
@AliamryBakar
@AliamryBakar 7 ай бұрын
@@AgnessJohn-cw9bs 😍😍😍
@MadenaIphone
@MadenaIphone 7 ай бұрын
Naule. Mziki wa aslay naenjoy mzurisaana❤❤❤
@edgercyprian964
@edgercyprian964 7 ай бұрын
Daaaah huyu dada anaupendo wa dhati sana kwa huyu jamaa ila nayependwa hajui kam napendwa sijui kwa nini wadada kama hawa huwa hawapati watu sahihi au wanaume huwa hawapati watu sahihi yaani hii ipo kote kote yaani sijui huwa ni kwa nini dada muache utapata akupendae hiyo anaonekana anakupotezea muda tu mdogo angu utapata chaguo lako achana na huyo mbana Nywele kama mwanamke amenikwaza sana😢😢
@magrethmartin1668
@magrethmartin1668 7 ай бұрын
We dada ni mzuri sanaa you don’t deserve this man 😊
@derevamsomi
@derevamsomi 7 ай бұрын
unajuaje hadiserve...unajua anapewaga nn😂😂
@Abgaelizah
@Abgaelizah 24 күн бұрын
Pole kipenz wanaumehawa baba yao nimmoja
@TreasureMagumba
@TreasureMagumba 7 ай бұрын
Sema dada cute alafu mstaarabu sana anapaswa kuwa na mwanaume anayejitabua
@abubakaliyahaya2968
@abubakaliyahaya2968 7 ай бұрын
Kweli kk Dem anajielewa
@JosephEpimack-y4l
@JosephEpimack-y4l 7 ай бұрын
Hawezi kua mstaarabu na hiyo blich kwa kichwa
@AmourSultan
@AmourSultan 7 ай бұрын
Bleach na Ustarabu Ni moto na Maji
@EmileLugendo
@EmileLugendo 7 ай бұрын
Mungu amsaidie, tatizo wanaume wanachanganya wife material na Slay queens
@judithsijaona9875
@judithsijaona9875 7 ай бұрын
Yes
@hadijamandanje6189
@hadijamandanje6189 7 ай бұрын
Mwenyezi Mungu naomba uniongozee vyema bint yangu kuuma mwili haki ya Mungu
@LizaLiza-v2m
@LizaLiza-v2m 6 ай бұрын
AMBAO TUNAPAMBANIA GULF 🇴🇲 HATULILII MPZ TIM FULUS GONGA LIKE HAPA👇👇👇😂
@ElizabethMichael-vv1ve
@ElizabethMichael-vv1ve 6 ай бұрын
Unajua Kupenda Mapenz Ni Upofu Jamn 🎉😢😮
@ElizabethMichael-vv1ve
@ElizabethMichael-vv1ve 6 ай бұрын
Unajua Kupenda Mapenz Ni Upofu Jamn 🎉😢😮
@fatimawazeer701
@fatimawazeer701 6 ай бұрын
Kabisaa pesa pesa
@JenniferTaitus
@JenniferTaitus 6 ай бұрын
sasa nawewe dada unalialia Nini mtu hakutaki acha kutuaibisha bahna
@esterjohn1073
@esterjohn1073 19 күн бұрын
Kwenye sekta ya kula kiredio uko vizuri😂😂😂😂😂😂
@dorcaskidoti249
@dorcaskidoti249 7 ай бұрын
Kiredio mwenyewe alishasemaga anafurahia watu wakiachana😂😂😂😂😂 hayo machozi ya dadaa Kiredio roho yake nyeupeeeee😂😂😂😂😂
@Lovekidoti32
@Lovekidoti32 7 ай бұрын
😂😂 ila kama kweli bwan
@HawaAlly-l8r
@HawaAlly-l8r 7 ай бұрын
😂😂😂🙌
@ShamiAl-ww6gp
@ShamiAl-ww6gp 7 ай бұрын
😂😂😂😂
@witneyjerry2587
@witneyjerry2587 7 ай бұрын
😂😂😂
@MonnaPonda
@MonnaPonda 6 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@RizikiMakayaShabani
@RizikiMakayaShabani 6 ай бұрын
Mimi naipend kazi zaredio zinatuweka wazi mungu akubariki sana
@afterfull-time1348
@afterfull-time1348 7 ай бұрын
Ila mwanamke akikupenda na akakuamini ukimvunja moyo analia sana
@JacklineShirima-hn1yt
@JacklineShirima-hn1yt 7 ай бұрын
si moyo tuu ata kichwa😂😂😂😂
@sneckyBoe
@sneckyBoe 7 ай бұрын
Kwan jamaa kamvunja moyo wap mbn dem ndo kazngua anamprank vp bhana ata ungekuwa lazma ujue n kwel utapanick tu
