BILIONEA WA MAPARACHICHI, SHAMBA EKA 1000, MILIONI 200 KWA MSIMU, NYUMBA, MAGARI YA KUTOSHA

  Рет қаралды 61,342

Millard Ayo

Millard Ayo

29 күн бұрын

Пікірлер: 161
@halunimnenwa5224
@halunimnenwa5224 16 күн бұрын
Uyu jamaa mungu amubariki sana ana roho nzuri sanaalikuja hospital wanging'ombe aliwap wagonjwa sh10000 sh10000 na mama yangu akiwemo ubarikiwe sana ndugu yangu mungu akuzidishie pale ulipo toa
@joshuajustustz
@joshuajustustz 27 күн бұрын
Kila uwekezaji unalipa ila chanzo cha mafanikio ni muwekezaji mwenyewe. Amefanya kilimo cha parachichi zaidi ya miaka 10 na bado anaendelea. Usiache unachokifanya Kwa kuhisi hakina maslahi mapana. Faida ipo. Mtangulize Mungu pia jikite kwenye kuongeza elimu juu ya unachokifanya... Utanishukiru baadae
@LastKakats
@LastKakats 27 күн бұрын
Amen
@zuhuraomary2782
@zuhuraomary2782 24 күн бұрын
Uko sahihi 100%
@jephonaplatinumz8475
@jephonaplatinumz8475 23 күн бұрын
Ata kama anauza big jii aendlee kusubiri kuna siku itamlipa?
@jakom254
@jakom254 22 күн бұрын
Maeneo gani
@movie.reporter
@movie.reporter 22 күн бұрын
Ukikuza mtaji utaenda na utauza vitu vingine. Mafanikio ni mchakato wa muda mrefu kaks​@@jephonaplatinumz8475
@PastorsTz
@PastorsTz 27 күн бұрын
Nampenda sana huyu jamaaaa anaunyenyekevu sana,,hata ukikutana naye na ukienda kununua miche kwake utafurahi
@mussaelia8693
@mussaelia8693 27 күн бұрын
Mzee naweza pata mawasiliano Yako Nataman nijue nijifunze
@halunimnenwa5224
@halunimnenwa5224 16 күн бұрын
Uyu jamaa mungu amubariki sana ana roho nzuri sanaalikuja hospital wanging'ombe aliwap wagonjwa sh10000 sh10000 na mama yangu akiwemo ubarikiwe sana ndugu yangu mungu akuzidishie pale ulipo toa
@patrickKitambo
@patrickKitambo 9 күн бұрын
ALIFAULU KWENDA SEKONDARI LAKINI BAHATI NZURI WAZAZI HAWAKUA NA UWEZO HIVO HAKUENDELEA NA SEKONDARI!!!!!! POWERFUL MINDSET
@AlhajiIssa-jb9hr
@AlhajiIssa-jb9hr 8 күн бұрын
Nini hukuelewa kijana alichaguliwa kwenda secondary uwezo wa wazazi wake ulikuwa mdogo Hivyo hakufanikiwa kuendelea na masomo akaishia la saba.
@patrickKitambo
@patrickKitambo 8 күн бұрын
@@AlhajiIssa-jb9hr hujanielewa ndugu yangu
@AlhajiIssa-jb9hr
@AlhajiIssa-jb9hr 8 күн бұрын
@@patrickKitambo ok sorry.
