Kishk tv Allah awape umri mrefu wenye faida,pia mwenyezimungu amzidishie Imani dada yetu snura,allahu Akbar allahu Akbar allahu akbar❤❤❤
@adidjasaidi33696 ай бұрын
Naapa kwa Yule anaemiliki nafsi yangu(ALLAH) furaha nilionayo ni kubwa mno mno,kila mumewangu aingiapao namuelezea kuhusu wewe SNURA,yaani story ni wewe hadi usiku wa jana kuamkia leo nimekuota kwa kwasababu yakunikaa sana kichwani…ALLAH atukutanishe peponi ndugu yangu Katika Iman yaani ndoto yako yakwenda hija nikama yangu kipenzi changu,Nakupenda ndugu yangu katika imaan.Hutojutia hata siku Moja njia ulio ichagua..jua yakwamba upo sehem sahihi(salama)Nakuombea ALLAH akuzidishie ilmu akuruzukie faham yako na akujaalie iman yenye kuingia Ktk Moyo
@AminaAhmed9996 ай бұрын
Kama mimi nilimskilizisha mume yani kila mtu namuhadithia story yake. Allah amjalie thabati mpaka siku ya mwisho hata nilikuwa simjui
@KHAMIS_SHILINGI6 ай бұрын
Allaahumma aamiin
@kassimdiscover77306 ай бұрын
Mpaka nimelia kwakweli Kwa furaha nliyonayo kumsikiliza huyu dada
@fatmaalnabhani36096 ай бұрын
Alhamdulillah. Mungu atuongoze njia za kheir zote inshaallah, Amin yarabbi l a'lamin 🤲🤲
@sheikhakhalfan88416 ай бұрын
Dada snura Allah azidi kukuongoza kukupa nguvu kushinda kila baya na ushawishi mbaya nakupenda kwa ajili ya Allah ❤❤❤❤❤❤❤
@aulathabdallah46786 ай бұрын
Soma ayatul kurysiyu kila siku asubuhi na jioni Allah akuepushe na sheitwani ubaki kwenye njia sahihi Inshallah kila la kheri dada yetu
@assalamtv88206 ай бұрын
Tunawaombea dua wengine wafuate mfano wa dada yetu in shaa Allaah. Dada yangu fanya kwa wingi shukrani kwa Allaah sw na kumswalia sana Mtume Muhammad s.a.w in shaa Allaah
@fatimamikidadi66636 ай бұрын
MashaAllah. Ninamuomba Allah azidi kukufanyia wepesi pamoja nasi umati wake katika kufuata njia iliyonyooka ya dini yetu tukufu ya Uislam.
@maryammzee32466 ай бұрын
Allah akufanyie wepesi ufike makka ufanye hija na utuombee na sisi tufike huko makka nakupenda sana snura natamani nikuone uso kwa uso
@Mustieali6 ай бұрын
Ameen
@ModricdaMocimboadapraiaAssia3 ай бұрын
Allah akujalie dada yangu Snura Allah akbar❤❤❤❤❤❤
@asmaally-y6n4 ай бұрын
Allah azidi kukuongoza dada namna unaisoma quran ni kwa masikitiko kabisa inaingia ndani ya nyoyo Mashallah❤❤❤
@faizaMsheri6 ай бұрын
ALLAHU AKBAR......WALLAH ALLAH AKUHIFADHI DADA KIPENZI, WALLAH MACHOZI YANANITOKA!! ALLAH ANAKUPENDA SANA. NAKUONEA WIVU WALLAH DARJA LAKO KWA HATUA HII NI KUBWA MNO. ALLAH ATUJAALIE MWISHO MWEMA, HAKUNA MKAMILIFU KTK HII DUNIA ILA ALLAH. Allah atufanyie wepesi sote twende HIJJA In shaa Allah. TUNAKUPENDA!!!!
