Upendo Nkone aimba na kuwaombea wanaopitia Wakati Mgumu, ndani ya Sunday's Shangwe na Huruma Charles...
Пікірлер: 124
@NeemaWaisumo3 ай бұрын
Nipo hapa New Jersey U.S.A najifariji na nyimbo zako.Katika huzuni na majaribu wengi tunachanganyikiwa maana wengi wa karibu wanatuacha lakini kumbe Mfalme mwenye uwezo yupo muda wote kufariji.Ubarikiwe sana
@beatriceakinyiowino68603 жыл бұрын
Hatutaaibika mungu ni mwaminifu.. Glory🔥🔥🔥
@Elcapitano_maestro3 жыл бұрын
6:20 daaah huyu dada ana sauti... Allah amemjaalia.
@NeemaWaisumo3 ай бұрын
Ubarikiwe sana UN.Nakupenda sana kwa ajili ya Utumishi wako.Dada wa ukweli.Unayevaa vizuri .Title Vitenge. Nakukumbuka tangu ulipo solo na Yombo ule wimbo YESU YESU Anaokoa...... BWANA AENDELEE KUKUTUNZA
@upendomwampulule21843 жыл бұрын
Wajina Asante kwa faraja Mungu akutunze kwa ajili ya watu wengi
@bikyeombeasukulu14023 жыл бұрын
Wambie Mamangu uku wanajidanganya kusema Mungu ahangalii mavazi anahangalia roho😭😭😭 duuu ndio maneno ya waimbaji wakisasa kwani waimbaji wakisasa tukisimama kama uyu mama akika kuna jambo Mungu atalitenda kwetu 😭😭🙏😭😭
@sashalemmoh32645 ай бұрын
Mama yangu kipenzi nakupenda mungu akulinde mama
@linamumy73324 жыл бұрын
Dada upendo huwa unanibariki sana ktk nyimbo zako. Barikiwa sana Dada
@timothyotienoobiero10803 жыл бұрын
AMEN AMEN, mwenyezi Mungu akubariki sana mom ,,,,,, umeni bariki sana na neno nime amini MWENYEZI MUNGU atafunguwa njia zangu nipate mahali paku jenga na promotion pia nitapata ,
@elpidiusezekiel27292 жыл бұрын
Sjawahi kukutana na interview kama hii it's more than blessing 🙌💖
@annevilembwa49503 жыл бұрын
Dadawe sauti yako yaponya mioyo. Mamangu mzazi kafanyiwa opareshion 8 huwa namwona kama muujiza na hilo hunifanya niutafute uso wa Mungu sana. Naomba siku moja nikutane nawe uso kwa uso
@mizeropaccy35153 жыл бұрын
Machozi mengi, mama Mungu akubaliki sana, nakupenda ntaaka kukuwona macho Kwa macho. Nmetoka Rwanda
@othanksamuri57743 жыл бұрын
Mungu kubariki sana mom nakupendaga sana mom yangu ❤️❤️❤️🙏🙏🙏
@pendomipawa89833 жыл бұрын
Asantee sana Upendo Nkone niko katika kipindi kigumu nimetiwa moyo sanaaa na hii interview hakika nmemuona BWANA limejikuta nalia sanaa naamini MUNGU ananipitisha katika hili jaribu maana kuna mahali pema pameandaliwa kwa ajili yangu🙏
@janembula51203 жыл бұрын
Ameen,,inatia moyo sana,,b blessed mtu wa Mungu
@nickyamani74022 жыл бұрын
Mungu akupe nguvu mpya uishi miaka mingi your;; such a encouraging woman ofGod😭😭😭am a upcoming Artist and i am encouraged
@mashaurimoise50932 жыл бұрын
Ume ni himiza tena katika Imani maman nashukuru Mungu kuku tiya nguvu, kutoka Congo 🇨🇩 nazipenda nyimbo zako
@josephmulwa.92492 жыл бұрын
To many more blessings Upendo nkone.. God bless you woman of God🙏
@marthaulomi96264 жыл бұрын
Mama Mungu akubariki nimependa interview yako, hakika Mungu azidi kukuinua
@charlesedson55384 жыл бұрын
Ubarikiwe mama yng, ctokusahau kwa uimbaji wako
@bahatimgaya4045 Жыл бұрын
So wanderfully woman; nimekupenda sana kwa huduma yako; be blessed
@jonnesmutuku4203 жыл бұрын
Jina la Bwana lisifiwe. Umenitia moyo sana Mchungaji Upendo. Mungu akubariki na akuzidishie Kibali na neema
@eunicenyaboke867 ай бұрын
Amen Yupo Mungu Msemaji Wa Mwisho 🙏🙏
@user-eo1ru4tc8s17 күн бұрын
MUNGU akuinuwe zaidi kwa huduma yake ❤❤❤
@lolamhanuzi4103 жыл бұрын
Yupo Mungu msemaji wa mwisho🙏
@user-by4he4bt3u11 ай бұрын
Ubalikiwe sana mamangu Umenibaliki kabisaa
@peterrocks12313 жыл бұрын
Nabarikiwa sana kutoka Kenya Mungu akubariki sana
@getrudejordan30753 жыл бұрын
Ubarikiwe Dada angu upendo....Mungu akuinue katika viwango vya juu na vilivyo na kibali mbele za Mungu
@brysonmwakina2 жыл бұрын
😩😩😩💞 mom nakupenda sanaaaaaa
@africachannel6706 Жыл бұрын
I've been looking for this interview, be blessed woman of God
@prosperiamdetele1421 Жыл бұрын
Mungu akubaliki mamy upend ♥️♥️
@nyadwimarisienne72292 жыл бұрын
Ubarikiwe sana mama nyimbo zako zimenitowa mbari
@lydialouis168 ай бұрын
wow Mungu aendelee kumtunza kwa ajili yetu.
