BILLIONARE SAID LUGUMI ATOBOA SIRI YA KUFANIKIWA, AWAPA TABASAMU WATOTO ZAIDI YA 800
Пікірлер: 53
@HamiduShabani-xs6ycАй бұрын
Allah akukunjulie riziki father na kesho akhera akukupe malipo mema inshaallah
@arahmantvonlineАй бұрын
Allah akulipe kheri na ujue umri mrefu, amin
@jomba6514Ай бұрын
Ubarikiwe sana sana namuomba Mwenyzi Mungu niwe kama wewe
@Boraimani17 күн бұрын
Naandika huu ujumbe huku natokwa na machozi ya wivu mkubwa....Namuonea Sana Wivu huyu Ndugu yangu Saidi Lugumi kwa Mambo makubwa anayofanya...Hakika yananifurahisha mno kwasababu mwenzangu anafanya hivi ili kupata radhi za Mwenyezimungu....Sina la kusema zaid ya kukupa Hongera sana Bwana Lugumi Mungu akupe zaidi ya unachotoa insha'Allah 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
@AmosmpajiАй бұрын
Mwenyezi Mungu akupe maisha marefu na hiyo ndio Siri kubwa ya kuwa tajiri
@mbaruksaid5775Ай бұрын
Mungu akiniajalia nitafanya zaid ya hichiiii
@menalikechildren8836Ай бұрын
Amin
@theteacherchance6750Ай бұрын
Natamani nichangie elfu kumi katika "mradi" huu 😭😢😭😢😭😢😭😢😭😢😭😢😭😢😭😢😭😢
@EGM-TZАй бұрын
From #EconomicallyGrowthMusicians Congratulations Lugumi kwa Fadhila hii🎉🎉🎉 Karibu: Enjoy Muziki Mzuri kutoka EGM
@zaharanakim289Ай бұрын
Mwenyezi mungu akupe afya njema na akuongezee umli
@abdallahamanzi8337Ай бұрын
Salamu ziwafikie na matajiri wengine wa kiislam mukifanya hivi matajiri wote mtafanya waislam wasiojuwa dini yao vizuri washindwe kuritadishwa na oneni wivu wa maendeleo ya dini yenu .... kila Muslim mwenye uwezo ashindane na mwenzake kweny mambo y akheri haya uwanja wenuuu jamaa ndio kashaanza
@menalikechildren8836Ай бұрын
Swaddakta
@ahlamsaeed498Ай бұрын
Na ww pia kidogo ulichukua nacho , uwanja wako huu.. sio lazima matajiri
@anafisuleimani7083Ай бұрын
Allah akubaariki
@AllyDom-o8n27 күн бұрын
Masha allah allah akuongoze mpaka akhera
@jasiri25Ай бұрын
😢😢😢😢2013 Duuh huyu ni mtu
@SEMBULILyimoАй бұрын
Mwenyezi mungu akujalie neema
@LovelyMountainLandscape-dd4xeАй бұрын
Mungu akuweke miaka mingi sana
@AllyMbarouk-q4h16 күн бұрын
Kila la kheri kaka MWENYEZ MUNGU akulipe kila zaidi ya ulichokifany
@NayMatingaАй бұрын
Mungu amuwek said lugumi any time Ana smell
@ZubedaMgoziАй бұрын
Allah akulipe hapa duniani na akhera,na akupe umri mrefu .
@TemekeBoy-z3mАй бұрын
Huyu mwamba ananitoa machozi ya furaha hata kama aliwahi kuwa MTU mbaya mungu asamhee
@Salma-u5d3tАй бұрын
Alllsh akupe afya njema
@MisMona-oo6zkАй бұрын
Mashaallah
@adhacho4490Ай бұрын
Ila huu mziki usiwaekee unawapatisha zambi
@hamadsaburi3569Ай бұрын
Pls waogoze kwenye njia ya kheri ili update malipo ya kheri Kwa mungu
@nassorosaid-rp4dnАй бұрын
Huyu sasa ndo tajiri wa kweli sio hao wengine ungeona show off nyingi mara mabodigadi mara mazingaombwe kibao 😂lakin mwamba kachiri tu
@Fathasssane-vs2thАй бұрын
Na washindane wenye kushidana kwenye kheri,
@gideongerald2846Ай бұрын
Wachache sana wenye akili kama zako
@gasperymisungwi960Ай бұрын
Katika ulimwengu huu tutayaona mengi.
@jeremiahcharles6027Ай бұрын
Kwahyo anafanya kazi ya kutusahaulisha 😂,,,kwa walio zalwa 2000 hamuwez elewa au bas
@ibnbaazalrufiji1468Ай бұрын
Kwacc great thinkers tushaelewa xana
@mybabyarchive2104Ай бұрын
Laundry
@GeorgeAkasha-zx2rjАй бұрын
Kuna vitu vitatu hapa ukiambiwa ujibu utabaki huna jibu. 1: Ushahidi 2: Uhakika 3: Uthibitisho 4: Nani kamkuta na hatia Na la mwisho ukiwa hivi ujanani basi ukizeeka ww ni mchawi.
@jeremiahcharles6027Ай бұрын
@GeorgeAkasha-zx2rj wewe ni jaji????
@GeorgeAkasha-zx2rjАй бұрын
@jeremiahcharles6027 Usipende kuongea au kuandika vitu usivyo na uhakika navyo sana mkuu la sivyo dera utavalishwa.
@ramadhanishabani807Ай бұрын
Lugumi muhuni tu kwanza hajasoma amepataje pesa
@muddymadenge9957Ай бұрын
Azam ana masters au
@MustafaHassaniiАй бұрын
Matajir 90% dunian hawajaasoma tembea uone lakin pia ww umesoma unann zaidi ya makasiliko😂😂😂
@MustafaHassaniiАй бұрын
Matajir 90% dunian hawajaasoma tembea uone lakin pia ww umesoma unann zaidi ya makasiliko😂😂😂
@paschalpaul3862Ай бұрын
Hizo pesa za walipa kodi maana huyu alikuwa na network kwenye miradi mikubwa ya serkali na hivyo walikuwa wanachota tu pesa za serkali
@FelixpascalFelixАй бұрын
Kama alichota anajalibu kurudisha kwa wenye uhitaji @@paschalpaul3862