Hakuna lenye mwanzo liso na mwisho ... Hatuko mbali na mwisho InnshaAllah Allah akupe nguvu bwana Rashid na wenzako 🤲aamin
@alihijiiddi89772 жыл бұрын
HATUTAKI MUUNGANO NA TUNATAKA MWAMBASA YETU IREJEE UHURUWETU UMEKALIWA MATAKONI MWA WATANGANYIKA MAADUWI LAKINI SASA WENYE KUWEKA SAWA NI SAMIYA NA MWINYI SASAIVI WAUTOWE UHURU WA ZANZNZIBARI KWENYEW MATAKOYAO NA WAZANZIBARI WAFAIDI UHURUWAO💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪🌎🌎🌎🌎🌎🌎🌎🌎🌎🌎🌎🌎🌎🌎🌎🌎🌎🌎🌎🌎🌎🌎❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️
Amin usiamini ,zanzibar iko salaam kwani serikali 3 zinakuja ,huyo kizakazi Samia ,anaye tawala
@shahidmaftouh11412 жыл бұрын
Huyo kijakazi Samia ndiye atayeweza kuikomboa zanzibar Islands itakua history, bila ya hata toni moja la damu, Allah kampeleka Samia kutawala tanganyika, ( kuna jambo hapo) bisubra
@mohammedhamad52972 жыл бұрын
@@shahidmaftouh1141 nakuunga mkono ALLAH amemuweka kwenye kiti Awe Rais Samia suluhu hasan ili atukomboe ZANZIBAR huru
@lilianmakwati52282 жыл бұрын
Ewe m/mungu tunakuomba watu Kama Hawa wanaoipigania znz huru watie nguvu na afya wafikie malengo yao
@rehemamost4442 жыл бұрын
Alipigania karume sio wewe
@saidabdala49802 жыл бұрын
Amin
@Samsungjprime-ww9ve Жыл бұрын
Tanaka ule mchezo wa kiswahili Tanganyika na znz mutuingizie kwenye you Tube
@salimmohammed86172 жыл бұрын
Tupo pamoja
@adiladil3452 жыл бұрын
Madete Tanganyika uchumi wenu ni Zanzibar ndo mwaogopa mungano kuvunjika
@warijalwabaswar35632 жыл бұрын
Kaka kweli au mnatafna pesa
@ZuenaSharifu2 ай бұрын
Tanganyika ni mgomba ambao unaelekea kuanguka na mwega wake ni Zanzibar mukiundosha watanguka 😂
@abuubakalmtangenange43892 жыл бұрын
Utafika mwisho wake in Sha Allah japo mtanganyika ila nipo pamoja na ndugu zangu wazanzibar
@omarynassor63132 жыл бұрын
Yap
@aminakunja2772 жыл бұрын
Sasa si wawaruhusu wajitegemee tu kwani Tanganyika wa nafeli wapi waache bwana
@allysuleiman60222 жыл бұрын
Yani mmi ningelikuwa nauwezo hawa watanganyika ningewafunga wote tena gontadamu hawafai hata kuongoza kuku mashoga wakubwa hao majizi tu na maongo humjui muislm wala mkristo wote wababaishaji tu
@mohammedhamad52972 жыл бұрын
Taqbiiiiiiiiiiiiiiir
@jumakhalid55542 жыл бұрын
Semakweli baba hatuutaki
@fakihdarusi43852 жыл бұрын
Sovereignty State
@rehemamost4442 жыл бұрын
Uchonganishi Tu udini unakusumbua!
@khamisamour85112 жыл бұрын
Ubaguzi us I we ubaguzi as wazanzibari tumeshamuelewa
@maryamhassan71482 жыл бұрын
Mhhh
@perisiverympwenku1392 жыл бұрын
Non sense hamjielewi. magaid,
@saidabdala49802 жыл бұрын
Umekosa malezi
@abdulmalikaudreykaipa40072 жыл бұрын
Muungano unawapa nafas waislam yakuzunguka Tanzania yote kutangaza uislam tena huru lakn nyie ubaguz utawatesa, kwann mnakuwa na roho mbaya za ubaguzi, mtume aliziunganisha inchi nyingi dunian (muungano) nyie mnajisifu na kuzalikwa kwa waislam nafs zanu afadhali za nguruwe
@omarsuleiman48552 жыл бұрын
Hatutaki sisi watu wa zanzibar kila kila mtu angoze nchi yake mukitaka kungani siuganeni na Uganda huko kwani lazima mungane na zanzibar
@madetetv65762 жыл бұрын
@@omarsuleiman4855 ndo tulisha ungana sasa halafu ww ulikuwa hujazaliwa so sio sahihi wewe kumwambia mamako kwanini alizaa na babako kwanini asingezaa na babake Juma ni radhi hiyo
@ahmedalbalooshi85182 жыл бұрын
Abdul,soma historia ya Zanzibar kabla na baada ya muungano. Huo uislamu unaotaja ndio moja ya sababu iliyo changia mapinduzi.
@hassanalhussein39822 жыл бұрын
Uislamu ulikuepo Tanganyika kabla ya Muungano.
@michaelrweyemamu10682 жыл бұрын
Usitumie lugha ya wingi sema ww
@princematumbo2 жыл бұрын
Mbona mnasema uongo?!! Huyo anae hoji Sio mtu Wa Mombasa, Kiswahili cha huko huko kwenu.Na ndio maana amejificha,ni nyinyi Kwa nyinyi mwahojiana.semeni ukweli
@mohammedhamad52972 жыл бұрын
Huyu ni wamombasa amuhoji unajua km mombasa ilikua makao makuu ya zanzibar