Mbarikiwe sana watu wa Mungu tunaosikiliza huu wimbo 2024 tujuane
@johnmophat53002 ай бұрын
Mungu azidi kutupa umri mrefu 😢rest in peace big dady sareh Mophat niliijua hii nyimbo na kwaya kwa ujumla kupitia kwa baba yetu mkubwa japo alikuwa islamic
@yvonneirakiza39904 жыл бұрын
Kama kuna mtu kamuona Beatrice muhone enzi hizo gonga like
@NoahLugano-ij8co4 ай бұрын
Alikuwa mbichiii
@danielmutinda83113 ай бұрын
Its now 2024 listening 😢 Piga likes tukisonga This is an amazing ❤ blessings
@TumainiShangilieniChoir3 ай бұрын
Amen, Be Blessed
@albertwayne15905 жыл бұрын
Kuna ambae anasikiza huu wimbo mwaka was 2019?Ebu wacha like.
@maphieemanuel13644 жыл бұрын
The song is memorable that you can not dare not listen to.
@icon78294 жыл бұрын
BWANA MUNGU ASIFIWE NDUGU WAPENDWA MIMI NAITWA ZADOCK OKUMU OMBURA KUTOKA NAIROBI KENYA WIMBO HUU WA NUHU NI WIMBO MZURI SANA ENDELEENI VIVYO HIVYO MBARIKIWE
@geofreysolomon59543 жыл бұрын
2020
@priscaanthony1067 Жыл бұрын
Mimi 2022 🥰
@erickodorick9523 Жыл бұрын
2022
@ayubumwailugula48432 жыл бұрын
Ivi hawa waimbaji wapo kweli kama wapo MUNGU awabariki sana tunawapenda
@TumainiShangilieniChoir2 жыл бұрын
Tupo, karibu sana Arusha ndugu Ayubu
@NoahLugano-ij8co4 ай бұрын
Sichoki kuwatazama nyimbo zenu,yaani mlikuwa Bora sana wakiwemo na majirani zenu wale wa FURAHA GANI
@AgnessNjeri2 ай бұрын
Wapo
@wannaproducts2 ай бұрын
Nimemuona Beatrice Muhone
@historiayaafrika29263 күн бұрын
Kuna siku ntakuja kutembea ….. kuja kuwaona maana nawapenda toka nikiwa Mdogo… nilijitahidi nikapata namba ya Kaka Mmoja anaitwa Mtongoo kama sijakosea…. Naamini wapo waliotangulia mbele ya haki na wapo Walionaki, Mungu awarinde sana
@dorcemrutu5683 Жыл бұрын
Tunao angalia huu wimbo hadi leo 2023 tujuane😊
@asteriamallya10872 жыл бұрын
Hii casseti baba ilikuwa inarudiwa na baba yanguu.imenikumbusha mbali. Asante Yesu kwa zawadi ya uhai
@TumainiShangilieniChoir2 жыл бұрын
Mungu aendelee kuwajalia uhai na kufanikiwa kwingi Rohoni na Mwilini.
@TumainiShangilieniChoir2 жыл бұрын
Mungu akujalie pia kufanikiwa sana pamoja na huo uhai.
@advocatechillongozi2221 Жыл бұрын
2023 na bado nabarikiwa na Huu wimbo ❤
@godwinbenedict41462 жыл бұрын
Hizi nyimbo nakumbuka nyumbani Wazazi walikua wanazipiga/cheza kwenye radio cassette, Mbarikiwe sana St James
@arnoldneema69772 жыл бұрын
I am still listening to it in 2022. It's always blessing
@josephatmwanga6 ай бұрын
J s mwanga mungu awabariki wote mnaosikiliza nyimbo za zaman
@margarethmwampondele78582 жыл бұрын
Wimbo unanipa kujitafakari sana. Mungu awabariki sana Tumaini Choir
@devidpanja1153 жыл бұрын
Nakumbka mbali sana kipnd nipo mtoto nafrah kuziona hiz nyimbo sasa asante Mungu
@roymosirigwa45143 жыл бұрын
This songs make me see myself at Heaven and feel so spiritual
@queenbianky17518 ай бұрын
12 Nov 2023 but still here❤❤❤ Nyimbo ina nikumbusha marehemu babangu
@stevenjulius5152 жыл бұрын
Ntasikiliza Sana hii ngoma naona uwepo wa mungu nikisikiza hiki kilikuwa kizaz Cha dhahabu kipndi icho mpaka leo hamjapa mpinzan
@barakakipkemoi82784 жыл бұрын
I watched this for the first time in 1999 when I was in class 8 back at home in Kenya. They r a blessing
@TumainiShangilieniChoir2 жыл бұрын
We are humbled.
