Nuhu

  Рет қаралды 472,368

Tumaini Shangilieni Choir

Tumaini Shangilieni Choir

7 жыл бұрын

#tumaini #cana #holly #kana #nuhu #noah
Tumaini Shangilieni Choir, / tumainishangilieni.choir ; / tumainishangilienichoir

Пікірлер: 309
@emanuelnicodemus1173
@emanuelnicodemus1173 4 ай бұрын
Who's listening till 2024 😮😮
@christermlewa8471
@christermlewa8471 3 ай бұрын
Gonga like kama unaisikiliza 2024 Hadi raha yaani
@eflaziamahatane7981
@eflaziamahatane7981 4 ай бұрын
Mbarikiwe sana watu wa Mungu tunaosikiliza huu wimbo 2024 tujuane
@johnmophat5300
@johnmophat5300 2 ай бұрын
Mungu azidi kutupa umri mrefu 😢rest in peace big dady sareh Mophat niliijua hii nyimbo na kwaya kwa ujumla kupitia kwa baba yetu mkubwa japo alikuwa islamic
@yvonneirakiza3990
@yvonneirakiza3990 4 жыл бұрын
Kama kuna mtu kamuona Beatrice muhone enzi hizo gonga like
@NoahLugano-ij8co
@NoahLugano-ij8co 4 ай бұрын
Alikuwa mbichiii
@danielmutinda8311
@danielmutinda8311 3 ай бұрын
Its now 2024 listening 😢 Piga likes tukisonga This is an amazing ❤ blessings
@TumainiShangilieniChoir
@TumainiShangilieniChoir 3 ай бұрын
Amen, Be Blessed
@albertwayne1590
@albertwayne1590 5 жыл бұрын
Kuna ambae anasikiza huu wimbo mwaka was 2019?Ebu wacha like.
@maphieemanuel1364
@maphieemanuel1364 4 жыл бұрын
The song is memorable that you can not dare not listen to.
@icon7829
@icon7829 4 жыл бұрын
BWANA MUNGU ASIFIWE NDUGU WAPENDWA MIMI NAITWA ZADOCK OKUMU OMBURA KUTOKA NAIROBI KENYA WIMBO HUU WA NUHU NI WIMBO MZURI SANA ENDELEENI VIVYO HIVYO MBARIKIWE
@geofreysolomon5954
@geofreysolomon5954 3 жыл бұрын
2020
@priscaanthony1067
@priscaanthony1067 Жыл бұрын
Mimi 2022 🥰
@erickodorick9523
@erickodorick9523 Жыл бұрын
2022
@ayubumwailugula4843
@ayubumwailugula4843 2 жыл бұрын
Ivi hawa waimbaji wapo kweli kama wapo MUNGU awabariki sana tunawapenda
@TumainiShangilieniChoir
@TumainiShangilieniChoir 2 жыл бұрын
Tupo, karibu sana Arusha ndugu Ayubu
@NoahLugano-ij8co
@NoahLugano-ij8co 4 ай бұрын
Sichoki kuwatazama nyimbo zenu,yaani mlikuwa Bora sana wakiwemo na majirani zenu wale wa FURAHA GANI
@AgnessNjeri
@AgnessNjeri 2 ай бұрын
Wapo
@wannaproducts
@wannaproducts 2 ай бұрын
Nimemuona Beatrice Muhone
@historiayaafrika2926
@historiayaafrika2926 3 күн бұрын
Kuna siku ntakuja kutembea ….. kuja kuwaona maana nawapenda toka nikiwa Mdogo… nilijitahidi nikapata namba ya Kaka Mmoja anaitwa Mtongoo kama sijakosea…. Naamini wapo waliotangulia mbele ya haki na wapo Walionaki, Mungu awarinde sana
@dorcemrutu5683
@dorcemrutu5683 Жыл бұрын
Tunao angalia huu wimbo hadi leo 2023 tujuane😊
@asteriamallya1087
@asteriamallya1087 2 жыл бұрын
Hii casseti baba ilikuwa inarudiwa na baba yanguu.imenikumbusha mbali. Asante Yesu kwa zawadi ya uhai
@TumainiShangilieniChoir
@TumainiShangilieniChoir 2 жыл бұрын
Mungu aendelee kuwajalia uhai na kufanikiwa kwingi Rohoni na Mwilini.