@hadijahalifa-s4z
@hadijahalifa-s4z 7 ай бұрын
Fcss_​@@JacklineShirima-hn1yt
@AmaniOmari-ev2gu
@AmaniOmari-ev2gu 7 ай бұрын
Haaaaahaaaa ​@@JacklineShirima-hn1yt
@Oman-h8r
@Oman-h8r 7 ай бұрын
Basi ndo mtuonee huruma tunapo wapenda mtutendee hakika jamn 😅🙌
@AkxaEdwin
@AkxaEdwin 5 ай бұрын
Machozi na mapenzi ni pete na kidole, Wanaume 🙌🙌
@SiloohMilosevic
@SiloohMilosevic 7 ай бұрын
Dah! Demu anampenda mkali hadi rahaaa ❤❤🎉🎉 eeh MUNGU nipe nipe mtoto mwenye UPENDO Kama huyuuu😮
@SweetnessEMbise
@SweetnessEMbise 6 ай бұрын
😂😂
@vailethhossen8171
@vailethhossen8171 6 ай бұрын
Singo singuleshen amen
@ChristopherShedrack-sl6kq
@ChristopherShedrack-sl6kq 5 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@vailethhossen8171
@vailethhossen8171 5 ай бұрын
😂😂​@@ChristopherShedrack-sl6kq
@AsnathMtamila
@AsnathMtamila 7 ай бұрын
Jaman hyu msichana kaniliza sana.
@aggychinnay7344
@aggychinnay7344 7 ай бұрын
Ni huzuni kwakweli
@VivianSamwel
@VivianSamwel 7 ай бұрын
Kazii kulilia mapenzii kufanyaaa kazii aaaaah😅
@maryjosephat2885
@maryjosephat2885 7 ай бұрын
Analia hovyo
@iranangole7007
@iranangole7007 2 ай бұрын
Uyu mshenz analia sababu Aendelee kuzin sio Mlilie Alie kuoa sio mnamkosea mungu
@_kijanampole
@_kijanampole 7 ай бұрын
Wazazi wapo zao nyumbani gafla mtu anaona mtoto wake analilia mapenzi 😂😂
@aminamahamudumtumba5897
@aminamahamudumtumba5897 7 ай бұрын
🤣🤣🤣🤣🥺
@Luscious6826
@Luscious6826 7 ай бұрын
🤣🤣🤣
@MkakileRamadhan
@MkakileRamadhan 7 ай бұрын
Bwana weee, yaan wanamuona kbsa halafu usikute wanamlipia ada
@annadiada2822
@annadiada2822 7 ай бұрын
😂😂😂😂ila weee
@maezadam5492
@maezadam5492 7 ай бұрын
,,,😂😂😂
@essyrugomora4561
@essyrugomora4561 6 ай бұрын
Aisee namshukuru mungu mpka nimekuwa bibi sikupitia hii yesuuu wanangu Ole wenu
@MsKalie-09
@MsKalie-09 7 ай бұрын
Uyu dada mstaharabu sana jmn nimependa buree❤
@CarineWay
@CarineWay 5 ай бұрын
Jameni murudiane muna pendeza kwa kweli ❤❤❤❤
@loycejackson7684
@loycejackson7684 7 ай бұрын
Dada angu wewe ni mzuri sana tena sanaaaaaaa nakuombea kwa Mungu umpata mwanaume utakayeendana naye ila hapo hapana mshikaji hakupendi😢daaaah huyo dada Mungu akupe wa kufanana na wewe
@khamisomar5659
@khamisomar5659 7 ай бұрын
We kiredio utavunja zinaa za watu kibao,, hongera sana ila unawajengea kanisa lao
@yollandamushi677
@yollandamushi677 7 ай бұрын
Ambao hatujui kulilia mapenzi gonga likes
@adrianomaulaga1599
@adrianomaulaga1599 7 ай бұрын
Hawa ni waongo wanazitengeneza hizi 100%
@MoreInfomationTz
@MoreInfomationTz 6 ай бұрын
Wakwanza mm😂jamani
@jacquelinerutaya2204
@jacquelinerutaya2204 7 ай бұрын
Daah😢 nmelia sana, mapenzi mapenzi mapenzi 🙌🙌🙌🙌
@saddamikoi37
@saddamikoi37 7 ай бұрын
Nilisha mliza dem kama hvyo kilichonitokea mungu mwenyewe ndo anajua
@debbiecharlie9532
@debbiecharlie9532 7 ай бұрын
Share us a story please
@MarthaAsajile-og7kl
@MarthaAsajile-og7kl 7 ай бұрын
😅
@saddamikoi37
@saddamikoi37 7 ай бұрын
@@debbiecharlie9532 npe contact yako nikusimulie
@MonicaMsoka
@MonicaMsoka 7 ай бұрын