@patrickKitambo
@patrickKitambo 8 күн бұрын
@@AlhajiIssa-jb9hrnilicho maanisha angekua ni mtu mwingine baada ya kufaulu na wazaz kushindwa kumlipia ada angelaumu wazaz angesema..... bahati mbaya wazazi hawakua na uwezo ila badala yake yeye anasema bahati nzuri wazazi hawakua na uwezo ...kwaio anamtazamo chana na ndo unamfanya afanikiwe sabab angekua mwingine angekaa kwenye hiyo hali kila mara na wala asinge ona fursa zingine bali angebak kulaumu tu wazazi kila siku
@user-dg7wf6fg2j
@user-dg7wf6fg2j 27 күн бұрын
Huyu mkulima ninamjua Sana kapambana kutoka chini mwache ale maisha ananithamu ya kazi
@kekiplus1andonly
@kekiplus1andonly 27 күн бұрын
MashaAllah 🙏🙏🙏God bless 🙌
@stephenmmbago4975
@stephenmmbago4975 27 күн бұрын
Really story is inspiring alot vijan tupambane
@LandrickXl
@LandrickXl 23 күн бұрын
anakwambia kwa bahati nzuri wazazi hawakuwa na uwezo 😂 au hamjamskia kwasababu ana hela
@TonnyFord
@TonnyFord 23 күн бұрын
😂
@osmanferdinand4527
@osmanferdinand4527 18 күн бұрын
Alikua hapendi shule kabisa
@dominiclengwavi2208
@dominiclengwavi2208 15 күн бұрын
Haha😂, hapo amenichekesha kweli.
@femidayahaya4882
@femidayahaya4882 13 күн бұрын
Mwamba alikua hapendi umande😂😂😂😂😂
@josephlugongo6357
@josephlugongo6357 8 күн бұрын
Huenda angesona asinge kuwa hapo hivyo bahati nzuri yake ni kutokusoma.
@DpN-rk8xz
@DpN-rk8xz 27 күн бұрын
Hongera sana Ubarikiwe sana nifika zawadi yako hipo usaidia jamii undelea hiyo
@femidayahaya4882
@femidayahaya4882 13 күн бұрын
Me Wallah nimedhamilia nitaenda kuchukua mafunzo kwa hyu Mzalendo..Barikiwa kaka
@kagombaEnok
@kagombaEnok 27 күн бұрын
Safi sana CEO
@laurentraphael5470
@laurentraphael5470 24 күн бұрын
Wale wa kutaka mafanikio ya wiki tatu kama broiler long term project hawataki.
@innocentgerald1889
@innocentgerald1889 23 күн бұрын
TRA liked your post 😁
@Kijana-wa-Tanzania
@Kijana-wa-Tanzania 17 күн бұрын
😂muhuni kweli wewe!
@sililubala8845
@sililubala8845 3 күн бұрын
Hongera sana kwa vile ulivyoeleza mafanikio ulioyapata mpaka sasa na uzoefu ulionao kwa masiliano zaidi kukupata wapi? au email yako Asante
@doreenchuwa3630
@doreenchuwa3630 11 күн бұрын
Ila watangazaji mnaboaga, sasa nyumba mara magari yote hayo ya nini ??? Ulizeni maswali ya msingi .
@user-hx9ps9nk5z
@user-hx9ps9nk5z 27 күн бұрын
Hongera sana
@pulikisia7963
@pulikisia7963 27 күн бұрын
Safi sana.
@melchiadepaschal3097
@melchiadepaschal3097 25 күн бұрын
Welldone
@muniraahmed624
@muniraahmed624 16 күн бұрын
Hivi vichwaaa adimu Sanaa umetufunza mnoo ❤🙏🏿
@MichaelKingazi-wm7xj
@MichaelKingazi-wm7xj 23 күн бұрын
Mungu huwapinga wajikuzao, lakini huwapa, wanyenyekevu neema.
@BeatusKitwange
@BeatusKitwange 27 күн бұрын
Ingependeza pia kujua uhakika wa soko
@dorahy1579
@dorahy1579 17 күн бұрын
Huyu ni mfanikiwa wa Ukweli. Lakini huyo Mlokoxi Nina mashaka sana sana ktk mapesa yake.
@E.A.C.t
@E.A.C.t 18 күн бұрын
kila kitu kinawezekana ,amini fanya kazi na omba mungu tu
@patrickmlimbila7715
@patrickmlimbila7715 18 күн бұрын
kumbe na sisi tuna bilionea ok safi
@RamadhaniSelemani-bn1fz
@RamadhaniSelemani-bn1fz 27 күн бұрын
Napenda kilimo
@josephtesha872
@josephtesha872 20 күн бұрын
My hoppy one day💓
@pceodhc
@pceodhc 6 күн бұрын
Hongera sana kaka!
