PART1:KIJANA ANAYEISHI NA JINI MWILINI/NINAWEZA KUJUA MAMBO YA KESHO/KIUMBE CHA AJABU KINANITOKEA

  Рет қаралды 6,276

Davistar Mata Media

Davistar Mata Media

Күн бұрын

Пікірлер: 51
@athumanmakale8221
@athumanmakale8221 3 жыл бұрын
Tunapenda story nzuri nzuri kupitia kwenu Davista 👏👏👏😀
@ayshamahariq6665
@ayshamahariq6665 3 жыл бұрын
😀😀🤝🤝
@mikarubisha3331
@mikarubisha3331 3 жыл бұрын
Salute sana Mr captain...nakubaliii sana story za Hawa viumbe...pole sana kwa mkasa huo.all the way from kush land 👍
@mohammedkhamisi2237
@mohammedkhamisi2237 3 жыл бұрын
Safi sna shaby ufike na pemba mastory kama yote nyumbani
@OmanCom-ky8tn
@OmanCom-ky8tn 3 жыл бұрын
Pole sana kk allah atakulinda
@suleimaniyasri2166
@suleimaniyasri2166 3 жыл бұрын
Utaponaaa inshaaalaaaaaaaaaah
@sapnaabdallah1084
@sapnaabdallah1084 3 жыл бұрын
Hatarii
@jeanbb1385
@jeanbb1385 3 жыл бұрын
🤔🤔🤔🤔🤔
@tiffaommy846
@tiffaommy846 3 жыл бұрын
💃🏼
@beautyshine935
@beautyshine935 3 жыл бұрын
Salute kaka golden boy 🇰🇪 🇰🇪 dada
@fatmamucha4419
@fatmamucha4419 3 жыл бұрын
Pamoja Sana Mr Sheby Alaw
@ayshamahariq6665
@ayshamahariq6665 3 жыл бұрын
sana
@abdulrahmanhassan9254
@abdulrahmanhassan9254 3 жыл бұрын
Nikweli kabisa mwenyezi mungu ameumba binadamu na majini bali kiumbe akiasi ndio anaitwa shetani
@abdulrahmanhassan9254
@abdulrahmanhassan9254 3 жыл бұрын
@Mrs Inziani sikatai na unacho kuamini, ila majini wazuri wapo ukiamua kujifunza utaelewa, wanamuabudu mungu kama vile sisi binadamu wapo kila mathehebu wapo waskisto wapo waisilamu... wapo walevi, wazizi, wezi, waganga wa hospital wajadi, yaani kama vile binadamu nawao watawala zao. Tafuta maarifa kwa wenye maarifa utaelewa tuu
@abdallahrenatus524
@abdallahrenatus524 2 жыл бұрын
Hapana. Sio kwel
@ayshamahariq6665
@ayshamahariq6665 3 жыл бұрын
pole bro wngu Allah akufanyie wepes🙏🙏🇪🇭🇪🇭
@fundiali4535
@fundiali4535 3 жыл бұрын
Aysha
@ayshamahariq6665
@ayshamahariq6665 3 жыл бұрын
@@fundiali4535 Naam wngu
@ayshamahariq6665
@ayshamahariq6665 3 жыл бұрын
@@fundiali4535 Za maxku?????
@djmtengwatz1099
@djmtengwatz1099 3 жыл бұрын
Twende Kazi...
@margaretachieng9887
@margaretachieng9887 3 жыл бұрын
Number 3
@zachariafilberty2209
@zachariafilberty2209 3 жыл бұрын
Story ya Moto kweli yaani duu!
@margaretachieng9887
@margaretachieng9887 3 жыл бұрын
@@zachariafilberty2209 kwali
@margaretachieng9887
@margaretachieng9887 3 жыл бұрын
Mungu aku saidiye 🙏
@bakari-si1pw
@bakari-si1pw 3 жыл бұрын
Ngoja tusikie kwanza 👂
@sophiasanga5218
@sophiasanga5218 3 жыл бұрын
Pole kaka tumia msipo na maji ya madafu Allah atakupa nafuu inshaallah
@somoeawadh7774
@somoeawadh7774 3 жыл бұрын
🙇🙇🙇
@ayshamahariq6665
@ayshamahariq6665 3 жыл бұрын
🤗🤗
@macamezunguzungu5697
@macamezunguzungu5697 3 жыл бұрын
N5 bora pamoja saana sheby 💪
