No video

Nyisake Chaula_Historia

  Рет қаралды 7,704

Nyisake Yuda  Chaula

Nyisake Yuda Chaula

Күн бұрын

Пікірлер: 80
@EdomMwaihojo
@EdomMwaihojo 25 күн бұрын
Nakumbuka nikiwa nasoma chuo cha uwalimu TUKUYU TTC 1995 alikuja kushuhudi habari za kuzimu na Yerusalem mpya. Naam kuanzia hapo sijasahau na MUNGU amekuwa akitenda kitu kwangu.
@neemanyagawa9479
@neemanyagawa9479 6 ай бұрын
NAMPENDA MNO mimi Mama Bishop. Kutoka moyoni . Ushuhuda wà Mbinguni huwa nikiusikiliza Natetemeka mnooo
@NjagiJohn-rd9vb
@NjagiJohn-rd9vb Ай бұрын
Naomba niulize...haya maono ulionyeshwa mwaka gani...sababu mm niliyaona kwenye mkanda mwaka 2019
@lydiabenjaminmgalula6189
@lydiabenjaminmgalula6189 17 күн бұрын
Mungu akutunze mamayetu🙏🤝🤝
@fredericinteyiteka4234
@fredericinteyiteka4234 2 ай бұрын
Mungu niwaajabu
@protasluambano
@protasluambano 2 күн бұрын
MUNGU AKUJALIE NEEMA ZAIDI USONGE MBELE.
@neemasanga5333
@neemasanga5333 6 ай бұрын
MIMI NILIMUONA MWAKA 97 ISANGA KWENYE MKUTANO WA YULE MZUNGU ANAYESHI ARUSHA NIMEASAHAU JINA LAKE NA MIMI NILIKUWA MDOGO NA NIMEOKOKA, TANGU NA HAPO NIKAWA NA HOFU YA MUNGU SITA KUSAHAU, USHUDA WAKO ULINIBADISHA SANA KWA MUDA🙏.
@giselemwenge6225
@giselemwenge6225 6 ай бұрын
Nakupenda sana mama nafata mahubiri yako nikiwa congo goma, mahubiri yako yana niimarisha zaidi, Mungu akutiye nguvu .
@user-uz7kv2nj9o
@user-uz7kv2nj9o 6 ай бұрын
Ubarikiwe sana mtumishi tangu nikufahamu huku mtandaoni sijawai kujuta zaidi nakuwa kiroho
@GraceOtieno-vo3sj
@GraceOtieno-vo3sj 3 ай бұрын
Surely Our God is a destiny keeper
@blessingfavour3198
@blessingfavour3198 6 ай бұрын
I had missed you so much mum, love you so much ❤. From Kenya.
@paulinemutuku2867
@paulinemutuku2867 4 ай бұрын
I get encouraged when i listen to you servant of God. Mimi ni mkenya,pole kwa yaliyokupata ulipokuwa Nairobi. Tusamehe tafadhali naomba kama mkenya.Mungu akubariki.
@christinephilip5043
@christinephilip5043 6 ай бұрын
Hallelujah ninamtukuza MUNGU sana kwaajiri yako mama ninajifunza mambo mengi sana kupitia wewe Bwana azidi kukutumia ninakupend mno❤❤❤
@user-jc5uc6ds6n
@user-jc5uc6ds6n 6 ай бұрын
Mungu nimwema sana ushuuda wako umenitia nguvu Mungu azidi kukuinua samahani naomba mawasiliano yako Mtumishi
@nyisakechaula9433
@nyisakechaula9433 6 ай бұрын
Ubarikiwe
@MelanieNyota-qx4ru
@MelanieNyota-qx4ru 3 ай бұрын
Âmen mungu akubariki sana umenijenga sana mutumishi wa mungu uongezewe mufuta ya kiroho mimi ni mujakazi Nyota kutoka kongo province ya Kivu ubarikiwe
@stephenmwanza6905
@stephenmwanza6905 5 ай бұрын
Mungu akubariki mtumishi ushuhuda wako unitia machozi nikikubuka vile nami nilijaribu kukwepa kuwa mchugaji nilipeda uijilisti kama wewe lakini sasa ivi niko na kanisa toka 2020,nilikua kwa mkutano wako Nairobi 2016,cd zako nilizitoa you tube nikabariki watu nazo sana bila kulipisha wasikie kuhusu kuzimu na Yerusalemu mpya
@user-md7bq3ew4e
@user-md7bq3ew4e 6 ай бұрын
