Uyu jamaa mungu amubariki sana ana roho nzuri sanaalikuja hospital wanging'ombe aliwap wagonjwa sh10000 sh10000 na mama yangu akiwemo ubarikiwe sana ndugu yangu mungu akuzidishie pale ulipo toa
@joshuajustustz27 күн бұрын
Kila uwekezaji unalipa ila chanzo cha mafanikio ni muwekezaji mwenyewe. Amefanya kilimo cha parachichi zaidi ya miaka 10 na bado anaendelea. Usiache unachokifanya Kwa kuhisi hakina maslahi mapana. Faida ipo. Mtangulize Mungu pia jikite kwenye kuongeza elimu juu ya unachokifanya... Utanishukiru baadae
@LastKakats27 күн бұрын
Amen
@zuhuraomary278224 күн бұрын
Uko sahihi 100%
@jephonaplatinumz847523 күн бұрын
Ata kama anauza big jii aendlee kusubiri kuna siku itamlipa?
@jakom25422 күн бұрын
Maeneo gani
@movie.reporter22 күн бұрын
Ukikuza mtaji utaenda na utauza vitu vingine. Mafanikio ni mchakato wa muda mrefu kaks@@jephonaplatinumz8475
@PastorsTz27 күн бұрын
Nampenda sana huyu jamaaaa anaunyenyekevu sana,,hata ukikutana naye na ukienda kununua miche kwake utafurahi
Uyu jamaa mungu amubariki sana ana roho nzuri sanaalikuja hospital wanging'ombe aliwap wagonjwa sh10000 sh10000 na mama yangu akiwemo ubarikiwe sana ndugu yangu mungu akuzidishie pale ulipo toa
@patrickKitambo9 күн бұрын
ALIFAULU KWENDA SEKONDARI LAKINI BAHATI NZURI WAZAZI HAWAKUA NA UWEZO HIVO HAKUENDELEA NA SEKONDARI!!!!!! POWERFUL MINDSET
@AlhajiIssa-jb9hr8 күн бұрын
Nini hukuelewa kijana alichaguliwa kwenda secondary uwezo wa wazazi wake ulikuwa mdogo Hivyo hakufanikiwa kuendelea na masomo akaishia la saba.
@patrickKitambo8 күн бұрын
@@AlhajiIssa-jb9hr hujanielewa ndugu yangu
@AlhajiIssa-jb9hr8 күн бұрын
@@patrickKitambo ok sorry.
@patrickKitambo8 күн бұрын
@@AlhajiIssa-jb9hrnilicho maanisha angekua ni mtu mwingine baada ya kufaulu na wazaz kushindwa kumlipia ada angelaumu wazaz angesema..... bahati mbaya wazazi hawakua na uwezo ila badala yake yeye anasema bahati nzuri wazazi hawakua na uwezo ...kwaio anamtazamo chana na ndo unamfanya afanikiwe sabab angekua mwingine angekaa kwenye hiyo hali kila mara na wala asinge ona fursa zingine bali angebak kulaumu tu wazazi kila siku
@user-dg7wf6fg2j27 күн бұрын
Huyu mkulima ninamjua Sana kapambana kutoka chini mwache ale maisha ananithamu ya kazi
@kekiplus1andonly27 күн бұрын
MashaAllah 🙏🙏🙏God bless 🙌
@stephenmmbago497527 күн бұрын
Really story is inspiring alot vijan tupambane
@LandrickXl23 күн бұрын
anakwambia kwa bahati nzuri wazazi hawakuwa na uwezo 😂 au hamjamskia kwasababu ana hela
@TonnyFord23 күн бұрын
😂
@osmanferdinand452718 күн бұрын
Alikua hapendi shule kabisa
@dominiclengwavi220815 күн бұрын
Haha😂, hapo amenichekesha kweli.
@femidayahaya488213 күн бұрын
Mwamba alikua hapendi umande😂😂😂😂😂
@josephlugongo63578 күн бұрын
Huenda angesona asinge kuwa hapo hivyo bahati nzuri yake ni kutokusoma.
@DpN-rk8xz27 күн бұрын
Hongera sana Ubarikiwe sana nifika zawadi yako hipo usaidia jamii undelea hiyo
@femidayahaya488213 күн бұрын
Me Wallah nimedhamilia nitaenda kuchukua mafunzo kwa hyu Mzalendo..Barikiwa kaka
@kagombaEnok27 күн бұрын
Safi sana CEO
@laurentraphael547024 күн бұрын
Wale wa kutaka mafanikio ya wiki tatu kama broiler long term project hawataki.
@innocentgerald188923 күн бұрын
TRA liked your post 😁
@Kijana-wa-Tanzania17 күн бұрын
😂muhuni kweli wewe!
@sililubala88453 күн бұрын
Hongera sana kwa vile ulivyoeleza mafanikio ulioyapata mpaka sasa na uzoefu ulionao kwa masiliano zaidi kukupata wapi? au email yako Asante
@doreenchuwa363011 күн бұрын
Ila watangazaji mnaboaga, sasa nyumba mara magari yote hayo ya nini ??? Ulizeni maswali ya msingi .
