PART 1: RUBANI MSTAAFU GALWAY ASIMULIA MKASA WA 1988, NDEGE YA TANZANIA ILIVYOTEKWA WAKIWA ANGANI..

  Рет қаралды 56,704

Global TV  Online

Global TV Online

Күн бұрын

PART 1: RUBANI MSTAAFU GALWAY ASIMULIA MKASA WA 1988, NDEGE YA TANZANIA ILIVYOTEKWA WAKIWA ANGANI..
Hii ni stoti ya kusisimu ya Rubani Mstaafu Galway Galway Aelizaliwa 1950 huko Vijijini Kabisa Mkoani Manyara Kipindi hicho uliitwa mkoa wa Arusha akiwa Mtoto kutoka katika familia ya kifugaji alienda peku shuleni bila viatu lengo lake likiwa kuwa Rubani tu wakati watoto wengi wao walikataa shule na kulilia kwenda Kuchunga Ng'ombe na Mbuzi.
Alitolewa Jeshini na Mwalimu Nyerere miaka ya 70 na Kupewa Usukani wa Ndege baada ya marubani Wengine kugomea Mishahara kwa kudai ni Midogo.karibu kwenye the Unique story utafaamu jinsi ndege aliyokuwa akiiendesha ilivyotekwa 1988 na vijana wa Kitanzania akiwa Angani.
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 712 101 629), ( +255 784 888982)
⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltv...

