Dah sema uyo demu umemsaidia kinyama mungu amsaidie
@ChamboYahaya8 ай бұрын
Kabisa
@MercyDaniel-dh7bk8 ай бұрын
Eee kwa kweli
@julianapeason62548 ай бұрын
huyu dada hawezi kuolewa apparence yake tuu
@jescachandarua58988 ай бұрын
@@julianapeason6254mmmh Kwan wewe ndio unaowa wanawake wote sio
@JosephineItambu7 ай бұрын
Hata haijasaidia kitu maana dada ni king'ang'a bado anamlilia huyo mshikaji
@Denatha_508 ай бұрын
Sito kuja kumwamini mwanaume yeyote hata kama nalala nae kila siku😂😂
@rosemilingi78608 ай бұрын
😂😂😂😂
@puridangote27018 ай бұрын
Shwaaaa😂😂😂
@LizLizy-ex6oz8 ай бұрын
😂😂😂
@MadihaFarid-t9j8 ай бұрын
Usiseme hvo dada yangu
@Halima-u7m8 ай бұрын
Siwez kabisa wee
@kingstone14348 ай бұрын
Ko mwanetu Kiredio apo mission accomplished 😂😂😂🙌
@EVALINEANDREAАй бұрын
Naomba No.nataka cm
@warakawayohana28968 ай бұрын
Duh huyo dem amesaidika 😂😂😂
@anoldjefsta1774 ай бұрын
Uyo wa kupewa laki moja Ndo naondoka nae😅😅😅
@MkomboziMkangala5 ай бұрын
Mh ah bhana😅
@miriamdavis38938 ай бұрын
Dada mzuri achana na huyo mwanaume
@coolson29257 ай бұрын
ameongea point kubwa sana ....wanaume tunagombana sababu ya pesa sio sketiii......ally bigup sana
@JeremiahLaizer-ln2fp8 ай бұрын
Hahaha...huyo mwenye duka ...si anipende tu mm Kam sijafuta namb za wanawake wote😅
@Mdenya8 ай бұрын
Uyooo muhuni moja kwa moja pepon
@hamzamohamedKeslivol7 ай бұрын
its a lessons my dear
@nikrahayubu-sz3pw8 ай бұрын
Vzr waachane maana wanakaa kuzini zini tu hawaolewi bora abwana kiredio endlelea hvy hvy 😂😂😂
@MercyDaniel-dh7bk8 ай бұрын
😂😂😂😂😂Eeaawa nimecheka🙌
@silviocimo39488 ай бұрын
Wani wewe eee😂😂
@ednashine94648 ай бұрын
Her face expression tells it all 😮maskini doh pole dr
@NasmaMfinanga8 ай бұрын
Ivi jaman waja mjue kiredio haaribu mahusiano ya watu Bali anawaamsha watu kwenye ndoto ambazo SI zao kiukwely inauma ila Mimi napenda ila wanaume jaman ifike zam Yao nao walie🙏🙏🙏😭😭😭
@F60hustlerF60hustler8 ай бұрын
We kiredio utajikuata upo kwenye gunia siku moja we vunja ndoa za watu 😂😂😂
@HajiFaki-n9v3 ай бұрын
Kiredio ushaharibu mahusiano baba
@maimunaulotu20758 ай бұрын
Sema wanaume ndo mnatufanyaga tuwe mashetani😂😂😂😂😂
@chunaabdullah13338 ай бұрын
Kabisa
@allymkamba10548 ай бұрын
Ally mi nomaaa
@khadijatanzania80407 ай бұрын
Endeleeni kumchekea kiredio mtaachwa kila siku😅😅😅
@billyboardeerick30778 ай бұрын
Sema kiredio mwanangu unazngua kinyama 😂😂😂😂😂😂
@ZainaboSalumu8 ай бұрын
Wewe kiredio ukivunja mahusiano ya watu, inabid ujuwe kuyarudisha pia sio unaharibu tu
@ngwacahnyagwaswa99798 ай бұрын
😂😂😂
@timothympandagoya63388 ай бұрын
MALAYA WOTE MWAKA HUU WAACHANISHWE ..UMALAYA MMEUBATIZA JINA LA MAHUSIANO KENGE NYIE.