@kingslyrics5193 Жыл бұрын
I am still listening to this song 2023
@YusraSelemani2 күн бұрын
Naipenda sana hii song hakika na barikiwa sana 🙏🙏♥️
@elviskoech62714 жыл бұрын
Naskiliza 2020
@kinywimwarabu2087 Жыл бұрын
Back in the days when Gospel songs were Gospel. God bless you
@raphaelmwamakimbula96428 күн бұрын
Shangilieni original mpo original kweli♥️🎶👏
@roychiwanga37303 жыл бұрын
Bado mko juu 2021 safi sana mbarikiwe sana.
@lordorcas93442 ай бұрын
Hosanna Hallelujah ❤💕
@henrychaula11745 жыл бұрын
Album hii umaarufu wake hautakaa upitwe hata miaka imam ja ijayo. Nafarijika sana nisikiapo na kuangalia video zenu hasa kwenye album hii nabarikiwa sana. Mungu awabariki sana waimbaji wote walioshiriki kwenye album hii, wapiga vyombo, mafundi mitambo na wengine wote.
@TumainiShangilieniChoir2 жыл бұрын
Amen Amen Mungu andelee kukubariki zaidi na zaidi
@dukeobara78904 жыл бұрын
Hallelujah... nice song. Early 2000. Gone are days
@peterhayo8620 Жыл бұрын
This choir has drawn many to Christ. As most of them must be aged by now, may God raise others to carry the mantle and continue blessing the current generation.
@Mombasa-gz7rd28 күн бұрын
This is altimate I can't get any better song than this one.Congratulations
@juliusmoshi317211 ай бұрын
01 Sept 23 hakika nakumbuka mbali sana sana. Mungu ni Mwema kwetu
@ccatacresecatacrese14834 жыл бұрын
Almost 2020 and I'm here. I'm 27 and remember this :D
@shumbushowakabutaigi47564 жыл бұрын
I was 12 in 1998 and I still enjoy the song
@TumainiShangilieniChoir2 жыл бұрын
Such a memory
@billyrique6 жыл бұрын
Kama nakumbuka niliponunua album hii mwaka 1993 niliinunua kwa sababu haswaaaaa ya huu wimbo. Naupenda saana hata leo hii!!
@simonkaleshu11935 жыл бұрын
Hii sio ilitoka mwaka 1999
@humphreymwihambi43305 жыл бұрын
Album hii ni ya mwaka 1997. Siyo mwaka 1999 au 1993.
@marselinadena76182 ай бұрын
Waaaaao
@michaeljaynti3669 Жыл бұрын
2022, but still a masterpiece
@rayjosephine1909 Жыл бұрын
2023, still vibing
@TumainiMivuba3 ай бұрын
Nimefurahi sana na huu wimbo mubarikew watumishi wa mungu memenikubusha bari
@TumainiShangilieniChoir3 ай бұрын
Amen, Endelea kubarikiwa Mtumishi
@kapeto_tv2 жыл бұрын
Bible based songs.
@amosmchiwa56323 жыл бұрын
October 03.2020 nakumbuka huduma ya watumishi hawa wa st James, sijabahatika kuwaona live nataman siku niwaone hasa mtumishi Beatrice Muhone kweli nawapenda mno
@TumainiShangilieniChoir2 жыл бұрын
Karibu sana Arusha, Amos. Mungu akubariki sana.
@WemaMgaleАй бұрын
Yaani inakubusha mbali mungu awabariki sana
@ZawadiSamy6 ай бұрын
Mungu wambinguni awaongezee siku atamuweze kuzidi nakumwimbia kilasiku katika maishamwenu amina
@justinlyuvale-kv9sk Жыл бұрын
Wachache wanaojua habari za mungu tumshukuru mungu tulie kuwepo na bado Mungu anazidi kutupa afya SEMA ameen
@obedlwunga79647 жыл бұрын
Enyi wapendwa wa Kristo Mungu baba wa mbinguni kweli awabariki sanaaa awazidishie uzima awatie nguvu katika Huduma yenu hatimaye awafikishe mbinguni maana huko ndiko talaji letu amen
@TumainiShangilieniChoir2 жыл бұрын
Amen Amen; Mungu akusaidie uvipige vita vizuri, ili tuirithi pamoja ile taji ya ushindi.
@gidionnyangaka89403 жыл бұрын
2021 am still here
@pauj9v Жыл бұрын
Amen amen🙏🙏🙏❤❤❤
@mutanu16163 жыл бұрын
Im here in 2020. Who else?
@alexspencer64992 жыл бұрын
Every time I listen to this song it reminds of my late dad men he loved the whole album.
