Рет қаралды 9,942
PART 2: "MKE NA WATOTO WANGU 2 WAMEHUKUMIWA KUNYONGWA" - DAKTARI AMWAGA MACHOZI AKISIMULIA...
Yapo baadhi ya mambo, ambayo kwa hakika yanasikitisha mno! Mkasa wa Dk. Bilal Miromo na familia yake, ni miongoni mwa mambo yanayosikitisha mno! Bado analia, moyo wake unavuja damu, hajui nini itakuwa hatima ya maisha yake na familia yake hapa duniani.
Kilio chake kinatokana na mke wake, Hadija Thadeus Shio na wanaye wawili, Ibrahim Abubakar na Salma Abubakar kuhukumiwa kunyongwa hadi kufa na Mahakama Kuu Kanda ya Moshi huku mwanaye mwingine, Abdulrazack Miromo akihukumiwa kifungo cha nje cha mwaka mmoja.
Hukumu hiyo inatokana na kesi namba 57 ya mwaka 2019 ambapo watuhumiwa wote wamekutwa na hatia ya kumuua Titus Sebastian Kimaro, aliyekuwa Mjumbe wa Nyumba Kumi katika Kijiji cha Ngirini, Kibosho Kirima, Moshi mkoani Kilimanjaro, tukio linalodaiwa kutendeka April 28, 2019.
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 712 101 629), ( +255 784 888982)
⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltv...