NILIKUA NAMTAFUTIA SABABU, SIMTAKI TENA

  Рет қаралды 64,816

KIREDIO

KIREDIO

Күн бұрын

Пікірлер: 188
@issahassan8361
@issahassan8361 8 ай бұрын
Dah sema uyo demu umemsaidia kinyama mungu amsaidie
@ChamboYahaya
@ChamboYahaya 8 ай бұрын
Kabisa
@MercyDaniel-dh7bk
@MercyDaniel-dh7bk 8 ай бұрын
Eee kwa kweli
@julianapeason6254
@julianapeason6254 8 ай бұрын
huyu dada hawezi kuolewa apparence yake tuu
@jescachandarua5898
@jescachandarua5898 8 ай бұрын
​@@julianapeason6254mmmh Kwan wewe ndio unaowa wanawake wote sio
@JosephineItambu
@JosephineItambu 7 ай бұрын
Hata haijasaidia kitu maana dada ni king'ang'a bado anamlilia huyo mshikaji
@Denatha_50
@Denatha_50 8 ай бұрын
Sito kuja kumwamini mwanaume yeyote hata kama nalala nae kila siku😂😂
@rosemilingi7860
@rosemilingi7860 8 ай бұрын
😂😂😂😂
@puridangote2701
@puridangote2701 8 ай бұрын
Shwaaaa😂😂😂
@LizLizy-ex6oz
@LizLizy-ex6oz 8 ай бұрын
😂😂😂
@MadihaFarid-t9j
@MadihaFarid-t9j 8 ай бұрын
Usiseme hvo dada yangu
@Halima-u7m
@Halima-u7m 8 ай бұрын
Siwez kabisa wee
@kingstone1434
@kingstone1434 8 ай бұрын
Ko mwanetu Kiredio apo mission accomplished 😂😂😂🙌
@EVALINEANDREA
@EVALINEANDREA Ай бұрын
Naomba No.nataka cm
@warakawayohana2896
@warakawayohana2896 8 ай бұрын
Duh huyo dem amesaidika 😂😂😂
@anoldjefsta177
@anoldjefsta177 4 ай бұрын
Uyo wa kupewa laki moja Ndo naondoka nae😅😅😅
@MkomboziMkangala
@MkomboziMkangala 5 ай бұрын
Mh ah bhana😅
@miriamdavis3893
@miriamdavis3893 8 ай бұрын
Dada mzuri achana na huyo mwanaume
@coolson2925
@coolson2925 7 ай бұрын
ameongea point kubwa sana ....wanaume tunagombana sababu ya pesa sio sketiii......ally bigup sana
@JeremiahLaizer-ln2fp
@JeremiahLaizer-ln2fp 8 ай бұрын
Hahaha...huyo mwenye duka ...si anipende tu mm Kam sijafuta namb za wanawake wote😅
@Mdenya
@Mdenya 8 ай бұрын
Uyooo muhuni moja kwa moja pepon
@hamzamohamedKeslivol
@hamzamohamedKeslivol 7 ай бұрын
its a lessons my dear
@nikrahayubu-sz3pw
@nikrahayubu-sz3pw 8 ай бұрын
Vzr waachane maana wanakaa kuzini zini tu hawaolewi bora abwana kiredio endlelea hvy hvy 😂😂😂
@MercyDaniel-dh7bk
@MercyDaniel-dh7bk 8 ай бұрын
😂😂😂😂😂Eeaawa nimecheka🙌
@silviocimo3948
@silviocimo3948 8 ай бұрын
Wani wewe eee😂😂
@ednashine9464
@ednashine9464 8 ай бұрын
Her face expression tells it all 😮maskini doh pole dr
@NasmaMfinanga
@NasmaMfinanga 8 ай бұрын
Ivi jaman waja mjue kiredio haaribu mahusiano ya watu Bali anawaamsha watu kwenye ndoto ambazo SI zao kiukwely inauma ila Mimi napenda ila wanaume jaman ifike zam Yao nao walie🙏🙏🙏😭😭😭
@F60hustlerF60hustler
