Daah nizuli sana hii simulizi inamafunsisho mengi na matamu ya kusisimua MashaAllah ❤❤, 🇴🇲🇴🇲 kweli nimeamini rafiki ni mama ako mzazi atandugu nae awaminiki
@avelinabaluhya28044 күн бұрын
Ee Mwenyezi Mungu nipe moyo kama wa Nuria,moyo wa dhahabu wakusamehe🙏
@kibibi78264 күн бұрын
Muandishi umeongea uhalisia wa Ndugu wakubwa ambao wanajitoa kwa wadogo zao kipindi icho huna kitu yani ukiwa mkubwa alafu uwe hauna pesa dharau,masimango na dharau na kusemwa pia kwa mwanaume au wanaume au wake za wadogo zetu....yani kama ujawai pitia hiyo changamoto ni ngumu kuelewa utaona kama ni simulizi ila wengi wanapitia kilochoandikwa na kusimuliwa😢😢😢tujitoe kwa mipaka ili kueka akiba ya kesho incase lolote litokee😊😊Much love from kenya Mombasa
@avelinabaluhya28044 күн бұрын
Asante sana Victotia kwa usimuliaji makini wa hadithi yenye mafunzo mengi ♥️♥️♥️🌹🌹🌹🌹🌹👋💃
@MwanatumuJumaa-rj4fg4 күн бұрын
Hizi ndio simulizi zknazofaa katika .jamii..nimejifunza mengi sana ee mola niajalie moyo wa msamaha kama wa Nuria na .....
@AnnaMelikion4 күн бұрын
Simulizi ina funzo kubwa san kuhusu undugu . Asante sana ❤
@ZainabuNasibu-v2k5 күн бұрын
Jamn nimekuwa wa kumi na Tano like zangu
@zenaathumani81445 күн бұрын
❤❤❤🎉
@MamaSuzi-d3r4 күн бұрын
Kweli Nuria angemwacha mdogo wako angekuua wewe
@Babyfaty-m3y4 күн бұрын
Nuria mjinga sna saw saw na helen tu huruma zke zinampnza ungeuliwa ww ndo ungekuwa kma ndugu yko ndo mbaya jinga sna ww unaacha kumsikiliz mwnmme aliyekupa maisha unaenda kuamin kma mdogo wko ndo kaonew mpka mtt wko anabakwa kwa ujinga wko
@AnnaMelikion5 күн бұрын
Subilini niwafungulie mlango kwanza jman mtanikanyaga😂😂😂
@zenaathumani81445 күн бұрын
❤❤❤🎉
@AnnaMelikion5 күн бұрын
@@zenaathumani8144 my dear 😘
@MwanatumuJumaa-rj4fg4 күн бұрын
Yaani siku hizi hakuna cha damu nzito kuliko maji juu wasiohusiana nask kwa damu ndio wanaotustiri kuliko ndugu wa damu
@Aishwaraimasiennah4 күн бұрын
@@MwanatumuJumaa-rj4fg damu sikuhizi si nzito nikama ilitiwa maji🤣🤣
@MwanatumuJumaa-rj4fg3 күн бұрын
@@Aishwaraimasiennah yalianza zamani juu Nabii yusuf kauzwa na nduguze wa damu katiwa kisimani na nduguze wa damu sasa letu nikiishi kwa tahadhari juu jamii inatuzunguka haitutakii wala kufurahia mema na neema zetu
@Aishwaraimasiennah3 күн бұрын
@@MwanatumuJumaa-rj4fg kweli kabisaa
@ZainabuNasibu-v2k5 күн бұрын
Wa tatu
@zenaathumani81445 күн бұрын
❤❤❤🎉
@christinahaule-p8i4 күн бұрын
❤❤❤
@Aishamzamilu4 күн бұрын
❤
@GraceBakari-wo8ly5 күн бұрын
❤❤❤🎉🎉
@SallyJemutai-w5r4 күн бұрын
Simulizi tabu nimejifunza kitu
@ManisaboSifa4 күн бұрын
Wao❤❤❤
@zenaathumani81445 күн бұрын
🙏🙏🙏♥️♥️♥️♥️♥️🎉🎉🎉
@avelinabaluhya28044 күн бұрын
Jamani kila jambo linakuwa na sababu ktk maisha yajayo,tusiwe na kazi yakulaumu tu sisi binadamu,😂😂😂 ubaya ubwela na udugu umala 😂😂😂
@Aishwaraimasiennah4 күн бұрын
😂😂
@Pedeshee019 сағат бұрын
Dada penda penda huyu.japo ni utunzi ila mdada noma anapenda mboo
@hawasaid52864 күн бұрын
usiwaonee huruma wanaume...watakuliza. wengi waliohurumia wanaume na kuwasaidia huishia kulizwa tuuu.
@NiyoBuja5 күн бұрын
Wapili jamani
@khizirially7601Күн бұрын
Nuria ana roho nzur San daaah❤❤
@MamaSuzi-d3r4 күн бұрын
Sasa Nuria utaambulia ukimwi tulia fala wewe
@janethdaud2014 күн бұрын
Pamoja
@JawahirMadar4 күн бұрын
Kweli wajinga sana mtu kampa sumu huku shitaki hata polisi ushahidi tosha unge mpata tu