Jamaniiii Our own Doctor Khalid Aucho na yeye tumfanyie jambo 💛💚💛💚💛💚💛💚💛💚
@abdulraufusamu94319 ай бұрын
Haswaa, ana mchango mkubwa sana kwenye timu ni vile haonekan kwa sababu hafungi
@ImanDaniel-qj4ey9 ай бұрын
❤❤❤❤❤ komaaaa
@GloriaMillinga9 ай бұрын
Kweli kabisaa
@boscojulius5329 ай бұрын
Jambo zuri kabisaa
@boscojulius5329 ай бұрын
Good idea
@Sumaiyafisoo9 ай бұрын
Manshaallah wananchi wanaupendo na professor pacome
@lirastanley3909 ай бұрын
Kitu ambacho nimependa ni kuwa pesa ni ndogo sana na imeonyeshwa jinsi gani yanga walivyo wawazi kuhusu kutotaka kujifanya wanaonyesha malaki mbele ya kamera badala yake wameonyesha kile kile kilichochangwa na mashabiki nmependa sana na pia hakuna zawad ndogo hata ongekua shilingi mia,,ahsante sana kwa kuridhika na zawad maana ni kubwa sana ndan ya moyo
@lomonaanzuruni4 ай бұрын
Hi
@betridadaniel14619 ай бұрын
Inatia moyo kwa wachezaji wetu mungu ni mwema
@castorykikoti30969 ай бұрын
Hii nzuri sana hii Wananchi,,, kidogo chetu ❤
@jumanneenos24819 ай бұрын
Wanayanga wenzangu moyo wetu huu uendelee
@Maryc2G9 ай бұрын
Vizuri mashabiki kumjali na kumpa pesa pacome pesa anafanya vizuri. Pacome oyeeeee💚💚🙌🏾
@AhmadMula-x1c9 ай бұрын
Pacome nakuombea Sanaa maisha marefu
@ShukuruMgimba9 ай бұрын
Merci aussi pacome et tous les joueurs Nawakubali sana wanangu wote
@georgesamwelchacha76809 ай бұрын
Huyu jamaa wangekua na Mayele yaaan tungeinjoy mpaka basi🎉🎉🎉
@imanibakili80289 ай бұрын
Kuna watu wangehama nchi
@naliakafatuma98709 ай бұрын
MUNGU ni mwema safari njema kila la kheri kwenu nyote kazi njema barikiwa Sana Yanga
@ChenchiKing9 ай бұрын
Nakubal Xan Mchango Wa Pacome Na Wachezaj Wengine Wanavojituma Kwa Ajili Ya Nembo Ya Yanga Africans 💚💛💚💛💚💛💚💛💚💛💚💛💚💛💚💛
@brianmugisha24909 ай бұрын
Lazima nakupende pacome zouzoua naomba like yangu 🎉🎉🎉🎉
@rukiakyaka18279 ай бұрын
Alhamndulilah Allah awajaalie afya wachezaji wetu na azidishie uwezo ufaham na upendo kwwnye timu yetu Inshaallah
@seifismail60419 ай бұрын
Yanga hi raaa adi naisi kisukali🎉🎉🎉 alli kamwe 🎉🎉 pacome
@mbwanaibrahim82229 ай бұрын
Jamaa anaonekana Humble sana
@makischocho46139 ай бұрын
Merci aussi professer Pacome
@SweetDaughter-j5v9 ай бұрын
Daaah mungu ainariki yanga daimaa daimaaaa
@philipomponeja24579 ай бұрын
Safi kabisa wananchi😊
@solomonsigalah32779 ай бұрын
Nakukubal xna,,tunahtaji wachezaj kma Hawa timu inapotaka kufa wao wanaifufua game
@sullehtz93279 ай бұрын
PACOME ZOUZOUA ✊
@jumanneenos24819 ай бұрын
Hapo sawa sasa, naomba like zangu
@TatumussaMtajenga9 ай бұрын
0:00 💕💕💕💕💕💕💕💕 0:00
@agustinopaulo84169 ай бұрын
Hivi likes zinauzwa?