@graciennevutara66163 жыл бұрын
Ubarikiwe mama
@shadrackonyango7415 Жыл бұрын
Mama Mungu. Akubariki kupitia huu ujumbe nimevuka Leo nimevuka Mungu Jameni akubariki sana mama shikia hapo maana zawadi utapewa
@abduelebenezerkelakela71553 жыл бұрын
Asante sana Mama Fadhili na Zabron.. ninachoweza sema ni MUNGU akubariki sana na akunze sana..
@janetmanyansa7385 Жыл бұрын
Nimepitia majaribu mengi,lakini through Nkone Mimi niliuona mkono wa Bwana,ninapigwa vita katika familia,kutengwa nao,lakini Mungu Ni Nani through Nkone am blessed,life still continuing
@rebecakitomari35723 жыл бұрын
Mungu akuinue zaid mama nakupenda
@chepkorirvicky9983 Жыл бұрын
Nitamwabudu mungu wa upendo nkone
@anneakeyo9804 Жыл бұрын
I was hopeless but thru this song am feeling encouraged 🙏
@kaachonjo26314 күн бұрын
Kama vile nikiimba nikitoka Kwa madhabau watu wanapopinga makofi nami moyoni nasema Mungu upokee sifa..Mungu nisaidie tu
@maggiechumbaa4630Ай бұрын
Hakika Mungu ni msemaji wa mwisho
@directornyambi98882 жыл бұрын
Amen Amen interview inaishi mpaka 2021
@ellennkota65993 жыл бұрын
Upendo nkone nimerudia zaidi ya mara moja kuingalia hii interview ninavyoiangalia hii interview yako MOYO wangu unapitia wakati mgumu sana lakini kwa maombi yako nasikia Amani moyoni mwangu nasikia faraja naona mzigo umenituka,,,, MUNGU akubariki
@jamesgasper66113 жыл бұрын
Aiseee ata mimi nina wakati mgumu sana Bishala haziendi mtaji umekwisha mke wangu anaklibia kujifungua ata nyumban hela ya kula sina pamoja nakujitahid na kuhangaika sifanikiwi ila hapa nimepata moyo ....nguvu mpya ,yupo Mungu msemaji wa mwisho
@sevelinacharles81633 жыл бұрын
AMEN 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏 barikiwaa mtumishii wa Mungu
@paulbarnaba76663 жыл бұрын
interview imejaa uwepo wa Mungu
@keymjeff17263 жыл бұрын
Indeed ..I thank God it draws me closer to Him..wengine wakiacha yeah Yuko na Mimi
@saraelias78633 жыл бұрын
Mama mama mama.umenitoa machoz kwa kweli.yani nimejiona kama nimetua mzigo wangu wooote
@charlesblazio68214 жыл бұрын
Upendo nimebarikiwa Sana zidi kumtumikia Mungu mama next naomba awe angel bernard please Kaka Huruma charles
@RichMotherr2 жыл бұрын
Nakupenda sana Upendo Nkone, unafanyika baraka sana kwangu,
@catherinelugoma33923 жыл бұрын
Be blessed mom 💜💜 Mungu akutunze maneno yak yanatia moyo sana
@boscokimonyi14122 жыл бұрын
And this woman of God can preach and bless many , upendo u do inspire me alot
@labanitobkala620 Жыл бұрын
It's well Upendo Nkone
@catherinebalabala89193 жыл бұрын
Mungu akubariki sana mama kwa huduma yako,Kuna sehemu Mungu anakupeleka
@tedygodwin5431 Жыл бұрын
Ubalikiwe sana Mama
@selemaniishitobwa41402 жыл бұрын
Amen dada ubarikiwe sana tena sana.
@irenemtarambilwa8122 жыл бұрын
Utukufu kwa Bwana Unanibariki sana mama..MUNGU akutunze sana
@musaliaeugene797521 күн бұрын
😭😭😭 utabaki na Mimi yesu
@emmanuelmkony21833 жыл бұрын
Ooh God !! Toka nilivoanza kuangalia ninalia tu,Naona unaongea na Mimi kabisa...