@zeharaz41166 ай бұрын
Mashaa Allah Tabarak Rahman Allah akulinde na shettan na akuzidishie Imani
@inshrahnassor87736 ай бұрын
Sichoki kuskiliza hii habari nzuri ya snura mashaalla Alla anakupenda saana na inshaalla biidhinillah kabla alla hajakuhitaji kurudi kwake utafikka hijja na utakamilisha ibada na biidhinillah ataipokea
@nakundwamkubwe78236 ай бұрын
Snura dada angu umeongea maneno mazito sana namuomba Allah aendelee kukuongoza Allahuma Amiin.
@Mustieali6 ай бұрын
Ameen
@Allybinamour6 ай бұрын
tena mazito sana
@auntmakochela42026 ай бұрын
Aamiin
@sikudhaniramadhani31736 ай бұрын
Allaahumma aamin
@hamisisamuli60556 ай бұрын
Allah akufanyie wepesi udumu katika imaan iliyo thabiti Amyn
@abdulazizjeizan-vx1mc6 ай бұрын
Ukht mwema allah akujaalie nuru katika sura yako nuru katika macho yako nuru katika masikio yako nuru katika midomo yako nuru katika mikono yako nuru katika miguu yako nuru juu yako nuru chini yako nuru kuliani kwako nuru kushotoni kwako nuru mwilini kwako mwili mzima autie nuru inshaallah
@asilahassan99656 ай бұрын
Ammina ya rabbill allamin allhuma amin kwa sote
@wiseboywissebo38566 ай бұрын
Amiin yaa Rabii
@amisafaraji57966 ай бұрын
Aaamiin thumma aaaminn 🤲
@FghgRyy6 ай бұрын
Allahumma Aamiyn kwa sote
@AishaMrisali6 ай бұрын
Mashaallh Alhamundllh umpendza mashallh alaah ajali imani yarabilala mina ❤❤❤
@rizikiAbdul-k4r5 ай бұрын
Mashaallah allah akuzidishie kheri
@fatumacrochet6 ай бұрын
TAAKBIIIIIIIIIIR ALLAH AKUFANYIE WEPESI DADA YANGU KIPENZI NA DUAA ZOTE TUNASEMA AMIIN AMIIN AMIIN YARABIL ALAMINA INSHAALLAH
@SabraAbdilnasir6 ай бұрын
ALLAHU AKBAR
@RitbayRitbay6 ай бұрын
Allahuakbar allahuakbar allahuakbar
@RahimaMct-ik8mr6 ай бұрын
Allahu akbaru
@fatihiyadossa3756 ай бұрын
Allahu Akbaru
@ummyleey48776 ай бұрын
Maashaallah.Maashaallah. allah atubariki tuzidi kuongoza kwenye njia iliyonyooka...kila la kheir dada etu snura
@hamidasaid25445 ай бұрын
Ma Shaa Allah, Ma Shaa Allah sana nimefurahi na Allah akujaliye utimize ndoto yako. IN SHAA ALLAH UTAENDA HAJJ AMIN YARAB ❤
@abdulazizjeizan-vx1mc6 ай бұрын
Ukht mzuri ukht mwema ukht wa kheri usikate tamaa na rehema za allah hakika allah anasemehe madhambi yote tawba ya kweli tawba ya moyoni tawba ya dhati ya moyo mashaallah
@JumaamohamedJumaa4 ай бұрын
Maishaalla mungu akuongoze
@abubaker83995 ай бұрын
Alhamdulillah, Allah amzidishie uongofu Dada yetu na imani ikite moyoni mwake hadi mwisho wa maisha yake ya Dunia. Somo kubwa hapa ni sisi kuelewa kwamba uongofu wa Allah hauji tu hivi hivi bila ya wewe kuutafuta, ukiutafuta Allah atakuonesha njia yake kama Quran inavyo tuambia "Allah hawabadilishi watu mpaka tuanze wenyewe kujibadilishe nafsi zetu - - -" ndio Allah hapo atutilie taufiqi Yake. Guaranteed ukimuelekea Allah sincerely toa shaka Allah atakupokea kuliko vile ulivyo tarajia. Somo kwa sote wa islamu na wengineo tusikate tamaa kutokana na rehma ya Allah, ukiitaka dakika nukta yoyote uatipata madam una ikhlas moyoni mwako. Allah azidi kumuongoza Dada yetu na sisi pia. Ameen.
