Mungu azidi kukutumia kwaajir ya utukufu wake 🙌😔natiwa moyo wa kusonga mbele nisikiapo shuhuda zako mamaangu🙏🤝🤝
@ernesterkasumba9743 ай бұрын
Kwenye mkutano wa Runzewe mama na mimi nilikuwepo nimeumia sana ila Mungu atakuzidishie na hilo kanisa nalijua sana yaani mama anasema kweli😊
@irenemapenzi73382 күн бұрын
Umweli kabisa,watumishi wenginwalo anza kiroho wameshindwa kumtetea yewamejaza mabenki na majimba mazuri kuembe nyuma kuna ngvunza giza
@ceciliakarimi14707 ай бұрын
Ni kweli ushuhunda huo hubadirisha sababu niliuskiriza 2019 mara ya kwanza na ulifanya nibadirishe mienendo yangu nikaokoka hadi leo. Mungu akubariki sana Bishop Nyisake kwa huo msimamo.
@theresiagisberth61977 ай бұрын
Ahsante Mtumishi wa Mungu maana Mwenyeezi Mungu anajitukuza juu Yako, nimejifunza kuwa na msimamo kutokuwa na tamaa, hakika Azidi kukutunza🙏 Nipo Njombe.
@flm15307 ай бұрын
Nimeukumbuk huu ushuhuda Mtumishi uliutoa kwa Mackenzie kenya ulinijenga sana
@happymbilinyi75647 ай бұрын
Mungu atuimarishe Imani tuwe na Imani iliyothabiti hakika hii Dunia usipo simama vzur na maombi shetani anakumeza mzimamzima Mungu azidi kukutumie dada yangu nyisaki wengi wapone
@user-jb3yt4nl9h7 ай бұрын
Asante kwa hushuhuda huo wa nguvu tuwe na musimamo wetu ambao ni dhabiti tusitoke kwa msingi wa Mungu, barikiwa sana Mtumishi wa Mungu,
@DAISY-k2z4 ай бұрын
Pamoja sana Mungu atuongoze
@AgnessIbrahim-nt1kr7 ай бұрын
Kiukweli Mungu anajivunia kuwa Mtumishi wake
@MarthalukasHerman7 ай бұрын
Kila nikisikilizaga mahubiri yako nathamani niwe kama WW lakini uliko pita Yesu alie hai zaidi kukibeba ili kuzidi kupata maarifa ambayo Mungu ameweka ndani yako Amina
@christinephilip50437 ай бұрын
Hata mm nataman kuwa kama Bishop nyisaki lakin nikisikia Mapito aliyopitia hapana kwakweli nitamtumikia Mungu Kwakuleta watu kwa YESU😢😢😢
@eunicekithome12057 ай бұрын
Washindwe mfulilizo.pia YESU KRISTO akulinde tuingie mbinguni siku moja
@christinephilip50437 ай бұрын
Bwana azidi kukutunza mama❤
@elleng52277 ай бұрын
Ni kweli wapo wengi sana walionunuliwa, sharti la kwanza wanalopewa wasiongelee kuhusu dhambi wala mambo ya hukumu sjui mbinguni ,bali waongelee sana katika mafanikio ya ulimwengu huu na injili ya Neema bila matendo, wasigusie toba
@ZubedaVicent7 ай бұрын
MAMAA MTUMISHI WA MUNGU HAKIKA NIEMEGUSWA NAKUMUIGOPA MUNGU, KUSUDI LA MUNGU HALIPNGWI, ACHENI MUNGU AITWE MUNGU KWA MAANA YY NDIVYO ALIVYO,MAMA MUNGU AKUVISHE NGUVU YA UTUKUFU WAKE
@luciekima66987 ай бұрын
Amen. Asante sana kwa ushuhuda muzuri wa kutunufaisha. Mungu azidi kukubariki na kukulinda katika kazi yake mutumishi wa bwana❤
@godsfavour16037 ай бұрын
Powerful testimony
@lovenesswalter66507 ай бұрын
Nmejifunza sana mama mzuri
@user-po2fw5yu7o7 ай бұрын
Waoo MUNGU AKUBARIKI SANA
@MarthalukasHerman7 ай бұрын
Amina mama kwa kweli Mungu aendelee kukutunza ❤❤❤❤
@neemasanga53337 ай бұрын
AMEEN MY LOVE DADA UBARIKIWE.
@lovenesswalter66507 ай бұрын
Ubarikiwe mnoo
@MarthalukasHerman7 ай бұрын
Maana umepita kwenye mapitio pamoja na Mungu
@claraelengabulunda67507 ай бұрын
Nimebarikiwa sana
@lyn2547 ай бұрын
Amen amen 🙏
@ngalilijoseph7337 ай бұрын
Amen Mama
@lovenesswalter66507 ай бұрын
Chooni wanaenda kuongezea nguvu
@ZubedaVicent7 ай бұрын
Kumbe hivyo vitu vipo MUNGU atucmamie
@flm15307 ай бұрын
Ameeeenn
@ernesterkasumba9743 ай бұрын
Kwenye mkutano wa Runzewe mama na mimi nilikuwepo nimeumia sana ila Mungu atakuzidishie na hilo kanisa nalijua sana yaani mama anasema kweli😊