Пікірлер: 66
@victoriarwerengera4831
@victoriarwerengera4831 2 жыл бұрын
Askofu Methodius Kilaini anaweza kusimulia vizuri mkasa huu...alikuwa mhanga wa tukio
@Mc_Chabala
@Mc_Chabala 2 ай бұрын
Hii story wangehoji SIMULIZI ZONE ingekuwa safi sana
@felixmathias6362
@felixmathias6362 2 жыл бұрын
Ayo mtafute huyu mzee atupe elimu. Anahistoria nzuri sana kwa kizazi Cha sasa
@JovinaryJuventus
@JovinaryJuventus 2 ай бұрын
Safi sana mzee
@zacharyanthony6083
@zacharyanthony6083 2 жыл бұрын
Mzee anajua kusimulia vzur sana. Na mike alitakiwa awe nayo yeye sabab yeye ndo aliebeba kipindi sasa ilo jama sijui alijui linamkatisha..irudiwe na millad ayo
@saumusalimuhassan2499
@saumusalimuhassan2499 2 жыл бұрын
Mashallah, hongera sana Babu
@mussakamando2678
@mussakamando2678 2 жыл бұрын
Hii srory angehojiwa na TIK TV ingenoga sana. Jamaa wanajua kuendesha mahojiano sana.....
@abbasirovya6118
@abbasirovya6118 2 жыл бұрын
Shida mwandishi hauna weledi wa kazi yako kiasi cha kutosha. Ukiwasikiliza ni mnarap kama MC's wa kwenye sherehe wakati upo kwenye interview na mtu muhimu sana. Mwajiri jaribu kufanyia kazi comments jitahidi kuwajengea uwezo watumishi wako, kuna mapungufu mengi sana. Kwa nia njema tunataka vijana wenu wawe bora zaidi.
@one2tell508
@one2tell508 2 жыл бұрын
Shukran kama umeliona hilo, yaaan mwandishi kama yupo sebleni na familia yake ni hovyo sana.
@azizabdallah585
@azizabdallah585 2 жыл бұрын
Asante mpiganaji Capt. Galwei.
@opportunities2767
@opportunities2767 2 жыл бұрын
Uyo mzee ana story nyingi sana mwandishi unamkatisha
@saumusalimuhassan2499
@saumusalimuhassan2499 2 жыл бұрын
True
@geofreyshaurimoyo5918
@geofreyshaurimoyo5918 2 жыл бұрын
Mtangazaji hana uwezo wakumuhoji mambo mengi mzee wetu huyo Rubani mstaafu
@christopherpaulo9490
@christopherpaulo9490 2 жыл бұрын
Safi mzee
@annabadru2352
@annabadru2352 2 жыл бұрын
Rubani mzuri sn
@eshyndibalema1529
@eshyndibalema1529 3 ай бұрын
Ni mwaka 1982,na ilitekwa ilikuwa mwanza ilikuwa inaelekea London lkn llitua nairobi kujaza mafuta
@MrBm369
@MrBm369 2 жыл бұрын
Big up kubwa sana kwenu global tv hapo bado serikali 2
@bojobunton7138
@bojobunton7138 2 жыл бұрын
Mwadishi anauliza maswali kwa utashi wake binafsi, aulizi maswali ya msingi au kufuata utaratibu unaotakiwa, anamkosea heshima mzee,kwa kumbandika swal kabla hajamaliza
@one2tell508
@one2tell508 2 жыл бұрын
Mwandishi mpuuzi sana hajui hata kuhoji, sijui maswali ya hovyo anayatoa wapi
@eligiusvitalis3504
@eligiusvitalis3504 2 жыл бұрын
Jamaa anauliza Maswali mno hadi anamtoa kwenye mazungumzo maalum
@oliviaseth4652
@oliviaseth4652 2 жыл бұрын
Mwandishi tulia kidogo, mpe muda ajieleze
@frankmgunjimgunji9261
@frankmgunjimgunji9261 2 жыл бұрын
Mtangazi ges unajifanya unajuw nyoooooo
@irinirinnariss2864
@irinirinnariss2864 2 жыл бұрын
Uko vizur
@MBATINOFILMS
@MBATINOFILMS 2 жыл бұрын
Kwel mzee yuko wap
@aliomari1439
@aliomari1439 2 жыл бұрын
Sauti
@azizaj776
@azizaj776 2 жыл бұрын
Siyo mwaka 1988 ilikuwa kati ya mwaka 1982 - 1983
@aisharamadhani1948
@aisharamadhani1948 2 жыл бұрын
Mwandishi kiazi sanaa,,,, kwanini hataki kutulia utafikiri anamuhoji mke wake sebuleni mapepe kibao swali juu ya swali ndio nini ht haachi mwenye anamuhoji akajieleza vizur,,, Angekua Millard mbona tungefurahi sana
@azizihfarijala5307
@azizihfarijala5307 2 жыл бұрын
Jifunze kuuliza maswali ya maana siyo ya joking
@mhebhoamoskisimple2095
@mhebhoamoskisimple2095 2 жыл бұрын
Naomba kupata part tu yake plz 🙏.mnitag ili niipate
@MrKhatibu
@MrKhatibu 2 жыл бұрын
GLOBAL TV Online, tafadhalini muyazingatie malalamiko ya watoa comments za watazamaji. Malamiko yao yanamuelekea muhoji maswali. Naomba mumrekebishe asiwe na tabia ya chura
@horacemnyasa5400
@horacemnyasa5400 2 жыл бұрын
✈️✈️❤️❤️✈️✈️
@josephbonday8510
@josephbonday8510 2 жыл бұрын
Lol,Babu ULIPAMBANA sana kumbe..🤸💪
@fatmaabdallah7709
@fatmaabdallah7709 2 жыл бұрын
Na tuliotekwa mtuhoji basi mbona tupo!
@deneagrofarms5884
@deneagrofarms5884 2 жыл бұрын
Wewe ulikuwa abiria enzi hizo🤣🤣🤣
@fatmaabdallah7709
@fatmaabdallah7709 2 жыл бұрын
