You inspired Olivia just like your mentor Rose Muhando. God bless you abundantly.
@JustinKibiki-pu3hy Жыл бұрын
Danlod
@jameskimani48503 жыл бұрын
Awesome
@wisemelodytz589 Жыл бұрын
Mmh hii ku copy Rose hata hai sound poa
@ayubonyando5 ай бұрын
😂😂😂😂 hehehe eti biti yenyewe haivutii
@vailethmbwambo88505 жыл бұрын
na kweli shetani ana tabia ya kukumbusha maovu yaliyopita na ashindwe Kwa jina la yesu
@richardwambua1775 жыл бұрын
Thats a talent,,oliva keep it up,,may almighty uplift you
@prayerchamber16008 жыл бұрын
Love tht small kid ......in 10yrs to come atakua like Oliva
@hechihechie55585 жыл бұрын
Wanaotembelea nyota ya Rozy wamuone meneja Wa Rozy awanyooshe...Rozy juuuu
@vailethmbwambo88505 жыл бұрын
na kweli shetani ana tabia ya kukumbusha maovu yaliyopita na ashindwe Kwa jina la yesu
@salummliverpool39646 жыл бұрын
Mauno ni asili ya kuzimu. Ndio maana kukawa na miziki ya kidunia,na miziki ya Mungu. Maana sana wa Mungu sio wa dunia. Hata hivyo kucheza miziki hiyo,unaotumika ni mwili. Ila inategemea unachezesha kiungo gani cha mwili ili kuashiria muziki hii ni waasili gani? Kucheza viuno kunatumika blub maana ya club ni mlango wa kuzimu. Je! Oliva wema Nyimbo zako zina uhusiano na club? Kweli unaimba vizuri,ila angalia namna uchezaji. Pia kaa ukijua kua kila kiungo kwenye kucheza, kinatoa ujumbe kwa mtazamaji. Barikiwa.
@ayubonyando5 ай бұрын
Du! Maneno yako yana ukweli haswaa, nakubaliana na wewe
@bridgitmwema1655 жыл бұрын
rose Dada yetu Mungu ako.pamoja na wewe amini utapona
@lizmass42539 жыл бұрын
Am from kenya I love ur song GOD bless u, second rose muhando keep up
@polepoletobias66645 жыл бұрын
Liz Mass
@nandudugift83032 жыл бұрын
God bless you all 🙏🙏🙏
@Hassan_Mengi7 жыл бұрын
SIKU HIZI SIBARIKIWI JINSI WANAOIMBA ZA INJILI WANAVYOCHEZA
@sarahlugano797 жыл бұрын
tulia zama kwenye Biblia unapotunga nyimbo
@yahabibiyahayatiyahayuni73395 жыл бұрын
Mimi namtambua Rozi hawa wengine ni kupe na kuiga mifano za wengine mbona usitafute kipaji chako acha kunyemelea talanda ya mwenzio
@ayubonyando5 ай бұрын
😂😂😂😂 hehehe 😅
@EliasCharlesNyanza6 жыл бұрын
Kazi nzuri, angalau tutaendelea kupata ladha hii kwa muda mrefu zikiwa pamoja na ya Rose
@josephshikuku52816 жыл бұрын
Blessed song
@moreenfavour78955 жыл бұрын
Wewe no lutu katika maisha ya rose muhando we we na producer wako
@samuelchinula59376 жыл бұрын
Nice I love Gospel
@gibisonlaizr90526 жыл бұрын
Yesu Kristo nakutama uje ndan yangu
@juliusmose8266 жыл бұрын
Namtaka Yesu maishani mwangu. shetani usinikumbushe
@fransicochunji3276 жыл бұрын
Hongera sana Dada,safiiii,mungu akuinue
@lucaschuma93295 жыл бұрын
Dada kwa rose kasome
@carolyneaa89429 жыл бұрын
Nashukuru kwa kazi yenyu na kuendeleza injili lkn uko na kombe na dadako Rose pia ktk Tanzania nawasii mtoe kanda pamoja
@jacksonmodaha15906 жыл бұрын
ASANTE KWA UJUMBE DADA GOD BLESS YOUR SO MUCH
@gibisonlaizr90526 жыл бұрын
Ubarikiwa oliver
@sarahsammy87909 жыл бұрын
nce songs
@eliazaripro55327 жыл бұрын
ikiwa umeshaokoka shetani atakukumbusha muda saa ngapi hayo.Jazwa roho Mt.utashindaaaaaa
@kaniziyoiradukunda8966 жыл бұрын
Unilete
@vailethmbwambo88505 жыл бұрын
ndugu hata kama umeokoka majaribu yapo,,,,na mengine sio ya kukukuza kiroho ni kukuangusha
@nyekingobwire79935 жыл бұрын
Du unaweza haswaa ubarikiwe mdogowangu
@ednada90338 жыл бұрын
mm nashindwa na waimbaji wainjili wanamuingiza rose kila mtu atoe dizaini yake hamtamweza rose
@hechihechie55586 жыл бұрын
Edna Da Sipendi mtu anapotembelea nyota ya roz.si wajipange kivyao jamani!!!!!!
