Ee Mwenyezi MUNGU, mwingi wa rehema,msaidie huyu baba,ameitumikia Tanzania lakini hakuna anayejali,mmmmh!!!😢😢😢😢haki yake MUNGU anaijua,kama hawakuhusika,mwezi huu wa 7 wataachiwa huru kwa jina la YESU.Zaburi 71:1 MUNGU ameamuru,tutakakokwenda siku zote,tuokolewe.Hii familia iokolewe kwa jina la YESU. Amen
@jacquelinekennedy57405 күн бұрын
Amen 🙏
@anithamassawe4015 күн бұрын
Amen
@HamisMghuna-fj3vz5 күн бұрын
Ishaalah watatoka wahame huko kibosho,wa peleke moro
@aloycesamba9985 күн бұрын
🙏
@matha37584 күн бұрын
Amina ,mungu atatenda
@dycemullah32544 күн бұрын
Bado kitambo kidogo mzee wangu utafika mwisho wa shida hii Mungu atakupa ushindi usioutegemea……Amina 🙏🏿
@user-pw2rl5zs1v5 күн бұрын
Ata ongea ya huyu mzee wangu. Anaonekana anabusara na hekima sana na anaonekana dini. Imekaaa anahuruma na anaujua utu. Mungu atakujibu mda so mrefu shekhe wangu amen
@joycekisamo48964 күн бұрын
Alitakiwa ataje simu yake hapo ili apate msaada. Sasa hata tukiomba namba yake, hatuwezi kuiamini. Inasikitisha sana kwa Gynecologist kuishi maisha hayo. Tunaomba haki itendeke 😢😢
@user-go5wb2pi2iКүн бұрын
Kweli ❤
@emanuelipanga6934 күн бұрын
Naomba mweheshimiwa Rais mama yetu mwenye upendo na huruma , Familia ya baba huyu mweheshimiwa Rais msaidie huyu baba wewe ni mama mwenye huruma na upendo sisi ni wapitaji katika Dunia hii mama tunakuomba fanya jambo kuwa huyu baba mungu wangu akubariki mama tazama watu wako wanavyoteswa na watu wenye nia mbaya mama msaidie huyu baba ndy maombi yangu kwako taaluma yake inahitajika kwa nchi yetu mama
@EuphrasiaNtawatawa4 күн бұрын
Jamani khaaa,huu uonevu hauvumiliki mbona😊
@kituapeterКүн бұрын
wampe familia yake kama kosa hakuna...
@MwanaishaShattryКүн бұрын
Watoto maskini wanahusika je? Mbona sifahamu.
@EmmanuelChrispin-bo5xhСағат бұрын
Hakuna lehemahi hii nchi
@abdoulrazakshuaib5 күн бұрын
Allah ni mjuzi na mwingi wa huruma atafanya wepesi katika hili president msaidie huyu mzee wetu wenye busara na hekima akutane na familia yake hakuna atakae ishi milele! Inasikitisha sana!
@nsiamasawe45785 күн бұрын
Huyu baba Mungu amtetee. Mwanaume wa kipekee sana. Wengine wangeoa tu bila kujali.
@maizaiwalalaze33582 сағат бұрын
Pole sana baba na Daktari bilal milomo ....naomba Mungu akukumbuke lakini mtazame Mungu tu najua unaumia sana ila rudisha imani yako kwa Mungu kila kitu kitakua sawa soma NAHUMU 1:12 kwenye biblia ...linasema kua ijapokua wana nguvu zilizo timilifu ,ijapokua ni wengi ,hata hivyo watakatwa naye atapita atakwenda zake ijapokua nikutesa sitakutesa tena....lakini pia soma kitabu cha AYUBU .....sisi ni wamoja dini hazitutofautishi na huu ni msaada wangu wa ushauri nakuombea kila la kheri Muheshimiwa Dr Bilal milomo
@ramadhanihudhaifani43764 күн бұрын
Huyu mzee ana uchungu na ana maumivu makali sana! Allah Amtoe huyu mzee kwenye hili tatizo_ Amiin.
@wemaMichael-fr4th5 күн бұрын
jamani huyu baba bado ajapata msaada mpka leo daa hiii nchi jamani mungu amsaidie
@meshacksabuni75414 күн бұрын
Paschal Mwakyoma, wewe ni bonge la mwandishi aisee. Habari unazotulea zina funzo kubwa sana kwetu kama wasomaji. Keep it up. There's a bright future ahead of you.
