BILLIONARE SAIDI LUGUMI ATOBOA SIRI YA KUFANIKIWA, AWAPA TABASAMU WATOTO ZAIDI YA 800

  Рет қаралды 13,416

CLOUDSMEDIA

CLOUDSMEDIA

Күн бұрын

BILLIONARE SAID LUGUMI ATOBOA SIRI YA KUFANIKIWA, AWAPA TABASAMU WATOTO ZAIDI YA 800

Пікірлер: 53
@HamiduShabani-xs6yc
@HamiduShabani-xs6yc Ай бұрын
Allah akukunjulie riziki father na kesho akhera akukupe malipo mema inshaallah
@arahmantvonline
@arahmantvonline Ай бұрын
Allah akulipe kheri na ujue umri mrefu, amin
@jomba6514
@jomba6514 Ай бұрын
Ubarikiwe sana sana namuomba Mwenyzi Mungu niwe kama wewe
@Boraimani
@Boraimani 17 күн бұрын
Naandika huu ujumbe huku natokwa na machozi ya wivu mkubwa....Namuonea Sana Wivu huyu Ndugu yangu Saidi Lugumi kwa Mambo makubwa anayofanya...Hakika yananifurahisha mno kwasababu mwenzangu anafanya hivi ili kupata radhi za Mwenyezimungu....Sina la kusema zaid ya kukupa Hongera sana Bwana Lugumi Mungu akupe zaidi ya unachotoa insha'Allah 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
@Amosmpaji
@Amosmpaji Ай бұрын
Mwenyezi Mungu akupe maisha marefu na hiyo ndio Siri kubwa ya kuwa tajiri
@mbaruksaid5775
@mbaruksaid5775 Ай бұрын
Mungu akiniajalia nitafanya zaid ya hichiiii
@menalikechildren8836
@menalikechildren8836 Ай бұрын
Amin
@theteacherchance6750
@theteacherchance6750 Ай бұрын
Natamani nichangie elfu kumi katika "mradi" huu 😭😢😭😢😭😢😭😢😭😢😭😢😭😢😭😢😭😢
@EGM-TZ
@EGM-TZ Ай бұрын
From #EconomicallyGrowthMusicians Congratulations Lugumi kwa Fadhila hii🎉🎉🎉 Karibu: Enjoy Muziki Mzuri kutoka EGM
@zaharanakim289
@zaharanakim289 Ай бұрын
Mwenyezi mungu akupe afya njema na akuongezee umli
@abdallahamanzi8337
@abdallahamanzi8337 Ай бұрын
Salamu ziwafikie na matajiri wengine wa kiislam mukifanya hivi matajiri wote mtafanya waislam wasiojuwa dini yao vizuri washindwe kuritadishwa na oneni wivu wa maendeleo ya dini yenu .... kila Muslim mwenye uwezo ashindane na mwenzake kweny mambo y akheri haya uwanja wenuuu jamaa ndio kashaanza
@menalikechildren8836
@menalikechildren8836 Ай бұрын
Swaddakta
@ahlamsaeed498
@ahlamsaeed498 Ай бұрын
Na ww pia kidogo ulichukua nacho , uwanja wako huu.. sio lazima matajiri
@anafisuleimani7083
@anafisuleimani7083 Ай бұрын
Allah akubaariki
@AllyDom-o8n
@AllyDom-o8n 27 күн бұрын
Masha allah allah akuongoze mpaka akhera
@jasiri25
@jasiri25 Ай бұрын
😢😢😢😢2013 Duuh huyu ni mtu
@SEMBULILyimo
@SEMBULILyimo Ай бұрын
Mwenyezi mungu akujalie neema
@LovelyMountainLandscape-dd4xe
@LovelyMountainLandscape-dd4xe Ай бұрын
Mungu akuweke miaka mingi sana
@AllyMbarouk-q4h
@AllyMbarouk-q4h 16 күн бұрын
Kila la kheri kaka MWENYEZ MUNGU akulipe kila zaidi ya ulichokifany
@NayMatinga
@NayMatinga Ай бұрын
Mungu amuwek said lugumi any time Ana smell
@ZubedaMgozi