@esthermshomi31405 жыл бұрын
Edna Da wanacheza Kama bongo fleva jamani tunaenda wp???
@kipkoechvincent45715 жыл бұрын
@@hechihechie5558 Kweli kabisa.
@deborahagerech73838 жыл бұрын
tukatike ngoma ya Yesu. hongera dada
@daleocyber32936 жыл бұрын
Deborah Agerech
@lorraineparsons91198 жыл бұрын
Style and all like Rose Muhando...!,,
@tumainielia89026 жыл бұрын
tunakatika ndan ya yesu katika mama
@markjoseph56985 жыл бұрын
Ww na manager wako Nathan wapumbavu tuu, mnatak kumroga rose at, ww mwenyew shetan mkubw
@kaniziyoiradukunda8966 жыл бұрын
Nice
@patricianicholaus47345 жыл бұрын
Mmmm!
@kaniziyoiradukunda8966 жыл бұрын
Tanzania we to niriminati weyeusiyende
@juliusmario44315 жыл бұрын
rose nmtu wa peke yake kuimba na kucheza kwakuwa aliitwa wengine wanaiga tu
@jescazephania96595 жыл бұрын
pambana dada IPA roz msingemruhusu arudi wislamu
@peterthomas37517 жыл бұрын
nyimbo nzuri sana
@venancemligo66467 жыл бұрын
yuko vizur
@liddyabaruti26065 жыл бұрын
Hadi mavozi jamani yangu macho lakin kuni za jehamu iyo
@davidmwandemani19907 жыл бұрын
jaman huyo na rose maneja wao ni mmoja
@christinanoah38875 жыл бұрын
ww hats saut huna acha kukopy si barikiw kabisa na nyimbo zaki
@salankatolenchoe7936 жыл бұрын
Jose ole Samato
@realwambo95917 жыл бұрын
chonjo sana
@gorodiynogirabatwarr60707 жыл бұрын
ubalikiwe sana
@benardnzioka91856 жыл бұрын
Gorodiyno Girabatwarr
@levinankwama34855 жыл бұрын
Niki subscriber m naumwa kwa kutukatia viuono
@rainmtewele16727 жыл бұрын
danieli Thomas ibada njema
@neemajuma48695 жыл бұрын
Dada kama umeokoka kweli punguz kukatika me si barikiwi kabisa na kukatika kwako
@justinnyamsenda72088 жыл бұрын
huyu alikuwa muimbaji WA Rose muhando na sio ndugu yake
@eliazaripro55327 жыл бұрын
ikiwa umeshaokoka shetani atakukumbusha muda saa ngapi hayo.Jazwa roho Mt.utashindaaaaaa
@clemantineful9 жыл бұрын
She sings like rose muhando.. Is she her daughter?
@mariamarie41128 жыл бұрын
Even the dance
@esnathchimuly10967 жыл бұрын
She was ones of her dancers
@clemantineful7 жыл бұрын
Esnath Chimuly really? In which album does she dance? It's my first time I heard this story. Thank you for your info.
@georgie91095 жыл бұрын
Be yourself stop copying Rose
@christinanoah38875 жыл бұрын
mauno ni asili ya kuxmu ww bira uimbe singel aise nyimbo za injir zmeingiliwa kabisa
@dorcasambasa14009 жыл бұрын
Is this rose muhando?
@joshuaodira78799 жыл бұрын
Rose Mohando is her mentor.
@friendsofjesuschrist5 жыл бұрын
No talent here.Ni kuiga kazi Mum Rose.
@elvinngutuku32385 жыл бұрын
The song and the Dance makes no sense. The devil himself is Dancing for this song