@user-sm7gj4mn5n
@user-sm7gj4mn5n 27 күн бұрын
Hongera kiongozi Mungu akupe maono makubwa
@gilbertkulaya815
@gilbertkulaya815 18 күн бұрын
Risk taking Wengi ambao hawajasoma sana, huwa hawahitaji mahesabu mengi ili kufanya jambo, hufanya kwa imani tu, ndio maana wanatajirika. Msomi anataka afanye kwanza mahesabu meeeengi aone kama kuna faida ndipo achukue hatua. At the end anapoteza nguvu ya kuanza. Hongera sana mkuu. 🤝
@saidkhalfan8207
@saidkhalfan8207 17 күн бұрын
Fact
@ChoroTesla
@ChoroTesla 16 күн бұрын
malo bila daftari hupotea bila habari km hvy basi kampuni zote zingekua zinaamrishwa tu fany hv fanya vile
@doglassepimack8172
@doglassepimack8172 17 күн бұрын
Huyu jamaa ali amin katika kidogo alicho nacho wengi wa watanzania una weza mpa project ambayo ana weza tengeneza pesa lakini Wana taka mafanikio kwa muda mfupi ni washudia wengi
@kevinmary7129
@kevinmary7129 12 күн бұрын
Bora walikufukuza kaz za usafi maana ungekufa maskini, mungu huwa nina makusudi
@user-oo5ud3ts9b
@user-oo5ud3ts9b 24 күн бұрын
Nemes ze Don
@user-qg3nu1kv2n
@user-qg3nu1kv2n 27 күн бұрын
Hongera mpambanaji tuko nyuma yako
@HapsaHaji-bg5jk
@HapsaHaji-bg5jk 24 күн бұрын
labda msim upi mzuri kwakilimo cha viazi kwa kupata faida kubwa
@numbibonzo4238
@numbibonzo4238 26 күн бұрын
Kwa bahati nzuri Wazazi hawakua na uwezo😅
@joshuajustustz
@joshuajustustz 26 күн бұрын
Kumbe umeisikia hiyo😂
@numbibonzo4238
@numbibonzo4238 26 күн бұрын
@@joshuajustustz yah kumbe kuna muda wazazi kutokua na uwezo wa kuku somesha inawzkn ikawa ni bahati nzr huenda ange soma asinge fika alipo
@joshuajustustz
@joshuajustustz 26 күн бұрын
@@numbibonzo4238 nadhani ulimi uliteleza
@melanialeonard4031
@melanialeonard4031 25 күн бұрын
Ulimi hauna mfupa jaman
@AlhajiIssa-jb9hr
@AlhajiIssa-jb9hr 8 күн бұрын
​@@numbibonzo4238Ndio ni nzuri Kwa upande wake na Sasa ni bilionea😂😂😂
@hamisathuman-ef2ug
@hamisathuman-ef2ug 23 күн бұрын
Usitoe namba zako mabinti washakutamani
@Revelation1412.
@Revelation1412. 27 күн бұрын
Daah, Nmejifunza mengi kwa huyu jamaa
@mchumiajuani1993
@mchumiajuani1993 23 күн бұрын
Ni kweli kwa njombe ni moja ya wakulima wakubwa, ni mpambanaji jamaa
@user-rw8yu7xt4c
@user-rw8yu7xt4c 27 күн бұрын
Hongera sana kiongozi
@ahmedkitandu8403
@ahmedkitandu8403 22 күн бұрын
Ivi kwann darasa la 7 ndo watu ambao wamefanikiwa kmaisha ndo matajiri kuliko waliofka vyuoni??
