Рет қаралды 99
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mifugo na Uvuvi anayeshughulikia sekta ya Mifugo Prof. Daniel Mushi amesema kuwa Wizara yake imeifanya kanda ya Nyanda za Juu kusini kuwa ni eneo lao la kimkakati kwa upande wa Ufugaji hususan ufugaji wa Ng’ombe wa Maziwa.