@TajiriChuiwadunia8 ай бұрын
Kiredio alivyo tulia baada ya harib kama so yeye vile😂😂😂😂😂
@maseleenaesleen81498 ай бұрын
😂😂😂😂😂😅😅
@BeatriceAdolf-gj6lr8 ай бұрын
Kaharibu au kamsaidia angejua saa ngap km anatafutiwa sababu
@Humanity212168 ай бұрын
Sasa hio si kauli tu baada ya mtu kuona mtu kalala na mwanaume mwingine kila mtu ana reaction yake msijudge tu
@ommyfire8 ай бұрын
Nice 1
@puridangote27018 ай бұрын
Ally umepigãje hapo😃😂😂😂
@RachelNgalya8 ай бұрын
😂😂😂😂Ally amesema alikuwa anamtafutia sababu dada WA WAtu 😭😭😭 r.i.p mapenzi
@puridangote27018 ай бұрын
@@RachelNgalya shwaaa😂😂😂
@reginamluviji94057 ай бұрын
chee anaomba na helaa hahahahah mariooo sio mchaga kweli huyo maan hahhaaha akii ndo mambo yao
@ZulfaTuesday-xm9cl7 ай бұрын
Iyo sogea y kiredio😂😂😂
@StrongbowArrow20047 ай бұрын
Wadada mvulana akisema hakutaki achana nae atakufanyia vituko hadi ujiachishe😂😂😂😂
@jescachandarua58988 ай бұрын
Duuu uyo wa pili kiboko dadeqqq kumbe ndio maana Wanaume wanakuwa legelege kumbe kuna mademu yanatoa baada ya kukatwa😅😅😅
@FarajaSijali8 ай бұрын
Mwanaume mnafik sana
@GiftyGifty-ev2hd7 ай бұрын
Mtafutie mchumba uyo dada
@mohamedrajabu90558 ай бұрын
Wanawake mwalimu wenu sio kipozi nikiziwi sasa faida yake nini 😂😂😂
@LubnaGeorge-re4yp8 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂 nyie Mme sio watu WA kuwamini
@STAVOO_WIZZIE7 ай бұрын
Si uliitaka challenge mwenyewe 😅😅😅😅pokea majibu sasa
@Beyonceqme8 ай бұрын
Eti mwanaume anaomba elfu hamsini😂 and the one
@Sidrasidra6368 ай бұрын
Uyo Ally hakupendi ww eti alikuwa anatafuta sababu yakukuacha w dada sepa tafuta mpenzi mwengine kabwa haja kuacha yy utakuja teseka ki akili 😢
@JosephineAlex-d8f8 ай бұрын
Mmmm polen sana tulilia sana
@reginamluviji94057 ай бұрын
siku tutakkuta challenge za mabwana pepsi wetu ahahahahahaah nataaamani siku moja nione challenge ya bwana pepsi wangu akikataa watu
@reginamluviji94057 ай бұрын
wa pili ni jaiva au hahahah
@mzazi158 ай бұрын
Atakaeoa huyo mdada muuza viatu atakufa mapema sanaaaa... mwenyewe kasema hawez kumuacha huyo x sasa unazan atakutuliza akili ujijenge na kujenga familia kweli? Hell NO. Atakuua kwa stress bora tu aendeleze upuuzi wake na x ambae ni mwanaume wa mtu mwingine, huyo hafai kuoaa
@esterrupia84708 ай бұрын
😅😅😅
@Enocky-pv5ui8 ай бұрын
Ndo mkome kuganya charge 😂😂😂😂
@joycemachibya43808 ай бұрын
Unampajee helaaa mwanaume??aloooo😂😂
@MwanahawaMohammed8 ай бұрын
😂😂😂😂😂 michezo mengine tuitikirie bila kuyafanya duh pole yake
@fadhilsalum21438 ай бұрын
Mwana anajiuzaa 😂
@umranim58547 ай бұрын
Huyo msichana wa kwanza umemharibia mahusiano yake 💔 sio vizuri
@NewNew-ep5dq5 ай бұрын
Kiredio ndio man unenepi kwa umbea
@Stella-oh3my8 ай бұрын
Dada koma limekushuka kiredio ww
@ashurajengela39268 ай бұрын
Wanaume nyie 😂😂😂🙌🏻
@Mercy-i5g7 ай бұрын
kiredio kazi kwako huyo demu kachika
@Hadijaissa-j9c7 ай бұрын
Majina ya ally ni pasua kichwa
@SalmaJumanne-z7z7 ай бұрын
Atar Sana
@Jayninetythree8 ай бұрын
Nipe namb ya uyo dem kaka 🤣
@nmasare93648 ай бұрын
We dem ndo fala tena sana baki na huyo kiredio sasa hata ningekua mimi ningekuacha sana tu
@SaifaPretty8 ай бұрын
Ali wangu ndo uje ufanye huu ujinga kubabake 😂
@neemamundhir48448 ай бұрын
Kiredio anazuga anahuzunika😂😂😂
@ZuwenaBeni6 ай бұрын
Huyo mwanaume katumia hasira kujibu nyie hamjajua tu
Anyway ko mlitaka mwanaume awe mnyonge au😢 achen kumulaum mi Sion kosa lake😮
@HoneyBeel57 ай бұрын
Angekua anampenda kweli asingesema alikua natafuta sababu. Huyo ni hampendi kabisa na mwanaume akikupenda lazima atakuuliza yeye ashasema hamuulizi
@nouhamour5458 ай бұрын
wanaume tunagombana kwenye pesa tu 😀😀
@g_eazmusic13298 ай бұрын
Kabisa uwezi kuta mwanaume anae jielewa ana gombania mwanamke
@bensonelisa32258 ай бұрын
Kiredio anazngua unajua huyo jamaa anaonekana anampenda sana huyo demu na unaweza ukakuta hata huyo mshkaji alkuwa hana mpango wakumuacha ndio maana alivyojua yupo na mshkaji mwngne "Daah! " zikawa nyingi zikionesha hali yakufadhaika na kuvunjika moyo na maneno hayo aliyoyaongea nikatika hali yakujitia moyo nakujikosha tu mbele ya mwanaume mwnzke wanaume wengi wasingejibu tofauti sana na huyu bwana coz wanaume tunaumizwa sana na fumanizi ila kama mwanaume still unataka kuonesha uimara
@tausishabani2636 ай бұрын
Wewe umekosea hata kama mimi mwanamke aniambie mume wangu ni wake lazima nisilibe nijifanye sijaumia kumbe naumia
@stellamongi88117 ай бұрын
Iyo blichi aijakaa powa
@NasmaMfinanga8 ай бұрын
Mh wanawake kazi tunayo
@samjr89578 ай бұрын
Hahahahahaa hii imeenda
@mossesramadhani5018 ай бұрын
Zingatia neno wanaume kama kugombana ni kugombania pesa tuuuu
@saumu77608 ай бұрын
Dada kubali umerudi soko
@ANGELMAKOMBE-mq1nc8 ай бұрын
Wanaumee🙌
@nguyamtwartz54138 ай бұрын
Dada kaachwa muachwo😅
@HappynessStephano8 ай бұрын
Uuuwiiiiiiiii, Yesu nisaidie mimi😢😢 mwanaume shkamoo kabisa yani......