@user-hx9ps9nk5z27 күн бұрын
Hongera sana
@pulikisia796327 күн бұрын
Safi sana.
@melchiadepaschal309725 күн бұрын
Welldone
@muniraahmed62416 күн бұрын
Hivi vichwaaa adimu Sanaa umetufunza mnoo ❤🙏🏿
@MichaelKingazi-wm7xj23 күн бұрын
Mungu huwapinga wajikuzao, lakini huwapa, wanyenyekevu neema.
@BeatusKitwange27 күн бұрын
Ingependeza pia kujua uhakika wa soko
@dorahy157917 күн бұрын
Huyu ni mfanikiwa wa Ukweli. Lakini huyo Mlokoxi Nina mashaka sana sana ktk mapesa yake.
@E.A.C.t18 күн бұрын
kila kitu kinawezekana ,amini fanya kazi na omba mungu tu
@patrickmlimbila771518 күн бұрын
kumbe na sisi tuna bilionea ok safi
@RamadhaniSelemani-bn1fz27 күн бұрын
Napenda kilimo
@josephtesha87220 күн бұрын
My hoppy one day💓
@pceodhc6 күн бұрын
Hongera sana kaka!
@user-sm7gj4mn5n27 күн бұрын
Hongera kiongozi Mungu akupe maono makubwa
@gilbertkulaya81518 күн бұрын
Risk taking Wengi ambao hawajasoma sana, huwa hawahitaji mahesabu mengi ili kufanya jambo, hufanya kwa imani tu, ndio maana wanatajirika. Msomi anataka afanye kwanza mahesabu meeeengi aone kama kuna faida ndipo achukue hatua. At the end anapoteza nguvu ya kuanza. Hongera sana mkuu. 🤝
@saidkhalfan820717 күн бұрын
Fact
@ChoroTesla16 күн бұрын
malo bila daftari hupotea bila habari km hvy basi kampuni zote zingekua zinaamrishwa tu fany hv fanya vile
@doglassepimack817217 күн бұрын
Huyu jamaa ali amin katika kidogo alicho nacho wengi wa watanzania una weza mpa project ambayo ana weza tengeneza pesa lakini Wana taka mafanikio kwa muda mfupi ni washudia wengi
@kevinmary712912 күн бұрын
Bora walikufukuza kaz za usafi maana ungekufa maskini, mungu huwa nina makusudi
@user-oo5ud3ts9b24 күн бұрын
Nemes ze Don
@user-qg3nu1kv2n27 күн бұрын
Hongera mpambanaji tuko nyuma yako
@HapsaHaji-bg5jk24 күн бұрын
labda msim upi mzuri kwakilimo cha viazi kwa kupata faida kubwa
@numbibonzo423826 күн бұрын
Kwa bahati nzuri Wazazi hawakua na uwezo😅
@joshuajustustz26 күн бұрын
Kumbe umeisikia hiyo😂
@numbibonzo423826 күн бұрын
@@joshuajustustz yah kumbe kuna muda wazazi kutokua na uwezo wa kuku somesha inawzkn ikawa ni bahati nzr huenda ange soma asinge fika alipo
@joshuajustustz26 күн бұрын
@@numbibonzo4238 nadhani ulimi uliteleza
@melanialeonard403125 күн бұрын
Ulimi hauna mfupa jaman
@AlhajiIssa-jb9hr8 күн бұрын
@@numbibonzo4238Ndio ni nzuri Kwa upande wake na Sasa ni bilionea😂😂😂
@hamisathuman-ef2ug23 күн бұрын
Usitoe namba zako mabinti washakutamani
@Revelation1412.27 күн бұрын
Daah, Nmejifunza mengi kwa huyu jamaa
@mchumiajuani199323 күн бұрын
Ni kweli kwa njombe ni moja ya wakulima wakubwa, ni mpambanaji jamaa
@user-rw8yu7xt4c27 күн бұрын
Hongera sana kiongozi
@ahmedkitandu840322 күн бұрын
Ivi kwann darasa la 7 ndo watu ambao wamefanikiwa kmaisha ndo matajiri kuliko waliofka vyuoni??