@TumainiShangilieniChoir
@TumainiShangilieniChoir 2 жыл бұрын
Mungu akujalie pia kufanikiwa sana pamoja na huo uhai.
@advocatechillongozi2221
@advocatechillongozi2221 Жыл бұрын
2023 na bado nabarikiwa na Huu wimbo ❤
@godwinbenedict4146
@godwinbenedict4146 2 жыл бұрын
Hizi nyimbo nakumbuka nyumbani Wazazi walikua wanazipiga/cheza kwenye radio cassette, Mbarikiwe sana St James
@arnoldneema6977
@arnoldneema6977 2 жыл бұрын
I am still listening to it in 2022. It's always blessing
@josephatmwanga
@josephatmwanga 6 ай бұрын
J s mwanga mungu awabariki wote mnaosikiliza nyimbo za zaman
@margarethmwampondele7858
@margarethmwampondele7858 2 жыл бұрын
Wimbo unanipa kujitafakari sana. Mungu awabariki sana Tumaini Choir
@devidpanja115
@devidpanja115 3 жыл бұрын
Nakumbka mbali sana kipnd nipo mtoto nafrah kuziona hiz nyimbo sasa asante Mungu
@roymosirigwa4514
@roymosirigwa4514 3 жыл бұрын
This songs make me see myself at Heaven and feel so spiritual
@queenbianky1751
@queenbianky1751 8 ай бұрын
12 Nov 2023 but still here❤❤❤ Nyimbo ina nikumbusha marehemu babangu
@stevenjulius515
@stevenjulius515 2 жыл бұрын
Ntasikiliza Sana hii ngoma naona uwepo wa mungu nikisikiza hiki kilikuwa kizaz Cha dhahabu kipndi icho mpaka leo hamjapa mpinzan
@barakakipkemoi8278
@barakakipkemoi8278 4 жыл бұрын
I watched this for the first time in 1999 when I was in class 8 back at home in Kenya. They r a blessing
@TumainiShangilieniChoir
@TumainiShangilieniChoir 2 жыл бұрын
We are humbled.
@kingslyrics5193
@kingslyrics5193 Жыл бұрын
I am still listening to this song 2023
@YusraSelemani
@YusraSelemani 2 күн бұрын
Naipenda sana hii song hakika na barikiwa sana 🙏🙏♥️
@elviskoech6271
@elviskoech6271 4 жыл бұрын
Naskiliza 2020
@kinywimwarabu2087
@kinywimwarabu2087 Жыл бұрын
Back in the days when Gospel songs were Gospel. God bless you
@raphaelmwamakimbula9642
@raphaelmwamakimbula9642 8 күн бұрын
Shangilieni original mpo original kweli♥️🎶👏
@roychiwanga3730
@roychiwanga3730 3 жыл бұрын
Bado mko juu 2021 safi sana mbarikiwe sana.
@lordorcas9344
@lordorcas9344 2 ай бұрын
Hosanna Hallelujah ❤💕
@henrychaula1174
@henrychaula1174 5 жыл бұрын
Album hii umaarufu wake hautakaa upitwe hata miaka imam ja ijayo. Nafarijika sana nisikiapo na kuangalia video zenu hasa kwenye album hii nabarikiwa sana. Mungu awabariki sana waimbaji wote walioshiriki kwenye album hii, wapiga vyombo, mafundi mitambo na wengine wote.
@TumainiShangilieniChoir
@TumainiShangilieniChoir 2 жыл бұрын
Amen Amen Mungu andelee kukubariki zaidi na zaidi
@dukeobara7890
@dukeobara7890 4 жыл бұрын
Hallelujah... nice song. Early 2000. Gone are days
@peterhayo8620
@peterhayo8620 Жыл бұрын
This choir has drawn many to Christ. As most of them must be aged by now, may God raise others to carry the mantle and continue blessing the current generation.
@Mombasa-gz7rd
@Mombasa-gz7rd 28 күн бұрын
This is altimate I can't get any better song than this one.Congratulations
@juliusmoshi3172
@juliusmoshi3172 11 ай бұрын
01 Sept 23 hakika nakumbuka mbali sana sana. Mungu ni Mwema kwetu
@ccatacresecatacrese1483
@ccatacresecatacrese1483 4 жыл бұрын
Almost 2020 and I'm here. I'm 27 and remember this :D
@shumbushowakabutaigi4756
@shumbushowakabutaigi4756 4 жыл бұрын
I was 12 in 1998 and I still enjoy the song
@TumainiShangilieniChoir
@TumainiShangilieniChoir 2 жыл бұрын
Such a memory
@billyrique
@billyrique 6 жыл бұрын
Kama nakumbuka niliponunua album hii mwaka 1993 niliinunua kwa sababu haswaaaaa ya huu wimbo. Naupenda saana hata leo hii!!