😂😂😂
@BackBeauty-n9w
@BackBeauty-n9w 7 ай бұрын
😂😂😂
@Fayson-u9r
@Fayson-u9r 6 ай бұрын
Huyu dada anajua kuvaaa❤❤
@AgripinaMasinde
@AgripinaMasinde 7 ай бұрын
Yaan wew mwanamke pumbavu sanaaaaa kujibembeleza kwa mwanaume unaboa sana
@veronicangwale7159
@veronicangwale7159 23 күн бұрын
😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃unalilia mapenziiii hapanaaaaa
@AnnaBukuku
@AnnaBukuku 7 ай бұрын
Ushaambiwa nilikuwa namtafutia sababu sa ya nini kumng'ang'ania. Mtoto mjinga sana.
@MwanamkasiBakari-pb2gw
@MwanamkasiBakari-pb2gw 7 ай бұрын
Umesahau huu ndio ule mwaka😂 mapenzi shikamoo🙌
@elinapetro7136
@elinapetro7136 7 ай бұрын
Hajamga'nga'ania ila Ali ndio anamvuta angalia video yote ndio ucoment
@OLEDAUDI
@OLEDAUDI 23 күн бұрын
kiledio unahalibu sana mahusiano yawatu kwajili ya maslahi yako binafsi hivi unavyoona watu wanavyoumia huwa unajiskiaje😢😢
@user-xy8kl9wd2i
@user-xy8kl9wd2i 7 ай бұрын
Single tunaejoy sana kuona mambo kama haya😂😂😂
@elidadi1351
@elidadi1351 7 ай бұрын
😂😂😂😂 tunaona kama ukatumia vileeeeee😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@abubakaliyahaya2968
@abubakaliyahaya2968 7 ай бұрын
Achane kujidanganya hakuna raha yakua singo
@sidebalenciaga6907
@sidebalenciaga6907 7 ай бұрын
Noma sana
@khadijasarya
@khadijasarya 7 ай бұрын
Hakuna raha ya kuwa singoo kwendraaa 😅
@jamilamanariyojamila1487
@jamilamanariyojamila1487 7 ай бұрын
😂😂
@hadija_makange
@hadija_makange 7 ай бұрын
Pole dd inauma sana namm ishanitokea ilinipa tabu kuzoea ila nilivyojikuta nitaweza weeeeee ni nilishukuru mungu na niliweza mpaka ss nimecmama na nimepata zaidia ya yule Shwain
@PeterLyonda
@PeterLyonda 7 ай бұрын
Shwain😅😅
@Ms.Shansha
@Ms.Shansha 7 ай бұрын
Kiredio mnafiki 😂😂😂eti anaomba msamaha.Afu Demu gani huelewi RED FLAGS #MOVEON
@SuleimanMuhina
@SuleimanMuhina 5 ай бұрын
Nguo nzuri sana please pesangapi
@SalmaAlly-it8iv
@SalmaAlly-it8iv 7 ай бұрын
Duuh 😂😂 bola mie ninavyopenda wali mahalage kama mtukufu kuliko mapenz tangu nipigwe na kitu kizito sinahamu. Na mapenz kabisa kuusu kupenda nampenda baba yangu na mama yangu 😂😂
@anniemagayane2984
@anniemagayane2984 7 ай бұрын
Maharage yana nazi ?? 🤣🤣🤣
@SalmaAlly-it8iv
@SalmaAlly-it8iv 7 ай бұрын
@@anniemagayane2984 😂😂😂😂
@kuruthumsaid9719
@kuruthumsaid9719 7 ай бұрын
Mtukufu atamuuwa mume wa Kim kwa njaa 😂😂😂😂😂
@anniemagayane2984
@anniemagayane2984 7 ай бұрын
@@kuruthumsaid9719 🤣🤣🤣 kwamba dk sifuri tuu mme ashakula🙌
@rowland_skipper
@rowland_skipper 2 ай бұрын
Jamaa mwishoni kamuuliza kiredio swali zuri sana aise kuwa wao wafanya challenge hizo sitution zinazotokea baadae wanavifurahia
@KevinPhilberth
@KevinPhilberth 7 ай бұрын
Mm nimefurahia sauti
@prismilammbando3761
@prismilammbando3761 7 ай бұрын
Mkaka anampendaaa sanaaa jamaniii!!! The guy anakupenda sis😘😘
@justinemico1871
@justinemico1871 7 ай бұрын
Demu anazidiwa uzuri na mchizi ilo Ni tatizo....demu mwenyewe pacome zouzou
@AnethKayombo
@AnethKayombo 7 ай бұрын
Hahaha eti pacome
@Bennie77
@Bennie77 7 ай бұрын