@IbrahimunyandaDanieli18 күн бұрын
Wamebweteka na elimu zao
@emanuelmsaky807422 күн бұрын
Hivi shamba la heka moja shilingi ngapi sahiv hapo njombe
Ni huduma gani zinazohitajika kwenye miti ya parachichi 6:15 6:18
@jumarajab531627 күн бұрын
anavosimulia kama rahisi vile
@EDDY4D26 күн бұрын
Kama jana na leo
@johnlongoy795224 күн бұрын
Eheee nilikuwa natafuta kamati ya roho mbaya nimewapata 😅😅
@EDDY4D24 күн бұрын
Hakumanisha unavo hisi kamanisha katika kutafuta ili ufanikiwe inachukuwa mda na ndomana kasema anavoongeya kama kitu rahisi bro hiyo sio rohombaya ina taka subra naujikaze sana@@johnlongoy7952
@doglassepimack817217 күн бұрын
Commitment ndio iliyo mfikisha hapo
@femidayahaya488213 күн бұрын
@@johnlongoy7952😂😂😂😂😂
@gracekilacy51226 күн бұрын
Nimecheka kwa sauti
@user-yl7cm2mf7e27 күн бұрын
Ushauri mzuri sana
@RoseMkupala-xw7jo27 күн бұрын
Hongera sana kaka,mi natamani kulima parachichi ila sina utaramu nitakupataje naomba namba yako,tafathali
Sasa kampotosha nani??? Anae hojiwa it’s true ana shamba na nimkulima, yeye anauliza tu maswali na mkulima anajibu, kapotosha nini sasa?? Acha makasiriko na jaribu kujifunza huku ukiweka positivity in things, Dah! Comment yako ya roho mbaya sana
@habyhabib753815 күн бұрын
@@MoviesAde Nenda saloon urudi u comment!acha manung'uniko au unataka utumiwe maparachichi ??ulitoka kwa laisa haya umehamua ktk maparachichi,sio lazima kila mahal u comment!tuliza kizaga hapo
@mohamedaden848326 күн бұрын
Maparachichi hayahaya ninayoyajua mimi?
@nelsonnyamle20 күн бұрын
KAKA STEVEN MBONA SISI WENZENU TUNAUZA KWA HASARA?WENZETU MNAUZAJE MPAKA MNANUFAIKA HIVYO?
@vom8427 күн бұрын
Parachichi ni hela
@user-lg8xu9tt3b27 күн бұрын
Everything is possible
@mariakabonge20 күн бұрын
Please milad naomba nitumie number zake
@mariakabonge20 күн бұрын
Au naweza kukupigia wewe au ripotar wako please nikonecti na huyo ndugu me pia nimenunua shamba huko, please nisaidie
@magigesabai86748 күн бұрын
naomba namba yake
@emmanicko153522 күн бұрын
MWENYEZI MUNGU AZIDI KUKUBARIKI NA KUKUONGEZEA KAKA ANGU
@Laizer327 күн бұрын
Ivi kwanini watu walioishia la 7 wanawazidi utajiri wasomi wa vyuo vikuuu?
@martinisadru989926 күн бұрын
Lakini pia hao waloishia la 7 wanazingatia kwa uaminifu mkubwa na kwa umakini sana ushauri wa wasomi,, ndomana wanafanikiwa, tofauti na wasomi, wao wanatabia ya kudharau. Ndo maana wasomi wengi hawafanikiwi.
@joshuajustustz26 күн бұрын
NIDHAMU
@kachorionlinetv49724 күн бұрын
Wasomi Wengi hawataki Kujishusha na Kuanzia Chini Kufanya Kazi Ndogo Ndogo Lakini aliemaliza la 7 hasubiri Bali anaanzia Popote...
@franklyn743924 күн бұрын
Kati ya wasomi na wasiosoma matajiri wengi ni wasomi. Story za matajiri wasiosoma zinavutia zaidi ndio maana ni maarufu. Msomi akiwa tajiri watu hawastuki
@gilbertkulaya81518 күн бұрын
Risk taking ability
@mussaelia869327 күн бұрын
Natamani nipate mawasiliano yake
@hasirazahoro493821 күн бұрын
Halafu anatokea mvivu mmoja anamuita mchawi
@sheikhfadhilaljahdhamy675127 күн бұрын
Shamba limeweza kufanya billionare
@FahadAbubakari27 күн бұрын
Ulaya na marekani mkulima ni Tajiri huku kwetu tu ndo kinyume
@BARAKA-ns3jv27 күн бұрын
Asante Kwa kumuelimisha. Huyo
@birianination709725 күн бұрын
@@FahadAbubakari mbona huku wapo wengi tuu!
@FahadAbubakari25 күн бұрын
@@birianination7097 ila c wengi
@evancemoevt859724 күн бұрын
Kila Biashara inalipa ukihadithiwa!!!😂😂😂😂
@lakasid386022 күн бұрын
Mbona yeye imemlipa? Issue sio kuhadithiwa issue ni kuingia shambani nakuanza ifanya
@jojigeorige105615 күн бұрын
Ukiitaka pesa ya parachichi ni lazima uingie front kama hivyo. Kaa porini fuatilia kila hatua ya ukuaji wa miche, hadi utakapotoka baada ya miaka mi 3... vinginevyo hiki kilimo hakitaki simu...
@paschalkigala662810 күн бұрын
Jichanganye.
@NeemaShababi-nu8dr27 күн бұрын
Vipi kuhusu mbengu
@asmahozza846827 күн бұрын
Tunapataje mawasiliano yake
@kephathicke945215 күн бұрын
kuna hawa wa lasaba'A af kuna nyie wa chuo kusubiria kuajiriwa mpate 10M kwa mwezi