NYIMBO PENDWA ZA KWARESMA 2024. Mtunzi Aloyce Goden KIPANGULA Chang'ombe Catholic Singers Dsm Tz

  Рет қаралды 2,159,960

Aloyce Goden Kipangula

Aloyce Goden Kipangula

Күн бұрын

Nyimbo Hizi Zote zimetungwa na Mimi Aloyce Goden Kipangula na Kuimbwa na Wanakwaya wakatoliki Parokia ya Chang'ombe Jimbo Kuu Katoliki Dar es salaam ( CHANGOMBE CATHOLIC SINGERS). Ni wajibu wa kila Mbatizwa kuhubiri Injili kwa kadiri ya Karama aliyopewa na Mwenyezi Mungu. Nasi tumekuletea Nyimbo Hizi zenye Tafakari ya kina ili zikufae wewe na Yeyote ambaye utapenda kumshirikisha ili kwa Pamoja kupitia Nyimbo Hizi za Kwaresma Tuweze KUWAPELEKA WATU KWA KRISTO NA PIA KUMLETA KRISTO KWA WATU ( KUTAKATIFUZA MALIMWENGU). NI Nyimbo za Kwaresma lakini pia zinafaa Kuimbwa wakati wowote kwani Katika tungo hizo Hakuna Sehemu hata Moja ambayo nimezungumzia neno Kwaresma Bali nimezungumzia kuhusu umuhimu wa kutubu, kuacha Dhambi, kumgeukia Kristo, kumtegemea Kristo huku Tukiiga mfano wa Mtakatifu Agustino Hippo, Kurudi na kuacha njia ya Dhambi na kufuata njia ya Uzima.

Пікірлер
@HcfmTanzania
@HcfmTanzania Жыл бұрын
Mungu atusamehe makosa yetu na kuzibariki familia zetu
@cokolakasisi9211
@cokolakasisi9211 3 жыл бұрын
Nasikiya kujazwa na huu nyimbo nimekosa unihurumiye bila huruma ya Mungu hakuna maisha kwa mwanadamu tupo sote binafsi mimi ni mwenye zambi Bwana anihurumie
@angelinembondo
@angelinembondo Жыл бұрын
Mimi sio mkatoleki lakini zanibariki sana
@trztrzjb306
@trztrzjb306 11 ай бұрын
Che bella!!!
@LeahPetersalamalohoni
@LeahPetersalamalohoni 9 ай бұрын
Wimbo mzuri sana yesu krito alihulumie na anisamehe zambi Angu amina
@sylviashiundu382
@sylviashiundu382 Жыл бұрын
Nimerudi hapa kuskiza tena nyimbo nzuri za kwaresma.....hongera bwana Aloyce kwà kazi nzuri,,,Mungu atuongoze kwa kipindi kinachotusubiri hivi karibuni
@matildanyallu7063
@matildanyallu7063 3 жыл бұрын
Mungu akubariki kwa kutumia vema karama ya uimbaji katika uinjilishaji. Hakika nabarikiwa na nyimbo hizi
@tutisalim2280
@tutisalim2280 3 жыл бұрын
Jaman mi ni muislam lkn naguswa sana na nyimbo za baraka sana
@godliversumuni3077
@godliversumuni3077 3 жыл бұрын
Ur welcome dear
@eunicewaswa1256
@eunicewaswa1256 Жыл бұрын
Amen welcome dear
@imakulataemmanuel
@imakulataemmanuel Жыл бұрын
Amina
@barakaekuro
@barakaekuro Жыл бұрын
Mungu wetu ni mmoja... kuna kaswida pia nishawahi kuzisikia nikazipenda
@geoffreywairimu4485
@geoffreywairimu4485 Жыл бұрын
Waislamu na wakatoliki tuko sambamba
@aminashariff9942
@aminashariff9942 3 жыл бұрын
Asante sana mimi ni ni muislamu lakini napenda s⛪ana hizo nyimbo na napenda ukristo
@AloyceKipangula
@AloyceKipangula 3 жыл бұрын
ASANTE NDUGU AMINA SHARIFF TUMEUFURAHIA UJUMBE WAKO. NA SISI SOTE NI WATOTO WA BABA MMOJA HIVYO NAKUKARIBISHA ENDELEA KUTUFUATILIA KUPITIA CHANELL YETU YENYE JINA ALOYCE GOLDEN KIPANGULA- ILI KUPATA NYIMBO ZOTE CHA CHANG'OMBE CATHOLIC SINGERS.