@MfoteJuma6 ай бұрын
Allaah akufanyiye wepesi akuepushe na mitihani ya Kila aina umerudi kwenye haki umenifurahisha sanaaaa❤❤❤
@FatmaRamadhan-o7u4 ай бұрын
Takbir Allah akufanyie wepesi
@makamwasina20906 ай бұрын
Ma sha Allah Takbir! In sha Mungu Mungu akupe uamuzi thabit usilegelege In sha Allah😊
@alhilaltvonline6 ай бұрын
Jinsi maneno unavyosikia na kukusisimuwa ndio unajuwa kuwa kweli yanatoka katika moyo. Huyu dada maneno yanatoka moyoni. Ndio maana hata anayesikiliza anahisi yanamteka na kumgusa. Allah akuongoze katika kheri zaidi.
@SalamaNauthar6 ай бұрын
Umeongea Maneno mazito Kwa hisia Kali sana da Snura' ALLAH Atuongoze katika njia iliyonyooka' atujaalie mwisho Mwema Amin🤲
@abubakarabdalla14476 ай бұрын
MashaAllah Allah akuongoze wew n sis ktk njia ya haki MashaAllah hasbunallah waniimalwakil❤
@Maryam-s6e6 ай бұрын
Da snura umenitoa machozi inshallah mm nasema hija utafika inshallah Maryam from Dubai
@komar93966 ай бұрын
Allah akuzidishie uzidi kutenda kheri na akujaaliye uendelee kumlaani shetani usirudi tena kwenye laana ya muziki.. ningetamani kupata mke mwenye kujielewa kama wewe .. lakini ndo ushaolewa.. Mungu atulinde SNURA shikamana na dini yako .. dunia tunapita..
@medshaa23224 ай бұрын
Maashallah Allah akuongoze dada yangu
@Shani-m8p6 ай бұрын
Dada snura nakupenda sana mungu azidi kukuongoza ktk njia haki yaani hayo maneno unayoyasema Hadi Mimi yananitoa machozi mungu atazidi kukuongoza
@SakinaSakinat-qd9rs6 ай бұрын
Maa shaa Allah tabaraka Rahman Allah azidi kumuongoza
@suleimanmalik88786 ай бұрын
Allah akufanyie wepesi inshaalah akuongoze na akusimamie inshaalah fildunia Wall akhera 🤲🤲🤲
@MaryamuOmary4 ай бұрын
Dada yangu mungu atakujaalia umefanya jambo kubwasana
@rahmamahadhi30556 ай бұрын
Maneno yanayotoka kwenye moyo,daima huingia kwenye mioyo ya wasikilizaji,ALLAH ATUJALIE MWISHO MWEMA na tupate ukumbusho kupitia matukio kama haya
@sikudhaniramadhani31736 ай бұрын
Allaah akuongoze zaidi katika njia ya haki na akujaalie mwisho mwema dada Snura.