@F60hustlerF60hustler 8 ай бұрын
We kiredio utajikuata upo kwenye gunia siku moja we vunja ndoa za watu 😂😂😂
@HajiFaki-n9v
@HajiFaki-n9v 3 ай бұрын
Kiredio ushaharibu mahusiano baba
@maimunaulotu2075
@maimunaulotu2075 8 ай бұрын
Sema wanaume ndo mnatufanyaga tuwe mashetani😂😂😂😂😂
@chunaabdullah1333
@chunaabdullah1333 8 ай бұрын
Kabisa
@allymkamba1054
@allymkamba1054 8 ай бұрын
Ally mi nomaaa
@khadijatanzania8040
@khadijatanzania8040 7 ай бұрын
Endeleeni kumchekea kiredio mtaachwa kila siku😅😅😅
@billyboardeerick3077
@billyboardeerick3077 8 ай бұрын
Sema kiredio mwanangu unazngua kinyama 😂😂😂😂😂😂
@ZainaboSalumu
@ZainaboSalumu 8 ай бұрын
Wewe kiredio ukivunja mahusiano ya watu, inabid ujuwe kuyarudisha pia sio unaharibu tu
@ngwacahnyagwaswa9979
@ngwacahnyagwaswa9979 8 ай бұрын
😂😂😂
@timothympandagoya6338
@timothympandagoya6338 8 ай бұрын
MALAYA WOTE MWAKA HUU WAACHANISHWE ..UMALAYA MMEUBATIZA JINA LA MAHUSIANO KENGE NYIE.
@TajiriChuiwadunia
@TajiriChuiwadunia 8 ай бұрын
Kiredio alivyo tulia baada ya harib kama so yeye vile😂😂😂😂😂
@maseleenaesleen8149
@maseleenaesleen8149 8 ай бұрын
😂😂😂😂😂😅😅
@BeatriceAdolf-gj6lr
@BeatriceAdolf-gj6lr 8 ай бұрын
Kaharibu au kamsaidia angejua saa ngap km anatafutiwa sababu
@Humanity21216
@Humanity21216 8 ай бұрын
Sasa hio si kauli tu baada ya mtu kuona mtu kalala na mwanaume mwingine kila mtu ana reaction yake msijudge tu
@ommyfire
@ommyfire 8 ай бұрын
Nice 1
@puridangote2701
@puridangote2701 8 ай бұрын
Ally umepigãje hapo😃😂😂😂
@RachelNgalya
@RachelNgalya 8 ай бұрын
😂😂😂😂Ally amesema alikuwa anamtafutia sababu dada WA WAtu 😭😭😭 r.i.p mapenzi
@puridangote2701
@puridangote2701 8 ай бұрын
@@RachelNgalya shwaaa😂😂😂
@reginamluviji9405
@reginamluviji9405 7 ай бұрын
chee anaomba na helaa hahahahah mariooo sio mchaga kweli huyo maan hahhaaha akii ndo mambo yao
@ZulfaTuesday-xm9cl
@ZulfaTuesday-xm9cl 7 ай бұрын
Iyo sogea y kiredio😂😂😂
@StrongbowArrow2004
@StrongbowArrow2004 7 ай бұрын
Wadada mvulana akisema hakutaki achana nae atakufanyia vituko hadi ujiachishe😂😂😂😂
@jescachandarua5898
@jescachandarua5898 8 ай бұрын
Duuu uyo wa pili kiboko dadeqqq kumbe ndio maana Wanaume wanakuwa legelege kumbe kuna mademu yanatoa baada ya kukatwa😅😅😅
@FarajaSijali
@FarajaSijali 8 ай бұрын
Mwanaume mnafik sana
@GiftyGifty-ev2hd
@GiftyGifty-ev2hd 7 ай бұрын
Mtafutie mchumba uyo dada
@mohamedrajabu9055
@mohamedrajabu9055 8 ай бұрын
Wanawake mwalimu wenu sio kipozi nikiziwi sasa faida yake nini 😂😂😂
@LubnaGeorge-re4yp
@LubnaGeorge-re4yp 8 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂 nyie Mme sio watu WA kuwamini