@everinrobert6539
@everinrobert6539 11 ай бұрын
Karibu jmn
@winfridandunguru5834
@winfridandunguru5834 11 ай бұрын
Karibu sana kanisan kwetu la katoliki.
@marywambura9377
@marywambura9377 2 жыл бұрын
My favourite lent songs collection of all time 🙏🏾🙏🏾😘👏🏾👏🏾
@AloyceKipangula
@AloyceKipangula 2 жыл бұрын
🙏
@chrispinuswanjala7922
@chrispinuswanjala7922 2 жыл бұрын
I come from Christ the king Cathedral Bungoma, Bungoma diocese (western Kenya).All the best bro
@rehemapima769
@rehemapima769 3 жыл бұрын
Nimekooosaa nimekoosaaa nimekoosa baba nimekosa nihurumieee😭🤲🤦🙏
@sophiesophie6452
@sophiesophie6452 3 жыл бұрын
Asante mwenyezi mungu kunifanyizia nafasi wakati wa shida mwanangu ulmponya waziimu sina chakukulipa Bali nitaendelea kukutukuza
@hermenegildamtei1483
@hermenegildamtei1483 11 ай бұрын
1k😊😊
@nayoomisweya6890
@nayoomisweya6890 3 жыл бұрын
Hizi nyimbo ni nzuri sana, zinanigusa mimi sio mkatoliki lakini ninazipenda na zinagusa maisha yangu sana, Ubarikiwe sana kwa kutunga nyimbo hizi! Mungu azidi kukubariki ili uguse maisha ya watu wengi... AMEN
@AloyceKipangula
@AloyceKipangula 3 жыл бұрын
Asante Sana Mpendwa Katika Kristo Endelea kutufuatilia, na kwa Neema ya Mungu tutaendelea kukuletea Nyimbo Nyingine
@wencegeorge9872
@wencegeorge9872 3 жыл бұрын
Mbarikiwe kwa nyimbo nzuri.
@anthonyjosephat4624
@anthonyjosephat4624 3 жыл бұрын
Asant San ubarick saw
@everlynenato5466
@everlynenato5466 3 жыл бұрын
P
@lizziembwambo1271
@lizziembwambo1271 3 жыл бұрын
@@AloyceKipangula sweet songs Mie sabato ila nazfulahia saan nabalikiwa n navutw zaid especially wakat wa unyonge na nkihc ulemevuu wa dhambi
@yohanahussen
@yohanahussen Жыл бұрын
Mungu awabariki kwa kutenga muda wenu na kumuimbia Mungu hakika tunaobarikiwa ni wengi kupitia nyimbo zenu na kutumbusha mambo muhimu ya kumtafuta "Mungu"
@metrinenasimiyu7588
@metrinenasimiyu7588 4 жыл бұрын
ikiwa jumatano ya majivu,tunaanza msimu was Kwaeresma ,hivo basi nyimbo zako zinatukumbusha kumrudia Mungu wetu kwa kutubu na kuacha nia zetu mbaya ,Nabarikiwa sana nikiwa huku Kenya
@AloyceKipangula
@AloyceKipangula 4 жыл бұрын
Amina
@kakeileelias4235
@kakeileelias4235 4 жыл бұрын
Amena
@peninagilbert1042
@peninagilbert1042 2 жыл бұрын
Amen
@luischoma-ww7db
@luischoma-ww7db Жыл бұрын
s❤❤
@gema-pg4of
@gema-pg4of 11 ай бұрын
​@@AloyceKipangulalm. t
@samuelochieng4317
@samuelochieng4317 2 жыл бұрын