@AminaBakar-p8r5 ай бұрын
Masahallah nakupenda sana mdogo wangu alllah akuzidishie na akulinde
@umminuura24134 ай бұрын
Allahu Akbar Allah atuogoze sote yaa rabby
@MwanamkadiSauti-vj7eh4 ай бұрын
Allahu akbar allahu akbru allahu akbar laaaila haillallahu allau akbar,takbiir kwa dada yetu snura allau akbar
@Semenimussa-j9l14 күн бұрын
Mashaallah Allah azidikukuongoza dada akulinde na kila husda 🙏🙏🙏
@SHALIFUSHALIFU-id9ku5 ай бұрын
InshaAllah kher Allah azidi kukukuzia imani hiyo hiyo yakuludi kw MORA wetu allah akuhifazi akupe mwisho mwema
@saudangalleni3885 ай бұрын
Hongera snura unabusara sana umeongea vizur sana allah akusimamie mbaka mwisho wa uhai wako
@omargargaar56116 ай бұрын
MashaAllah MashaAllah MashaAllah TabarakAllah Allah akuhifadhi dada yg na Vzazi vyako na Mume wko Allah akulinde ❤❤❤
@hamidasaid25445 ай бұрын
Allah akuhifadhi
@suleimankombo17436 ай бұрын
Asante, ALLAH akuhifadhi
@MohdMohd-o7e6 ай бұрын
Mungu atujaalie safar njema yakukutana namola wetu mtukufu akiwaameturdhia Amina
@FatumaKingi-n7p5 ай бұрын
Mwenyezi mungu akupe mwisho mwema nasi pia inshallah
@HamidaSaid-j5p5 күн бұрын
Allah anasema hamuongoz mt mpak atake mwenyew kuongok. Dada katak kuongok na Allah kamuongoz. Allah abadilish makosa yak na kuyafny mema yak Aaaamin inshallah ❤
@HabibAlmaully6 ай бұрын
ALLAH azidi kukusimamia wewe na mume wako, Awazidishie upendo zaidi muishi kufa na kuzikana mkiwa ktk ndoa yenu na upendo wenu
@businessadshomedec79984 ай бұрын
Allahumma baarik laki
@boraihano26126 ай бұрын
Masha Allah Mwenyezi Mungu atuzibitishe mwisho mwema.Amin
@halimamfaume19256 ай бұрын
MashaAllah ❤❤❤ Allah akulipe jannah daa Snura, umetupa mawaidha mazuri sana ❤ kwa kila aliea kusikiliza kwa makini basi amefaidika na mengi , mimi mpaka nimelia
@ShaibOmar-p8d5 ай бұрын
ALLAH AKUONGOZE KATIKA KHERI DADANGU. NA TABUA YA KUWA HIYO NIFURSA KUBWA AMBAYO ALLAH KAKUPA, MCHE ALLAH SANA. ALLAH AKUHIFADHI WW NA KIZAZI CHAKO. NA ILI IMAN IZIDI BAS JITAHID SANA KUISOMA DINI YAKO NA KUJITAHIDI SANA KUFANYA MAMB YA KHAIRAAT
@SiwemaMilandu4 ай бұрын
Naamin hakuna kitu kinachoshindikana chini ya jua. Snura ni bora kwa Allah. Usirudi kweli. Allah akufanyie wepec Inshaallah
@LuckylionBdi5 ай бұрын
Allahumma ameen ya rabby allah akupe hitajio la moyo wako habibty
@hamidasaid25445 ай бұрын
Allah Akulinde hutorudi nyuma amin
@AnithaNahimana5 ай бұрын
Mashaa Allah..Allah .akuongoze kwenye kheri
@Aziza-z4f4 ай бұрын
Mashaallah dd
@ChunaMabondo6 ай бұрын
Allah aniongoze na akuongoze na kukusimamia ktk niya yako na awajaalie pepo bibi na babu yako katk malezi ya imaan.amiin
@MaridhiyakaremboHareh5 ай бұрын
Subhanallah..Yani nimeskiza Hadi nalia mm .... Allah Akbar Allah Akbar Allah Akbar.... Allah atuongoze saana
@allyboy41535 ай бұрын
Mashallah iyo ndo iman uishi na ukumbuke kesho utakufaaa
@UkhtyMwana5 ай бұрын
Allah akuzidishie msimamo thabit na familia yako .Allah kakupenda sanna.Allah akuhifadhi nakila alolikataa Allah .Amina
@biashaomar23675 ай бұрын
Masha Allah ❤❤❤
@Zaituni-e5h6 ай бұрын
Mashallah Allah akuongoze ktk kher na atuongoze kwasote naatujaalie imani thabit yamkumtii yy pekee naatuepushe namaovu yote yakidunia...naatujalie nyoyo zetu ziwe ninyekumtegemea nakumtumain yy kwakilajambo.....
