PART 2: RUBANI ASIMULIA jinsi NDEGE YA ATC ILIVYOTEKWA na WATANZANIA WAKITAKA Kupelekwa UINGEREZA!

  Рет қаралды 50,445

Global TV  Online

Global TV Online

Күн бұрын

PART 2: RUBANI ASIMULIA jinsi NDEGE YA ATC ILIVYOTEKWA na WATANZANIA WAKITAKA Kupelekwa UINGEREZA!
Hii ni sehemu ya pili ya stori ya kusisimu ya rubani mstaafu wa Air Tanzania, Mzee Galway Galway, aliyezaliwa mwaka 1950, kijijini kabisa mkoani Manyara, kipindi hicho uliitwa Mkoa wa Arusha, akiwa Mtoto kutoka katika familia ya kifugaji. Alienda peku peku shuleni, lengo lake likiwa kuwa rubani tu, wakati watoto wengi walikataa shule na kulilia kwenda kuchunga ng'ombe na mbuzi.
Hapa anasimulia jinsi ndege ya ATC, Boeing 737, aliyokuwa akiiendesha ilivyotekwa angani na vijana wa Kitanzania wakitaka wapelekwe nchini Uingereza. Unajua nini kilichotokea?... fuatilia....
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 712 101 629), ( +255 784 888982)
⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltv...

Пікірлер: 125
@hailinhelen4675
@hailinhelen4675 2 жыл бұрын
Huyu mtangazaji hajaja hapa kwa ajili ya watizamaji kaja kupiga stori na jamaa tu kwa faida yake
@cmsa1r
@cmsa1r 2 жыл бұрын
Please make a movie out of this… incredible and a heroic story
@ERICKPM2000
@ERICKPM2000 2 жыл бұрын
Story nzuri... mtangazaji anahangaika hangaika hadi anaharibu
@andrewkazungu6542
@andrewkazungu6542 Жыл бұрын
Yes., continue 🇹🇿🎧🎤🌟🎧.
@ibrahimgwasma1223
@ibrahimgwasma1223 2 ай бұрын
Mtangazaji unambana sana mzee
@kareisindilo2776
@kareisindilo2776 2 жыл бұрын
hii stori nimeisubira sana big up sana lebabaz
@peaceisrael8158
@peaceisrael8158 2 жыл бұрын
Proud of you Baba Mungu akuzidishie baraka maana ulijua kuwaingiza Chaka tulivuuuuuu🙏🤗
@mossyfimbo3577
@mossyfimbo3577 2 жыл бұрын
Huyo Capt nae alikuwaga muhuni Galloway alikua anaroho nzuri mno subiri Sasa kilichotokea hapo mbona ilibidi wawapeleke watakako falangata lake halikuishia hapo
@johnbidya119
@johnbidya119 Жыл бұрын
Daah mzee wang bado upo hai mungubmkubwa
@mariakibwana3700
@mariakibwana3700 Жыл бұрын
Ningepata pressure kupeleka ndege juu mabawa yanapiga kelele. Huyu mzee very genius. Halafu tendo la kuwadanganya watekaji nampa big up.Angekwenda kufundisha mambo ya usalama mbona bado ananguvu.
@subirajohn728
@subirajohn728 2 жыл бұрын
Good story!
@niyonzimakabwa6996
@niyonzimakabwa6996 2 жыл бұрын
Store nzuri sana
@abrahamnyangwa3298
@abrahamnyangwa3298 2 жыл бұрын
Jamaa kazingua kinoma, maswali mengi sana. Mwache dingi afunguke
@magesamulongo8486
@magesamulongo8486 2 жыл бұрын
À
@filbertrobert1141
@filbertrobert1141 2 жыл бұрын
Daaah! Mr
@xyz-tv4om
@xyz-tv4om 2 жыл бұрын
Mtangazaji ungetulia basi.....
@mtv574
@mtv574 2 жыл бұрын
Daah interview umeiharibu sana!!!!!!
@c.bproduction2576
@c.bproduction2576 2 жыл бұрын
Mwandishi Msomi....Duh. ....Ivi faida ya usomi Wako kwenye hiki kipindi uko Wapi. ...Unaaribu kazi. ...kumbuka unafanya kazi kwaajili ya Wananchi Sasa Usitake uonekane Unajua saana Mwachie mzee Aelezee. ...Maswali Hapo Nimengi sana. .....Unatuboa. ...Hakuna chausomi Hapo. ...Umefeli Sana. .....Samahani lakini. ...Unafaa Za Mahakamani tu.