Daaah! Mbingu utaisikia tu mwanangu😂😂😂😂
@youdya
@youdya 7 ай бұрын
pacome au yao yao huyu dem😂😂😂
@salmamlokela1987
@salmamlokela1987 7 ай бұрын
😂😂😂😂 jamani tofauti mavazi
@Craypotter
@Craypotter 7 ай бұрын
😅😅😅
@clementineselemani6699
@clementineselemani6699 7 ай бұрын
Shukuru Mungu kakupatanisha na kiredio na akavunja mausiano,kuna vitu tunapitia kwenye dunia ili tupate watu saihi we sema asante Mungu akuletee saihi .apo kwa kumpigia nimeumia 😫
@clementineselemani6699
@clementineselemani6699 7 ай бұрын
Wanaume wengi wembamba awana mapenzi 🤣kujumlisha na izo nywele
@ShukuruSemwenda
@ShukuruSemwenda 7 ай бұрын
​@clementhaineselemani6699 haaaa
@ICEELECTRICCOMPANY
@ICEELECTRICCOMPANY 7 ай бұрын
Single guys gonga like tuki jipongeza
@DevothaBonophace
@DevothaBonophace 7 ай бұрын
😂😂❤
@asmakhalfan
@asmakhalfan 7 ай бұрын
Kam Masai mwanaume anasuka mwanamke ananyoa
@ICEELECTRICCOMPANY
@ICEELECTRICCOMPANY 6 ай бұрын
😂😂😅​@@asmakhalfan
@NasrahMarco
@NasrahMarco 16 күн бұрын
Oooh johari unajuwa matatizo yako toka shuleni angalia yasitibuke huko😂😂😂😂
@HafsaAbdullah-zm4qo
@HafsaAbdullah-zm4qo 6 ай бұрын
Sipat picha leo wakipata yaan kitanda kitajuta kuwafahamu dah!!
@Jayninetythree
@Jayninetythree 6 ай бұрын
😂
@AngelAloyce-v6e
@AngelAloyce-v6e 5 ай бұрын
😅😅😅😅😅
@AvuraKashindy
@AvuraKashindy 5 ай бұрын
Oya acha useng dem anakupenda
@Denatha_50
@Denatha_50 7 ай бұрын
Mwanaume mweupe mlambalamba lipsi.. mbeba kikoba like cha ally afu mfuga nywele raniiiii mai frendiiiiiiiiiii😂😂😂
@mejgodsgal1340
@mejgodsgal1340 7 ай бұрын
runnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnn🤣🤣🤣🤣
@esterrupia8470
@esterrupia8470 7 ай бұрын
Ni hatali Kwa huyu mwanaume ovyoo
@rahmarashid9904
@rahmarashid9904 7 ай бұрын
Run away😅😅😅
@Privia-s8s
@Privia-s8s 7 ай бұрын
Running 🏃🏃🏃🏃
@JamillahEliya
@JamillahEliya 7 ай бұрын
Hahahah dada anataka kubembelezwa km mm ndo jamaa naghair naondoka zangu spend ujinga
@Jeremiahsefania
@Jeremiahsefania 15 күн бұрын
😢😢😢mke wangu njoo uone uku mwanao anavyolilia mapenzi 😢😢😢😢
@MariaPeter-kv3qk
@MariaPeter-kv3qk 7 ай бұрын
Sema huyu dada anaongea kipole😅
@jemampanda5361
@jemampanda5361 5 ай бұрын
Eti I still need her🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 ila wavulana Kheeee 🙌🏾🙌🏾
@winniedeo6191
@winniedeo6191 7 ай бұрын
Kiredio mnafiki sana😆😆😆🙌
@naimarishedy1523
@naimarishedy1523 7 ай бұрын
Dada jitahidi mnapendana .Ally tulia ugomvi haufai❤
@GetrudeChengula
@GetrudeChengula 7 ай бұрын
Na kweli ambao tuko single tunainjoy kuona mnakomeshwa achan usalit
@faridairema8790
@faridairema8790 7 ай бұрын
Woii mungu nisaidie kizazi changu
@vannapple1
@vannapple1 7 ай бұрын
Mdada kaigiza vizuri sana,Very romantic and anafanya kwa hisi sana.Nusu nitoke chozi asee😅😅
@edithsmusas5675
@edithsmusas5675 7 ай бұрын
Ila kiredio wewe mnafiki sana 😅
@Luscious6826
@Luscious6826 7 ай бұрын
🤣🤣🤣🤣
@zuleykhasaid967
@zuleykhasaid967 7 ай бұрын
Me nimeliaa kabisaaa 🤣🤣🤣🤣
@kolethafabian2618
@kolethafabian2618 7 ай бұрын
Wanapenda Hawa.