Asante mtumishi wa MUNGU nilikuw nahitaji kufahamu juu ya sisi wanawake kulihubiri neno la Mungu Asante sana nimeelew barikiwa sana
@andrewmaziku4671
@andrewmaziku4671 6 ай бұрын
Amen mama na askofu nazidi kujifunza Mengi kwako ,Yesu aendelee kukutetea ,nakuombea kwa Mungu
@godsfavour1603
@godsfavour1603 6 ай бұрын
I love this woman of God,her preaching are very powerful and you would feel the presence of God around..kwa wale wanapenda kusema mwanake astahili kuhubiri please Mungu anatumia pia wanawake kuhubiri neno lake.. Barikiwa sana mummy watching from Saudi Arabia
@nyisakechaula9433
@nyisakechaula9433 6 ай бұрын
YOEL 2::28-29 .ANASEMA WATUMISHI WANGU WANAUME KWA WANAWAKE
@marymwapiya1274
@marymwapiya1274 6 ай бұрын
Amen Mungu kwa kweli ni mwema pia kuna mtumishi Rachel Mushala na yeye alipewa maono na mdogo wake kama yako,anasema yeye alikuwa ndiyo mchanga kiroho akaenda kuwaambi wale walio kaa kwa mda mrefu kile ameona anasema huyo mchungaji akamwambia hilo ni pepo siyo Mungu anasema walimvunja sana moyo anasema akaamua kufunga kumuuliza Mungu kama kweli ni yeye huku akilia sana anasema akiwa kwenye benji akiomba Bwana Yesu alishuka na kumthibiti kuwa ni yeye na akamkubatia akamtia moyo anasema hapo ndipo nilipata nguvu . Pia kuhusu mavazi sasa wao walikuwa wanavaa vinguo vifupi na kujipamba Bwana Yesu aliwaambia waache kabisa na kusuka wanasema chuoni walitengwa na marafiki wakawa wanawaambia wanavaa kama wazee kwa kweli ukiitwa na Mungu utapitia kipindi kigumu kwa muda mpaka wakuzoe .Mungu akutunze uwe na mwisho mwema .
@imakimaro69
@imakimaro69 2 ай бұрын
Dunia nzima aliyeona hayo maono ni nyisake chaula hamna mwingine
@sekelamwasipaja-ue3zl
@sekelamwasipaja-ue3zl Ай бұрын
Usiseme hivyo hata wewe pia Mungu aweza sema nawe​@@imakimaro69
@protasluambano
@protasluambano 2 күн бұрын
Hope and blessed tv wishing all you the best. Go on don't give up Be blessed sister. Amen
@esthermliga4875
@esthermliga4875 6 ай бұрын
Amen amen mtumishi wa Mungu, nimebarikiwa sana na ushuhuda wako
@lovenesswalter6650
@lovenesswalter6650 6 ай бұрын
Nmepata kitu cha kunivusha kwakwel.... Ubarikiwe sana
@christeternallifetv5959
@christeternallifetv5959 6 ай бұрын
Ubarikiwe mama nimejifunza jambo
@lovenesswalter6650
@lovenesswalter6650 6 ай бұрын
Kwakwel nimeajiriwa na mbingu nlkuwa napata maswali hapa umenifungua sana..... Barikiwa mama mzuri nimekushtukiza tokea mwaka 2005 nlipoona ushuhuda wako wa mwaka 1991 Bwana Yesu akazid kukutumia ipo siku nitakutana nawe.
@EmilyAkinyi-cg2cu
@EmilyAkinyi-cg2cu 6 ай бұрын
Amen mtushi wa mungu nakupenda sana kutoka kenya
@annapeter1280
@annapeter1280 6 ай бұрын
Nakupenda mama mm nipo Arusha nimekujua uku kwenye mitandao
@nyisakechaula9433
@nyisakechaula9433 6 ай бұрын
Ubarikiwe
@FilimenaMbilinyi-rh5om
@FilimenaMbilinyi-rh5om 6 ай бұрын
Kwa kweli tumemuona Mungu kupitia wewe mtumishi ubarikiwe sana.