@STAVOO_WIZZIE
@STAVOO_WIZZIE 7 ай бұрын
Si uliitaka challenge mwenyewe 😅😅😅😅pokea majibu sasa
@Beyonceqme
@Beyonceqme 8 ай бұрын
Eti mwanaume anaomba elfu hamsini😂 and the one
@Sidrasidra636
@Sidrasidra636 8 ай бұрын
Uyo Ally hakupendi ww eti alikuwa anatafuta sababu yakukuacha w dada sepa tafuta mpenzi mwengine kabwa haja kuacha yy utakuja teseka ki akili 😢
@JosephineAlex-d8f
@JosephineAlex-d8f 8 ай бұрын
Mmmm polen sana tulilia sana
@reginamluviji9405
@reginamluviji9405 7 ай бұрын
siku tutakkuta challenge za mabwana pepsi wetu ahahahahahaah nataaamani siku moja nione challenge ya bwana pepsi wangu akikataa watu
@reginamluviji9405
@reginamluviji9405 7 ай бұрын
wa pili ni jaiva au hahahah
@mzazi15
@mzazi15 8 ай бұрын
Atakaeoa huyo mdada muuza viatu atakufa mapema sanaaaa... mwenyewe kasema hawez kumuacha huyo x sasa unazan atakutuliza akili ujijenge na kujenga familia kweli? Hell NO. Atakuua kwa stress bora tu aendeleze upuuzi wake na x ambae ni mwanaume wa mtu mwingine, huyo hafai kuoaa
@esterrupia8470
@esterrupia8470 8 ай бұрын
😅😅😅
@Enocky-pv5ui
@Enocky-pv5ui 8 ай бұрын
Ndo mkome kuganya charge 😂😂😂😂
@joycemachibya4380
@joycemachibya4380 8 ай бұрын
Unampajee helaaa mwanaume??aloooo😂😂
@MwanahawaMohammed
@MwanahawaMohammed 8 ай бұрын
😂😂😂😂😂 michezo mengine tuitikirie bila kuyafanya duh pole yake
@fadhilsalum2143
@fadhilsalum2143 8 ай бұрын
Mwana anajiuzaa 😂
@umranim5854
@umranim5854 7 ай бұрын
Huyo msichana wa kwanza umemharibia mahusiano yake 💔 sio vizuri
@NewNew-ep5dq
@NewNew-ep5dq 5 ай бұрын
Kiredio ndio man unenepi kwa umbea
@Stella-oh3my
@Stella-oh3my 8 ай бұрын
Dada koma limekushuka kiredio ww
@ashurajengela3926
@ashurajengela3926 8 ай бұрын
Wanaume nyie 😂😂😂🙌🏻
@Mercy-i5g
@Mercy-i5g 7 ай бұрын
kiredio kazi kwako huyo demu kachika
@Hadijaissa-j9c
@Hadijaissa-j9c 7 ай бұрын
Majina ya ally ni pasua kichwa
@SalmaJumanne-z7z
@SalmaJumanne-z7z 7 ай бұрын
Atar Sana
@Jayninetythree
@Jayninetythree 8 ай бұрын
Nipe namb ya uyo dem kaka 🤣
@nmasare9364
@nmasare9364 8 ай бұрын
We dem ndo fala tena sana baki na huyo kiredio sasa hata ningekua mimi ningekuacha sana tu
@SaifaPretty
@SaifaPretty 8 ай бұрын
Ali wangu ndo uje ufanye huu ujinga kubabake 😂
@neemamundhir4844
@neemamundhir4844 8 ай бұрын
Kiredio anazuga anahuzunika😂😂😂
@ZuwenaBeni
@ZuwenaBeni 6 ай бұрын
Huyo mwanaume katumia hasira kujibu nyie hamjajua tu
@TundaEmanuel-ns8kj
@TundaEmanuel-ns8kj 8 ай бұрын
Tulia dada upate mwanaume ataejal hisia zako acha nahuyo Ally komwe😊