@BeatriceElias-xw1rl
@BeatriceElias-xw1rl 7 ай бұрын
Bora nikalime kuliko kuhangaika na Mapenz 😢😢😢😢
@doymatata4702
@doymatata4702 16 күн бұрын
Duh binti anajidhalilisha mwanaume anaonyesha hamuhitaji duh chizi Sana huyo dada duh😂😂😂
@Calvynpaul-fv8kb
@Calvynpaul-fv8kb 7 ай бұрын
kiredio ama kwely we silaha adimu 📷🙌
@VivianSamwel
@VivianSamwel 7 ай бұрын
Single forever 😢😢
@imavel_01
@imavel_01 7 ай бұрын
kilichobaki ni kujifunza biblia😂😂
@ElizabethGodfrey-g5l
@ElizabethGodfrey-g5l 7 ай бұрын
❤❤❤❤
@josephsolongai6584
@josephsolongai6584 7 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂 mbn biblia
@getrudamsigwa2776
@getrudamsigwa2776 7 ай бұрын
😅😅😅
@RoseKimath
@RoseKimath 7 ай бұрын
😂😂😂kabisaaa
@RachelMalekela
@RachelMalekela 7 ай бұрын
Ila km kweli
@Dipeson700
@Dipeson700 7 ай бұрын
I appreciate this man🤝🤝
@RehemaFabian
@RehemaFabian 7 ай бұрын
Mwanaume mbeba kimkoba na mbana nywele ndo analiliwa 😂😂😂. Jinga kweli hy dada
@Jordan-ov4yc
@Jordan-ov4yc 7 ай бұрын
Nihatariiiii😂😂😂😂😂😂😂😂
@witneyjerry2587
@witneyjerry2587 7 ай бұрын
Gemu😂
@NellyHadrah-wy2vh
@NellyHadrah-wy2vh 7 ай бұрын
Hahaha😂😂 Nicheke kidogo uwiiii mapenzi haya jmn hpn bora kuwa single.....
@lutfiyahsaidi6666
@lutfiyahsaidi6666 7 ай бұрын
😂😂😂 mapenzi upofu
@rachelmsuya6263
@rachelmsuya6263 5 ай бұрын
Mkaka mzur me mwenyew ningepambna nisimwache
@rosemsaki1111
@rosemsaki1111 7 ай бұрын
HUYU DADA UNAFORCE MAPENZI HUYU KAKA WALA HAKUPENDI
@SabinaNyiti
@SabinaNyiti 7 ай бұрын
Kweli kabisa
@hilalkhalfan1452
@hilalkhalfan1452 7 ай бұрын
TABIA ZA WANAUME AU WANAWAKE WAPUUZI WANAPOPENDWA KWELI NDIPO WANAPOLIDHARAU HESHIMA WALIOPEWA KISHA WANAENDA KUTOKOMEA KULE KUSIKOKUSUDIWA
@WinnieKeita
@WinnieKeita 7 ай бұрын
Umetumia na herufi kubwa kuonesha msisitizo😂💔
@fatumasophu5855
@fatumasophu5855 6 ай бұрын
Kwakweli​@@WinnieKeita
@NewNew-ep5dq
@NewNew-ep5dq 5 ай бұрын
Tena uyo kak alivyo sikia wakale chakula cha bule akatoa meno
@nicodemshello163
@nicodemshello163 6 ай бұрын
Binti Yuko vzr
@WinnieKeita
@WinnieKeita 7 ай бұрын
Huyo sio binadamu ..Hilo ni pepo dada ,achana nae asikuumize kichwa😂
@WinnieKeita
@WinnieKeita 7 ай бұрын
Nusu nijiue, na nikiwaambia fala mwenyewe ni huyu hamtoaminii😂💔,mapenzi upuuzi tu
@WinnieKeita
@WinnieKeita 7 ай бұрын
Kiredio mi nakubali , umemuumbua huyo msenge kumanina zake , Kwanza demu hashtuki hadi jina kadanganywa 😂, mfatilie vizuri ally sio jina lake 🤣fala kweliii huyo 🤣
@PerpetuaJackob-sg5yq
@PerpetuaJackob-sg5yq 7 ай бұрын
Wenyew wamependana co waacheni jmn co vizuri
@WinnieKeita
@WinnieKeita 7 ай бұрын