@HAJIKOMBO-lk7mi6 ай бұрын
Allah akupe nguvu ya kuwa mtii kwa alla pamoja nasi, atusamehe atuingize katika pepo yake iliyotukuka.
@faridaally-jp1gx6 ай бұрын
Ma shaa Allaah Nakuombea Allaah Akuhifadhi Amiin
@ShaabanOmary5 ай бұрын
Laihailallah Muhammad rrasulu llah Allah akuzidishie milango ya kheir mbali mbali ukhty.alhamdulillah
@HuseniRashid-i4t5 ай бұрын
Maashallah Allah atuongoze sote
@johralulomary50086 ай бұрын
Allah akuthibitishe kwenye dini na kizazi chako na waislamu wote amiin allah atupe mwisho mwema na allah awazidishie mawarda na rahma kwenye ndoa yako allahuma amiin
@Mammymuhamed6 ай бұрын
Allah akufanyee wepesi kwakila lenye kheri, akuepushe kila mazito.
@fatmamohd45766 ай бұрын
Mashallah mashallah umependeza
@SafiniaMbarouk6 ай бұрын
Maashallaah nakuelewa sana sanaaaaaa wallah ni Mungu t ndo anajua kilipo mioyon mwetu lhusnulkhaatima yaa raabb
@ednamachocho30595 ай бұрын
❤Sinura hapo ulipo ndipo shikilia hapo hapo
@AlyAly-dp7iv5 ай бұрын
Dada nakuombea kwa allah akuzidishie subra ktk mitihani ya dunia hii usirudi tena kufu aliyakuwa ni muisilam ili urthi pepo insha allah aaamini
@AbdulkarimFakhi6 ай бұрын
Alhamdulillah wakushukuliwa ni allah kwakumuongoza dd yetu snura kuludi ktk njia yake kweli hii ni njia yake qur an safi kabisa huyu ni mtoto wachuoni kweli
@oman77106 ай бұрын
Masha Allah Allah akuhifadhi
@sabrajadihamad17515 ай бұрын
Alhamdulillah Alhamdulillah Alhamdulilla Allah atuongeze katika njia iliyonyooka hakika Allah nimuweza wa kila kitu Allah akujalie atimize ndoto yko ilobakia inshaallah
@shadyahamad37245 ай бұрын
Mwenyezi mungu azidi kukubariki akupe mwisho mwema 🙏
@SajdaTunda6 ай бұрын
Mashallah ukhuth allah azidi kukuifadhi Nakupenda saana kwa ajiri ya allah kipenzi chetu
@fatmamdidi81086 ай бұрын
ALLAH akulinde na akuhifadhi dada yetu na akujaalie mwisho mwema.