@simonkaleshu1193
@simonkaleshu1193 5 жыл бұрын
Hii sio ilitoka mwaka 1999
@humphreymwihambi4330
@humphreymwihambi4330 5 жыл бұрын
Album hii ni ya mwaka 1997. Siyo mwaka 1999 au 1993.
@marselinadena7618
@marselinadena7618 2 ай бұрын
Waaaaao
@michaeljaynti3669
@michaeljaynti3669 Жыл бұрын
2022, but still a masterpiece
@rayjosephine1909
@rayjosephine1909 Жыл бұрын
2023, still vibing
@TumainiMivuba
@TumainiMivuba 3 ай бұрын
Nimefurahi sana na huu wimbo mubarikew watumishi wa mungu memenikubusha bari
@TumainiShangilieniChoir
@TumainiShangilieniChoir 3 ай бұрын
Amen, Endelea kubarikiwa Mtumishi
@kapeto_tv
@kapeto_tv 2 жыл бұрын
Bible based songs.
@amosmchiwa5632
@amosmchiwa5632 3 жыл бұрын
October 03.2020 nakumbuka huduma ya watumishi hawa wa st James, sijabahatika kuwaona live nataman siku niwaone hasa mtumishi Beatrice Muhone kweli nawapenda mno
@TumainiShangilieniChoir
@TumainiShangilieniChoir 2 жыл бұрын
Karibu sana Arusha, Amos. Mungu akubariki sana.
@WemaMgale
@WemaMgale Ай бұрын
Yaani inakubusha mbali mungu awabariki sana
@ZawadiSamy
@ZawadiSamy 6 ай бұрын
Mungu wambinguni awaongezee siku atamuweze kuzidi nakumwimbia kilasiku katika maishamwenu amina
@justinlyuvale-kv9sk
@justinlyuvale-kv9sk Жыл бұрын
Wachache wanaojua habari za mungu tumshukuru mungu tulie kuwepo na bado Mungu anazidi kutupa afya SEMA ameen
@obedlwunga7964
@obedlwunga7964 7 жыл бұрын
Enyi wapendwa wa Kristo Mungu baba wa mbinguni kweli awabariki sanaaa awazidishie uzima awatie nguvu katika Huduma yenu hatimaye awafikishe mbinguni maana huko ndiko talaji letu amen
@TumainiShangilieniChoir
@TumainiShangilieniChoir 2 жыл бұрын
Amen Amen; Mungu akusaidie uvipige vita vizuri, ili tuirithi pamoja ile taji ya ushindi.
@gidionnyangaka8940
@gidionnyangaka8940 3 жыл бұрын
2021 am still here
@pauj9v
@pauj9v Жыл бұрын
Amen amen🙏🙏🙏❤❤❤
@mutanu1616
@mutanu1616 3 жыл бұрын
Im here in 2020. Who else?
@alexspencer6499
@alexspencer6499 2 жыл бұрын
Every time I listen to this song it reminds of my late dad men he loved the whole album.
@josephinemlimbila5282
@josephinemlimbila5282 2 жыл бұрын
same here, it reminds me of my Dad
@TumainiShangilieniChoir
@TumainiShangilieniChoir 2 жыл бұрын
May he rest in eternal peace
@kossakantinga4094
@kossakantinga4094 Жыл бұрын
inanifanya niwe nawaza kufanya mema hii zoruba ya nuhu hatari ongereni waimbaji
@queenbianky1751
@queenbianky1751 8 ай бұрын
Same here it reminds me of my late Dad.....may he keep on Resting in Perfect Peace
@marryandjoseph470
@marryandjoseph470 2 жыл бұрын
Anaesikiliza 2021
@mamayde8006
@mamayde8006 7 жыл бұрын
Asanteni sana tumaini choir, mmerudisha shangilieni 1-videos hapa you tube. hii album yote huwa naskia kubarikiwa sana.