​@@PerpetuaJackob-sg5yqmh ,wapi buanaa, ila wanaume mh😂
@fidonsostenes
@fidonsostenes 7 ай бұрын
Kubabake 😢😢😢
@EmileLugendo
@EmileLugendo 7 ай бұрын
Ila huyu kaka Mungu anamuona, ani mkavu ht kujutia kw alichokifanya....dada continue ktft pesa plzzz maisha ya kulilia wanaume sahv yamepitwa na wkt kpnz😢
@WinnieKeita
@WinnieKeita 7 ай бұрын
Pepo hiloo😂
@EmileLugendo
@EmileLugendo 7 ай бұрын
@@WinnieKeita tn kemea kbs😂😂
@IkramBaby-i2j
@IkramBaby-i2j 6 ай бұрын
Dada kampenda sana mkaka ndomsana ina muumawa anufunze kukubali tu naku.uacha uyo siwahatiyake mambomenhi
@samiakikwete1762
@samiakikwete1762 7 ай бұрын
Yaani huyy dada nawaza Analia nn yaani siamuachee aendeee kshasema alikuwa anatafutiwa sababu sasa aendeee na maishaa
@abbtsa3060
@abbtsa3060 6 ай бұрын
Wewe naye unaroho mbaya tu
@samiakikwete1762
@samiakikwete1762 6 ай бұрын
@@abbtsa3060 rohombaya yann sasa
@KhalidNa-bn4gp
@KhalidNa-bn4gp 6 ай бұрын
Huy kaka mwongo khaaaa😂 mmbabaifusna 😂😂
@WINNIFRIDAVALENTINE
@WINNIFRIDAVALENTINE 7 ай бұрын
Kiredio ungemshitua uyo dada na kibao kashaambiwa alikua anataftiwa sababu Aachwe badala aendelee na maisha mengine analia apokelewi simu😂😂😂😂😂 ifike mahali wanawake tujue thamani yetu
@agnestemu8382
@agnestemu8382 7 ай бұрын
😂😂😂😂😂yaani apigwe ht na bomba kichwani
@magangamwidaghat4324
@magangamwidaghat4324 7 ай бұрын
Ally anajiona hand Sam ndio maàna ana mliza mrembo wa watu ally shame on you
@jumanyassy8062
@jumanyassy8062 7 ай бұрын
Mapenzi hayajatibiwi huo ni Ujinga ...​@@magangamwidaghat4324
@makatamauwa1996
@makatamauwa1996 6 ай бұрын
Hahahahahahahahhah!!!! Kashasahau uyo.... wanawake bana akili zetu dhu
@ShishackgaudensiLuhwago-br2nl
@ShishackgaudensiLuhwago-br2nl 6 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@YovinaSanga-pb7yq
@YovinaSanga-pb7yq 7 ай бұрын
Jaman dada Pole sana msamehe tuu hajui atendalo. Duuu ila madada ni mpole
@cliniusdawson8046
@cliniusdawson8046 7 ай бұрын
An mdada anabembelezwa ila ndo anazd kuwakaaaa🔥🔥🔥😅😅😅🙌
@TedyCharls
@TedyCharls 7 ай бұрын
😂😂 ruuuun🏃🏃🏃🏃
@ShekhaSalum-y9e
@ShekhaSalum-y9e 7 ай бұрын
Kiredio nakupenda sna kutoka leo jamn umefanya kt kzr sna❤
@eddazakariasulusi2884
@eddazakariasulusi2884 6 ай бұрын
Kirediao wangu mnafiki sana
@beatricesway5782
@beatricesway5782 7 ай бұрын
Huyu kaka hakupendi dada😢😢😢😢😢😢kimbia uvunjike yaniii hakupendii i swear 😢😢😢😢 nakuonea huruma dada hiki kikaka kinaoneksna ndo kinakua pole bby
@suzanbegas4139
@suzanbegas4139 7 ай бұрын
DadaHakupend Huyo🏃🏽‍♀️🏃🏽‍♀️🏃🏽‍♀️
@AnnaSevelini
@AnnaSevelini 6 ай бұрын
Mwanaume mwenyewe si amempata Mr right uyu
@ABELUrioG