@davidtemba48934 жыл бұрын
Nmebarikiwa sana, Kumskiliza Upendo Nkone
@simonshija2476 Жыл бұрын
upendo ni sawa na kinanda nimefanya naye kazi na Malumbu yaani ye all time kazikazi!!!!
@rebeccajohn4724 Жыл бұрын
Powerful 🙌😭umenitia moyo sana
@tumdecor83613 жыл бұрын
Maa Shaa Allah.. Interview nzuri
@rachaelkazimili40923 жыл бұрын
Sio siri nimekuwa emotional jaman
@maryimonje8283 жыл бұрын
I'm blessed
@emmanuelbernard86283 жыл бұрын
Mungu akubariki sana mama🙏🙏 Nmebarikiwa sana na kipindi
@samwelngassa49414 жыл бұрын
Haluyaa
@roselaizer68812 жыл бұрын
una sauti nzuri ubarikiwe sana!
@gastondofra45493 жыл бұрын
Unachosema ni kweli kabisa.Mungu akubariki sana mama.
@marrionmuhavi24922 жыл бұрын
Nimebarikiwa
@user-pm4vd1qv8c Жыл бұрын
Amen asante Maman😭
@naisethaadrian47772 жыл бұрын
Nimependa sana wimbo huu
@beatriceakinyiowino68603 жыл бұрын
Amen Amen am blessed
@brysonmwakina2 жыл бұрын
My mum nakupenda sana 💞💞
@monicahjames73083 жыл бұрын
I LOVE YOU WOMAN OF GOD YOU INSPIRE ME SANA❤❤❤
@vailethboniphace8933 ай бұрын
Amen Amen
@julytito38913 жыл бұрын
Hawa ndo waimbaji wanaohitajika katik kipindi hiki ,,ila huwa unanyimbo za kuponya mioyo ya watu na kuwainua ukwel nakukubali Sana mama❤️❤️❤️
@dancunmutunga57573 жыл бұрын
May God bless for good songs. For the encouragement barikiwa
@marymutisya2233 жыл бұрын
Nimetoka kenya,mama umeninguza kweli.napitia mangumu lakini naamini mungu atafanya nji
@rwandatv92343 жыл бұрын
Brown from huye Rwanda nampenda sana huyo mama 🌻
@abduelebenezerkelakela71553 жыл бұрын
Mungu akubariki sana brother Brown
@deusrutta62553 жыл бұрын
Da mungu akubarik
@brysonmwakina2 жыл бұрын
😭😭😭😭😭😭
@godwinmutuku38843 жыл бұрын
wow..... so sweet
@jeannemwajuma5273 жыл бұрын
Barikiwa maman yangu
@emanuelsmassam30073 жыл бұрын
nabarikiwa sana nawe
@sammymaina94643 жыл бұрын
Upendo nkone unatiamoyo sana
@giftzephania693 жыл бұрын
Mama wewe Ni wa aina yake nakuambiaa Mungu akutunze
@furahasanga25343 жыл бұрын
NAMPENDA HUYU DADA HATALI.
@user-lz6kh7xj2vАй бұрын
Kwa wiki naitazama mara 3
@ptf41254 жыл бұрын
Best Singer
@benicewanjiku13113 жыл бұрын
Baraka sana
@rosaneema.h76703 жыл бұрын
Amen, very powerful
@saraivonete27613 жыл бұрын
Jambo Mama Upendo. naomba uniombeye, Mungu akubariki Sana. Kwa fareja kubwa. Asante, Amena!
@vickngeno72979 ай бұрын
Hatutaabika MUNGU ni mwanaminifu
@amanimatata7891 Жыл бұрын
Amém 😭😭😭🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌
@nisetameena92764 жыл бұрын
Namwomba MUNGU anifanye kama wewe, niombee na uniachie vazi lako kwa jina la YESU niko nyumaa yako.
@jamesgasper66113 жыл бұрын
Omba Mungu akupe vazi lako kwa sababu uwezi jua vazi lake lina changamoto kiasi gani
@irenemnahi83033 жыл бұрын
Very touching
@rosengulwa94053 жыл бұрын
Amen
@janetmanyansa7385Ай бұрын
Nimeyapitia mengi,duniani unakataliwa,unasemwa uongo,unasengenywa,unatusiwa,unachekwa,mamayo ndio huyo na analia,hujui pa kwenda,uliowasaudia wakishavuka daraja kiboko ndio hiyo,furahini
@esterderiki65053 жыл бұрын
Amina
@ruthmwasomola6553 жыл бұрын
Dah inaliza iyi jaman
@cosmasmwahigaga99803 жыл бұрын
Jmn jmn uyu mama ndo muimbaji sito acha kumpenda kwakweli
@ruthmwasomola6553 жыл бұрын
Kweli Mungu diyi msemaji wamwisho
@joshuasayuni89923 жыл бұрын
umenichekesha,.. eti mpka nikishuka hapa nimepata mshika au nimepata mchongo