@josephinemlimbila52822 жыл бұрын
same here, it reminds me of my Dad
@TumainiShangilieniChoir2 жыл бұрын
May he rest in eternal peace
@kossakantinga4094 Жыл бұрын
inanifanya niwe nawaza kufanya mema hii zoruba ya nuhu hatari ongereni waimbaji
@queenbianky17518 ай бұрын
Same here it reminds me of my late Dad.....may he keep on Resting in Perfect Peace
@marryandjoseph4702 жыл бұрын
Anaesikiliza 2021
@mamayde80067 жыл бұрын
Asanteni sana tumaini choir, mmerudisha shangilieni 1-videos hapa you tube. hii album yote huwa naskia kubarikiwa sana.
@naimaothman32037 жыл бұрын
Chao Rose Amen. Kwa kweli wabarikiwe sana kuirudisha hata mm inanibariki sana sana.
@EliaMdingi2 ай бұрын
Jamani nabarikiwa sana na wimbo huu hivi huyu Dada yupo wapi jamani nimemic sana
@badbabybajo21456 жыл бұрын
Jaman nikazuli kanyimbo mungu yupo asanten sana
@LuccierickАй бұрын
Kwaya ilikua na akina Mtangoo wapiga vyombo na waimbaji wazuri almost familia nzima
@stevenmfumbilwa2109 Жыл бұрын
Kazi yenu NJEMA SANA NA BWANA awe upande wenu na kuzidi
@Danie2024 Жыл бұрын
What a great song! I listen to it time and again.
@benmtani85837 жыл бұрын
hongera nyingi kwenu tumaini kwa nyimbo nzuri mpaka Leo bado zinabamba.
@jacksonkikwai70332 жыл бұрын
Huu wimbo wanikumbusha mbali sana nikiwa nachapa kibarua mchini kisumu mwaka ni 1998
@alexaugustino46443 жыл бұрын
Hizi ndyo nyimbo sio za miaka hii vimini na maumbo yao yamekuwa maonyesho wakati ni kumsifu mungu
@georgenathanael Жыл бұрын
My home choir back to time at St James Anglican Church Arusha 👏👏👏👏
@petershirima2463 Жыл бұрын
Nyimbo tamu sana hiii, nilikuwa darasa la tatu wakati nyimbo hii inatoka
@erickyahaya678411 ай бұрын
mi pia
@rehemahusseinndulani55422 жыл бұрын
Wimbo huu umenitoa mbaali,, Tufungulieee tufungulie
@mercyetago40203 ай бұрын
Am here❤🇰🇪
@devisshirima678010 ай бұрын
Ni 2023 bado mpya hii
@lulanjamd3886Ай бұрын
Amen mbarikiwe sana ndugu zangu katika Kristo 🙏
@TumainiShangilieniChoirАй бұрын
Amen Amen, Mtumishi
@sadockalfred67505 жыл бұрын
Jaman mbalikiwe sana hii nimeitafta mda mrefu naikosa
@danielpyuza41277 жыл бұрын
Hizi nyimbo zinanikumbusha mbali sana. Mbarikiwe sana St James choir.
@catherineaugustinenhemati95917 жыл бұрын
TUMAINI SHANGILIENI CHOIR ST. JAMES AC ARUSHA mb
@allenmjindo85546 жыл бұрын
Yaani huu wimbo wa Nuhu huwa unanibariki sana,mwili hunusisimuka nikiusikiliza,naupenda sana. Mbarikiwe sana Tumaini choir
@innocentnnko21466 жыл бұрын
innocent nnko wa Dodoma Tanzania.huu wimbo nimeanza nao mbali sana siku sina nauli Niko katikati ya Arusha Mjini natembea kwa mguu toka levolosi hadi tengeru Nina walkman inakanda yenye wimbo huu wimbo ukiisha Nina bomba la kalamu narudisha revers.nikiusikilizaga napata picha ya mwaka ule na huyu bwana aliesolo(Mtangoo) natamani sana nikutane nae Nina l kumuomba aniambie habari hizi kwa karibu naomba ukipata ujumbe huu mtangoo ninaomba reply 0682221496
@obillaezra62052 жыл бұрын
Kati ya Nyimbo zilizoimbwa kwa umakini wa Hali ya juu sana” Na ule wa Mwana mpotevu Prodigal Son, sadly I heard the Prodigal Son has already passed away” But He will be remembered a lot
@TumainiShangilieniChoir2 жыл бұрын
Yes, he's departed; May his soul rest in eternal peace.