Catholic from Christ The King Opanga Catholic Church of Rongo Parish,Homa Bay Diocese in Kenya. The Kwaresma album and Nyimbo za Mama Maria albums are so spiritual to listen to. Blessed be the composers and singers,in a special way you are preaching to generations. May Rais Magufuli's soul continue Resting in Eternal Peace.It is during his state burial functions that I came to know about the Kwaresma Songs by Changombe Choir.Every moment I listen ,the funeral memory flows in my mind 😭. May he rip as he sing and dances with angels till we meet again. "Ee Bwana Unifaadhili Mimi.." was the hit that drew me to look for the song kwa KZbin
@victoriousmakundi4771
@victoriousmakundi4771 Жыл бұрын
Lccft
@adelinusacleus4237
@adelinusacleus4237 Жыл бұрын
Keep it up
@martinsntonyo8537
@martinsntonyo8537 Жыл бұрын
Baraka tele nyimbo tamu sana full of glory be blessed choir
@graceandrew3988
@graceandrew3988 11 ай бұрын
Ee Bwana Unifadhili is my best song too in this album❤
@franmdleleni6520
@franmdleleni6520 11 ай бұрын
I love this compilation of Chang'ombe choir. I will check out thd Homabay one also. Be blessed for feeling our hearts with such soothing songs. Listening from SA
@lwanjiedna5233
@lwanjiedna5233 3 жыл бұрын
Nazipenda hizi nyimbo mimi mlokole mpentecoste.nyimbo hizi nzuri zimeimbwa kwa utulivu na ni neno la MUNGU.Mbarikiwe sana kazi nzuri Changombe katolic
@EuniceAkyoo-wd2ro
@EuniceAkyoo-wd2ro 11 ай бұрын
Napendaa sana🙏🏿naomba mnisaidie nataka kudownload niandike vip hili kupata zotee
@NancyIndulaji
@NancyIndulaji 11 ай бұрын
Am a catholic by faith.The Lenten songs are so inspiring.More please.God bless.
@noramshila889
@noramshila889 Жыл бұрын
Mimi kila wakati haipiti siku kama sijasikiliza hizi nyimbo na kurudia mara kadhaa... Mungu Ambariki kwaya hiyi. Sauti zimepangwa vilivyo
@sheysarahnjeno5207
@sheysarahnjeno5207 Жыл бұрын
Nihurumie Nimekosa BABA..Nihurumie..Mie ni dhehebu tofaut na Romani Catholic ila Nimeguswa na nyimbo..hizi.kilala kher kwa kwaresma hii...MUNGU Awaongoze
@StephenOkumu-uh4fg
@StephenOkumu-uh4fg 11 ай бұрын
God bless
@PatrisiaKahwili
@PatrisiaKahwili 11 ай бұрын
Asanteni sana Kwa nyimbo zenye kutusogeza Kwa Mungu 29:22
@richardmuema619
@richardmuema619 11 ай бұрын
Mungu atujalie neema zake kipindi hiki cha kwaresma tunapotubu na kumrudia
@AloyceKipangula
@AloyceKipangula 11 ай бұрын
Amina. Asante Richard
@wellingtonokilla5579
@wellingtonokilla5579 3 ай бұрын
❤❤
@sarahwekesa3117
@sarahwekesa3117 11 ай бұрын
Touching songs, mungu tuhurumie na utusamehe makosa yetu..