@missmannydxb6 ай бұрын
Sote mwisho mwema ameen
@sarahliban-de7qf4 ай бұрын
MashaAllah dada Allah atuongoze na sisi.kwa kweli nimejifunza kitu kutoka kwako MashaAllah 😢
@anjuujuma84705 ай бұрын
Mungu akulinde na akuzidishie ibada na akuondoshee tamaa
@KulthumYussuf6 ай бұрын
Allah akuongoze atuongoze soote dada yetu uturuzuku mwisho mwema allahumma Aamiin
@maryammwinyi88106 ай бұрын
Allah azidi kukupa nguvu na akufanyie sahal katika mambo yako ya kheri. Hakika Allah ( s.w) amesema katika Qur an kwamba: Haiwi maisha ya dunia isipokuwa starehe za muda mchache
@abdulazizjeizan-vx1mc6 ай бұрын
Pole sana pole pole sana allah akukubalie na ukatakabalie tawba na msamaha wako aupokee inshaallah
@ZubedaHasan-c6k5 ай бұрын
Imani yako dada imesima iMara sana Allah azidi kukuongoza nimefrahi sana
@allymbarouk53625 ай бұрын
Allah Akbar Allah akupokee kwa mikono miwili Alhamdulillah nimefurahia SanA hili naamini unayosema yanatoka moyoni mwako na niuamuzi mzuri Sana huu umefanya Alhamdulillah Alhamdulillah Alhamdulillah
@ThuwaybaSaid6 ай бұрын
Mashaallah mashaallah hakika Allah ni mkubwa na anamiujiza yake mashaallah Mungu atakulinda akupe nguvu ya kusimama na imani yako mpaka atakapokuchukuwa mja wake tumefrahi sana kurudi kwa Allah kwa kujuwa ulipo hakukuwa sahihi nakupenda mnoo dua zangu unazo Allah asije kukubadilisha hatuziwezi adhabu za mwenyezmungu sio za dunia wala za kabr wala siku ya qiyama sikunya haqqi Allah atuongoze na awaongoze walio jikita na hii dunia mungu akupe barka snura
@nasrakassim19736 ай бұрын
MashaAllah dada snura kweli Allah humuongoza amtakaye.Nakuombea udumu kweny Imani Yako.
@AdidiJuma-ci1jz5 ай бұрын
Kifupi nashukuru sana dada yangu uyo snura kwa kuyajua aya na kurejea kwa allah akika allah amuongoze na amjaalie awe mfano wa kuigwa 🙏
@tamiah-zm4io5 ай бұрын
Duh da snura kumbe unaakili ivi...samahan yan unaongea point mpka dah..i am so proud of u..allah akudumishe kwake
@rabiaothman-w4m5 ай бұрын
Kwa kweli huyu dada anastahiki pongezi Kwa kujuwa dini yake na mungu amjaalie awe ni miongoni mwa watu wa peponi na Allah asimjaalie kurudi kizani tena tumefurahi sana waislam
@ZaytoonaKarama6 ай бұрын
Mashallah tabarakallah Allah azidi kukuhifadhi na imani thabit, ukimkabidhi Allah nafsi yako hewezi kurudi nyuma Inshaa Allah Allah akusmamie kw hilo na azidi kukuongoza dada Allah ndio muongozo wa haki. Na suala la kwenda Hajj kila ukiswali muombe Allah akuite na Inshaa Allah utafika Makkah. Jengine zidisha iadhkar sn na Inshaa Allah hilo lakua miziki yako ifutike kwenye mitandao Allah ataifuta yote
@aminauwimana99766 ай бұрын
Masha'allah tabaraka nakusikiliya wivu I wish hiwemimi allah akuzidishie imani
@a.8566 ай бұрын
Jazakallah khayran
@Mohamudnoor5821-gw5qg6 ай бұрын
Maa shaa Allah nimefurahi sana kwa ujasiri wako Ukhty,Allah akuzidishie hidaya na atakabbal towba yako
@Ukhtyzuhura6 ай бұрын
Amiin Yaa Rabb
@hassanhamisi25 ай бұрын
Allah akubaru yarab mjalie uyu dada pamoja nasi na nafusi zetu amin
@mariamissa40296 ай бұрын
Mashaallah tabaraq Rahman Allah akusimamie dada yangu nimekupenda kwa jili ya Allah
@TheTarabist5 ай бұрын
Kusoma Quran. Maashaallah. Sanaa haikutoa kila kitu katika moyo wako.
@abdulazizjeizan-vx1mc6 ай бұрын
Ukhti wangu mshukuru sana Allah kariim kwa kukutoa pembezoni katika moto was jahannam