@Mwenyebusara
@Mwenyebusara 8 ай бұрын
Anyway ko mlitaka mwanaume awe mnyonge au😢 achen kumulaum mi Sion kosa lake😮
@HoneyBeel5
@HoneyBeel5 7 ай бұрын
Angekua anampenda kweli asingesema alikua natafuta sababu. Huyo ni hampendi kabisa na mwanaume akikupenda lazima atakuuliza yeye ashasema hamuulizi
@nouhamour545
@nouhamour545 8 ай бұрын
wanaume tunagombana kwenye pesa tu 😀😀
@g_eazmusic1329
@g_eazmusic1329 8 ай бұрын
Kabisa uwezi kuta mwanaume anae jielewa ana gombania mwanamke
@bensonelisa3225
@bensonelisa3225 8 ай бұрын
Kiredio anazngua unajua huyo jamaa anaonekana anampenda sana huyo demu na unaweza ukakuta hata huyo mshkaji alkuwa hana mpango wakumuacha ndio maana alivyojua yupo na mshkaji mwngne "Daah! " zikawa nyingi zikionesha hali yakufadhaika na kuvunjika moyo na maneno hayo aliyoyaongea nikatika hali yakujitia moyo nakujikosha tu mbele ya mwanaume mwnzke wanaume wengi wasingejibu tofauti sana na huyu bwana coz wanaume tunaumizwa sana na fumanizi ila kama mwanaume still unataka kuonesha uimara
@tausishabani263
@tausishabani263 6 ай бұрын
Wewe umekosea hata kama mimi mwanamke aniambie mume wangu ni wake lazima nisilibe nijifanye sijaumia kumbe naumia
@stellamongi8811
@stellamongi8811 7 ай бұрын
Iyo blichi aijakaa powa
@NasmaMfinanga
@NasmaMfinanga 8 ай бұрын
Mh wanawake kazi tunayo
@samjr8957
@samjr8957 8 ай бұрын
Hahahahahaa hii imeenda
@mossesramadhani501
@mossesramadhani501 8 ай бұрын
Zingatia neno wanaume kama kugombana ni kugombania pesa tuuuu
@saumu7760
@saumu7760 8 ай бұрын
Dada kubali umerudi soko
@ANGELMAKOMBE-mq1nc
@ANGELMAKOMBE-mq1nc 8 ай бұрын
Wanaumee🙌
@nguyamtwartz5413
@nguyamtwartz5413 8 ай бұрын
Dada kaachwa muachwo😅
@HappynessStephano
@HappynessStephano 8 ай бұрын
Uuuwiiiiiiiii, Yesu nisaidie mimi😢😢 mwanaume shkamoo kabisa yani......
@subiranathanaeli-yd1tw
@subiranathanaeli-yd1tw 7 ай бұрын
Kiredio kiredio kiredio
@MohamedMwanikwa
@MohamedMwanikwa 8 ай бұрын
Achana nae
@lsacklsack
@lsacklsack 8 ай бұрын
Dada kama ulikuwa unam fumaniya wa nn tena achana naye haku fayi huyo😢😢
@bakarininga4100
@bakarininga4100 8 ай бұрын
Ila kiredio mamaee😂😂😂
@WinifridaMwangu
@WinifridaMwangu 8 ай бұрын
Bora umejua moyoni mtu anakuwazia nini 😅kheee jamani nyie ukichokwa
@ngwacahnyagwaswa9979
@ngwacahnyagwaswa9979 8 ай бұрын
😂😂😂
@Sweetnaah
@Sweetnaah 8 ай бұрын
Kiredio uko wapi na mimi nataka unifanyie challenge
@superkarimBenzema
@superkarimBenzema 7 ай бұрын
Kiredio uyo dem aloachwa na ali mwambie antafute nimlete zenj afrai maisha.