@AloyceKipangula
@AloyceKipangula 11 ай бұрын
Amina. Asante Sarah endelea kutuombea Ili Roho Mtakatifu ezidi kutupatia mapaji yake tuendelee kutunga nyimbo kwa sifa na utukufu wake
@christinekhaemba1524
@christinekhaemba1524 10 ай бұрын
Good song ❤
@salmasalometitus2139
@salmasalometitus2139 4 жыл бұрын
Huu wimbo naupenda sana hakuna mwanadamu ambaye anaweza jitoa kufa kwaajili yetu ila Yesu tu .
@kwayabikiramariamamawashau2448
@kwayabikiramariamamawashau2448 4 жыл бұрын
HONGERA NA ASANTE KWA NYIMBO NZURI ZA TAFAKARI YA KINA HASA KATIKA KIPINDI HIKI KIZURI CHA KWARESMA. IKAWE KWETU YA MAFANIKIO MAKUBWA KIROHO NA KIMWILI PIA
@yudakalinga3697
@yudakalinga3697 4 жыл бұрын
Nakukubari sana kaka kazi zako nzuri
@makanglilutagandama
@makanglilutagandama 10 ай бұрын
barikiwa sana
@marthajoseph3297
@marthajoseph3297 3 жыл бұрын
napenda nyimbo za injili sana za imani zote ili mradi zina utukufu wa MUNGU.
@tilda1297
@tilda1297 Жыл бұрын
Mpendwa Tuti Salim, Mungu akuimarishe katika ufuatiliaji wa nyimbo uzionazo ni za Baraka kwako
@HappinessBoniphace-v2j
@HappinessBoniphace-v2j 11 ай бұрын
blessed again with this songs🙏on ash wednesday on 2024
@AloyceKipangula
@AloyceKipangula 11 ай бұрын
🙏
@Maggie-yx8pw
@Maggie-yx8pw 3 жыл бұрын
Mungu akutunze Kaka Aloyce kwa karama hii ya Uimbaji. Hakika nimefarijika sanaa leo na haya Majonzi ya kuondokewa na Baba yetu JPM😭😭😭💔
@emmanuelmutua8514
@emmanuelmutua8514 3 жыл бұрын
Feeling blessed by your songs. Hongera sana na mungu aibariki kazi ya mikono yenu 🇰🇪🇰🇪
@AloyceKipangula
@AloyceKipangula 3 жыл бұрын
Amina
@OtienoAdipo
@OtienoAdipo 4 ай бұрын
Nimerudia bwana mungu na moyo wangu yote ,nilikua nimepotea nikala na ngururue lakini nikakumbuka nyumba ya Baba yangu nalala naye ,nimerudi nyumbani mwa Baba yangu ,EEE bwana yesu nipoke Mimi mwano
@adelinelyaruu3036
@adelinelyaruu3036 11 ай бұрын
Mungu tunakushukuru kwa kwaresma hii. Tembea nasi katika safari hii ya toba. Tunaomba utusemehe makosa yote tuliyokukusea tukijua na bila kujua. Upendo wako uwe nasi milele Amina❤❤❤
@devothasamora8012
@devothasamora8012 3 жыл бұрын
Nyimbo ina hisia sana hii,Mungu azidi kuwabariki waimbaji
@alicemuia1775
@alicemuia1775 Жыл бұрын
And today marks beginning of another Kwaresma, May God help us
@ludoviclymo2044
@ludoviclymo2044 2 жыл бұрын
Naguswa sana nikizisikia hizinyimbo.mungu aniurumie
@تتغتا-س6ش
@تتغتا-س6ش 11 ай бұрын
Ee Bwana unfanifhili mimi 💖 💓 ❤️ 💕 ♥️
@AristidesAdorath
@AristidesAdorath 11 ай бұрын
Tufunge na kusali kwa roho na kweli bwana atapokea sala zetu huku tukitafakari nyimbo za kwaresma
@AloyceKipangula
@AloyceKipangula 11 ай бұрын
Asante Aristides kwa Ujumbe.