@IbrahimunyandaDanieli
@IbrahimunyandaDanieli 18 күн бұрын
Wamebweteka na elimu zao
@emanuelmsaky8074
@emanuelmsaky8074 22 күн бұрын
Hivi shamba la heka moja shilingi ngapi sahiv hapo njombe
@andrewemmanuel1861
@andrewemmanuel1861 27 күн бұрын
Eeet anamajiniii jmn pambana ufanikiwee usaidie ndgu zako
@florenciamassawe4925
@florenciamassawe4925 27 күн бұрын
Ni huduma gani zinazohitajika kwenye miti ya parachichi 6:15 6:18
@jumarajab5316
@jumarajab5316 27 күн бұрын
anavosimulia kama rahisi vile
@EDDY4D
@EDDY4D 26 күн бұрын
Kama jana na leo
@johnlongoy7952
@johnlongoy7952 24 күн бұрын
Eheee nilikuwa natafuta kamati ya roho mbaya nimewapata 😅😅
@EDDY4D
@EDDY4D 24 күн бұрын
Hakumanisha unavo hisi kamanisha katika kutafuta ili ufanikiwe inachukuwa mda na ndomana kasema anavoongeya kama kitu rahisi bro hiyo sio rohombaya ina taka subra naujikaze sana​@@johnlongoy7952
@doglassepimack8172
@doglassepimack8172 17 күн бұрын
Commitment ndio iliyo mfikisha hapo
@femidayahaya4882
@femidayahaya4882 13 күн бұрын
​@@johnlongoy7952😂😂😂😂😂
@gracekilacy512
@gracekilacy512 26 күн бұрын
Nimecheka kwa sauti
@user-yl7cm2mf7e
@user-yl7cm2mf7e 27 күн бұрын
Ushauri mzuri sana
@RoseMkupala-xw7jo
@RoseMkupala-xw7jo 27 күн бұрын
Hongera sana kaka,mi natamani kulima parachichi ila sina utaramu nitakupataje naomba namba yako,tafathali
@benedictmfoi3680
@benedictmfoi3680 26 күн бұрын
Nenda njombe katembelee mashamba ujifunze
@BalengaTanda-fz4cl
@BalengaTanda-fz4cl 12 күн бұрын
😂😂namba ya billionaire ya nini jaman
@evancemoevt8597
@evancemoevt8597 24 күн бұрын
Kilimo!! Jichanganye!!!!😅😅😅😅😅😅
@fristonactary1371
@fristonactary1371 14 күн бұрын
Hiyo ShortKat Kaelezea! Jichanganye SASA🤣🤣🤣
@habyhabib7538
@habyhabib7538 15 күн бұрын
Ukishakua muandishi jitahidi unapofanya uchunguzi hakikisha taarfa ziwe sahihi Sio kupotosha wananchi Inakera sana kupotosha jamiiii
@MoviesAde
@MoviesAde 15 күн бұрын
Sasa kampotosha nani??? Anae hojiwa it’s true ana shamba na nimkulima, yeye anauliza tu maswali na mkulima anajibu, kapotosha nini sasa?? Acha makasiriko na jaribu kujifunza huku ukiweka positivity in things, Dah! Comment yako ya roho mbaya sana
@habyhabib7538
@habyhabib7538 15 күн бұрын
@@MoviesAde Nenda saloon urudi u comment!acha manung'uniko au unataka utumiwe maparachichi ??ulitoka kwa laisa haya umehamua ktk maparachichi,sio lazima kila mahal u comment!tuliza kizaga hapo
@mohamedaden8483
@mohamedaden8483 26 күн бұрын
Maparachichi hayahaya ninayoyajua mimi?
@nelsonnyamle
@nelsonnyamle 20 күн бұрын
KAKA STEVEN MBONA SISI WENZENU TUNAUZA KWA HASARA?WENZETU MNAUZAJE MPAKA MNANUFAIKA HIVYO?
@vom84
@vom84 27 күн бұрын
Parachichi ni hela
@user-lg8xu9tt3b
@user-lg8xu9tt3b 27 күн бұрын
Everything is possible
@mariakabonge
@mariakabonge 20 күн бұрын
Please milad naomba nitumie number zake
@mariakabonge
@mariakabonge 20 күн бұрын
Au naweza kukupigia wewe au ripotar wako please nikonecti na huyo ndugu me pia nimenunua shamba huko, please nisaidie
@magigesabai8674
@magigesabai8674 8 күн бұрын
naomba namba yake
@emmanicko1535
@emmanicko1535 22 күн бұрын
MWENYEZI MUNGU AZIDI KUKUBARIKI NA KUKUONGEZEA KAKA ANGU
@Laizer3
@Laizer3 27 күн бұрын
Ivi kwanini watu walioishia la 7 wanawazidi utajiri wasomi wa vyuo vikuuu?