@Vivomnyama83869 ай бұрын
❤
@zackofficial98409 ай бұрын
Naipenda sana Yanga card ninayo bado jersey ilosainiwa na Pacome tu
@franciskavyega2809 ай бұрын
DAIMA MBELE NYUMA MWIKO💛💚
@samuelhuzi9 ай бұрын
Asa mwiko nyuma unafanya nin¿
@amaniomar17559 ай бұрын
@@samuelhuzibado hujasema
@PanchoValentino-wh7wt9 ай бұрын
Hii imeeenda Wananchiiiiii iiiiiiiiiiiih ⚽💚💛🌟💪🔥🔝⚽
@yuzomatthias3959 ай бұрын
Nzuriiiiii
@charlesmakuri7929 ай бұрын
Pacome you the best player in Africa good man
@shabbirbharmal78769 ай бұрын
Our professor pacome 😊
@mariajames55589 ай бұрын
Safi sana pacome
@aminaabasi21469 ай бұрын
😂Tunawapenda akii tena
@productionwinderbuly9 ай бұрын
Wachezaji kama hawa tulikuwa tunawasikia tu kwenye timu za ulaya, sasa inshalla tunao. Ama kweli mpira wa bongo umekua.
Asante wananchi kwa upendo,hiyo zawadi ndg itamfaa kijana kwenda fanyia usafi nywele,c haba
@SarahWilliam-ik2nc5 ай бұрын
Acha dharau umesikia Hana Hela ya kusafixhia nywele.
@SesiliaSamwelkamau6 ай бұрын
safi professa♥️👌🇯🇲
@speciallvoice80919 ай бұрын
Uyu mwamba kweli kweli
@herrysonk.edward6099 ай бұрын
Hahahahah kibwana ana matatizo nimeipenda hiyo😅😅😅
@HatibuMbaruku4 ай бұрын
daaaar namkubali sana pacome
@zetufilm9 ай бұрын
Iyo nimeipenda😂
@yasrikomba78749 ай бұрын
❤❤❤😂😂😂yanga raha sana
@KingiMakesen-ju9ot9 ай бұрын
Hapo sawa msemaj la Caf
@gomskitaa48409 ай бұрын
Pacome mtu hatareee sanaaa
@piliMuhammed-so3pg9 ай бұрын
😂😂😂😂 sio Kwa kuhesabu huko jm
@juniorkaguo86169 ай бұрын
Minina 1000 hapa analipataje
@Smartkambi9 ай бұрын
Professor
@Sumaiyafisoo9 ай бұрын
Yanga 🎉🎉🎉
@salimramadhani52379 ай бұрын
Pacomeeeee🔥🔥🔥🔥
@Batuli-f4x9 ай бұрын
Pacom daima mbele nyuma mwiko
@allybulula91049 ай бұрын
Lazima kibwana awe na tatzo c unajua vijitu vfipi😂😂😂
@allyselemani97819 ай бұрын
Unajua Mpira sana
@hassangaucho40849 ай бұрын
Chama mda umeenda sana asije akatuharibia timu yetu km simba imemshinda atafute pakwenda na sio kwa wananchi ...