@tatubaraka57524 күн бұрын
Uyu baba ana uchungu mwingi sana Mungu akufanyiye wepesi.
@hendrybartalome794711 сағат бұрын
Kuna wakati watu wote watakukataa, dunia yote itakukataa ila MUNGU HATAKUACHA. Mungu atapigana nao wanaopigana nawe na mwisho UTASHINDA. ZABURI 35:1-9
@tumainichanya32682 күн бұрын
Mungu aliyeziumba mbingu na nchi na akatuumba sisi sote ametupa na pumzi yake pia hajalala Wala hajakusahau anaona chozi lako na anaiona familia yako inachopitia pia ukweli ni kwamba Mungu wetu ni Mungu wa haki na ikiwa hawanakosa wameonewa Mungu atajiinua na kuonyesha ukuu wake ndani ya mtihani huu,Mungu huwaonekani wadhaifu anaonyesh ukuu wao hivyo baba naamini kabisa Mungu wetu si dhalim hata aseme uonge Amesema sintakupungukia wal sintakuacha kama nilivyo kuwa pamoja n Musa ndivyo nitakavyokuwa pamoja na wewe kasisitiza tena kasema uwe na moyo mkuu zaidi kimtegemea Mungu na Mungu hatanyamaza.
@remigiusrwechungula70474 күн бұрын
Huyo ndo binadamu sasa😭😭😭😭😭 Ee Mola haya machozi yanayobubujika, yakafanyike fimbo ya kuwaliza wale wote wanaohusika na udharimu huu. Mungu atajibu kwa Vitendo
@user-bv7nm8xt4i3 күн бұрын
Amina kwa damu ya Yesu
@donathajasson64014 күн бұрын
Ombeni jambo lolote kwa Jina langu nami nitafanya Eeee Mwenyezi Mungu wasaidie familia hii mwaka huu usiishe waachiliwe huru
@Mnadani-245 күн бұрын
Haya machozi hayatadondoka bure hakika, Mungu na akujibu haja ya moyo wako mzee
@Rogathe-Rogathe5 күн бұрын
Amina , Mungu futa machozi ya huyu baba! Wewe peke yako ndo mtoa haki.
@ayshasaid15474 күн бұрын
Naam ni kweli 😭😭😭💔💔💔
@fauziasultanikilewa76024 күн бұрын
Mwacheni alie uchungu uishe yani uyo ni vile tuu anahof ya mungu vinginevyo angejidhuru pia ,,,mungu amtie nguvu huyu baba
@SafiaOmar2 күн бұрын
Ukiona mwanaume analia ujue shida zimemzidia. Namuombea kwa Allah amuondoshee haya matatizo na mkewe na mwanawe warudi. Hakika subra ni ngumu ila ina malipo mazuri
@user-dr7de3xp1tКүн бұрын
Allah amsimamie Mzee we² Ilaa wa² wa kibosho punguzeni tamaa za ardhi (ardh ambayo ndo itakayokuja ku²meza)
@jokhaali58935 күн бұрын
Dr. Please wapambanie familia yako, ikiwezekana ondoka nao Tanzania omba ukimbizi wa kisiasa nchi za mbali
@nilastephen82652 күн бұрын
Chozi la mnyonge hali endi bure. Baba mungu yupo halali wala hasinzi ipo siku mungu ata kujibu maombi yako.
