Mafunzo ni nyenzo muhimu katika kuleta ufanisi kazini, tunaendelea kutoa mafunzo mbalimbali kwa mawakala wetu waliosambaa nchi nzima ili kuleta ufanisi na kuhakikisha huduma za kifedha zinawafikia Watanzania wengi zaidi
Пікірлер: 3
@malalezengo44055 жыл бұрын
Safi sana na mm nko kwenye plosezi za jusfuatilia niwe wakala
@rehema-le8gq4 ай бұрын
Mm nata ka kujua huduma kwawateja Nita patavp nikiwa mnje yamch
@dismassamwel71303 жыл бұрын
Jamani nisaidie kujua kuhusu kuwa wakala maana nimepotezwa mara nyingi,kwa kuambiwa kuwa huwezi kupata mashine ya wakala bila leseni iliyoisha muda wake ,uwe na mtaji milioni 2 ,sina shida na mtaji kwani ninao ila changamoto leseni yangu ina miezi 5 ila nasumbuliwa sana na wateja wangu maana hizi huduma xinaendana pia na kujulikana ,hivyo naomba msaada niko Arusha kisongo nina haja na mashine ya wakala mtaji sio shida