@robinsontheone4317
@robinsontheone4317 2 жыл бұрын
We really need to walk with God and lead us in the way to heaven and live happily life in paradise. Dear lord we have done many sins now its our turn to pay you for good cause you have been with us all the time you don't care if we does wrong I love you God help me out of this sin and Forgive us all Help the world
@annaauyo1958
@annaauyo1958 3 жыл бұрын
😭😭😭😭.tutubu na tumrudie Mungu.i just feel relaxed when ever I hear this songs
@consolatamoses5601
@consolatamoses5601 11 ай бұрын
Kiukweli ukiutafakari ukuu wa Mungu ndani yake lazima utoe 😭😭😭😭😭😭
@CATHERINEALANUS
@CATHERINEALANUS 11 ай бұрын
Pamoja sana ktk.kipindi hili cha kwalezima tumrudie na tufanye toba ya kweli
@mwangebulongo
@mwangebulongo 11 ай бұрын
Nyimbo nzuri sana i love the songs ho🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏✅
@noramkendamunishi6902
@noramkendamunishi6902 Жыл бұрын
Mungu naomba wabariki watumishi wako waliotunga kuimba na kutupatia hizi nyimbo.
@marcmathewmuyala1937
@marcmathewmuyala1937 2 жыл бұрын
Ubarikiwe sana Mtumishi wa Mungu kwa nyimbo zenye ujumbe tukufu
@AloyceKipangula
@AloyceKipangula 2 жыл бұрын
🙏
@KhaembaMatata
@KhaembaMatata 11 ай бұрын
Listening to this songs so touching in Riyadh be blessed Mr aloyce
@amanmaleko3085
@amanmaleko3085 2 жыл бұрын
Napenda kusikiliza hizinyimbo wakatoli 🙏
@francismbithi582
@francismbithi582 4 жыл бұрын
asante sana ndugu kwa nyimbo zenye tafakari ya Kwaresma
@jacklinamatias9230
@jacklinamatias9230 Жыл бұрын
🙏🏼🙏🏼🙏🏼hakika nyimbo zimenigusa zaidi
@teresiakokii4168
@teresiakokii4168 2 жыл бұрын
am down on my knees wen i listen this song "nimekosa" nice mix
@kimaugymnast
@kimaugymnast Жыл бұрын
And again here is Lent. Tumshukuru Mungu!
@NDESHILO
@NDESHILO 3 жыл бұрын
Nyimbo nzuri sanaa 🙏🙏🙏
@Kashashashuleyamsingi
@Kashashashuleyamsingi Жыл бұрын
Amina,Mungu aendelee kuturehemu👏
@GeorgeWeyakisala
@GeorgeWeyakisala 8 ай бұрын
Nakuomba ndugu kipangula nipelekee ushsuli wangu kwa jimbo kuu la dar es salaam naomba kama lile kanisa jipya. Litalochua nafasi ya st Joseph liiwe na sehemu itakayo wekwa picha za wale wote waliotunga tuzi bora yaani tokea ukatoliki upoingia tanzania 🇹🇿 ili vizazi vyetu vitambue michango ya wazee wao mungu hawabariki watuzi maana injili inasambaa kweli kweli amen 🙏
@AloyceKipangula
@AloyceKipangula 8 ай бұрын
😂😂😂
@hellenmartin6684
@hellenmartin6684 Жыл бұрын
Asant mungu kwa kunijalia uzima walinde nde na hawa wanaotupatia injili kwa njia yanyimbo mbalimbali ili tusikusahau wewe mungu 。
@AloyceKipangula
@AloyceKipangula Жыл бұрын
Asante Sana. Hellen Martin
@RoseNyangacha
@RoseNyangacha 11 ай бұрын