@ChescoMartin-ni3ql
@ChescoMartin-ni3ql 6 ай бұрын
Yesu akuzidishie neema mama kwa utumishi mwema
@juddexoloro5881
@juddexoloro5881 6 ай бұрын
SHALOM MUM, HAKIKA MINAE MUNGU ANIKUMBUKE TAWI MOJA LIWE KENYA KUPITIA NADIRI YANGU NA MUNGU KWA UPANDE WANGU KUTOA KIWANJA NIKIJA KENYA, IN JESUS'S NAME AMEN
@nyisakechaula9433
@nyisakechaula9433 6 ай бұрын
Amen amen mtumishi wa Bwana
@juddexoloro5881
@juddexoloro5881 6 ай бұрын
@@nyisakechaula9433 mum natamai hiyo jina kwa kweli wacha Neema itoshe ipo siku moja itatendeka kwa kibali kutoka kwa Mungu, Shalom
@tausimwinuka
@tausimwinuka 6 ай бұрын
Hakika Nauona Wema wa Mungu🎉 Ubarikiwe sana Bishop...
@samwelibenson1802
@samwelibenson1802 6 ай бұрын
Ameni ubalikiwe sana bishop history inajenga sana.
@nyisakechaula9433
@nyisakechaula9433 6 ай бұрын
Amen
@pastoreskakachaula4684
@pastoreskakachaula4684 6 ай бұрын
Kwa kweli uchungaji ni KAZI...
@beatricegerald7253
@beatricegerald7253 6 ай бұрын
Amen mama ubarikiwe sana nimejifunza sanaa
@hadasafesto6111
@hadasafesto6111 6 ай бұрын
Ubarikiwe sana mama. Nabarikiwa sana.
@diabae-qp1oq
@diabae-qp1oq 5 ай бұрын
Mama ni nikombeya hapa natamani nijekanisani kwako nipo hapa ccm
@nyisakechaula9433
@nyisakechaula9433 5 ай бұрын
Nipo uyole unapanda daladal za uyole Nsalaga unashukia stendi ya usangu utakuta bajaji panda zinazoenda machinjioni waambie wakushushe kanisa la Shalom
@diabae-qp1oq
@diabae-qp1oq 5 ай бұрын
@@nyisakechaula9433 amina
@NjagiJohn-rd9vb
@NjagiJohn-rd9vb Ай бұрын
Naomba niulize...haya maono ulionyeshwa mwaka gani...sababu mm niliyaona kwenye mkanda mwaka 2019
@graceken3295
@graceken3295 6 ай бұрын
Amen..mungu akubariki Sana umekuwa msaanda katika maisha yangu😢
@happydaud3639
@happydaud3639 6 ай бұрын
Jamani naomba mnisaidie kunijibu kanisa la mtumishi wa Mungu huyu lipo sehemu gani
@nyisakechaula9433
@nyisakechaula9433 6 ай бұрын
Lipo Mbeya mji wa Uyole karibu
@happydaud3639
@happydaud3639 6 ай бұрын
Asante mama nashukia wapi
@nyisakechaula9433
@nyisakechaula9433 6 ай бұрын
Wewe upo eneo gani
@nyisakechaula9433
@nyisakechaula9433 6 ай бұрын
0755157120
@AgnessIbrahim-nt1kr
@AgnessIbrahim-nt1kr 6 ай бұрын
Mungu akubariki sana Bishop, kiukweli nimekupenda sana
@remynemerimana7791
@remynemerimana7791 4 ай бұрын
Fika Burundi napo Nyisake.
@rebeccamabala-buildingthek6745
@rebeccamabala-buildingthek6745 6 ай бұрын
Mama niliokoka kwa maono yako..wewe ni mama kwangu
@nyisakechaula9433
@nyisakechaula9433 2 ай бұрын
Ubarikiwe
@user-er5hr1od6k
@user-er5hr1od6k 4 ай бұрын
Amen Amen Amen 🙏
@user-er5hr1od6k
@user-er5hr1od6k 5 ай бұрын
Amen Amen 🙏 ❤
@MichaelChanya
@MichaelChanya 6 ай бұрын
Mchungaji Mungu azidi kikutia nguvu. Samahani nawezaje kupata kitabu chako Cha ushuhuda wa maono ya Jehenam na yerusalemu mpya???Mi nipo mafinga iringa.
@nyisakechaula9433
@nyisakechaula9433 6 ай бұрын
Kitabu kipo ila kinapatikana Mbeya
@MichaelChanya
@MichaelChanya 6 ай бұрын
@@nyisakechaula9433 naweza kutuma pesa afu nikatumiwa kwa njia ya gari kikanifikia hapa mafinga.
@MichaelChanya
@MichaelChanya 6 ай бұрын
@@nyisakechaula9433 kama Kuna uwezekano nitaomba mawasiliano ya simu ili niweze kutuma pesa.
@pastoreskakachaula4684
@pastoreskakachaula4684 6 ай бұрын
Asante mama kwa kazi njema... Heri ulikubali wito mama... Tunajifunza mama...
