Рет қаралды 15,072
Huku kata ya masasi wilayani Ludewa mkoani Njombe Licha ya kuwa ni sehemu ya burudani wanapofikiwa na ugeni wa serikali wakazi wanatumia ngoma za aina mbalimbali kutoa ujumbe wa changamoto zilizopo katika maeneo yao au kutoa maoni nakualika fuatilia ngoma hii uburudike asante