@mmuruericka3702 Жыл бұрын
mbarkiwe sana watumishi wa Bwana aliye hai
@rechomlay5420 Жыл бұрын
Wimbo huu unanibariki sana .nasi tukutwe tumejiandaa. Mungu awabariki sana tumaini
@user-tx9ke3cz5e3 ай бұрын
Yaani uimbaji huu uko wapi kwa siku hizi? Hakuna hata mwenyewe wigi. Na wananidhamu ya uimbaji. Mungu tusaidie
@TumainiShangilieniChoir3 ай бұрын
Ameen Ameen
@HannaMwangi-bh7oi5 ай бұрын
Wow 2024 good song
@elishaphatobadiah83162 жыл бұрын
Any one watching this song this May2022. It is my dream one day to sing with guys.
@TumainiShangilieniChoir2 жыл бұрын
Elishaphat we dearly welcome you to join us.
@irenegiliard69422 жыл бұрын
My all time song ... Still listening in 2021🔥🔥🔥
@newtonsimba79302 жыл бұрын
Be blessed. Awesome song. Heavenly ❤️🌹🇰🇪.
@Seraphinesarah3 ай бұрын
am relating this song with current situation in kenya....
@TumainiShangilieniChoir2 ай бұрын
May ur Good Lord Protect you and your Family
@shadrackoyugi9642 Жыл бұрын
It's a very nice song I like it
@yonamrutu94602 жыл бұрын
nabarikiwaa sanaa na hizii nyimboo 2/6/2022❤💯🔥🔥🔥🔥
@LivingstoneShuma-xn9in11 ай бұрын
Hakika wimbo huu Huwa unanibariki sana,naamini akina Mtangoo bado mpo mnamtumikia Mungu Kwa njia hii ya uimbaji, MUNGU awabariki waimbaji wote wa Shangilieni
@dostovan51423 ай бұрын
Tumeipokea injili ya Mungu wa kweli
@TumainiShangilieniChoir3 ай бұрын
Amen, Sifa na utukufu ni kwa Bwana
@aronrobertmazengo75814 жыл бұрын
Ilikuwa 1998 zilipovuma,acha tu jina la bwana ni kuu kwa kweli
@NuruDunianiFM-TV2 жыл бұрын
Mungu awabariki sana natamani waje kuimba mahali nipo
@AtanasMnkondya-qq7vh3 ай бұрын
Nuhu mtu mwamungu
@mtaliimwenyeji7890 Жыл бұрын
Beatrice 🔥🔥🔥
@ezekielomweri79772 жыл бұрын
I have been looking for this powerful son am real blessed
@sophiemusa41792 жыл бұрын
2022...still one of the best
@johnjames72106 жыл бұрын
Dada yangu Beatrice Muhone mungu akubariki sana leo na hata milele
@francisluganga50585 жыл бұрын
Katoka mbali sana
@stephanmallya28864 жыл бұрын
Aaah asante sana ndugu namm nlivyona nikahisi ni yeye ila sikua na uhakika
@newtongabriel85293 жыл бұрын
Tujihadhari na dunia maana imechafuka na yaliyotabiriwa yamekwishatimia
@rizikitwiga2124 Жыл бұрын
Miaka ya zamani sana nikiwa Sunday school tunaona wanakwaya wanaimba huu,,,,na bado ujumbe unishi na ka uzito mkumbwa Mungu azidi kutukuzwa Milele na Milele
@lordorcas93449 ай бұрын
🙏❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️🙏❤️🙏❤️🙏❤️❤Acsenti Acsenti asente ba Pendwa
@MayaMaya-ov9xz2 жыл бұрын
Ni 2022 ❤️
@obedimunguachiza8434 Жыл бұрын
Machozi yananitoka nakumbuka nilipokuwa bado mtoto mdogo mama akinipeleka Sunday school! Nyimbo hizi nilizipenda saaaaana jameni Mungu azidi kuwatunza hata hapo tutakapo umaliza mwendo huu salama mubarikiwe wapendwa.
@bhatimhobingi9 ай бұрын
Tufungulieeee
@danielkikove973 ай бұрын
Jamani nabarikiwasana na nyimbo za zamani
@TumainiShangilieniChoir3 ай бұрын
Ameen Ameen
@estatamushi58836 жыл бұрын
jamani hii nyimbo naipenda sana,kwaya hii naipenda sana hua naifuatilia sana,mbarikiwe sana
@TumainiShangilieniChoir2 жыл бұрын
Mungu akubariki zaidi rafiki
@agreyminja9412 Жыл бұрын
Anyone listening this in 2023
@sabinatsaxara6736 Жыл бұрын
Mi naangali 2022 inanibarika sana,
@jacksonsulle6673 Жыл бұрын
Some of Choir members were my Nearby brothers& Sisters back then 1998 class 7.