@martinisadru9899
@martinisadru9899 26 күн бұрын
Lakini pia hao waloishia la 7 wanazingatia kwa uaminifu mkubwa na kwa umakini sana ushauri wa wasomi,, ndomana wanafanikiwa, tofauti na wasomi, wao wanatabia ya kudharau. Ndo maana wasomi wengi hawafanikiwi.
@joshuajustustz
@joshuajustustz 26 күн бұрын
NIDHAMU
@kachorionlinetv497
@kachorionlinetv497 24 күн бұрын
Wasomi Wengi hawataki Kujishusha na Kuanzia Chini Kufanya Kazi Ndogo Ndogo Lakini aliemaliza la 7 hasubiri Bali anaanzia Popote...
@franklyn7439
@franklyn7439 24 күн бұрын
Kati ya wasomi na wasiosoma matajiri wengi ni wasomi. Story za matajiri wasiosoma zinavutia zaidi ndio maana ni maarufu. Msomi akiwa tajiri watu hawastuki
@gilbertkulaya815
@gilbertkulaya815 18 күн бұрын
Risk taking ability
@mussaelia8693
@mussaelia8693 27 күн бұрын
Natamani nipate mawasiliano yake
@hasirazahoro4938
@hasirazahoro4938 21 күн бұрын
Halafu anatokea mvivu mmoja anamuita mchawi
@sheikhfadhilaljahdhamy6751
@sheikhfadhilaljahdhamy6751 27 күн бұрын
Shamba limeweza kufanya billionare
@FahadAbubakari
@FahadAbubakari 27 күн бұрын
Ulaya na marekani mkulima ni Tajiri huku kwetu tu ndo kinyume
@BARAKA-ns3jv
@BARAKA-ns3jv 27 күн бұрын
Asante Kwa kumuelimisha. Huyo
@birianination7097
@birianination7097 25 күн бұрын
​@@FahadAbubakari mbona huku wapo wengi tuu!
@FahadAbubakari
@FahadAbubakari 25 күн бұрын
@@birianination7097 ila c wengi
@evancemoevt8597
@evancemoevt8597 24 күн бұрын
Kila Biashara inalipa ukihadithiwa!!!😂😂😂😂
@lakasid3860
@lakasid3860 22 күн бұрын
Mbona yeye imemlipa? Issue sio kuhadithiwa issue ni kuingia shambani nakuanza ifanya
@jojigeorige1056
@jojigeorige1056 15 күн бұрын
Ukiitaka pesa ya parachichi ni lazima uingie front kama hivyo. Kaa porini fuatilia kila hatua ya ukuaji wa miche, hadi utakapotoka baada ya miaka mi 3... vinginevyo hiki kilimo hakitaki simu...
@paschalkigala6628
@paschalkigala6628 10 күн бұрын
Jichanganye.
@NeemaShababi-nu8dr
@NeemaShababi-nu8dr 27 күн бұрын
Vipi kuhusu mbengu
@asmahozza8468
@asmahozza8468 27 күн бұрын
Tunapataje mawasiliano yake
@kephathicke9452
@kephathicke9452 15 күн бұрын
kuna hawa wa lasaba'A af kuna nyie wa chuo kusubiria kuajiriwa mpate 10M kwa mwezi
@TheSalma1999
@TheSalma1999 23 күн бұрын
Tunaomba number jamani
@saleheinnocent7636
@saleheinnocent7636 22 күн бұрын
Ili iwaje Bi Salma si umeolewa ww?
@edwinmbunda6709
@edwinmbunda6709 27 күн бұрын
Ekari 100 siyo mchezo
@melanialeonard4031
@melanialeonard4031 25 күн бұрын
1000
@user-ok6lv3je4b
@user-ok6lv3je4b 17 күн бұрын
Balikiwa ukitaka Mali kaifate shambani
@ephraimndelwa4073
@ephraimndelwa4073 10 күн бұрын
Nina shamba la miti nauza lina eka 10 lipo ukange, Lupila makete..
