KIDONO: DAWA YA KUZUIA RISASI/MASHARTI MAZITO/MGANGA ASIMULIA/INATISHA

  Рет қаралды 9,678

Dar24 Media

Dar24 Media

Күн бұрын

Пікірлер: 44
@user-jw6uz5oj6h
@user-jw6uz5oj6h 2 ай бұрын
Nipo Congo 🇨🇩 jamaha anasema kweli kbs
@UzalendoNaUtu
@UzalendoNaUtu 11 күн бұрын
Labda hiyo bastola nisiwe nimeishika mimi 😂😂😂
@UzalendoNaUtu
@UzalendoNaUtu 11 күн бұрын
So Kisamvu kinaua nguvu za uchawi?
@malonemalone1067
@malonemalone1067 3 жыл бұрын
Hee bwana nataka kidono 😂💪🏿
@bahatywasofia4155
@bahatywasofia4155 3 жыл бұрын
Nenda kigoma uvinza mlela kazuramimba uvinza wapo wengi wana juwa hizo ngoma
@mariamwakabuta1034
@mariamwakabuta1034 2 жыл бұрын
@@bahatywasofia4155 mambo dear hapo ulipo elekeza ni kigoma mjini?
@fatumaaugustine4441
@fatumaaugustine4441 2 жыл бұрын
@@bahatywasofia4155 namba dear
@jumongjr5837
@jumongjr5837 3 жыл бұрын
1st #Comment 🖐
@abdulbaki3128
@abdulbaki3128 3 жыл бұрын
Huoni ni uchawi ni
@boazyephrahim8991
@boazyephrahim8991 3 жыл бұрын
kwel kbs
@WekoWeko-v6v
@WekoWeko-v6v 8 ай бұрын
Nataka kidono
@kennedyodera7555
@kennedyodera7555 Жыл бұрын
Mimi nataka kidono nko kenya ntai pata vipi
@SaidJuma-xb9nz
@SaidJuma-xb9nz 5 ай бұрын
nitafute
@ErnestKosima
@ErnestKosima 2 ай бұрын
Mushikaji inaonekana yukonacho hayo yte nisahihi
@hajiabdalla5772
@hajiabdalla5772 2 жыл бұрын
Ungemjaribu kumtwanga jiwe la komo ingekuwaje ili tuwsmini
@shahaduhamis9040
@shahaduhamis9040 3 жыл бұрын
Kweli kbs
@mauwa4394
@mauwa4394 Жыл бұрын
2 no
@jumahalifa6436
@jumahalifa6436 10 ай бұрын
Toa nambazake
@swaleheally8134
@swaleheally8134 3 жыл бұрын
Hiyo nikweli kabisa ipo
@hishamally4846
@hishamally4846 3 жыл бұрын
We mzee wacha chai
@tahirnephessalum3678
@tahirnephessalum3678 Жыл бұрын
kidono ipo kweli kigoma
@starlily07
@starlily07 2 ай бұрын
Kwa watu wa kigoma tunamuelewa sana huyu jamaa, mambo ya vidono yapo kigoma, ni kweli kabisa mi nakumbuka tulipo kuwa tunasoma shule ya msingi kigoma kuna Watu walikuwa wanachanjwa vidono akichapwa na mwalimu wala hajigusi anapopigwa yani anasimama mwalimu anachapa fimbo zake hadi anamaliza 😂😂 na tulikuwa tunawajua kabisa wanafunzi waliokuwa na vidono, da nimekumbuka mbali sana😂😂
@domykimata5768
@domykimata5768 Жыл бұрын
Kwahiyo ata Mtoa roho akija awezi kufanikiwa kuitoa roho yako sababu unacho kidono 😂
@UzalendoNaUtu
@UzalendoNaUtu 11 күн бұрын
😂😂😂
@user-wg2cn1cd8h
@user-wg2cn1cd8h 7 ай бұрын
Abuu
@nahishakiyeassuman5541
@nahishakiyeassuman5541 3 жыл бұрын
Brother tuletee story za mabaria bwna ani
@kilogreekachananawatuwasio4054
@kilogreekachananawatuwasio4054 Жыл бұрын