@kabaranamaganga66469 ай бұрын
Mercy Bukù
@MatronaThomas-wz5si9 ай бұрын
Jamaa mtaalamu
@Sumaiyafisoo9 ай бұрын
Daima mbele nyuma mwiko
@Bwindetz4 ай бұрын
Wananchiii 💥💥💥💥
@athumaninyituki70119 ай бұрын
Daima mbele nyuma nwiko
@zuenampandeni33479 ай бұрын
Pacome ukitaka mke wa pili Mimi nipo🤸🤸🤸
@FestoMunishi9 ай бұрын
Chama hatakiwi kwa wananchi aende timu nyingine atatuaribia
@jacklynlemah66549 ай бұрын
Cograts Pacomr
@musamkonya-ec4rw5 ай бұрын
Mbona jamaa kabonga kiswahili et kibwana ana matatizo
@AmarLikonda-q6dКүн бұрын
Huyu kibwana ana shida gani ety😂😂😂😂
@Kuminamoja19959 ай бұрын
Kibwana ana matatizo
@almonsimon22779 ай бұрын
Akika hii ndo yanga
@mariamausi86757 ай бұрын
Kumbe anafaa kwa matumiz kabxa, mwambien niko single
@fihirishemaadihussein61249 ай бұрын
Ni upendo!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
@jaffarhassan87889 ай бұрын
😅😅iyo hamsini nilitoa mm😅😅
@SadyTz-m8m9 ай бұрын
Congratulations brother
@GafiziSalama9 ай бұрын
Courage pacome meilleur joueur
@onesmomahenge90259 ай бұрын
Very interesting 😂😂😂💚💛💪
@RazakiMalenga9 ай бұрын
Nipo kusuni nachungwea Aly kamwe na viongozi tunaomba mkija huku kwaniaba ya mchezo zudi ya namungo mupitie nachingwea tuna zawadi za pacome❤❤❤❤
@AishaSalaga-rv7sb9 ай бұрын
We mmakonde andika vizuri usinitie aibu
@elvisnyaranga4349 ай бұрын
Siku nyingine kma mnamchangia pacomee zouzoua au aucho na diarra mniambie namm nichangie
@ukuvukiland23875 ай бұрын
Maoni yangu tuu yanga hatutaki wachezaji kama chama tegemezi kibu ni fighter ila itabidi tumuongezee skills na dube wanahitaji more skills ,kuna wafingaji wa mana ndani ya bongo kama tunataka tukuze majina ya wachezaji,ushamba ndio umetuzidi..na mishahara watoto wa jangwani.tukiacha team work ,tuendene na skill's na talent.sina mengi wengine tushacheza mpira.
@shuwehaharuna63099 ай бұрын
Naomba namba yake😂😂
@ASHAWAHABU9 ай бұрын
Nice
@RashidMuhunzi-pr5xj9 ай бұрын
The tanzanian zidane
@jamilamkunga2349 ай бұрын
Pacome🎉🎉
@deokafwa69089 ай бұрын
❤❤❤❤ Yanga
@Zina-m2v9 ай бұрын
💚💛💚yangaaa
@othmanm-pesa91789 ай бұрын
Motooo
@EdwardPaul-bd2fx9 ай бұрын
Khalid Aucho mpambanaji wetu hebu mfanyieni kitu fulani postivu plz
@ASHAWAHABU9 ай бұрын
❤
@kamdinindevu51859 ай бұрын
Nice one
@remidusmwanandenje-yy5gs9 ай бұрын
Yanga bingwa😂😂😂
@daudimichael73389 ай бұрын
Eti Kibwana matatizo, Pacome ameanza kujua kiswahili 😂😂
@rahmahassan11579 ай бұрын
Kher kubwa
@andylukass55099 ай бұрын
Professor zouzoua
@Izaangonyan9 ай бұрын
Ise nimependa san kuuona uhalisia kiukwer mmefanya pow
@malietamaliet9 ай бұрын
😂😂😂😂ally kamwe jitaidi sana. Ujifunze lugha naona Mimi na wewe tunamuangalia tu pacome na nachekasijui nacheka nn
@sumadashsumadash-yx8eb9 ай бұрын
Kamwe Lugha ya kiingereza anakijua vzur sana ispokuwa Pacome ndio hajui kiinglish hata kiduchu...!
@malietamaliet9 ай бұрын
@@sumadashsumadash-yx8eb ajifunze kifalansa
@MaryErnest-pm1qz9 ай бұрын
Pacome ilov
@monjimonjitaiyai9 ай бұрын
Ally kamwe iyoo hela hawakuchanga wananchi peke yao walikuepo mpaka mashabiki wa simba
@tenatanz9 ай бұрын
Walitumwa 😂😂
@rozamabagala62429 ай бұрын
Kwahiyo😅😅😅
@VictoriaMichael-j4q9 ай бұрын
🎉🎉🎉
@rainardleonard80459 ай бұрын
🔥🔥🔥🔥
@bahatimkumbo72989 ай бұрын
😂😂kibwana ana matatizo
@mcgabby9 ай бұрын
Nipeni na namba ya Yao Yao nifanye muamala na yeye pale Baki ni mutu na nusu😂
@FredrickMuyombya9 ай бұрын
Ali kakosea bhana uyph jamaa ana hazi kubwa
@mariamshaban45189 ай бұрын
Yaan yanga mchezaji hatakama hachezi kwa mapenz basi watafanya mishe mishe ili aipende timu yao is good