@doreenmkingi31174 күн бұрын
Mama yetu.. Wewe ni mama tunakuomba Rais wetu msikie huyu baba. Msikilize mhurumie. Tunakuomba mama 🙏Mama Samia tusikie wanao
@user-cx9lt8hh4l4 күн бұрын
InshaAllah litapita tu mzee wetu na utakuwa na family yko kwa uwezo wa Allah
@e11said232 күн бұрын
Mzee wangu nime kusikiza kwa umakini sana mpaka moyo umeuma kwa uchungu pole sana malipo yako kwa Allah
@Zuu6735 күн бұрын
Sio bure nyuma yake kunawatu wazito maana km ingekuwa ni watu wadogo tu uyu baba zamani angepata utetezi fikiria hii kesi ya muda mlefu sana
@scolasticamayanda9048Күн бұрын
Kweli nyuma yake kulikuwa na watu wazito sana kwa alivyo zunguka kote imeshindikana sio bure,mungh mpe nguvu huyu baba
@user-eu3xx5kn1w5 күн бұрын
Subhanallah usikufu alhamdulillah Allah atakusaidia zidi kumwomba yeye ndio mweza wayote 😭😭😭🤲🤲🤲
@mamakayla66975 күн бұрын
Yaaaani,baba huyu amekonda jamani😢😢😢anawazia familia yake tu.Mwenyezi MUNGU amtunze huyu baba mpaka auone wema wa MUNGU wake.Amen
@issarashid77072 күн бұрын
Allah akupe subra hakika mtihani mzito na akupe familia yko ikiwa salama inshallah
@piustombili99214 күн бұрын
"Uislam ni Upendo" Allahu Akbar
@pabloescober670919 сағат бұрын
UPENDO wapi mngetuita waklisto makafili😅😅😅
@user-xi3tf5pd7g7 сағат бұрын
yaani hakuna kitu sipendi kama kuitwa kafiri sasa mi huwa sielewi uisalamu gani sasa huu ukiwakuta wanajikuta watu wema , wema upi huo kutuambia sisis dini yetu ya mashetwani daah!
@neemayatosha16184 күн бұрын
Aibu gani hii jamani,haya mambo yanafanyika Tz,unamfanyia dadaako na watoto wake unyama huu. Yaani kwasababu ya kipande cha ardhi itakayokumeza? Yaani dini/kabila iwe sababu. Alafu mzungu akiwabagua mtasema mbaguzi. Hii aibu wakibosho ptuuu...........
@africaonechannel128916 сағат бұрын
Wewe Neema una Akili nyingi Sana!. UMEGUSA KIINI CHA TATIZO. Wengine wanajifanya VIPOFU. WANAKWEPA KUUNYOOSHEA KIDOLE HUU UOVU●
Wallahi it's really pain. May Allah( swt) bless you a heart of patience inshaallah. Ameen 😢😢
@maymunamakungu62654 күн бұрын
Maashallah. Doctor Bilal Allah akuhifadhi ktk dini ya haki
@junioremmanuel1695Сағат бұрын
Nashindwa la kukoment ilaa huyu huyu Mwenyez Mungu alie hair bas akaonekanike katika familia yako baba yangu
@AugustKisaka-qy7kl5 күн бұрын
Kwenye giza Mungu huonyesha mwanga ,sualà hili najua ufumbuzi utapatikana ,viongozi ,heshimuni kanuni ya kuitwa viongozi, Neno KIONGOZI ,kila neno lina maana yake, sasa watendaji wetu kama huyu baba yetu fuatilieni tujue ukweli uko wapi jamani
@GibsonNtamamilo4 күн бұрын
Daktari Bingwa magonjwa ya wakina Mama. Du! Mtu na nusu.
@HassanWasiwasi-lq1kh19 сағат бұрын
Hakika sisi sote ni WATUMWA wa M/MUNGU na kwake ndio marejeo yetu, Pole sana MZEE wangu, namuomba MUNGU akupe subra mpaka mwisho wa mtihani huu inshaallah.😢😢😢
@Boyfromtanzania5 күн бұрын
Very sad, That's why I promised myself to live far from Tanzania. And I thank God for where I am today. Tz drama nyingi Sana zinazo kwaza mioyo ya watu.