Mbona bunduki Akua???, 🇹🇿🇬🇷
@suzanamwangingo2995
@suzanamwangingo2995 Жыл бұрын
Mbna wewe mtangazaji namba zao mbona hutangazi
@antidiusegbert5562
@antidiusegbert5562 Жыл бұрын
Toa ujinga hapa 😅
@nkulikandusi5282
@nkulikandusi5282 2 жыл бұрын
Ipo kigoma hiyo
@chrispinkakwaya6216
@chrispinkakwaya6216 Жыл бұрын
Kuna jambazi furani alikuwa sumbawanga miaka ya 2007 alikuwa anaitwa Sei Sei huyo jamaa alikuwa ni hatari nahis alikuwa anatumia hizo dawa alikuwa anakamatwa anapigwa unasema amekufa baada ya siku 3 anarudi Mtaani polisi nimewai shughudia Kwa macho yangu polis wanakimbia jamaa Yuko Pekeyake
@abdulkadirhaji1098
@abdulkadirhaji1098 10 ай бұрын
UNGEMJARIBU NA PANGA
@adamally6
@adamally6 2 жыл бұрын
kachukue kidono hlf uje hpa tukushughulikie
@jumaissa90
@jumaissa90 Жыл бұрын
unaongea tu hivi unadhani ule mzuka ukipanda kuna mtu atakaa eneo la tukio, haha haha hiyo kitu sio poaaa
@maxcharles5436
@maxcharles5436 Жыл бұрын
we danganywa tu haipo hiyo ss wauko uko
@SalumuSalehe-om8zh
@SalumuSalehe-om8zh 4 ай бұрын
Kigoma ipo kweli
@morrisonvictor4704
@morrisonvictor4704 2 жыл бұрын
Vipi mtu akipata ajali ya gari, bodaboda anadhurika?
@yahyahamad1802
@yahyahamad1802 3 жыл бұрын
Uongo tu hamna lolote
@simonjustin5921
@simonjustin5921 3 жыл бұрын
Nenda kigoma ndgu yangu hawa watu hawafai kabsa,ata km kwa hii ni uongo lkn hawa jamaa ni hawafai,me nlijionea mambo mengi ya tofaut na ya ajabu.lkn kwa huyu jamaa ni km anasimulia tyu ili kujuza watu kuwa haya mambo yapo lkn yeye km yeye czan km anaweza hayo mambo,yan ni km kavaa Uhusika tyu
@yahyahamad1802
@yahyahamad1802 3 жыл бұрын
@@simonjustin5921 oh kweli ndugu yangu? Mbona kila siku majambazi wanakufa kwa kupigwa risasi mbona hawaendi uko hahaha
@andersonsadock1573
@andersonsadock1573 3 жыл бұрын
Hio kwel kabisa
@hamidaala2832
@hamidaala2832 2 жыл бұрын
HuongoJameni.
@husenirashidi9757
@husenirashidi9757 2 жыл бұрын
Nataka kidono
@husenirashidi9067
@husenirashidi9067 2 жыл бұрын
ninacho
Matangazo ya Dira ya Dunia TV Alhamisi 15/08/2024
28:17
BBC News Swahili
Рет қаралды 21 М.
小丑在游泳池做什么#short #angel #clown
00:13
Super Beauty team
Рет қаралды 37 МЛН
А ВЫ ЛЮБИТЕ ШКОЛУ?? #shorts
00:20
Паша Осадчий
Рет қаралды 6 МЛН
POLISI DSM YAWANASA WAUZAJI WA DAWA ZA KULEVYA DSM
9:55
Millard Ayo
Рет қаралды 128 М.
BODABODA:UCHAWI UPO/NILINUSURIKA KUFANYWA KAFARA/MSITU WA AJABU.
20:21
Grey Hair Reversing Within Three Weeks Debunked | Lucy |
12:07
LUCY Malayalam
Рет қаралды 28 М.
Quiet Night: Deep Sleep Music with Black Screen - Fall Asleep with Ambient Music
3:05:46