@stevensteve7519
@stevensteve7519 3 ай бұрын
Kweli huyu mtangazaji ni zero kabisa. Anamhoji huyu mzee kabla hajamaliza kujibu anauliza swali la kumtoa kwenye mada. Rubbish
@ommy2525
@ommy2525 2 жыл бұрын
Millard ayoo nenda katupe stori movie imeisha bila starting ending
@titongholo6261
@titongholo6261 3 ай бұрын
Yaani mtangazaji hajui hata Control tower , duh amazingly sana
@sreugenathomas809
@sreugenathomas809 2 жыл бұрын
Mwandishi wa habari anaongea mno. Mwache mzee aeleze vinginevyo funga kipindi.
@josephgomalo41
@josephgomalo41 2 жыл бұрын
Halafu anajiita mwandishi msomi..!
@MrBeerlahairoi
@MrBeerlahairoi 5 күн бұрын
Jamaa hajui ku interview.. hamwachi mzee akatoa story yake.
@kihangasper
@kihangasper 2 жыл бұрын
Mtangazaji jau..sikiliza zaidi ya kuuliza
@PlantsForsale-xd3dd
@PlantsForsale-xd3dd 3 ай бұрын
Mtangazaji anazingua, maswali Mengi sana
@jumahamis227
@jumahamis227 2 жыл бұрын
Mtangazaji ameshindwa huyu aendelee kuripoti zile kesi 😂 , mahojiano ya ana kwa ana hayawez, anamkatisha sana mhojiwa na kumpoteza kwenye maaudhui husika wakati mwingine, global mfanyie kazi hili.
@TheKigosi
@TheKigosi 2 жыл бұрын
Nakuunga mkono
@mustahilramadhan5873
@mustahilramadhan5873 2 жыл бұрын
Hiyooo ndegeew ipooo mpakaa leooooo
@salumnassor3857
@salumnassor3857 3 ай бұрын
Hyu jmaa mshamba sna
@erickendrick3330
@erickendrick3330 2 жыл бұрын
Huyu mzee noma
@sule69UP
@sule69UP 2 жыл бұрын
Habari za asubuhi bro msomi sasa inakuaje imemalizikia wapi utekaji na umetukatizia utamu badala ya ku land emergence umetupeleka mnana wa tanzanite😂😂
@martinmayombo7949
@martinmayombo7949 2 жыл бұрын
Jifunze kuhoji. Unaharibi story sana...
@huldamichael4445
@huldamichael4445 2 жыл бұрын
Oooh imeishia pazuri,muendelezo uko wapi bwana Lebabaz
@deusoden3614
@deusoden3614 4 ай бұрын
Duh! hili tukio nalikumbuka
@jacobsospeterchannel1658
@jacobsospeterchannel1658 2 жыл бұрын
Hatujaona mwendelezo pt 3 hatuoni
@christinainnocent5971
@christinainnocent5971 2 жыл бұрын
Unaboa Sana mtamgazaji
@kipchorngwonektiroto457
@kipchorngwonektiroto457 3 ай бұрын
Mtangazaji aliiharibu hii stori!
@yusufuheri6524
@yusufuheri6524 11 ай бұрын
Duuuuuh
@hamadwaziri121
@hamadwaziri121 2 жыл бұрын
Maswal mengi sana kaka Hadi story instoka kwenye Nia
@kasimukigoda8974
@kasimukigoda8974 Жыл бұрын
Mwandishi bado anamaswali yasiyona msingi alafu ahoji kama mwandishi yuko kama anapiga story na shoga
@fakihisilima3414
@fakihisilima3414 2 жыл бұрын
Hujui kuhoji weeee
@abdulpires9091
@abdulpires9091 2 жыл бұрын
Ww mtangazaji humuhoji uyo mzee ila unapiga nae story tu!
