Wekaka nyota yako inang'aa sana ndiomaana shetan kakushindwa wemtumikie Mungu kwabidii god blees you
@gracesamson43394 жыл бұрын
MUNGU anakupenda sana mtumikie siku zote za maisha yako,Amina
@user-il1bv6vs9q4 жыл бұрын
The yoke is broken The chains are broken By the powerful mighty name Jesus Amen .
@hebronsdaughter16613 жыл бұрын
Amen
@hebronsdaughter16613 жыл бұрын
Hakika Mungu wetu hashindwi endelea kumtegemea
@dorisk38634 жыл бұрын
ananikumbusha nilikuwa nitolewe kafara, wala sikufa.. Mungu ni mkuu alinionyesha hata kabla ya yote na yaliotokea ni makubwa... na nikawa katika maombi na saa hii waliokuwa wakinitoa kafara wamekufa msururu maana Mungu wangu ni moto hulao.. Ni ujisalimishe ama uangamie.
@betweljackson97704 жыл бұрын
Mungu akamwambia yule tajiri, hata wakiletewa akina Eliya watasema ni mizuka, huko duniani kuna manabii na mitume wawasikilize hao, NAONA WENGI WAKIKEJELI, MUNGU AWASAIDIE
@adamfundikira80633 жыл бұрын
Ni kweli Mimi mwenyewe Nina kitabu changu kinaitwa wengi watatamani kuingia lakini hawataweza ni ushuhuda wa kweli
@mercynjeri65814 жыл бұрын
Na watch from Kenya show iko poa
@florencemueni11832 жыл бұрын
God bless u....mambo haya yanafunua akili na kufungua watu macho kweli life is spiritual
@josephinewluis88714 жыл бұрын
I waited and waited for this episode..God bless🙏
@titinmbega41284 жыл бұрын
Mungu akubariki Mtumishi Kwa kutuletea ushuhuda huu
@reenyaysher76394 жыл бұрын
Pole sana mdogo wangu... sasa uokoke kikweli kweli
@maryammaryam57894 жыл бұрын
Pole kaka yng mungu a endelea kukupa nguvu anakupenda part 3 jacktan tunaomba
@protassilayo4200 Жыл бұрын
Ukweli mtupu sometimes watu wanahudumiwa na majini hospitalini bila kujua kwahyo ni kujifunika Kwa damu ya Yesu Kristo Mwana wa Mungu aliyehai Kila ufanyacho na uendapo.
@masogangemasogange78354 жыл бұрын
Good job my brother :may the might God bless you 'we love u .
@user-il1bv6vs9q4 жыл бұрын
I plead the blood of Jesus on u Spiritually and physical in Jesus mighty name Amen . Be delivered from ur past expirance in Jesus mighty name Amen Blood of Jesus Blood of Jesus Blood Jesus
@sarahogama95404 жыл бұрын
Yaani nashangaa kuna mtu bado anapinga hii story ya kichawi na niukweli kabisa Tanzania uchawi ndio ngome yao,,,,,tena hao wanaopinga bado niwatanzania tu ,,,badala ya kumuombea mwenzenu Mungu amlinde nyie mnadaisha ety ni habari ya kutungwa ,,washenzi kabisa !!!!
@cupcakesanddounuts65554 жыл бұрын
Yesu ni Bwana wa mabwana mfalme wa wafalme
@issachege5606 Жыл бұрын
Love promover tv educating people 😍
@mtumishiDanny4 жыл бұрын
Ushuhuda mzito asante Jaktan
@tymlesshodari10104 жыл бұрын
Istanbul is in Turkey waaa God is great
@mwananyamalaz44272 жыл бұрын
Amen God bless U brother nothing is impossible to God 🙏 from Australia 2021 god 🙏
@ngassajuliusmussachallya90344 жыл бұрын
Nimepata kitu hapo Ubarikiwe
@samsonnzisabira7684 жыл бұрын
Kaka Jacktan,tupe part3 tunaisubiri kwa hamu!!
@mohbear56544 жыл бұрын
Talented story teller
@mariamfritsi97614 жыл бұрын
Shukran
@deelissa27464 жыл бұрын
Kwenye chakula hapo ndio wamenishinda tabia majini kumbe nao wanakula binabam mmmh dah
@upendoamos51944 жыл бұрын
Usimwache Yesu ndugu angu
@chumachadollar59174 жыл бұрын
Duh inatisha kweli kweli🙆♀️
@Mika-hu1yr2 жыл бұрын
Huu ushuhuda una maswali mbona, ila sijasema sio wa kweli
@mussamabruki20724 жыл бұрын
Very interesting indeed
@benjaminernest85934 жыл бұрын
Pole sana!
@isayanyingi66222 жыл бұрын
Ushuhuda wa Pastor Amiel katekela unaendelea?
@PromovertvTz2 жыл бұрын
Ndio
@fadhilngimilanga18284 жыл бұрын
Hiyo lugha mbona kama kichina
@rashidalshaid4454 жыл бұрын
Unanikumbusha hadithi za alfu lele ulela.
@sarahogama95404 жыл бұрын
Yaani uaribu bundles zako kuja kucoment mavi hapa koz mnajijua hizo ndio tabia za kwenu heee!!!,, Yesu ni dawa ndugu upo!!!!