@naimaothman3203
@naimaothman3203 7 жыл бұрын
Chao Rose Amen. Kwa kweli wabarikiwe sana kuirudisha hata mm inanibariki sana sana.
@EliaMdingi
@EliaMdingi 2 ай бұрын
Jamani nabarikiwa sana na wimbo huu hivi huyu Dada yupo wapi jamani nimemic sana
@badbabybajo2145
@badbabybajo2145 6 жыл бұрын
Jaman nikazuli kanyimbo mungu yupo asanten sana
@Luccierick
@Luccierick Ай бұрын
Kwaya ilikua na akina Mtangoo wapiga vyombo na waimbaji wazuri almost familia nzima
@stevenmfumbilwa2109
@stevenmfumbilwa2109 Жыл бұрын
Kazi yenu NJEMA SANA NA BWANA awe upande wenu na kuzidi
@Danie2024
@Danie2024 Жыл бұрын
What a great song! I listen to it time and again.
@benmtani8583
@benmtani8583 7 жыл бұрын
hongera nyingi kwenu tumaini kwa nyimbo nzuri mpaka Leo bado zinabamba.
@jacksonkikwai7033
@jacksonkikwai7033 2 жыл бұрын
Huu wimbo wanikumbusha mbali sana nikiwa nachapa kibarua mchini kisumu mwaka ni 1998
@alexaugustino4644
@alexaugustino4644 3 жыл бұрын
Hizi ndyo nyimbo sio za miaka hii vimini na maumbo yao yamekuwa maonyesho wakati ni kumsifu mungu
@georgenathanael
@georgenathanael Жыл бұрын
My home choir back to time at St James Anglican Church Arusha 👏👏👏👏
@petershirima2463
@petershirima2463 Жыл бұрын
Nyimbo tamu sana hiii, nilikuwa darasa la tatu wakati nyimbo hii inatoka
@erickyahaya6784
@erickyahaya6784 11 ай бұрын
mi pia
@rehemahusseinndulani5542
@rehemahusseinndulani5542 2 жыл бұрын
Wimbo huu umenitoa mbaali,, Tufungulieee tufungulie
@mercyetago4020
@mercyetago4020 3 ай бұрын
Am here❤🇰🇪
@devisshirima6780
@devisshirima6780 10 ай бұрын
Ni 2023 bado mpya hii
@lulanjamd3886
@lulanjamd3886 Ай бұрын
Amen mbarikiwe sana ndugu zangu katika Kristo 🙏
@TumainiShangilieniChoir
@TumainiShangilieniChoir Ай бұрын
Amen Amen, Mtumishi
@sadockalfred6750
@sadockalfred6750 5 жыл бұрын
Jaman mbalikiwe sana hii nimeitafta mda mrefu naikosa
@danielpyuza4127
@danielpyuza4127 7 жыл бұрын
Hizi nyimbo zinanikumbusha mbali sana. Mbarikiwe sana St James choir.
@catherineaugustinenhemati9591
@catherineaugustinenhemati9591 7 жыл бұрын
TUMAINI SHANGILIENI CHOIR ST. JAMES AC ARUSHA mb
@allenmjindo8554
@allenmjindo8554 6 жыл бұрын
Yaani huu wimbo wa Nuhu huwa unanibariki sana,mwili hunusisimuka nikiusikiliza,naupenda sana. Mbarikiwe sana Tumaini choir
@innocentnnko2146
@innocentnnko2146 6 жыл бұрын
innocent nnko wa Dodoma Tanzania.huu wimbo nimeanza nao mbali sana siku sina nauli Niko katikati ya Arusha Mjini natembea kwa mguu toka levolosi hadi tengeru Nina walkman inakanda yenye wimbo huu wimbo ukiisha Nina bomba la kalamu narudisha revers.nikiusikilizaga napata picha ya mwaka ule na huyu bwana aliesolo(Mtangoo) natamani sana nikutane nae Nina l kumuomba aniambie habari hizi kwa karibu naomba ukipata ujumbe huu mtangoo ninaomba reply 0682221496
@obillaezra6205
@obillaezra6205 2 жыл бұрын
Kati ya Nyimbo zilizoimbwa kwa umakini wa Hali ya juu sana” Na ule wa Mwana mpotevu Prodigal Son, sadly I heard the Prodigal Son has already passed away” But He will be remembered a lot
@TumainiShangilieniChoir
@TumainiShangilieniChoir 2 жыл бұрын
Yes, he's departed; May his soul rest in eternal peace.