Nirudieni Mimi unanigusa sana Roho yangu mbarikiwe sana kama Mimi mkatoliki hasa huu wakati wa lent
@gastokibabas2871
@gastokibabas2871 Жыл бұрын
Mungu akubariki kwakutumia Karama vema aliyokupa mungu
@lydiakubingwa3180
@lydiakubingwa3180 4 жыл бұрын
Hongera Kaka kwa kuhubiri injili ya kupitia uiimbaji, tunafarijika na nyimbo zako hasa katika kipindi hiki cha kwaresma, Asante
@AloyceKipangula
@AloyceKipangula 4 жыл бұрын
Asante Dada Endelea kutufuatilia kupitia hii youtube channel Yetu Ili uinjilike Zaidi
@juliusmichael6191
@juliusmichael6191 Жыл бұрын
Nyimbo na sauti nzuri sana mbarikiwe
@ReyFau
@ReyFau 10 ай бұрын
Huu wimbo wa kwanza unaniguza sana.nakummbuka msiba wa baba yangu
@mariamulupatu-wl3qb
@mariamulupatu-wl3qb Жыл бұрын
Napenda sana nyimbo hz pia nabarikiwa sana
@benedictrkorosso153
@benedictrkorosso153 5 ай бұрын
Wakati nilipo pitia magumu na ninapopitia magumu mdao wote nyimbo hii hua inanifariji. asante kwa kuitunga
@rachelmwachofi9687
@rachelmwachofi9687 11 ай бұрын
Mungu aishiye milele atuhurumie na atusamehe dhambi zetu sisi wakosefu na atujaze roho wake mtakatifu katika kipindi hiki cha kwaresma
@AloyceKipangula
@AloyceKipangula 11 ай бұрын
🙏
@joycemassawe7814
@joycemassawe7814 3 жыл бұрын
Ki ukweli nafarijika sana na utunzi wa mtumishi wa Mungu huyu kwa nyimbo nzuri hizi kuna mambo magumu nimekwishapitia ila nikisikiliza napata faraja kubwa japo mm sio mroman nakuombea kwa Mungu akuzidishie hekima na maarifa makubwa uzidi kumtukuza Mungu
@AloyceKipangula
@AloyceKipangula 3 жыл бұрын
Asante Sana Dada Joyce Massawe kwa kuendelea kufuatilia Nyimbo Hizi. Mungu ana makusudi yake Katika mapito Yako
@gracesanka5329
@gracesanka5329 3 жыл бұрын
Hakika nyimbo hizi zinanifundisha kumrudia mungu mm mwanakondoa niliyepotea😭😭😭
@RoseRose-si9ik
@RoseRose-si9ik 2 жыл бұрын
nafarijika sana na hz nyimbo za maombezo bila mungu hatuwezi kitu
@EmilyAkinyi-n5d
@EmilyAkinyi-n5d 11 ай бұрын
Much love ❤❤❤ na juvunia kwa mkatoliki ❤❤❤💕💕💕
@gracesanka5329
@gracesanka5329 3 жыл бұрын
Nimekosa mm baba nimekosea naomba unihurumie 🙏🙏
@briannakendrick1346
@briannakendrick1346 3 жыл бұрын
Mimi sio mkatoriki lakini nimebarikiwa sana na hizi nyimbo Ee bwana unifadhili mimi🙏
@AloyceKipangula
@AloyceKipangula 3 жыл бұрын
Asante Sana Ndugu Mpendwa Brianna kendrick Naomba Endelea kutufuatilia Ili kupata Zaidi nyingine
@hillaryfranciscokasigara9407
@hillaryfranciscokasigara9407 3 жыл бұрын
Amina hongera na Mungu akubariki saana
@mariamjames5462
@mariamjames5462 Жыл бұрын
Nyimbo nzur mno za kwalesma zinafundisha vizuri mno
@ngurukihoro5442
@ngurukihoro5442 Жыл бұрын
Tumurundieni Mungu kwa mioyo yetu yote maana yeye ni mwenye huruma nyingi.