@arnoldmambali3770
@arnoldmambali3770 Ай бұрын
chuma baridii
@MaalimEdy
@MaalimEdy 2 ай бұрын
Namkumbuka mtekaji mmoj akiitwa Kisoda sijui sasa yuko wapibaada ya kutumikia adhabu ya kifungo chakei
@BabuAli-zv8gn
@BabuAli-zv8gn 2 ай бұрын
Yupo Quilimane Mozambique
@emmanuelmasanja6040
@emmanuelmasanja6040 Жыл бұрын
nakumbuka Hilo tukio vizuri,nilikuwa kijana ndogo nikiwa mwanza
@yusuphkassimu227
@yusuphkassimu227 2 жыл бұрын
Mwandishi mwingine akahoji huyu Mzee tutapata story nzuri.
@luganojacob
@luganojacob 2 жыл бұрын
@milladiayo aje apa
@titongholo6261
@titongholo6261 3 ай бұрын
Watangazaji wa online watanzania ni mbumbumbu sana kwenye hojaji .
@MwanaishaShattry
@MwanaishaShattry 3 ай бұрын
Anaerobic hajawahi kuona mdege, uwanja wa ndege wala hana hajui chochote kuhusu ndege na wlimu ya kuhoji hana.
@jacksonpaul3866
@jacksonpaul3866 2 жыл бұрын
Mwandishi dah unakata sana
@loshiyesindiyo5079
@loshiyesindiyo5079 2 жыл бұрын
Mtangazaji anaboa Sana. Anauliza maswali ya kishamba Sana.
@franciskalistus6987
@franciskalistus6987 2 жыл бұрын
Mwandishi punguza maswali kwa mzee bwana. Hili jandishi LA habari LA ovyo sana linamkatisha sana rubani mstaafu. Namchukia sana huyu mwandishi hafai kufanya interview na watu.
@mustafaabdulhafidh3257
@mustafaabdulhafidh3257 2 жыл бұрын
Mtangazaji una wenge sana mwache mtu amalizie anachokielezea
@kipigapasilisungu2581
@kipigapasilisungu2581 2 жыл бұрын
Nashauri kajifunze vizuri kuhoji then uje kurudia tena story pia yule jamaa aliyeteka hiyo Ndege mwaka huo 88 nafikiri yupo zanzibar njia panda waliwahi kumuhoji ni story nzuri sana ila dogo umeshindwa kumuhoji mzee vzr rudi shule
@hassankadodo8281
@hassankadodo8281 2 жыл бұрын
Mtangazaji anakela saa nini maana ya part 2
@evancedaniel7322
@evancedaniel7322 2 жыл бұрын
Mwandishi anazingua
@MwanaishaShattry
@MwanaishaShattry 3 ай бұрын
Mtangazaji hujui kuhoji una bour kiherehere
@jazeeraqaita4757
@jazeeraqaita4757 2 жыл бұрын
Mtangazaji punguza kuongea shenz😏
@christinainnocent5971
@christinainnocent5971 2 жыл бұрын
Mtangazaji uwesikivu tu acha maswali yasio na maana mwache mwenyewe
@mamuubuss4236
@mamuubuss4236 2 жыл бұрын
Mtangazaji kiherehere kingi
@josephlorri431
@josephlorri431 2 жыл бұрын
Mwandishi msomi unachemsha sana... sijui lengo lako, unarukia vitu visvyohusika wakati mzee anataka kutiririka..
@leylaakiba2104
@leylaakiba2104 2 жыл бұрын
I doubt if this journalist has been to school. NKT
@fanikiomisigaronyamuvugwa9937
@fanikiomisigaronyamuvugwa9937 2 жыл бұрын
Story inasisimua kweli. Part 3 lini?
@rashidnkya9602
@rashidnkya9602 2 жыл бұрын
Maswali mengi hata stori hainogi misifa tu
@idanyahmed8701
@idanyahmed8701 2 жыл бұрын
MwandiShi rudi kajifunze kuhoji vizur
@sule69UP
@sule69UP 2 жыл бұрын
Upo sawa kweli huyu kazoea kesi ya, sabaya
@fakihisilima3414
@fakihisilima3414 2 жыл бұрын
Acha kumuingilia???