@@deneagrofarms5884 ndiyo nikitoka mwanzo nikafika mpaka Athens na mateso yote tulipata
@deneagrofarms5884
@deneagrofarms5884 2 жыл бұрын
@@fatmaabdallah7709 🤣🤣🤣🤣
@fouardsomi1528
@fouardsomi1528 2 жыл бұрын
Mwandishi next time jipange before kumropokea msomi kiasi iki
@netlity5532
@netlity5532 2 жыл бұрын
Kaka mtangazaji umezingua hapa, huyu Mzee alikuwa na mengi ya kuongea kudadeek
@jameskyando178
@jameskyando178 Жыл бұрын
Kagera war ilikua mwaka gan??? Sijamwelewa pilot apo kasema 1971??
@sigifridaloyce7116
@sigifridaloyce7116 Жыл бұрын
hatare
@khadijaali1168
@khadijaali1168 2 жыл бұрын
Mtangazaji hampi nafasi yakuelezea vizuri anamkatisha ty na maswali akianza kuelezea tu anampiga swali lingine 😃😃😃😃😃😃😃
@sifuelmamuya457
@sifuelmamuya457 2 жыл бұрын
milad ayo amtafute huyu amuhoji kwa ustadi mzuri huyu mwandishi ni kiaziiii
@fatmasayid8895
@fatmasayid8895 2 жыл бұрын
Wewe muandishi una kiherere
@d.a.t3383
@d.a.t3383 2 жыл бұрын
Galway mwanafunzi wa baba Mwl Aloisi Ravasco Maisaka
@maftahanachumatv7017
@maftahanachumatv7017 2 жыл бұрын
Mtangazaji unaharaka ya kuuliza kabla hajajibu vizuri swali unamuuliza lingine ! Jitahidi kutulia akijibu
@AsiaMkusa
@AsiaMkusa 2 жыл бұрын
Ebu hii stori irudiwe mwandishi anatuangusha Af Galway ana madini mengi sana irudiwe irudiwe irudiwe
@omarmkendwa1254
@omarmkendwa1254 2 жыл бұрын
Dah Naikumbuka hiyo siku na watekaji nawafahamu maana hao watekaji walikuja mitaani kwetu
@masalakulwa7601
@masalakulwa7601 3 ай бұрын
🤔
@benjaminibirama6664
@benjaminibirama6664 2 жыл бұрын
Inchi imetoka mbari
@gooddeeds162
@gooddeeds162 2 жыл бұрын
“ Nchi imetoka mbali” 😊
@josephmandelapenet4587
@josephmandelapenet4587 2 жыл бұрын
MillardAyo mtafute huyu mzee mana hawa jamaa wameharibu interview hii.
@momoyusufu3424
@momoyusufu3424 2 жыл бұрын
weee mtangazaji unaboa sana badala ya kumuacha mzee aongee wee ndio maswali kibao unamkatisha sana mzee,mpaka hata yeye anakushangaa next time jiangalie.
@TheKigosi
@TheKigosi 2 жыл бұрын
Mwandishi ana haraka mno
@robertmosha6801
@robertmosha6801 9 ай бұрын
Mwandishi deshii unakosa detail muhimu..infantry unajua ni nini
@glorydenis5111
@glorydenis5111 2 жыл бұрын
ninyi global punguzeni sauti mwanzo wa matangazo yenu
@janegeogre3234
@janegeogre3234 2 жыл бұрын
we mtangazaji mbona kenge ivoooo??... hujui kuhoji kilaza wewe!
@angelkapimba2434
@angelkapimba2434 2 жыл бұрын
mtangazaji hajatulia kabisa, babu hajamaliza kuongea kabandika swali. atulie kaka mtangazaji
@kipigapasilisungu2581
@kipigapasilisungu2581 2 жыл бұрын
Muandishi una boa ndio tatizo la waandishi vilaza mzee ana madini mengi sana lakini uwezo wako wakuhoji mdogo umeharibu interview idea ni nzuri but poor credibility
@benntanga2966
@benntanga2966 2 жыл бұрын
Huyo Rubani nafahamu tulikuwa naye jeshini kikosi cha Anga.
@kipigapasilisungu2581
@kipigapasilisungu2581 2 жыл бұрын
.
@hasyno9805
@hasyno9805 2 жыл бұрын
Akielezea kitu muache aeleze unaturudisha nyuma mtangazaji
@bigjizee4130
@bigjizee4130 2 жыл бұрын
Mwandishi Bogus kabisa, hata hakuna consistent ya interview
@peterandrew2795
@peterandrew2795 2 жыл бұрын
Baba lawo'' lari
@franciskibay8948
@franciskibay8948 2 жыл бұрын
Babu Janjaaa
@mussakamando2678
@mussakamando2678 2 жыл бұрын
Mwandishi ameharibu mahojiano kwa kuuliza maswali ambayo sisi watazamaji anataka tumwone anajua masuala ya ndege.🤣🤣🤣🤣 Huu ni ujinga kabisa. Kama na yeye anataka jamii imwone anaijua aviation industry au ijue kuwa ameshapanda ndege mara nyingi atafute chombo cha habari kimuhoji ili ajibu ili tumwone ameshapanda sana ndege....😒😒😒
Whoa
01:00
Justin Flom
Рет қаралды 55 МЛН
What does Satoru Gojo have? #cosplay#joker#Harley Quinn
00:10
佐助与鸣人
Рет қаралды 7 МЛН
EXCLUSIVE: MWANAMKE WA KWANZA TANZANIA KURUSHA NDEGE VITA
9:32
TBConline
Рет қаралды 2,7 М.
PAT5)FREE MASON WANACHUKUWA WENYE SIFA HIZI TU BILA HIZO HAWAWEZI EV PASCHAL CASSIAN
26:49
PASCHAL CASSIAN OFFICIAL YOUTUBE
Рет қаралды 428 М.
HISTORIA YA CHIFU MKWAWA / WAZUNGU WANAYOIFICHA!
25:56
Global TV Online
Рет қаралды 941 М.
Kisa Kizito cha Mzee aliyemnyooshea Bakora Mwalimu Nyerere
17:48
Whoa
01:00
Justin Flom
Рет қаралды 55 МЛН