Рет қаралды 378,954
Hali ya usalama eneo la Beni Kivu Kaskazini imekuwa ni ya wasiwasi kwa muda mrefu kutokana na mauaji yanayofanywa na makundi ya waasi likiwemo kundi la ADF ambalo limeshutumiwa kuua zaidi ya watu 7000 toka mwaka 2013. Hivi leo basi tunakuletea ripoti maalum ambapo mwandishi wetu Austere Malivika ametembelea eneo hilo kufahamu zaidi kinachoendelea na juhudi zinazofanywa na serikali ya DRC katika kukabiliana na tatizo hili. #DL #VOA