Pakua Application ya Upawa ili ujifunze jinsi ya kupika vyakula mbalimbali na kusoma makala muhimu za chakula na lishe play.google.com/store/apps/de...
Пікірлер: 47
@makibadatela78655 ай бұрын
Semeni Kampuni ya Tanzania Daima inadaiwa kiasi cha fedha na Sio mtu anadaiwa, hapo ni kutafuta kumchafua Mbowe, Nachokiona kwangu Mbowe na Familia yake ni Watafutaji na sio watu wanaishi kwa kusubiri mali za Sirikali au kula mali za umma, Wanautajiri kabla ya kupata Uongozi wa nchi.
@VenerandaKundi-ph4hg4 ай бұрын
Haya Sasa mtoto wa mkt anakuwa hivi je baba yake ndo awe raisi do ndo tutauzwa na watoto wetu watanzania tuwe makini mie najua mtanisema lakini tahadhali
@user-dk5kk4rf3v5 ай бұрын
60ml hela gani hiyo ... mbona hata kiwanja hupati.. hilo eneo....
@queenmollel67395 ай бұрын
Si rahisi hivyo wenye hela watamsaidia
@user-nn6zq1ok7i5 ай бұрын
Hawa ni life shakers.
@barrynzeyimana62705 ай бұрын
Nawapenda hawa watu. Wakipata fulsa wanazitumia
@officiatuga5 ай бұрын
Duh!!!
@jojigeorige10565 ай бұрын
Nimemsikiliza mwanasheria lakini kuna sehemu ameniacha... Baada ya kufanya due diligence na kujiridhisha kabisa kwamba mali za kampuni haziwezi kufidia deni mdai amerudi mahakamani kufile lift corporate vail request, hapa ameinyima nyama, kapita ju kwa juu akasepa...
@simonrusigwa30245 ай бұрын
Sahihiiiii
@talents79345 ай бұрын
Nyumba inakamatwaje Waandishi kuweni makini na lugha yetu 😢😢😢
@abdallahlugongo47384 ай бұрын
Wewe mwanashelia mimi sijaelewa maana yako
@shabanmputa18175 ай бұрын
Mmmh
@upendoeliya93294 ай бұрын
Hapo mmechemka maana hiyo nyumba ni mali ya mtu binafsi (aliyekuwa Mkurugenzi) nasio mali ya kampuni ya Tanzania Daima.
@chire45745 ай бұрын
Wamefanya hivyo walipwe kirahisi..
@Hamy11095 ай бұрын
Mil 60 mbona ni pesa ndogo sana 😳
@alexyohana47085 ай бұрын
Afu hi pia ulisha ongelea mwanza
@treyvissy98545 ай бұрын
Nyumba inakamatwaje Sky 😂?
@tumainimwaifunga38845 ай бұрын
Imekamatwa kwani inatembea?
@salitosofo55615 ай бұрын
Nyumba inakamatwaje na haina miguu yani kiswahili chenu😅😅
@Zuu6735 ай бұрын
Imekamatwa 😂😂😂😂
@user-md7sd3hk6l4 ай бұрын
pesa ya madafu kwa familia ya mbowe tuta endelea kuwa penda chadema
@fidelismwakanyamale67875 ай бұрын
Kwani hapa shida nini?
@msabahaali7584 ай бұрын
mbona yule musiba hajapigiwa mnada mali yake yy
@user-nn6zq1ok7i5 ай бұрын
KAMA NI HIVI MBONA SISI BOT 1993 HATUTENDEWI HAKI?
@MaryMwamwezi-xm3iz5 ай бұрын
SI mkastaki
@josephmkinga95095 ай бұрын
iko lokap ipi
@florencemeza65405 ай бұрын
Saaafi wezi wakubwa wamepatikana haaaaaaa
@stephanomoses76945 ай бұрын
Utasubiri sana . Umaskin unatafuna sana AKILI.
@florencemeza65404 ай бұрын
@@stephanomoses7694 limekuingia jambazi
@josephmkinga95095 ай бұрын
hawa watu wanavoandama watoto wa viongozi hujama ila hawatawezaaa
@user-nn6zq1ok7i5 ай бұрын
FANYE YOTE ILA NA ZENU TUTZIKAMATA SIKU MOJA
@JacksonMartin-pb2vq5 ай бұрын
Huko kwenye majukwaa ya kisiasa Baba yake anapambana akijinadi ni mtu wa haki kumbe ndani kwake hakuna haki mpaka watu wanaenda mahakamani why msiwalipe
@florencemeza65405 ай бұрын
Ni hovyooooo hafai hàa kwa kulumangia
@isackphilipo98705 ай бұрын
Sisiemu is rotten I'm getting out of it.
@TM-zs3rm5 ай бұрын
Serikali yetu huwa inadaiwa mabillioni ya pesa mishahara baada ya watu kustaafu. Sijawahi kuona majengo ya serikali kupigwa minada.
@Commentsplus5 ай бұрын
Serikali ni Tasisi sio Kampuni
@user-nn6zq1ok7i5 ай бұрын
MAHAKAMA iliwahi ku kuamuru MALI za Shirika la umma ziuzwe MBONA hawatendi haki
@user-fr7jj1bo7y5 ай бұрын
@@Commentsplus kwahiyo majengo yao hayauziki au ? wao wenyewe viongozi walizipiga nyumba za serikali bei na nyingine wakajiuzia wenyewe
@Theman-dn8vo5 ай бұрын
Ko taasisi haiwez kushakiwa na mali zake kuuzwa sio?@@Commentsplus
@user-bj6bs9do2f5 ай бұрын
Himekamatwa Boda Ya Namanga hikielekea Kenya 🤣🤣🤣
@iamthefarmerceo23165 ай бұрын
Kaka naomba namba ya huyu mwanasheri ASAP
@deborahmgedzi6325 ай бұрын
Tunaomba haki itendeke.
@josephmkinga95095 ай бұрын
serikali ya ccm hujuma haimalizi
@MaryMwamwezi-xm3iz5 ай бұрын
Watu wadaiane mishahara. Tayari ccm.mbona hamuishiwi maneno kenge nyie
@user-ur7pw9ek6s5 ай бұрын
@@MaryMwamwezi-xm3iz😂😂😂🎉🎉🎉
@josephmkinga95095 ай бұрын
@@MaryMwamwezi-xm3iz huna akili unagongwa pUmb kenge wa bluu namanisha kwakua mtt wa mbowe nyumba inakamatwa ushawah sikia nyumba inakamatwa nguruwe mavi mbona sio mtt wa makamba kua na akili hizo fina mbwa koko