Рет қаралды 51,203
Miongoni mwa viongoz wazoefu wa Tanzania aliyewahi kuhudumu wakati wa Mwalimu Nyerere kisha kuhudumu kwenye serikali zilizofuata.
Je, katika kipindi hicho chote alifanya nini? Je, historia yake hadi kufikia kwenye uongozi wa serikalini ni ipi?
Ungana na Jaafar Mponda katika ZUMARI akizungumza na waziri wa zamani Paul Kimiti.
Tufuatilie kwenye mitandao mingine ya kijamii:-
►INSTAGRAM: / azamtvtz
►INSTAGRAM: / azamsports2
►TWITTER: / azamtvtz
►FACEBOOK: / azamtvtz
►WEBSITE: www.azamtv.co.tz