@petrosombe7315
@petrosombe7315 2 жыл бұрын
Eeeee mwenyenz mungu tuandalie sisi na makosa yetu sisi wenyewe tumeshindwa kuona na kutambua tunaomba utupe macho ya roho
@charlesndugulile7726
@charlesndugulile7726 3 жыл бұрын
Mkuu uko vizuri sana,
@christinefaila6591
@christinefaila6591 2 жыл бұрын
Watoto wa mama Maria mubarikiwe sana kwa nyimbo ♥️🙏
@neemajuma1015
@neemajuma1015 2 жыл бұрын
Kwakwer naipenda njimbo hiiiii
@getrudecharles444
@getrudecharles444 2 жыл бұрын
Barikiwa sana mtumishi kwa kazi nzur.
@AloyceKipangula
@AloyceKipangula 2 жыл бұрын
Asante Sana
@anitabizimana8175
@anitabizimana8175 4 жыл бұрын
asante ndungu, nyimbo hizi za nishirikisha vizuri ndani ya hizi siku za kwaresima ni kiwa kwangu nyumbani. kwani hatupendi kanisani
@Eliza_Kuria
@Eliza_Kuria 2 жыл бұрын
Mtunzi bora, waimbaji bora. Asante sana kwa hizi nyimbo. Zanifariji sana✨
@AloyceKipangula
@AloyceKipangula 2 жыл бұрын
🙏
@LeahPetersalamalohoni
@LeahPetersalamalohoni 9 ай бұрын
Nyimbo nzuri😢sana mwimbaji mungu azidi kukupa uelewa za idi 🎉
@PeterBureta
@PeterBureta 11 ай бұрын
Hongera sna umependa kitu Kitakatifu and you are close and near by Jesus cross .
@susannaikuni8595
@susannaikuni8595 3 жыл бұрын
Nyimbo zuri zenye utulifu katika maisha hii ya ulimwengu Mungu awazidishie
@angelinanicora
@angelinanicora 10 ай бұрын
Congratulations!! 🙏🙏And thanks a lot for boosting our love in God through this song prayer🙏🙏👏
@anselsquad3961
@anselsquad3961 11 ай бұрын
I have literally camped here this Lenten season
@getrudabenedict-fp5yd
@getrudabenedict-fp5yd Жыл бұрын
Mungu aturehemu sisi na dunia nzima
@shadrachsanga2140
@shadrachsanga2140 Жыл бұрын
Ubarikiwe sana kwa nyimbo nzuri zenye ubora kama huu
@puritykarimi8058
@puritykarimi8058 Жыл бұрын
Nashukuru Mungu kwa nyimbo hizi.
@experiuschota-op3qk
@experiuschota-op3qk 8 ай бұрын
Ee Mwenyezi Mungu, uwe nasi katika nyakati zote.
@AnnMakhoka-zl4ko
@AnnMakhoka-zl4ko Жыл бұрын
Nice song l'm not a cotholic but song teach me something
@ChristinaClement-ef2vc
@ChristinaClement-ef2vc Жыл бұрын
Nyimbo nzuri sana tutubuni jamani turudi kwa bwana tutengeneze njia ya kwenda kwa baba😍🙏🙏🙏
@AloyceKipangula
@AloyceKipangula Жыл бұрын
Amina
@KalistaLagma
@KalistaLagma 11 ай бұрын
Nawatakia kwaresma njemà
@pianamodu9501
@pianamodu9501 11 ай бұрын
Asante sana kwa nyimbo nzuri nabarikiwa sana ninaposikiliza
@AloyceKipangula
@AloyceKipangula 11 ай бұрын
Asante Sana Piana
@AfwilileNisaidie
@AfwilileNisaidie 11 ай бұрын
Hongera mtunzi na waimbaji nyimbo nzuri
@VctorMenlady-u4r
@VctorMenlady-u4r 11 ай бұрын
Bwana Tuongezee imani
@beatricemuchini7019
@beatricemuchini7019 2 жыл бұрын
So inspiring and really touching my heart.
