Nenda kigoma uvinza mlela kazuramimba uvinza wapo wengi wana juwa hizo ngoma
@mariamwakabuta10342 жыл бұрын
@@bahatywasofia4155 mambo dear hapo ulipo elekeza ni kigoma mjini?
@fatumaaugustine44412 жыл бұрын
@@bahatywasofia4155 namba dear
@jumongjr58373 жыл бұрын
1st #Comment 🖐
@abdulbaki31283 жыл бұрын
Huoni ni uchawi ni
@boazyephrahim89913 жыл бұрын
kwel kbs
@WekoWeko-v6v8 ай бұрын
Nataka kidono
@kennedyodera7555 Жыл бұрын
Mimi nataka kidono nko kenya ntai pata vipi
@SaidJuma-xb9nz5 ай бұрын
nitafute
@ErnestKosima2 ай бұрын
Mushikaji inaonekana yukonacho hayo yte nisahihi
@hajiabdalla57722 жыл бұрын
Ungemjaribu kumtwanga jiwe la komo ingekuwaje ili tuwsmini
@shahaduhamis90403 жыл бұрын
Kweli kbs
@mauwa4394 Жыл бұрын
2 no
@jumahalifa643610 ай бұрын
Toa nambazake
@swaleheally81343 жыл бұрын
Hiyo nikweli kabisa ipo
@hishamally48463 жыл бұрын
We mzee wacha chai
@tahirnephessalum3678 Жыл бұрын
kidono ipo kweli kigoma
@starlily072 ай бұрын
Kwa watu wa kigoma tunamuelewa sana huyu jamaa, mambo ya vidono yapo kigoma, ni kweli kabisa mi nakumbuka tulipo kuwa tunasoma shule ya msingi kigoma kuna Watu walikuwa wanachanjwa vidono akichapwa na mwalimu wala hajigusi anapopigwa yani anasimama mwalimu anachapa fimbo zake hadi anamaliza 😂😂 na tulikuwa tunawajua kabisa wanafunzi waliokuwa na vidono, da nimekumbuka mbali sana😂😂
@domykimata5768 Жыл бұрын
Kwahiyo ata Mtoa roho akija awezi kufanikiwa kuitoa roho yako sababu unacho kidono 😂
@UzalendoNaUtu11 күн бұрын
😂😂😂
@user-wg2cn1cd8h7 ай бұрын
Abuu
@nahishakiyeassuman55413 жыл бұрын
Brother tuletee story za mabaria bwna ani
@kilogreekachananawatuwasio4054 Жыл бұрын
Mbona bunduki Akua???, 🇹🇿🇬🇷
@suzanamwangingo2995 Жыл бұрын
Mbna wewe mtangazaji namba zao mbona hutangazi
@antidiusegbert5562 Жыл бұрын
Toa ujinga hapa 😅
@nkulikandusi52822 жыл бұрын
Ipo kigoma hiyo
@chrispinkakwaya6216 Жыл бұрын
Kuna jambazi furani alikuwa sumbawanga miaka ya 2007 alikuwa anaitwa Sei Sei huyo jamaa alikuwa ni hatari nahis alikuwa anatumia hizo dawa alikuwa anakamatwa anapigwa unasema amekufa baada ya siku 3 anarudi Mtaani polisi nimewai shughudia Kwa macho yangu polis wanakimbia jamaa Yuko Pekeyake
@abdulkadirhaji109810 ай бұрын
UNGEMJARIBU NA PANGA
@adamally62 жыл бұрын
kachukue kidono hlf uje hpa tukushughulikie
@jumaissa90 Жыл бұрын
unaongea tu hivi unadhani ule mzuka ukipanda kuna mtu atakaa eneo la tukio, haha haha hiyo kitu sio poaaa
@maxcharles5436 Жыл бұрын
we danganywa tu haipo hiyo ss wauko uko
@SalumuSalehe-om8zh4 ай бұрын
Kigoma ipo kweli
@morrisonvictor47042 жыл бұрын
Vipi mtu akipata ajali ya gari, bodaboda anadhurika?
@yahyahamad18023 жыл бұрын
Uongo tu hamna lolote
@simonjustin59213 жыл бұрын
Nenda kigoma ndgu yangu hawa watu hawafai kabsa,ata km kwa hii ni uongo lkn hawa jamaa ni hawafai,me nlijionea mambo mengi ya tofaut na ya ajabu.lkn kwa huyu jamaa ni km anasimulia tyu ili kujuza watu kuwa haya mambo yapo lkn yeye km yeye czan km anaweza hayo mambo,yan ni km kavaa Uhusika tyu
@yahyahamad18023 жыл бұрын
@@simonjustin5921 oh kweli ndugu yangu? Mbona kila siku majambazi wanakufa kwa kupigwa risasi mbona hawaendi uko hahaha