@ZubedaMgozi Ай бұрын
Allah akulipe hapa duniani na akhera,na akupe umri mrefu .
@TemekeBoy-z3m
@TemekeBoy-z3m Ай бұрын
Huyu mwamba ananitoa machozi ya furaha hata kama aliwahi kuwa MTU mbaya mungu asamhee
@Salma-u5d3t
@Salma-u5d3t Ай бұрын
Alllsh akupe afya njema
@MisMona-oo6zk
@MisMona-oo6zk Ай бұрын
Mashaallah
@adhacho4490
@adhacho4490 Ай бұрын
Ila huu mziki usiwaekee unawapatisha zambi
@hamadsaburi3569
@hamadsaburi3569 Ай бұрын
Pls waogoze kwenye njia ya kheri ili update malipo ya kheri Kwa mungu
@nassorosaid-rp4dn
@nassorosaid-rp4dn Ай бұрын
Huyu sasa ndo tajiri wa kweli sio hao wengine ungeona show off nyingi mara mabodigadi mara mazingaombwe kibao 😂lakin mwamba kachiri tu
@Fathasssane-vs2th
@Fathasssane-vs2th Ай бұрын
Na washindane wenye kushidana kwenye kheri,
@gideongerald2846
@gideongerald2846 Ай бұрын
Wachache sana wenye akili kama zako
@gasperymisungwi960
@gasperymisungwi960 Ай бұрын
Katika ulimwengu huu tutayaona mengi.
@jeremiahcharles6027
@jeremiahcharles6027 Ай бұрын
Kwahyo anafanya kazi ya kutusahaulisha 😂,,,kwa walio zalwa 2000 hamuwez elewa au bas
@ibnbaazalrufiji1468
@ibnbaazalrufiji1468 Ай бұрын
Kwacc great thinkers tushaelewa xana
@mybabyarchive2104
@mybabyarchive2104 Ай бұрын
Laundry
@GeorgeAkasha-zx2rj
@GeorgeAkasha-zx2rj Ай бұрын
Kuna vitu vitatu hapa ukiambiwa ujibu utabaki huna jibu. 1: Ushahidi 2: Uhakika 3: Uthibitisho 4: Nani kamkuta na hatia Na la mwisho ukiwa hivi ujanani basi ukizeeka ww ni mchawi.
@jeremiahcharles6027
@jeremiahcharles6027 Ай бұрын
@GeorgeAkasha-zx2rj wewe ni jaji????
@GeorgeAkasha-zx2rj
@GeorgeAkasha-zx2rj Ай бұрын
@jeremiahcharles6027 Usipende kuongea au kuandika vitu usivyo na uhakika navyo sana mkuu la sivyo dera utavalishwa.
@ramadhanishabani807
@ramadhanishabani807 Ай бұрын
Lugumi muhuni tu kwanza hajasoma amepataje pesa
@muddymadenge9957
@muddymadenge9957 Ай бұрын
Azam ana masters au
@MustafaHassanii
@MustafaHassanii Ай бұрын
Matajir 90% dunian hawajaasoma tembea uone lakin pia ww umesoma unann zaidi ya makasiliko😂😂😂
@MustafaHassanii
@MustafaHassanii Ай бұрын
Matajir 90% dunian hawajaasoma tembea uone lakin pia ww umesoma unann zaidi ya makasiliko😂😂😂
@paschalpaul3862
@paschalpaul3862 Ай бұрын
Hizo pesa za walipa kodi maana huyu alikuwa na network kwenye miradi mikubwa ya serkali na hivyo walikuwa wanachota tu pesa za serkali
@FelixpascalFelix
@FelixpascalFelix Ай бұрын
Kama alichota anajalibu kurudisha kwa wenye uhitaji ​@@paschalpaul3862
Сестра обхитрила!
00:17
Victoria Portfolio
Рет қаралды 958 М.
BILIONEA LUGUMI AJENGA GHOROFA 7 ZA WATOTO YATIMA DAR
7:47
EastAfricaRadio
Рет қаралды 1,3 М.
ALICHOSEMA KUSAGA KWA MILLARD “NI TAJIRI KULIKO MIMI”
11:51
Millard Ayo
Рет қаралды 49 М.