@asiansky97674 күн бұрын
Kila mwenye imani hupata mtihani Allah akuwezeshe uishinde mitihani yako mzee wetu na akulipe daraja ya juu😢
@happinessndossa45445 күн бұрын
Hv ni kweli hii nchi viongozi wameshindwa kumsaidia huyu baba kweli ila ipo siku Mungu atamsimamia yey na wataumbuka sana
@user-cj2kl7cd9k5 күн бұрын
Mara nyingi watu wa maana wana wapuuza wako tayari kupoteza wenye akili zao hii ndio nchi yetu
@athumanfuko1994 күн бұрын
wasomi wanateseka hivi je wajinga hali yao ipo vip
@user-bv7nm8xt4i3 күн бұрын
Yaan mzee wetu anatia Huruma hii nchi hakuna Amani tunadanganyana tu Amani ipo kwa watawala tu lakn Mungu wetu SI mwepesi wa hasira Atatenda ktk hili
@jokhaali58935 күн бұрын
Pole sana mdogo wangu. M. Mungu haghafiliki, utapata haqi zao
@OnlyRuky5 күн бұрын
Jamaaaaani Allha amsaidie jamani family yakee watokeeeee jamaani haya machozi Mungu atamlipia
Unaweza kudhani unapitia magumu lakini ukisikia wengine unajiona kabisa machungu yako ni madogo. Huyu baba anajikaza tu lakini Mungu anajua
@ndennkya95542 күн бұрын
Kweli kabisa
@mohamedimuhinga90645 күн бұрын
Mimi nauwakika mama mpenda haki ameshasikia kiliyo Cha uyu mzee akika awatanyongwa iyo familia aitanyongwa Tena labda wawe wameshawauwa,
@anuarymzee98985 күн бұрын
Duuuh kuna wenye vyeo na madaraka Hua wanaona wataishi milele ndio maana wanamaamuzi ya hovyo kabisa Ila wafaham kua hiidunia nimapito tuu MUNGU Akusmamie Kwa haya mapito unayo yapitia 😢😢😢
@marcominja88505 күн бұрын
pole sana mzee ,ardhi nyingi za ukoo zimelaaniwa ukizing`ang`ania mabaya lazima yakukute.
@salomewandya72575 күн бұрын
Kabisaa
@kibabysaid66924 күн бұрын
Kweli kabisaaa
@sciencesocietyoftanzania59574 күн бұрын
Mkuu tumia lugha nzuri kwenye hili. Nadhani ardhi ni urithi kutoka kwa mababu zetu. Haswa maeneo ya Vijijini. Nadhani Mila na Tamaduni husika za eneo husika ni muhimu kuheshimiwa.nadhani kama hili lingezingatiwa nafikiri ingeepusha au kurahisisha suluhu kwenye hili swala.
@marcominja88504 күн бұрын
@@sciencesocietyoftanzania5957 mbona sina nilipotumia lugha mbaya!
@MembeMohamed4 күн бұрын
@mamasamia president watanzania onesha huruma yako
@jacklinesimon754418 сағат бұрын
Daaah!!inaumiza mnooo mwenyezi mungu akuvushe katika majaribu unayopitia baba angu IPO siku tu kila aliyeshiriki uovu huo atawapa wanayostahili
@nicksontz61457 сағат бұрын
UJASIKIA WATU WASIO JULIKANA
@charlzmboyaКүн бұрын
MZEE POLE SANA SANA SANAAA!!! HII NCHI IMEKOSA IMEKOSA JUSTICE!!! HAKI!!! NA NDIO MAANA CHADEMA WANA SISITZA UMUHIMU NA UHARAKA WA KATIBA MPYA!!
@nyakahodenis14734 сағат бұрын
Ayo tv hii imegusa sana nyonyo za watu... Tafadhali watu ambao mnanguvu kubwa ya kupaza Saudi zenu kwenye mitandao ya kijamii mlitazame la huyu baba pia ili haki itendeke
@ezekielbaga10614 сағат бұрын
Inaumizwa sana dudnia hii Kuna watu wanajimilikisha kana kwamba hawatakufa mungu wanasahau naowatarud udongoni ni mavumbi tu ndiomaana wananaishia kupata maradhi pesa wanazo ficha nje kwa kuiba Africa mwisho we wanawekewa vikwazo ni mungu anawaoneaha dhuluma yao itawayafuna
@user-gv4jx2fp4u9 сағат бұрын