@ABELUrioG 7 ай бұрын
Njoo zanzibar kiredio😁😆😁
@emanyordickson8961
@emanyordickson8961 7 ай бұрын
Hana passport
@rajabrwambow9660
@rajabrwambow9660 7 ай бұрын
Unataka akafirwe sasa😅😅😅
@janethndunguru3538
@janethndunguru3538 7 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂​ we rajab wewe😂😂😂@@rajabrwambow9660
@amdee99
@amdee99 7 ай бұрын
Heri ning'ang'anie wababa wababa wababa bila kujali jambo lolote😂😂
@Sweetnaah
@Sweetnaah 7 ай бұрын
Nilivyo kisirani huo muda wa kujielezea hivo natoa wapi 😂😂😂
@SaidChilaza
@SaidChilaza 7 ай бұрын
Ningekuwa nishamchamba na mitusi juu
@nifasiha7918
@nifasiha7918 7 ай бұрын
Mnajilahisisha sana
@pillyramadhani3726
@pillyramadhani3726 7 ай бұрын
Aloooh nani mwenye no za huyu kaka Kuna ten linazagazaga😂
@BrendaJimmie-hj1lf
@BrendaJimmie-hj1lf 7 ай бұрын
😂😂
@ShukuruSemwenda
@ShukuruSemwenda 7 ай бұрын
Ninazo mm
@pillyramadhani3726
@pillyramadhani3726 7 ай бұрын
Nipe
@ShukuruSemwenda
@ShukuruSemwenda 7 ай бұрын
@@pillyramadhani3726 lete ilo teni kwanza nikutumie
@lizzyBeb-f6o
@lizzyBeb-f6o 7 ай бұрын
😢😢😢😢😢😢ady nimelia aki
@khadidjaabdi-hd8py
@khadidjaabdi-hd8py 7 ай бұрын
Mapenzi yanaumaaa asikwambie mtuu shid nikwamba kwanin simu haupokei majibu ni kwamba wamekuchok na anamwamnkee mwinginee anajifany tuu😅
@aaaaaah290
@aaaaaah290 7 ай бұрын
Usha wahi jigonga kidole kwenye kucha, kama hujawahi, POA
@pilicharo4123
@pilicharo4123 7 ай бұрын
​@@aaaaaah290😂😂😂😂
@WinnieKeita
@WinnieKeita 7 ай бұрын
Hahaa.. kumbee enh😂
@josephmsongela975
@josephmsongela975 7 ай бұрын
Daaaaa bintii kapendaa bhaanaa,,
@SostenesAluminium
@SostenesAluminium 7 ай бұрын
Kadada kajanja kweli kanazunga kuondoka ningekuwa mimi ningesema nenda😂
@MacrinaLameck-yv2mu
@MacrinaLameck-yv2mu 7 ай бұрын
😆 😂 😆 😂 we mbaya kweli 😄
@AsjTtr-fx7fw
@AsjTtr-fx7fw 7 ай бұрын
😢😢😢😢nimelia Kwa uyo dada mapenzi shikamoo 😢😢
@habibamahendo9758
@habibamahendo9758 7 ай бұрын
Sijui kwnn nimekwazika😂😂😂😂
@ABELUrioG
@ABELUrioG 7 ай бұрын
I wish n jue 😊
@decredo4293
@decredo4293 7 ай бұрын
mi mwenyewe sijuii an😂😂😂😂
@allyahahmed1091
@allyahahmed1091 6 ай бұрын
M nimemuelewa mwanaume kwakweli wanaume wanakandamizwa sana
@JoyceElias-bd3kt
@JoyceElias-bd3kt 7 ай бұрын
Alipagawa na uto tunywere🤣🤣
@franciscoblawrent8128
@franciscoblawrent8128 7 ай бұрын
😅😅😅😅 hahahaha 😅
@rhodarichard4494
@rhodarichard4494 7 ай бұрын
Tunywele mterezo Kama twa paka
@lisahsteven7594
@lisahsteven7594 7 ай бұрын
Musamehe bhna
@ester2515
@ester2515 7 ай бұрын
Kwan mapenz n lazm jaman khaa kulia lia tu kutafuta pesa aaah😅😅😅
@mbogokadome2524
@mbogokadome2524 7 ай бұрын