@nyisakechaula9433
@nyisakechaula9433 6 ай бұрын
Mungu ni mwema ubarikiwe sana
@gidionmheni3165
@gidionmheni3165 6 ай бұрын
Woow Groly to God, Safari yako mama etu Ina tutianguvu na kutupa hamasa ya kumtumikia Mungu zaidi🔥🔥🔥🔥🙏
@flm1530
@flm1530 6 ай бұрын
Ameen mtumishi mbona mm niliomb ujazo wa ROHO ila kuna siku nikiwa mlimani ilinijia hali ya kunena nikazuia haijaja tena mpk leo sijui ndo nmejazwa ROHO au bado
@nyisakechaula9433
@nyisakechaula9433 6 ай бұрын
Ulikuwa unaomba ujazwe halafu ukaizuia ilipokuja?
@flm1530
@flm1530 6 ай бұрын
@@nyisakechaula9433 nilikuw naomb km siku zote ila sikuwa naomba ujazo wa ROHO MTAKATIFU siku hiyo ndo wakat nnaomba nikakamatwa kinywa nikaona km kun mtu anaongea ndan yangu maneno nisiyoyaelew nikawa na furah lkn nikajizuia nisiendelee kuomba tangu siku hiyo haijaja tena ni miaka sita sasa nilifunga siku tano kumsihi MUNGU anijaze lkn ht hivyo haikuja tena mpak leo
@mussatete2618
@mussatete2618 6 ай бұрын
Igoma,Kikondo, Kituro,Ujune,Isapulano,Makete,Ikonda,nk
@nyisakechaula9433
@nyisakechaula9433 6 ай бұрын
Isapulano ndio kwetu ubarikiwe
@mussatete2618
@mussatete2618 6 ай бұрын
Amina Mtumishi. Mimi nyumbani Ikonda, Isapulano hapa napita karibu Kila siku, kwa week naweza nisipite mara moja au mbili. Karibu sana Ikonda🙏🙏
@EdwinMbwilo-fj6bf
@EdwinMbwilo-fj6bf 6 ай бұрын
Naomba mawasiliano
@nyisakechaula9433
@nyisakechaula9433 6 ай бұрын
0755157120
@4kstudios536
@4kstudios536 6 ай бұрын
❤❤❤
@sophiamarwa5424
@sophiamarwa5424 6 ай бұрын
❤✍️
@pastoreskakachaula4684
@pastoreskakachaula4684 6 ай бұрын
🇹🇿🇹🇿🔥🔥🇹🇿🇹🇿
@annapeter1280
@annapeter1280 6 ай бұрын
Nakupenda mama mm nipo Arusha nimekujua uku kwenye mitandao
@nyisakechaula9433
@nyisakechaula9433 6 ай бұрын
Asante ssna
@oscanyakunga
@oscanyakunga 6 ай бұрын
Niombee kwa Mungu wako namiminiwe imara kamawewe
Nyisake Chaula_Historia 2
19:19
Nyisake Yuda Chaula
Рет қаралды 2,8 М.
Nyisake Chaula_Sadaka kama kipimo
50:05
Nyisake Yuda Chaula
Рет қаралды 4,7 М.
IQ Level: 10000
00:10
Younes Zarou
Рет қаралды 13 МЛН
Harley Quinn lost the Joker forever!!!#Harley Quinn #joker
00:19
Harley Quinn with the Joker
Рет қаралды 23 МЛН
USHUHUDA WA ALIYEKUWA KICHAA ANAYEISHI MAKABURINI
49:09
PROMOVER TV
Рет қаралды 15 М.
Nyisake Chaula_Ongezeko la kelele (Congo Bukavu)
58:05
Nyisake Yuda Chaula
Рет қаралды 2 М.
NYISAKI CHAULA USHUUDA WA JEHANAM NAMBA 2
8:21
PASTOR NYUNDO
Рет қаралды 958
Nyisake Chaula_Mambo tunayotakiwa kuyajua tunapoelekea mwisho
40:29
Nyisake Yuda Chaula
Рет қаралды 19 М.
Nyisake Chaula_ukombozi wa nafsi
1:01:49
Nyisake Yuda Chaula
Рет қаралды 1,8 М.
Nyisake Chaula_Mambo unayotakiwa kufanya unapokuwa vitani
1:16:42
Nyisake Yuda Chaula
Рет қаралды 25 М.
IQ Level: 10000
00:10
Younes Zarou
Рет қаралды 13 МЛН