@giftchristianmeela1409
@giftchristianmeela1409 14 күн бұрын
Wakenya wakiona hii wanahamia huko njombe 😅
@lucasmhagama8166
@lucasmhagama8166 10 күн бұрын
Wahamie mara ngapi?
@user-ku4xq4nd9v
@user-ku4xq4nd9v 27 күн бұрын
Kuna miche ile ya sh 20,000/ ni mizuri sana ni miezi nane unavuna nilinunua kwake Nemes
@samirhumud7408
@samirhumud7408 27 күн бұрын
Ndugu umepanda sehemu gani?
@emmanuelmwajombe831
@emmanuelmwajombe831 26 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@user-ku4xq4nd9v
@user-ku4xq4nd9v 25 күн бұрын
@@samirhumud7408 Iringa
@MarthaMgaya-zo4bi
@MarthaMgaya-zo4bi 17 күн бұрын
😂😂​@@samirhumud7408
@erickagwe8841
@erickagwe8841 27 күн бұрын
Huyo ni milionea au bilionea? Jamani tofautisheni B na M.
@RutaRubedi
@RutaRubedi 25 күн бұрын
Faida ya kuvuna mara moja ni 200ml, akivuna mara tano tu tayari ni bilionea
@lakasid3860
@lakasid3860 22 күн бұрын
​@@RutaRubedikibongo bongo atakuwa ni Billionaire ila kidunia atakuwa millionaire
@salitosofo5561
@salitosofo5561 27 күн бұрын
Awagonje tra sasa
@hellendaniel3809
@hellendaniel3809 27 күн бұрын
Hiyo ni mali ya shamba wewe tra waende wapi
@user-fv7ri6mw2n
@user-fv7ri6mw2n 27 күн бұрын
True.watamtembelea.
@kananiomwamirwenyagira8374
@kananiomwamirwenyagira8374 27 күн бұрын
Mazao ya kilimo hayana kodi😂😂jiongeze ninushuru wa mazao tu..zile buku buku
@christopherjoseph8330
@christopherjoseph8330 27 күн бұрын
Ushuru masokoni hapo shamba tra hawaendi
@husseinhussein9971
@husseinhussein9971 27 күн бұрын
Mchawi tu
@jimodefighter
@jimodefighter 27 күн бұрын
acha ufara co Kila ki2 uchaw
@FridayMwassa
@FridayMwassa 23 күн бұрын
Ndiyo maana umekuwa masikini wa kutupwa kwasababu tu ya kuamini uchawi
@jamesmzaki6041
@jamesmzaki6041 26 күн бұрын
Ndoto yangu ni kuwa bilionea wa kilimo cha Chinese,,,Nipo hapa nasaka mtaji.
@RutaRubedi
@RutaRubedi 25 күн бұрын
Mungu ni mwema utafanikiwa
@jewtv1732
@jewtv1732 27 күн бұрын
NAMJUA HUYO JAMAA ANA MAJINI KINOMA
@SaidShemkieti
@SaidShemkieti 27 күн бұрын
Majini au madini ?
@ikokijuma-zv7wd
@ikokijuma-zv7wd 27 күн бұрын
Acha usenge we unamangap
@colletatesha5265
@colletatesha5265 27 күн бұрын
Aisee ukiskia wachawi ndio uyu anaemsema mwenzie ana majini
@MinskBelarus-il2tl
@MinskBelarus-il2tl 27 күн бұрын
Hata mimi nakujuwa wewe. Wewe ndio JINI lake kuu
@jamesnyamila2165
@jamesnyamila2165 27 күн бұрын
Tafuta na wewe hayo majini
Они убрались очень быстро!
00:40
Аришнев
Рет қаралды 3,3 МЛН
⬅️🤔➡️
00:31
Celine Dept
Рет қаралды 37 МЛН
MEU IRMÃO FICOU FAMOSO
00:52
Matheus Kriwat
Рет қаралды 13 МЛН
Они убрались очень быстро!
00:40
Аришнев
Рет қаралды 3,3 МЛН