@raysonngowi4679
@raysonngowi4679 2 ай бұрын
Umechemka kolumba,umeharibu mahojiano
@serafineslaa1082
@serafineslaa1082 2 жыл бұрын
Stori ya a kutekwa hitimisho haeleweki
@stephensilvester9652
@stephensilvester9652 2 жыл бұрын
Mwandishi rudi shule au nenda milard ayo akufundishe
@saidomarsaid8203
@saidomarsaid8203 2 жыл бұрын
P Co
@jessemathew4696
@jessemathew4696 2 жыл бұрын
Mwandishi wa habari hujui hata kuuliza maswali...
@arafahhh5574
@arafahhh5574 2 жыл бұрын
Anakufahanisha habari ya kutekwa unampa maswali mengine mengi
@franciskalistus6987
@franciskalistus6987 2 жыл бұрын
Mwandishi huyo ni wa ovyo sana anamkatisha sana mzee ktk masimulizi yake. Hafai huyu mtangazaji.
@icesue6613
@icesue6613 2 жыл бұрын
muache mtu ajielezee kwanza . ili watu wapate madini. maswali mengi unabadilisha muelekeo wa story.
@TheKigosi
@TheKigosi 2 жыл бұрын
Story nzuri sana ila mtiririko wa maswali ya "mwandishi msomi" yanayumba sana
@kivuswahilitv6833
@kivuswahilitv6833 2 жыл бұрын
Uyu kijana mtangazaji ni moja ya vijana watangazaji wazuri na wenye kufanya kazi kwa ueledi mkubwa sana namuona kufika mbali sana , namfananisha na millard ayo
@abdulpires9091
@abdulpires9091 2 жыл бұрын
Hajui kuulizwa maswal ya msingi!
@franciskalistus6987
@franciskalistus6987 2 жыл бұрын
Global on line TV mbadilisheni huyo mhojaji.
@elbaricktv1632
@elbaricktv1632 2 жыл бұрын
Mwandish umbwa wew maswali mengiii Hadi kero ingekua ni mm huyo mzee ningeku2x mana humuachii mtu nafax
@esaumahundi5647
@esaumahundi5647 2 жыл бұрын
Unataka kujifunza uribani mwandishi?umeacha mada ya utekaji umeingia kwenye mada ya kuendesha ndege?!?!!!!!
@deogratiussaru3074
@deogratiussaru3074 2 жыл бұрын
Mtangazaji unakiherehere
@mjige9088
@mjige9088 2 жыл бұрын
Neno mwandishi msomi Brother ungewacha kusema hivyo - tumia neno mwandishi wenu mflaani basi inatosha.
@deogratiussaru3074
@deogratiussaru3074 2 жыл бұрын
Wandishi punguza mdomo aisee umeharibu kipundi
@fakihisilima3414
@fakihisilima3414 2 жыл бұрын
Hufawii acha kuharibu ww???
@joanithapeter1301
@joanithapeter1301 9 ай бұрын
Muandish chenga😅
@othmanally4846
@othmanally4846 2 жыл бұрын
Ni pilot ndo anorusha ndege mzee na si captain
@adkajisi4536
@adkajisi4536 2 жыл бұрын
Captain ni cheo katika urubani pia kutokana na uzoefu kazini na pia na aina ya ndege anayorusha
@mbwanakiting7180
@mbwanakiting7180 2 жыл бұрын
Captain no cheo husiwe unakosoa bila kuwa na uhakika.
@abdulpires9091
@abdulpires9091 2 жыл бұрын
Kama hujui bora unyamaze tu! Usimkosoe anojua
@netlity5532
@netlity5532 2 жыл бұрын
Mtangazaji mbona unazingua? Mwache Mzee aeleze mwenyewe
@alphoncenicholaustemba3614
@alphoncenicholaustemba3614 3 ай бұрын
huyu jamaa mtangazaj hana ujuz anamapepe sana
@samasob8233
@samasob8233 Жыл бұрын
Mbona mnatudanganya hadharani?? Mnasema mwaka 1988 wakati tukio lilitokea wakati Mwl Nyerere akiwa Rais!! Guys get your facts right! Ndege ilitekwa mwaka 1982 kuelekea Jeddah, then onwards to Greece and in the end to London Stanstead Airport!