@fatimaharoun-np8uv
@fatimaharoun-np8uv 8 ай бұрын
Amelala yooooo😂 wanaume kuku wallah
@FatmaHamady
@FatmaHamady 7 ай бұрын
Fetty muongo jmn 🤣🤣🤣 eti hana ex
@JacklineSwai-xb3vu
@JacklineSwai-xb3vu 8 ай бұрын
😂ila ally kiboko
@FatmasompaFatmaramadhanisompa
@FatmasompaFatmaramadhanisompa 8 ай бұрын
Mmh mwanaume anataka hela kwa wakike
@hosianawalter6467
@hosianawalter6467 8 ай бұрын
Fatuma shaban umeniacha hoi
@JeremiahAgustino
@JeremiahAgustino 8 ай бұрын
Ila harmonize haishiw vituko kil cku🥰
@eggysulle7988
@eggysulle7988 8 ай бұрын
Mi siez fanya challenge za kipuuz iv
@kilianamapunda3170
@kilianamapunda3170 7 ай бұрын
Huwiiiii
@ZillaGod-xe9wc
@ZillaGod-xe9wc 8 ай бұрын
Kuonana ten😅😅kumanini
@nacyfloflo9494
@nacyfloflo9494 8 ай бұрын
Wewe unasemaje ila wanaume😅😅😅
@pillyramadhani3726
@pillyramadhani3726 8 ай бұрын
😂😂😂😂daah
@MosesShileka
@MosesShileka 8 ай бұрын
Mj Momjoll
@monicambarikiwa9532
@monicambarikiwa9532 8 ай бұрын
Kiredioa ameharibuu💔
@lakasid3860
@lakasid3860 8 ай бұрын
Kiredio unaharibu mahusiano ya watu halafu et unashangaa imekuaje 😂
@chunaabdullah1333
@chunaabdullah1333 8 ай бұрын
Na nyinyi wa dada muangalie vitu vyakujipaka mwajipakia marangi tu paka mwatisha wenyewe mkajion wazuri mwatishaaaa
@FatmaAlly-w7p
@FatmaAlly-w7p 8 ай бұрын
Yaan km nn mm hp ningeshuruku kweli kuniepusha na huyo mwanaume kumjuwa nia yke duuuh wanaume duuuh
@andreakomba1773
@andreakomba1773 7 ай бұрын
🎉ushauri wangu Mimi acha kumjaribu mwanaume wako maana ni jambo la ajabu sana kumjaribu maisha.
@doreenmathew165
@doreenmathew165 7 ай бұрын
Ila johari huna why ujaachaga kudate watu wasioelweka😂😢
@FatmasompaFatmaramadhanisompa
@FatmasompaFatmaramadhanisompa 8 ай бұрын
Wanaume wote wamefanana
@jordannelson2453
@jordannelson2453 8 ай бұрын
Damn it
@agnesmartin5716
@agnesmartin5716 8 ай бұрын
Dada hizo blich acha
@happymasanja4113
@happymasanja4113 8 ай бұрын
Mimi kupenda tena sitaki ngoja nitafute hela wanaume wamekua ni shida💔
@reginamluviji9405
@reginamluviji9405 7 ай бұрын
we kama mm sitaki kabisa kupenda mtu tena sitakiiii nijipende mwenyewe tu
@TundaEmanuel-ns8kj
@TundaEmanuel-ns8kj 8 ай бұрын
Sa mwanaume ushaamfymania mal kibao Bado unahaha nin, Yan Huyo nikibak dada mzuli hivyo unahangaik na maraya mwisho upate makaswende, kisonono, Ukimwi , Sonona😊
@giddie_barnabas
@giddie_barnabas 8 ай бұрын
Mwanangu usiache had watu fek wabaki peke yao😂😂
@rebeccamayo911
@rebeccamayo911 8 ай бұрын
Kabs
@sophykivuyo
@sophykivuyo 8 ай бұрын
Shwaaaaaaaaaa 😂😂😂😂😂😂😂
NLIKUA NAMTAFUTIA SABABU | WAKUTANISHWA
15:01
KIREDIO
Рет қаралды 236 М.
1% vs 100% #beatbox #tiktok
01:10
BeatboxJCOP
Рет қаралды 67 МЛН
When you have a very capricious child 😂😘👍
00:16
Like Asiya
Рет қаралды 18 МЛН
coco在求救? #小丑 #天使 #shorts
00:29
好人小丑
Рет қаралды 120 МЛН
Quando eu quero Sushi (sem desperdiçar) 🍣
00:26
Los Wagners
Рет қаралды 15 МЛН
MCHEPUKO Part 1
8:18
Mr Uky
Рет қаралды 68 М.
BIBI HARUSI MATATANI KUACHIKA KABLA YA HARUSI
11:32
KIREDIO
Рет қаралды 176 М.
HAKUNA NDOA
11:49
Joti TV
Рет қаралды 419 М.
IRENE NI NANI?? MKE AMTUKANA MUME WAKE, UMEBADILIKA SANA
9:28
JAYMELODY ATAKA KUMZULUMU KIREDIO
8:05
KIREDIO
Рет қаралды 37 М.
KIREDIO APIGWA
10:41
KIREDIO
Рет қаралды 75 М.
1% vs 100% #beatbox #tiktok
01:10
BeatboxJCOP
Рет қаралды 67 МЛН