Wangap tunabarikiwa na huy kaka kwa hii albam 🙏🙏❤❤
@suzanjaphet81334 ай бұрын
Baba kumbe Yale maumivu ni dawa unisamehe nililalamika 😭🙏
@SifaBenigne23 күн бұрын
Obby nyimbo zako zote zinanibarikisana napenda Sana ❤unavyo imba
@Kp_portraitАй бұрын
🙏🏾🙏🏾 Baba amekuwa mwema kila hatua
@FridaUdoba-iw2jx4 ай бұрын
Hii nyimbo nimeisikia Kwa azaboy kidogo tu nikaona nijee niitafute Nzuri❤
@LydiaNicholaus-j8t4 ай бұрын
Ukanifanya nijue yupi mbaya yupi mwema yani kuna namna unanibariki adi nashindwa kusema baba wewe ni mwema 🙏
@AishaThomas-c9j2 ай бұрын
😭😭🙏🙏 kila kitu ni wewe
@JamesJoseph-bm8ix7 ай бұрын
Huyu mungu anaishi kila mwanadamu yupo duniani kwa sababu mwenyezi mungu anambariki mtu ili afanyike baraka kwa wengine tumshukuru mungu kwamaana fadhili zake nizamilele amina🙏
@JoycyAllyson3 ай бұрын
Sichoki kusikiliza ihii nyimbo jaman🥰🥰🥰🥰
@GreysonShangoАй бұрын
binafsi nabarikiwa na huu uimbaji huu 🙏🙏🙏🙏✅
@maotobouchermercy5274Ай бұрын
Obby alpha some of your songs hit me hard,
@zaharanaabil2024 ай бұрын
❤❤me muislam lkn nyimbo zako zina nibariki sana
@severinlouis7 ай бұрын
🔥🔥nchii isimame Kwanza
@hildahkijereji28044 ай бұрын
Indeed the lord is great ...nimelalamika mara mingi lakini naomba anisamehe pale ninapojisahau mema ya jana❤
@GosproAlex7 ай бұрын
Hakika albam hii imanibariki sana ni ujumbe wapekee kutoka kwa Mungu
@MinzaMadilo-zf5yl7 ай бұрын
Mungu wewe ni mwema matendo yako ya ajabua sana sina cha kusema zaidi ya asante🙏🙏🙏
@rehemasamweli4314 ай бұрын
Nisamehe MUNGU wangu😢 Asante kwa baraka zako MUNGU 🙏