@hildadominic629
@hildadominic629 11 ай бұрын
Ilikuwa 1988 sio ya 1982
@eliuskamwelwe1018
@eliuskamwelwe1018 2 жыл бұрын
Stori kali mtangazaj ndo tumepgwa
@ibrahimaziz7158
@ibrahimaziz7158 2 жыл бұрын
Mzee usiseme mlitekwa hamjatekwa mlikua na igizo fupi tu
@user-us2wx1ji9n
@user-us2wx1ji9n 2 ай бұрын
ASEEE NDO MAHOJIANO GANI HAYA TUNASHINDWA HATA KUPATA CONTENT VIZUR
@alexjackson5960
@alexjackson5960 2 жыл бұрын
Jenerali ulimwengu mwandishi nguli fungua chuo fundisha hawa vijani na makofi juu maana huyu Kama hajui hiyo ni shule kwetu yaani anahamisha mtiririko kwa maswali butubutu. Muunganiko kimtiririko tunaukosa
@katangaminerals8047
@katangaminerals8047 2 жыл бұрын
Mtangazaje ni mjinga
@abdullahalkindi8900
@abdullahalkindi8900 2 жыл бұрын
mtangazaji hii si kazi yake anajifundisha kaharibu kipindi kizima kwa maswali yake hambayo angemsikiliza pilot anavyo elezea yeye angefaidiaka na sisi tungefaidika.sasa hatukujua mwisho wa story
@ericabosco4824
@ericabosco4824 2 жыл бұрын
Lebabaz unaongea xana tunakosa ladha ya stor
@dicksonlesijila4542
@dicksonlesijila4542 2 жыл бұрын
Unaehoji hujui kuhoji kwa sababu maelezo unaongea ww mtangazaji Jambo ambalo so kawaida mwache aongee yy
@bosssyedmund8785
@bosssyedmund8785 2 жыл бұрын
Mbona video imepoteza maana tena imekua kma muvie
@dicksonlesijila4542
@dicksonlesijila4542 2 жыл бұрын
Usimhoji mtu ukiwa umelewa
@salehkejje8786
@salehkejje8786 2 жыл бұрын
Yani mtangazaji anaboa kweli
@antonjohn134
@antonjohn134 Ай бұрын
Mtangazaji umejifunzia wap? Utagazaji wako zero kabisa
@thomasluhumbika9606
@thomasluhumbika9606 2 жыл бұрын
Mtangazaji unapoteza radha ya story maana kila wakati unaingiza swali jipya katikati ya maelezo ya captain. Pia unaongea sana, toa muda kwa captain aeleze story yake
@hadijamandanje6189
@hadijamandanje6189 2 жыл бұрын
Story haina maunganiko vinaingilia na vitu vingi nje ya story
@kasimukigoda8974
@kasimukigoda8974 Жыл бұрын
Mtangazaji bado saana unakatisha story hujui kuhoji
@gasperydickson3616
@gasperydickson3616 2 жыл бұрын
Mwandishi very unprofessional
@jexpew3654
@jexpew3654 Жыл бұрын
Usimkatishe katishe unapomuhoji mtu. Upo unprofessional sana bro
@tytohsejoh2943
@tytohsejoh2943 2 жыл бұрын
Tanzania si mko nyuma😂😂😂😂😂sasa huyu ni mtangazaji?😂😂😂
@kipigapasilisungu2581
@kipigapasilisungu2581 2 жыл бұрын
Muandishi very poor rudi shule hujuwi kuhoji huna usomi wowote una boa sana,made ana story nzuri sana ila hajapata mtu sahihi wakumuhoji
GTA 5 vs GTA San Andreas Doctors🥼🚑
00:57
Xzit Thamer
Рет қаралды 25 МЛН
EXCLUSIVE: MWANAMKE WA KWANZA TANZANIA KURUSHA NDEGE VITA
9:32
TBConline
Рет қаралды 2,7 М.
HISTORIA Ya IDD AMIN, Darasa La 4 Aliyetikisa Wazungu/NYERERE Akimtia Adabu
26:09
HISTORIA: RAIS Aliyekatwa Masikio Akiwa Hai, Na Yeye Aliwakata Wengine
18:44
SHERIA ZA KOREA KASKAZINI ZITAKUACHA MDOMO WAZI
17:01
Global TV Online
Рет қаралды 827 М.
USICHOKIJUA: Kuhusu Ndege Kubwa Duniani Iliyotua Tanzania
10:44
Global TV Online
Рет қаралды 131 М.