Yaani wachaga na mashamba! Mungu awarehemu, kweli kumfanyia hivi MWANADAM,fani ya mke, future ya WATOTO imeishia,WATENDAJI WA SERIKALI HOVYO KWELI
@laurenciamaxwell3 сағат бұрын
Tunaangamia kwa kukosa maarifa,ya nini kung'ang'ana na kipande cha shamba wakati familia ilikuwa na uwezo wa kufanya mambo mengine tu mazuri?baba hukusimama sehemu yako kuiongoza familia yako ki ukweli,ulikosa nini mpaka uwapeleke watoto wako uchagani km vile huna kwako/ kwenu?mke unaambatana nae kwènu/kwako cio kwao,Naomba wengine tujifunze kutokana na mkasa wa huyu baba,nampa pole sana kwa matatizo anayoyapitia,Mungu atamsaidia siku moja ataungana na familia yake tena ktk jina la Yesu Amina
@hayeshimpeziy2 күн бұрын
This country inawatu wabaya sana..kuna watu wanaroho mbaya shetani akasome, imagine kuna mtu ndio aliohumu kwenye kesi hiyo na anaishi poa kabisa bila hata wasiwasi, wala hana hofu ya kujiuliza ubaya wake umeleta athari gani.. Police, Wanasheria na mahakimu mungu amewapa nafasi hizo ili msaidie watu na siio kuwanyanyasa kiukweli sio sawa kabisa, mnakosea mno na ama hakika mungu atawanyoosha hapa hapa duniani..shubamitiii
@hamudzakuwani41495 күн бұрын
watu u muhimuu Sanaa haoooo siyoo kuwachezeyaa kijingaa amesomaa kupitiyaa kodi za wana nnjii Leo kuwasaidiyaa mwamuwaribiyaa maishaa
@hamidtv544312 сағат бұрын
Innaa lillaahi wainnaa ilayhi raajiuun pole sana baba hakika umepitia na unapitia kama waliyopitia mitume na maswahaba na mwisho wake ni ushindi wa kweli na nguvu usikate tamaa na rehma za allaah Allahumma ja alnaa Minal faaiziin 😢😢😢
@rosenaheka51374 күн бұрын
Mungu yupo hawai wala hachelewi. Mungu akufariji sana na yy ndio msemaji wa mwisho.😢 inauma sana. Pole sana mzee wangu. Mungu atayafuta machozi na atalipa gharama
@nursechunga44704 күн бұрын
🙌 hiii dunia ni ngum Sana, pole baba, Mungu aitetee familia yako
@andrewkibuyu37353 сағат бұрын
Namuomba Mungu kwa uweza wake amrejeshee Baba huyu Famia yake ikiwa hai...inauma sana.
@HASASON4 күн бұрын
Sio kwa ubaya wala nini lakini naomba kuuliza, mimi sio mtu mzima sana ni kijana mdogo tu lakini hivi kwanini wengi wanaosomeaga upadri baadae wakaja kuacha huwa wanaharibikiwa sana maisha yao yote, nimeona huyu ni mtu wa nne, sijui ni kwanini lakini! 😢
@carolineoyugi77712 күн бұрын
Sio wote huwa wanaharibiwa Maisha, Dr Slaa ameharibikiwa kimaisha??
@florageofrey9486Күн бұрын
Iliwahi jifunza sehemu ogopa sana mambo yanayohusisha viapo Ukiapa jitahidi kutekeleza na kuvunja basi jitahidi kunyenyekea Ila yote KWA yote Mungu ni mwenye huruma sana na huruma yake iko wazi kwa wote, na majaribu ni kawaida ya binadamu Mungu mwema atawavusha watashinda Naomba Mungu awasamehe pekee anayo haki ya kutuhukumu. Na awaondolee adhabu na msalaba huu Mateso yao yawe njia ya kuwainua kama alivyomuinua Yusuph . Aliondoshe jaribu hili zito
@africaonechannel128916 сағат бұрын
@@florageofrey9486 Bi.Flora, Kuna time ktk Maisha unalazimika MBWA, KUMUITA "Mbwa" Hii tabia yenu ya KUTUKUZA BAADHI YA MAKABILA; ITAKUJA KULETA HASIRA YA MUNGU KTK NCHI. Hebu tuwakumbushe "WACHAGA" Waache mambo ya KIFEDHULI HAYA!!. Hawa ni Makaka wanaomfanyia Dada yao na Watoto wake mambo ya KISHETANI KIWANGO HIKI!?
