Рет қаралды 8,901
Baada ya mahakama ya Jumuiya ya Afrika Mashariki kuitupilia mbali kesi ya Kupinga uhalali wa Muungano wa Tanganyika na Zanzibar iliyofunguliwa na wazanzibar ELfu 40 dhidi ya mamlaka za sheria za zanzibar na jamhuri ya muungano, kwa kueleza kuwa mahakama hiyo haina mamlaka kisheria kusikiliza shauri hilo. #VOA #VOASWAHILI