Tunapenda story nzuri nzuri kupitia kwenu Davista 👏👏👏😀
@ayshamahariq66653 жыл бұрын
😀😀🤝🤝
@mikarubisha33313 жыл бұрын
Salute sana Mr captain...nakubaliii sana story za Hawa viumbe...pole sana kwa mkasa huo.all the way from kush land 👍
@mohammedkhamisi22373 жыл бұрын
Safi sna shaby ufike na pemba mastory kama yote nyumbani
@OmanCom-ky8tn3 жыл бұрын
Pole sana kk allah atakulinda
@suleimaniyasri21663 жыл бұрын
Utaponaaa inshaaalaaaaaaaaaah
@sapnaabdallah10843 жыл бұрын
Hatarii
@jeanbb13853 жыл бұрын
🤔🤔🤔🤔🤔
@tiffaommy8463 жыл бұрын
💃🏼
@beautyshine9353 жыл бұрын
Salute kaka golden boy 🇰🇪 🇰🇪 dada
@fatmamucha44193 жыл бұрын
Pamoja Sana Mr Sheby Alaw
@ayshamahariq66653 жыл бұрын
sana
@abdulrahmanhassan92543 жыл бұрын
Nikweli kabisa mwenyezi mungu ameumba binadamu na majini bali kiumbe akiasi ndio anaitwa shetani
@abdulrahmanhassan92543 жыл бұрын
@Mrs Inziani sikatai na unacho kuamini, ila majini wazuri wapo ukiamua kujifunza utaelewa, wanamuabudu mungu kama vile sisi binadamu wapo kila mathehebu wapo waskisto wapo waisilamu... wapo walevi, wazizi, wezi, waganga wa hospital wajadi, yaani kama vile binadamu nawao watawala zao. Tafuta maarifa kwa wenye maarifa utaelewa tuu
@abdallahrenatus5242 жыл бұрын
Hapana. Sio kwel
@ayshamahariq66653 жыл бұрын
pole bro wngu Allah akufanyie wepes🙏🙏🇪🇭🇪🇭
@fundiali45353 жыл бұрын
Aysha
@ayshamahariq66653 жыл бұрын
@@fundiali4535 Naam wngu
@ayshamahariq66653 жыл бұрын
@@fundiali4535 Za maxku?????
@djmtengwatz10993 жыл бұрын
Twende Kazi...
@margaretachieng98873 жыл бұрын
Number 3
@zachariafilberty22093 жыл бұрын
Story ya Moto kweli yaani duu!
@margaretachieng98873 жыл бұрын
@@zachariafilberty2209 kwali
@margaretachieng98873 жыл бұрын
Mungu aku saidiye 🙏
@bakari-si1pw3 жыл бұрын
Ngoja tusikie kwanza 👂
@sophiasanga52183 жыл бұрын
Pole kaka tumia msipo na maji ya madafu Allah atakupa nafuu inshaallah
@somoeawadh77743 жыл бұрын
🙇🙇🙇
@ayshamahariq66653 жыл бұрын
🤗🤗
@macamezunguzungu56973 жыл бұрын
N5 bora pamoja saana sheby 💪
@thb95613 жыл бұрын
Kwenye AT hapo mzee baba umeachwa nazan bado ujamjuwa kama ni yule wa mama nitilie au ni yup naona umekubali yaishe tu 😂😂
@thumnathumna59463 жыл бұрын
Tumevuka maji sasa💪💪💪💪
@ummusulaish55863 жыл бұрын
Pamoja sana bro
@jotafungo46223 жыл бұрын
Sawa
@dikodixson223 жыл бұрын
Naipenda sana Zanzibar
@suleimani62123 жыл бұрын
Ndio hom?
@amriyalibent84413 жыл бұрын
Zanzibar mashetani ndo yalipo zaliwa r na hapo yapo tele
@susans44903 жыл бұрын
😳🙄
@Tuilumba3 жыл бұрын
Naona tangazo la DSTV hapo
@upendoluv71973 жыл бұрын
Huko zanz c ndio wamejaa Majini hatar
@benjaminkiteleke84583 жыл бұрын
Majini wapo kila sehemu, hasa jirani na maji/bahari
@makame35243 жыл бұрын
Shida ya cc binadam tunapenda kuongelea vitu tusivyovifaham.....majini wapo kila sehem
@tututz1003 жыл бұрын
NAIJUA KESHO
@shenjamamzingi79503 жыл бұрын
USHIRIKINA UMETAWALA MPAKA WATU HAWAOGOPI TENA KUSEMA 'WANAIJUA KESHO'
@yusuphkevini82663 жыл бұрын
Kiushauli umtakiwa kuwaoji watu ambao wanajua kuongelea story vizur
@bintalmasi23933 жыл бұрын
Watu wana maumbile tofauti tunajifunza pia kuwaelewa watu wasiojua kujielezea vizuri pia.
@johalisemalima69793 жыл бұрын
Unajua huwa nacheka vipi??? Mtu anakwambia vitendo vya kishetani.... vitendo vya kiucha MUNGU... kwahiyo kama hakuna shetani mwenyewe hivyo vitendo vya kishetani vinatoka wapi???? Haya tuseme na vitendo vya kiucha MUNGU.... MUNGU pia ni sifa.... hata mtu anaweza... kuwa MUNGU???? Watu tumekwama wapi????
@oscarkibate19133 жыл бұрын
Inasikitisha Leo mtu anawezakujua kwamba anamjua MUNGU lakini ufahamu ukawa potofu au uzembe wa kujifunza. Hiyo siku maajabu tutayaona kweli ila MUNGU atusamehe.
@johalisemalima69793 жыл бұрын
@@oscarkibate1913 mie nilisha sema nikachoka eti hakuna shetani..ni sifa....
@mozuusuleiman47023 жыл бұрын
Allah kasema wamakhalaktul jin wal ins ila liyaabudun. Tafsiri ni kua nimeimba Majini na Watu ili wapate waniabidu. So Majini wamegawika wema na wabaya. Na watu pia wema na wabaya. ukiwa na vitendo vibaya vya utakua shetwani jini wa kishetani wapo na mashetani watu wapo