Ukitafuta pesa mwisho wake utataka penz
@Neyy777
@Neyy777 7 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@umfahad2609
@umfahad2609 7 ай бұрын
Pesa zina sehemu yake. Na mapenzi yana sehemu yake.😅😅
@FatmahMatumla
@FatmahMatumla 7 ай бұрын
Ndio Mapenzi ni lazimo 😂😂😂
@proviuskatunzi
@proviuskatunzi 7 ай бұрын
hv hapo mwanamke n nan na mwanume ni nani 😃 😀 😄 😁 🤣 😂 😃 😀 😄 😁 🤣 😂 😃 😀
@connan9923
@connan9923 7 ай бұрын
Sema mwanamke akiwa analalamika huku analia ukilegeza tu unazidi mpa point 🤣🤣🤣
@CherryEdward-r6s
@CherryEdward-r6s 6 ай бұрын
Namuangalia huy aneliliwa najikuta nacheka tu maish hay wat want macho ya kuchezea😅😅
@MussaMbii-u1y
@MussaMbii-u1y 7 ай бұрын
Muhindi aliye chokaaa😂😂😂😂
@lizzyshaur5970
@lizzyshaur5970 7 ай бұрын
😂😂😂😂
@NeemaAbdallah-vd7th
@NeemaAbdallah-vd7th 7 ай бұрын
😂😂😢
@milleniumkibasa8773
@milleniumkibasa8773 6 ай бұрын
😂😂😂😂
@JerusaMkuyu-pw1zo
@JerusaMkuyu-pw1zo 7 ай бұрын
Wanaume niwaongo sana baazi yao
@tatuaamuuinyi9633
@tatuaamuuinyi9633 7 ай бұрын
Huyu mwanamke anakosea sana kujielezea sana.
@doriceisdory8363
@doriceisdory8363 7 ай бұрын
ndo anatoa hasira zake mwenzio
@neemaneychricious6493
@neemaneychricious6493 7 ай бұрын
Asa kama ingekuw ni wew ungenyamaza au
@shahamtindo
@shahamtindo 7 ай бұрын
Hapo anatema nyongo
@sameeraidd2109
@sameeraidd2109 6 ай бұрын
Uyu kaka mpuuzi tu
@Dannny690
@Dannny690 7 ай бұрын
Wakagongane kwanza kabla ya msamaha, alafu msamaha wenyewe ndio ufuate. Nawaza tu kwa hizi akili zangu😂
@FaridaRamadhan-de1ys
@FaridaRamadhan-de1ys 7 ай бұрын
Wakitoka hapo wakaogelee beach 😂😂
@zahrababygarl1568
@zahrababygarl1568 7 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@Dannny690
@Dannny690 7 ай бұрын
😅😅😅😅😅​@@FaridaRamadhan-de1ys
@rahmaomaryomary-md5ck
@rahmaomaryomary-md5ck 7 ай бұрын
😂😂😂😂😂afu mwanaume mweupe na Anabana nywele my friend 🏃‍♀️
NILIKUA NAMTAFUTIA SABABU, SIMTAKI TENA
10:10
KIREDIO
Рет қаралды 64 М.
She made herself an ear of corn from his marmalade candies🌽🌽🌽
00:38
Valja & Maxim Family
Рет қаралды 18 МЛН
Cheerleader Transformation That Left Everyone Speechless! #shorts
00:27
Fabiosa Best Lifehacks
Рет қаралды 16 МЛН
DAH HII CONTENT IMENILIZA SANA PART TWO 2
15:01
Ivan17_tz
Рет қаралды 77 М.
Mume avunja kioo cha bajaj fumanizi la mkewe
3:52
Balatozi President
Рет қаралды 17 М.
KACHUKUA MPENZI WA MWENZAKE Pt2
8:59
Mr Uky
Рет қаралды 254 М.
NERIA: SIMULIZI FUPI
3:07:59
Ankojay Simulizi
Рет қаралды 122 М.
MAPENZI YA BONGO PART 1
10:27
Mr Uky
Рет қаралды 159 М.
ALICHO MFANYIA DADA YAKE| INASIKITISHA SANA
36:42
Ivan17_tz
Рет қаралды 15 М.