@hassankarume50585 күн бұрын
wallah naomba Rais amwone huyu mzee,,,,,haki inauma sanaaaa asee😢😢
@JoyceLinus3 күн бұрын
Pole sana baba yangu Mungu ni wetu sote atatenda endelea kumuomba bila kuchoka baba yangu
@mwamgazamuya9825Күн бұрын
Millard tunaomba hii post kila sehemu dunia iyone dhulma hii haki ipatikane tumeumia sana😢😢😢
@OmanOman-dd5qk5 күн бұрын
Mungu gusa kilio cha huyu mzee inshaalaah
@allymagimbi72174 күн бұрын
Mungu atasimama na ww mzee
@user-nj2jl7jm2d23 сағат бұрын
Mungu ni mwaminifu na hataacha mtoto wake ateketee limefika mwisho ilo baba yangu Mungu ni mwaminifu
@user-xh7xf2ki3r5 күн бұрын
Subhana Allah huyu baba bado hajapata msaada mpaka leo kweli?😢kwann mnafanya dhulma hivyo Allah akupe subra baba
@YayouselimКүн бұрын
Huyu mzee anawajuwa vzuri Sana wanaomfanyia uadui na interview ipo wazi kabisa
@sciencesocietyoftanzania59574 күн бұрын
Pole sana Mzee. Ila mwandishi ningependa kama unge balance hii story tusikie na Upande wa pili wa familia inayotuhumiwa
@ukweli2553 күн бұрын
Upande wa Pili wa nani...ebu kaaq chini List watu wote unaotaka Story zao za upande huo halafu jiulize...Hili Taifa lina watu wanaroho mbaya sana ni vile Nyerere alitunyima Elimu BORA na wachache waliopata Elimu bora wanaonekana mwiba kwa Serikali na Watumishi wapuuuuzi
@jamesngingo6727Күн бұрын
Pole sana mzee wangu Mungu yupo na wewe utakuwa na familia yako tu.
@kekiplus1andonly5 күн бұрын
Duh Mwenyezi Mungu amtie nguvu,it's not easy.
@user-ky4rb2lg3h4 күн бұрын
Mama Samia Rais wetu,Mama yetu,naomba umuonee huruma huyu baba,najua unauchungu,naomba umsamehe huyu baba na familia yake
@ZuwenaNoman4 күн бұрын
Allah akbar yaallah yaallah inna lillah waiina ilaehy rejoon mswiba mkubwa huu 😢😢
@sophiakimaro51748 сағат бұрын
Dr.nakupa pole saana lakini hakuna kosa kubwa kama kujenga ukweni.ww ulikuwa unajiweza ungewaacha tu ukaangalia menginge.mali hutafutwa uhai ndio shida.wakibosho nawajua ni shidaaah!!!
@scolasticamayanda9048Күн бұрын
Nyuma yako baba kurikuwa na watu wazito tena viongozi na ndio maana walikufanyia yote hayo nahisi elimu yako ni kikeazo cha viongoz wengi.nskuomba baba nenda kwa kuhani musa kanisani kaombe kwa imani mungu atakutendea
@hyasintasilayo89524 күн бұрын
Pole san baba yangu,wameshinda hapa dunian na wala sio kwa Mungu ipo siku
@leokamil62845 күн бұрын
Hiyo ndio Tanzania na utawala bora na utawala washeria .Tujiulize je ni watanzania wangapi wamesingiziwa wapo ndani wanateseka kila kitu ni maelezo. Tukisema Polisi wauwaji ni hivi sasa kweli kuna laana kubwa sana. 😭
@taharayassin65282 күн бұрын
Inna lillahi wainna ilaihi rajiun Allah atakusimamiya katika matatizo ulonayo Allah awe nawe na kizazi chako Ameen Ameen Ameen yarab
@shedrackpiniel68004 күн бұрын
Mungu mpiganie huyu mzee
@VeronicamnjejaКүн бұрын
Haki ya mnyonge haipotei ila inacheleweshwa....Yesu anayehukumu kwa haki akasimame kukutetea
@Revelation1412.Күн бұрын
UKIONA MTU MZIMA ANALIA BASI 😢 UJUE MAZITO YAMEMKUTA MUNGU AKUTIE NGUVU BABA YANGU 🙏🏾
@newtontorad55252 сағат бұрын
Pole sana mzee. Yupo Mungu atakusaidia
@user-lu8uq6et9p20 сағат бұрын
Mungu msaidiye baba umpe moyo wasubira familiya itoke
@evaalphonce4 күн бұрын
Pole sana, acha Mungu afanye kazi yake malipo ni apa dunian
@omanqqwe40615 күн бұрын
Mungu akusaidie baba wangu 😢😢😢
@user-rm1sr3if9n4 күн бұрын