@mmuruericka3702
@mmuruericka3702 Жыл бұрын
mbarkiwe sana watumishi wa Bwana aliye hai
@rechomlay5420
@rechomlay5420 Жыл бұрын
Wimbo huu unanibariki sana .nasi tukutwe tumejiandaa. Mungu awabariki sana tumaini
@user-tx9ke3cz5e
@user-tx9ke3cz5e 3 ай бұрын
Yaani uimbaji huu uko wapi kwa siku hizi? Hakuna hata mwenyewe wigi. Na wananidhamu ya uimbaji. Mungu tusaidie
@TumainiShangilieniChoir
@TumainiShangilieniChoir 3 ай бұрын
Ameen Ameen
@HannaMwangi-bh7oi
@HannaMwangi-bh7oi 5 ай бұрын
Wow 2024 good song
@elishaphatobadiah8316
@elishaphatobadiah8316 2 жыл бұрын
Any one watching this song this May2022. It is my dream one day to sing with guys.
@TumainiShangilieniChoir
@TumainiShangilieniChoir 2 жыл бұрын
Elishaphat we dearly welcome you to join us.
@irenegiliard6942
@irenegiliard6942 2 жыл бұрын
My all time song ... Still listening in 2021🔥🔥🔥
@newtonsimba7930
@newtonsimba7930 2 жыл бұрын
Be blessed. Awesome song. Heavenly ❤️🌹🇰🇪.
@Seraphinesarah
@Seraphinesarah 3 ай бұрын
am relating this song with current situation in kenya....
@TumainiShangilieniChoir
@TumainiShangilieniChoir 2 ай бұрын
May ur Good Lord Protect you and your Family
@shadrackoyugi9642
@shadrackoyugi9642 Жыл бұрын
It's a very nice song I like it
@yonamrutu9460
@yonamrutu9460 2 жыл бұрын
nabarikiwaa sanaa na hizii nyimboo 2/6/2022❤💯🔥🔥🔥🔥
@LivingstoneShuma-xn9in
@LivingstoneShuma-xn9in 11 ай бұрын
Hakika wimbo huu Huwa unanibariki sana,naamini akina Mtangoo bado mpo mnamtumikia Mungu Kwa njia hii ya uimbaji, MUNGU awabariki waimbaji wote wa Shangilieni
@dostovan5142
@dostovan5142 3 ай бұрын
Tumeipokea injili ya Mungu wa kweli
@TumainiShangilieniChoir
@TumainiShangilieniChoir 3 ай бұрын
Amen, Sifa na utukufu ni kwa Bwana
@aronrobertmazengo7581
@aronrobertmazengo7581 4 жыл бұрын
Ilikuwa 1998 zilipovuma,acha tu jina la bwana ni kuu kwa kweli
@NuruDunianiFM-TV
@NuruDunianiFM-TV 2 жыл бұрын
Mungu awabariki sana natamani waje kuimba mahali nipo
@AtanasMnkondya-qq7vh
@AtanasMnkondya-qq7vh 3 ай бұрын
Nuhu mtu mwamungu
@mtaliimwenyeji7890
@mtaliimwenyeji7890 Жыл бұрын
Beatrice 🔥🔥🔥
@ezekielomweri7977
@ezekielomweri7977 2 жыл бұрын
I have been looking for this powerful son am real blessed
@sophiemusa4179
@sophiemusa4179 2 жыл бұрын
2022...still one of the best
@johnjames7210
@johnjames7210 6 жыл бұрын
Dada yangu Beatrice Muhone mungu akubariki sana leo na hata milele
@francisluganga5058
@francisluganga5058 5 жыл бұрын
Katoka mbali sana
@stephanmallya2886
@stephanmallya2886 4 жыл бұрын
Aaah asante sana ndugu namm nlivyona nikahisi ni yeye ila sikua na uhakika
@newtongabriel8529
@newtongabriel8529 3 жыл бұрын
Tujihadhari na dunia maana imechafuka na yaliyotabiriwa yamekwishatimia
@rizikitwiga2124
@rizikitwiga2124 Жыл бұрын
Miaka ya zamani sana nikiwa Sunday school tunaona wanakwaya wanaimba huu,,,,na bado ujumbe unishi na ka uzito mkumbwa Mungu azidi kutukuzwa Milele na Milele
@lordorcas9344
@lordorcas9344 9 ай бұрын
🙏❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️🙏❤️🙏❤️🙏❤️❤Acsenti Acsenti asente ba Pendwa
@MayaMaya-ov9xz
@MayaMaya-ov9xz 2 жыл бұрын
Ni 2022 ❤️
@obedimunguachiza8434
@obedimunguachiza8434 Жыл бұрын
Machozi yananitoka nakumbuka nilipokuwa bado mtoto mdogo mama akinipeleka Sunday school! Nyimbo hizi nilizipenda saaaaana jameni Mungu azidi kuwatunza hata hapo tutakapo umaliza mwendo huu salama mubarikiwe wapendwa.