@subiranathanaeli-yd1tw7 ай бұрын
Kiredio kiredio kiredio
@MohamedMwanikwa8 ай бұрын
Achana nae
@lsacklsack8 ай бұрын
Dada kama ulikuwa unam fumaniya wa nn tena achana naye haku fayi huyo😢😢
@bakarininga41008 ай бұрын
Ila kiredio mamaee😂😂😂
@WinifridaMwangu8 ай бұрын
Bora umejua moyoni mtu anakuwazia nini 😅kheee jamani nyie ukichokwa
@ngwacahnyagwaswa99798 ай бұрын
😂😂😂
@Sweetnaah8 ай бұрын
Kiredio uko wapi na mimi nataka unifanyie challenge
@superkarimBenzema7 ай бұрын
Kiredio uyo dem aloachwa na ali mwambie antafute nimlete zenj afrai maisha.
@fatimaharoun-np8uv8 ай бұрын
Amelala yooooo😂 wanaume kuku wallah
@FatmaHamady7 ай бұрын
Fetty muongo jmn 🤣🤣🤣 eti hana ex
@JacklineSwai-xb3vu8 ай бұрын
😂ila ally kiboko
@FatmasompaFatmaramadhanisompa8 ай бұрын
Mmh mwanaume anataka hela kwa wakike
@hosianawalter64678 ай бұрын
Fatuma shaban umeniacha hoi
@JeremiahAgustino8 ай бұрын
Ila harmonize haishiw vituko kil cku🥰
@eggysulle79888 ай бұрын
Mi siez fanya challenge za kipuuz iv
@kilianamapunda31707 ай бұрын
Huwiiiii
@ZillaGod-xe9wc8 ай бұрын
Kuonana ten😅😅kumanini
@nacyfloflo94948 ай бұрын
Wewe unasemaje ila wanaume😅😅😅
@pillyramadhani37268 ай бұрын
😂😂😂😂daah
@MosesShileka8 ай бұрын
Mj Momjoll
@monicambarikiwa95328 ай бұрын
Kiredioa ameharibuu💔
@lakasid38608 ай бұрын
Kiredio unaharibu mahusiano ya watu halafu et unashangaa imekuaje 😂
@chunaabdullah13338 ай бұрын
Na nyinyi wa dada muangalie vitu vyakujipaka mwajipakia marangi tu paka mwatisha wenyewe mkajion wazuri mwatishaaaa
@FatmaAlly-w7p8 ай бұрын
Yaan km nn mm hp ningeshuruku kweli kuniepusha na huyo mwanaume kumjuwa nia yke duuuh wanaume duuuh
@andreakomba17737 ай бұрын
🎉ushauri wangu Mimi acha kumjaribu mwanaume wako maana ni jambo la ajabu sana kumjaribu maisha.
@doreenmathew1657 ай бұрын
Ila johari huna why ujaachaga kudate watu wasioelweka😂😢
@FatmasompaFatmaramadhanisompa8 ай бұрын
Wanaume wote wamefanana
@jordannelson24538 ай бұрын
Damn it
@agnesmartin57168 ай бұрын
Dada hizo blich acha
@happymasanja41138 ай бұрын
Mimi kupenda tena sitaki ngoja nitafute hela wanaume wamekua ni shida💔
@reginamluviji94057 ай бұрын
we kama mm sitaki kabisa kupenda mtu tena sitakiiii nijipende mwenyewe tu
@TundaEmanuel-ns8kj8 ай бұрын
Sa mwanaume ushaamfymania mal kibao Bado unahaha nin, Yan Huyo nikibak dada mzuli hivyo unahangaik na maraya mwisho upate makaswende, kisonono, Ukimwi , Sonona😊