Mungu ni mwema atatenda muujiza baba tanzania rushwa imetawala
@BayekeFarijala5 күн бұрын
Savi ni wilaya ya Malinyi. Mpogoro haswa. Pole sana
@kefamwakipesile275Күн бұрын
Naampa pole nyingi huyu mzee. Katika familia baba bora ni mwanaume yule ambaye nahakikisha familiar inakuwa salama kwa ghalama yoyote. Huyu mzee alipojiakwaa hajapatazama licha ya usomi wake! Kosa la kwanza ameshindwa kutumia elimu yake kutatua matatizo ya familiar yake. Kosa la pili amekuwa mbishi, bora unaware mnyonge kwa maslahi mapana ya familiar na sio kung'ang'ania na mwishoe unakuwa na majanga kama hayo. Kosa la tatu hili sio kwa uhakika sana ila inawezekana amemwacha mungu kwa roho na kweli. Kosa la nne sio kwa umihimu sana inawezekana umewasaliti wakatoriki kwa hajui wakatoriki ndo kila kitu unakuta ndo maana jambo lake haliendi popote
@donathajasson64014 күн бұрын
Nalia sana kwakweli pole Baba yangu Mungu akutie nguvu familia yako ina karama kubwa sana watoto wako wana vipawa hawatapotea hawatakufa mpaka makusudi ya Mungu kwako yatimie Mungu machozi ya huyu baba yanalalamika kwenye kiti cha Enzi nakuomba Baba Ile damu yako ya thamani iliyomwagika pale msalabani iende katika kiti cha enzi ikafute mashtaka ya huyu ya huyu baba yaliyoletwa mbele zako na mshitaki wetu ibilisi
@user-yd9ds1zs1iКүн бұрын
Ewe m/mungu mwingi wa rehema hakuna mola apasae kuabudiwa is ipo kua ni wewe naomba usimamae kwa huyu mzee Amiin
@jordanmwamlima75794 күн бұрын
This is so touching, pole sana Dakitari Mungu atafanya njia!
@pendojohn575919 сағат бұрын
Mungu hakim wa haki nomba utende katika hili inauma sanaaaaa jamani 😢😢😢haki iko wapi tanzania hiii hapa ni udini na ardhi,dini wapendwa tuliletewa ardhi tunazo nga'ang'ania tutaziacha hatuondoki na chochote!!Naimani familia yako ɓaba itatoka na kuwa huru tena
@ip_header5 күн бұрын
Asante Millard Ayo TV kwa content nzuri, tunajifunza mengi kupitia interview hii.
@nasserm.nasser50875 күн бұрын
Dunia imejaa dhulma. Ndio maana kuna siku ya hukumu ya.kiama na kila mmoja atapewa haki yake. Mungu amfanyie wepesi mzee huyu muhimu kwa kazi na huduma yake anayoipa jamii ya tiba
@castoagust70732 күн бұрын
Naapa wote mliohisika kuiteketeza familia ya huyu baba, Yupo Mungu mtetezi wa wanyonge na mwenye haki, hakika malipo yenu mtayapata 😭
@fortune35022 күн бұрын
Mungu akufanyie malipizi yaliyo mema yarab
@sabihasalim9424 күн бұрын
Kusoma Oxford sio mchezo hata hapa UK watu wanashindwa huyu mzee ni hodari....niliwahi kusikia story yake kwa channel ingine nililia nikaomba mungu ifike Ayo Tv.
@zakiamseka96983 күн бұрын
Kabisa Oxford sio mchezo
@TheSalma19994 күн бұрын
Yani Tanzania Ndio kubaya hivi si unawenza kusingiziwa kitu na i kafungwa maisha dah mnatutisha tunaotaka kurudi nyumbani
@abdullahminchum99762 күн бұрын
Ilianzia katika familia baadae ukaingizwa udini, utagundua hili ukisikiza hii between lines. Allah azidi kumpa subra huyu na awape la kuwashughulisha watesi wake
@salumshann70024 күн бұрын
muda sasa wakupaza sauti kama watanzania kutetea wenye matatizo kama huyu mzee naomba kwa uyte mwemye ushawishi tuanzishe campaign ili mzee huyu apate familia yale ....family ni kila kitu imagine inhekuwa wewe ungekuwa na hali gan ..... #Justice for bilal's family#
@user-dn7gn6ib4k4 күн бұрын
May Allah protect you man with wisdom inshallah everything is going be alright inshallah