@bhatimhobingi
@bhatimhobingi 9 ай бұрын
Tufungulieeee
@danielkikove97
@danielkikove97 3 ай бұрын
Jamani nabarikiwasana na nyimbo za zamani
@TumainiShangilieniChoir
@TumainiShangilieniChoir 3 ай бұрын
Ameen Ameen
@estatamushi5883
@estatamushi5883 6 жыл бұрын
jamani hii nyimbo naipenda sana,kwaya hii naipenda sana hua naifuatilia sana,mbarikiwe sana
@TumainiShangilieniChoir
@TumainiShangilieniChoir 2 жыл бұрын
Mungu akubariki zaidi rafiki
@agreyminja9412
@agreyminja9412 Жыл бұрын
Anyone listening this in 2023
@sabinatsaxara6736
@sabinatsaxara6736 Жыл бұрын
Mi naangali 2022 inanibarika sana,
@jacksonsulle6673
@jacksonsulle6673 Жыл бұрын
Some of Choir members were my Nearby brothers& Sisters back then 1998 class 7.
@johnthadayo954
@johnthadayo954 Жыл бұрын
Mungu wabariki watumishi wako
@Clavatechsolutions
@Clavatechsolutions 10 ай бұрын
Nuna mutu ana sikiliza uuwimbo kwa mwaka wa 2023?
Dunia hii
5:52
Tumaini Shangilieni Choir
Рет қаралды 402 М.
How to win a argument
9:28
ajaxkmr
Рет қаралды 417 М.
WORLD'S SHORTEST WOMAN
00:58
Stokes Twins
Рет қаралды 80 МЛН
Secret Experiment Toothpaste Pt.4 😱 #shorts
00:35
Mr DegrEE
Рет қаралды 34 МЛН
Clown takes blame for missing candy 🍬🤣 #shorts
00:49
Yoeslan
Рет қаралды 44 МЛН
When A Gang Leader Confronted Muhammad Ali
11:43
Boxing After Dark
Рет қаралды 4,6 МЛН
Mwana Mpotevu
6:20
Tumaini Shangilieni Choir
Рет қаралды 535 М.
Wakati Ule Wa Nuhu
6:26
MAPIGANO ULYANKULU RD22 KWAYA
Рет қаралды 4,5 М.
A Muslim Man Enters a Church - They Laughed
39:53
Sabeel Ahmed
Рет қаралды 1,4 МЛН
Mtu wa Nne - Kinondoni Revival Choir (Official Music Video).
9:41
Kinondoni Revival Choir [KRC] The healing voice
Рет қаралды 1,3 МЛН
Nakulilia Yehova
5:13
Tumaini Shangilieni Choir
Рет қаралды 556 М.
Ilikuwa Alfajiri
5:17
Tumaini Shangilieni Choir
Рет қаралды 443 М.
Kenjebek Nurdolday & Baller - sokpe#сокпе#сөкпе
3:10
Kenjebek Nurdolday
Рет қаралды 114 М.
Stray Kids "Chk Chk Boom" M/V
3:26
JYP Entertainment
Рет қаралды 62 МЛН
Nurmuhammed Jaqyp  - Nasini el donya (cover)
2:57
Nurmuhammed Jaqyp
Рет қаралды 612 М.
Dj Jack SpaRRow - Akbar Ghalta Bahiati ( Slap Remix Arabic ) #TIKTOK
2:21
Dj Jack SpaRRow
Рет қаралды 1,5 МЛН
Әбдіжаппар Әлқожа - Ұмыт деме
3:58
Әбдіжаппар Әлқожа
Рет қаралды 1,1 МЛН