@thb9561
@thb9561 3 жыл бұрын
Kwenye AT hapo mzee baba umeachwa nazan bado ujamjuwa kama ni yule wa mama nitilie au ni yup naona umekubali yaishe tu 😂😂
@thumnathumna5946
@thumnathumna5946 3 жыл бұрын
Tumevuka maji sasa💪💪💪💪
@ummusulaish5586
@ummusulaish5586 3 жыл бұрын
Pamoja sana bro
@jotafungo4622
@jotafungo4622 3 жыл бұрын
Sawa
@dikodixson22
@dikodixson22 3 жыл бұрын
Naipenda sana Zanzibar
@suleimani6212
@suleimani6212 3 жыл бұрын
Ndio hom?
@amriyalibent8441
@amriyalibent8441 3 жыл бұрын
Zanzibar mashetani ndo yalipo zaliwa r na hapo yapo tele
@susans4490
@susans4490 3 жыл бұрын
😳🙄
@Tuilumba
@Tuilumba 3 жыл бұрын
Naona tangazo la DSTV hapo
@upendoluv7197
@upendoluv7197 3 жыл бұрын
Huko zanz c ndio wamejaa Majini hatar
@benjaminkiteleke8458
@benjaminkiteleke8458 3 жыл бұрын
Majini wapo kila sehemu, hasa jirani na maji/bahari
@makame3524
@makame3524 3 жыл бұрын
Shida ya cc binadam tunapenda kuongelea vitu tusivyovifaham.....majini wapo kila sehem
@tututz100
@tututz100 3 жыл бұрын
NAIJUA KESHO
@shenjamamzingi7950
@shenjamamzingi7950 3 жыл бұрын
USHIRIKINA UMETAWALA MPAKA WATU HAWAOGOPI TENA KUSEMA 'WANAIJUA KESHO'
@yusuphkevini8266
@yusuphkevini8266 3 жыл бұрын
Kiushauli umtakiwa kuwaoji watu ambao wanajua kuongelea story vizur
@bintalmasi2393
@bintalmasi2393 3 жыл бұрын
Watu wana maumbile tofauti tunajifunza pia kuwaelewa watu wasiojua kujielezea vizuri pia.
@johalisemalima6979
@johalisemalima6979 3 жыл бұрын
Unajua huwa nacheka vipi??? Mtu anakwambia vitendo vya kishetani.... vitendo vya kiucha MUNGU... kwahiyo kama hakuna shetani mwenyewe hivyo vitendo vya kishetani vinatoka wapi???? Haya tuseme na vitendo vya kiucha MUNGU.... MUNGU pia ni sifa.... hata mtu anaweza... kuwa MUNGU???? Watu tumekwama wapi????
@oscarkibate1913
@oscarkibate1913 3 жыл бұрын
Inasikitisha Leo mtu anawezakujua kwamba anamjua MUNGU lakini ufahamu ukawa potofu au uzembe wa kujifunza. Hiyo siku maajabu tutayaona kweli ila MUNGU atusamehe.
@johalisemalima6979
@johalisemalima6979 3 жыл бұрын
@@oscarkibate1913 mie nilisha sema nikachoka eti hakuna shetani..ni sifa....
@mozuusuleiman4702
@mozuusuleiman4702 3 жыл бұрын
Allah kasema wamakhalaktul jin wal ins ila liyaabudun. Tafsiri ni kua nimeimba Majini na Watu ili wapate waniabidu. So Majini wamegawika wema na wabaya. Na watu pia wema na wabaya. ukiwa na vitendo vibaya vya utakua shetwani jini wa kishetani wapo na mashetani watu wapo
@oscarkibate1913
@oscarkibate1913 3 жыл бұрын
Hakuna Shwaitan? 🤣🤣🤣🤣
БАБУШКА ШАРИТ #shorts
0:16
Паша Осадчий
Рет қаралды 4,1 МЛН
How to have fun with a child 🤣 Food wrap frame! #shorts
0:21
BadaBOOM!
Рет қаралды 17 МЛН
BIASHARA ZINAZOTENGENEZA MATAJIRI WENGI
12:39
Kelvin Kibenje
Рет қаралды 103 М.
БАБУШКА ШАРИТ #shorts
0:16
Паша Осадчий
Рет қаралды 4,1 МЛН