@AloyceKipangula
@AloyceKipangula 2 жыл бұрын
🙏
@charlesndugulile7726
@charlesndugulile7726 3 жыл бұрын
Mungu akubaliki sana, ninapokua ktk wakt mugumu, nyimbo zako hunifariji sana, ubalikiwe Mr Aloyce
@AloyceKipangula
@AloyceKipangula 3 жыл бұрын
MUNGU ATUBARIKI SOTE
@pienciapetro3850
@pienciapetro3850 3 жыл бұрын
Nakuomba unitumie wimbo namba 4 afichae dhambi zake Ikifikia inaluka huwa naupenda sana
@fatherchisomoinspiration
@fatherchisomoinspiration 2 жыл бұрын
Mungu awabariki nyinyi wote! Muwe na kwaresma njema mkitubu dhambi zenu na mkisikiliza nyimbo hizi mzuri!
@AloyceKipangula
@AloyceKipangula 2 жыл бұрын
Asante Sana Fr Chisomo. Tunatarajia kuwaletea Nyimbo za Pasaka
@dativavernance7111
@dativavernance7111 Жыл бұрын
Asante mungu kwa siku nyingine na mwaka mwingine naomba baba unijalie afya njema na neno lako likae kwa wingi noyoni mwangu 🙏 kolosai 3:16_17
@angelomfilinge8662
@angelomfilinge8662 11 ай бұрын
Tuendelee kumwomba Mwenyezi Mungu atuepushe na dhambi na pia atusamehe makosa tunayotenda. Tumrudie Yeye kwa kusikia na kusikiliza, pia kuyaishi haya yote yanayohubiriwa katika nyimbo hizi. Ee Mwenyezi Mungu uwabariki watumishi wako hawa uliowatuma watuletee neno lako hili kwa njia ya kuimba. Wimbaji wote wa nyimbo hizi mbarikiwe sana. Hakika talanta zenu zinazaa matunda kwa maana hamkukaa nazo ndani, bali mmetusaidia na sisi. Tunawashukuru: Mtunzi na waimbaji wote wa nyimbo hizi.
@BeatriceSematagi
@BeatriceSematagi 11 ай бұрын
Safi sana
@zainabucherotich7417
@zainabucherotich7417 2 жыл бұрын
Hizi Ngoma ni poa sna,huigusa ndani ya roho yngu,nkiwa mkatholiki tangu utoto mwangu na maombi yangu kwamba Mungu aendelee kunineemesha na kunibariki Ili niendelee kuwa mkatholiki daima na familiar yangu!
@AloyceKipangula
@AloyceKipangula 2 жыл бұрын
🙏
@michaelmethod970
@michaelmethod970 3 жыл бұрын
Mungu wangu nisaidie katika kipindi iki kigumu ninachopitia
@rosembwawa20
@rosembwawa20 Жыл бұрын
❤Mungu tusamehe watoto wako
@christinemaero3245
@christinemaero3245 Жыл бұрын
God my Father indeed I have sinned,,,,,, have mercy on me
My scorpion was taken away from me 😢
00:55
TyphoonFast 5
Рет қаралды 2,7 МЛН
It works #beatbox #tiktok
00:34
BeatboxJCOP
Рет қаралды 41 МЛН
Quando A Diferença De Altura É Muito Grande 😲😂
00:12
Mari Maria
Рет қаралды 45 МЛН
Mom Hack for Cooking Solo with a Little One! 🍳👶
00:15
5-Minute Crafts HOUSE
Рет қаралды 23 МЛН
Israel Mbonyi - Nitaamini
12:58
Israel Mbonyi
Рет қаралды 37 МЛН
Nyimbo pendwa za kwaresma katoliki.. John Maja.
27:32
John Maja
Рет қаралды 68 М.
Nyimbo za Kuabudu na Maombi
1:00:07
Lucas Kaaya
Рет қаралды 741 М.
My scorpion was taken away from me 😢
00:55
TyphoonFast 5
Рет қаралды 2,7 МЛН