@jennjaja15864 жыл бұрын
Wow first time watching it live
@carolinekagwiria84474 жыл бұрын
Hiyio sio kichina jamen
@kimcash30792 жыл бұрын
Barikiwa
@fatumamohamed82034 жыл бұрын
URONGO + UKWELI NI DHAMBI
@mackynicky58324 жыл бұрын
Duuuu! Hiyo team Jesus😋😋😋
@fei36684 жыл бұрын
tunashukuru kwa simulizi ila leo ndugu jackatn tumeonaa😂
@euniceeunice76804 жыл бұрын
Kwakweli tumeona😀😀😀😀😀😀😀😀
@achsahcharles67284 жыл бұрын
😂😂mmeona nini na mimi nione
@monicayohana5937 Жыл бұрын
Nyinyi watu mna tudanya instar mbu nimjimkuu wa uturuki sàsa acheni uongo
@aishasalum29634 жыл бұрын
Pole sana
@reenyaysher76394 жыл бұрын
Hii lugha ni ya kichina
@sarahogama95404 жыл бұрын
Very very sad Hadi naogopa watanzania sasa ,,,uchawi tu ndio umetawala heeeeee!!!!!
@manfredherman28984 жыл бұрын
Tunashukulu kwa simuliz kipande cha tatu ni baada ya mda gan
@abcdg19953 жыл бұрын
New Subbed
@kallyleenmaina66924 жыл бұрын
Ooh Jesus christ have mercy
@yushuaissa4673 жыл бұрын
Nina swali. Mbona hizi mauzauza hazi fanyiki Nairobi - Kenya?🤨
@magnusmichael70523 жыл бұрын
Kwa sababu hujui yanayofanyika
@paskalimoshi73644 жыл бұрын
mmm
@Mpakauseme3 жыл бұрын
Uliondolewa kumbukumbu sasa je inakuajekuaje tena unaweza kuelezea mambo yote yaliyo patakutokea baada ya kutolewa kumbukumbu
@stellamtenga244 жыл бұрын
Naomba kumuliza huyu kijana, je hivi ni kweli kuna majini wazuri wasio zuru na wabaya wanao zuru? Asante
@truth77963 жыл бұрын
Majini wote ni familia na watumwa wa Shetani,
@alicekarimi61684 жыл бұрын
Jesus christ only savior and lord.
@muaminhakizimana16714 жыл бұрын
Pt 3 plz
@fatumamohamed82034 жыл бұрын
Wewe umesema watu wa huko walikua weupe kama Waarabu,, Mbona Unasema waliongea Kinyamwezi? 🙄🤔🤔
@lauraclara87164 жыл бұрын
Yeye ndo alibadilishwa but c watu wote
@lauraclara87164 жыл бұрын
Yeye ndo alibadilishwa but c watu wote
@lissapoul52274 жыл бұрын
Kwani haujui kuna waharabu wa Tabora
@achsahcharles67284 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂🤭
@sarahogama95404 жыл бұрын
Samahani dada labda nikumbushe tu shetani ana njia nyingi za kujibadilisha kma vile tu majini hujigeuza na kuwa maruhani kwenu nyie waislamu
@ednamaggy61884 жыл бұрын
Nawatch kutoka dubai
@tantinemwemendi87903 жыл бұрын
Dunia inamengi kweli
@mussaabobakar75374 жыл бұрын
Ww bado hujapelekwa kuzim ss hasaiv ukirud ndoutapelekwa kwel
@fredrickaman42894 жыл бұрын
😪😪😪
@BerylSeer14 жыл бұрын
Aiii Weee unaongea mambo mingi nkt....... Muache aendelee unaboo nkt
@aonicamligo95314 жыл бұрын
Muendelezo
@gasperjohnson33884 жыл бұрын
Mh hatari
@mabulamasunga73784 жыл бұрын
Ana mpango gani Hadi sasa Nasibu kufufua kesi yake ya madai ?
@dotosalim50904 жыл бұрын
Ataogopa kaka
@Fm-MornStar20144 жыл бұрын
Na wewe umeamini ni kweli?
@Fm-MornStar20144 жыл бұрын
Waafrika bhana! Kwa kuamini vitu bila kuvichanganua na kuhoji ukweli, hamjambo. Kwenye Komenti naona wengi mmeamini ni hadithi ya kweli. Ukimfanyia utafiti na kufuatilia historia yake huyu utagundua uwongo wote tu. Aidha ukimwambia arudie hio stori atairudia kwa kusahau baadhi ya vipengele. Jiulizeni kwanini hizi stori hazipo kwa wazungu, au hata huku kwetu, zipo kwa baadhi ya watu na makabila, kwani nyama zao ndio msosi wa majini na wachawi? N-way, I've enjoyed the narration. Thanks bro.
@kikimshanga41814 жыл бұрын
FM Morn Star acha unafiki.
@hebronsdaughter16613 жыл бұрын
Ni vyenye hayajawai kutokea so mshukuru Mungu na usiombe kukutana hata na jini
@emmanuelonesmo48853 жыл бұрын
Shetani kaingia ndani yako sasa anataka kutupotosha tusiamini... We now know you dimon very well.. We are no longer slave to any system that your planing to do to human beings... We are not a🔋🔋to gave energy to you dimons
@happyperson30163 жыл бұрын
Ni ya uwongo kaka nilitafuta huyo Mchungaji aliyedai alimuombea baada ya kuskiza hii story kumbe ni tapeli tuu..watu waache kumchezea mola
@graceshayo13472 жыл бұрын
@@happyperson3016 sas atapeli nn Kwan anaposimulia unampa hela achen ujinga kma hutaki kusikiliz Kwan umelazimishwa kusikiliza
@betweljackson97704 жыл бұрын
Mungu akamwambia yule tajiri, hata wakiletewa akina Eliya watasema ni mizuka, huko duniani kuna manabii na mitume wawasikilize hao, NAONA WENGI WAKIKEJELI, MUNGU AWASAIDIE