PART1:Ndoa Yaharibika Kanisani Baada Ya Mume Kufumaniwa Na Mkewe Akitaka Kuoa Mke Mwengine Kwa Siri

  Рет қаралды 745,928

Afrimax Swahili

Afrimax Swahili

Күн бұрын

Пікірлер: 413
@rosemichael5268
@rosemichael5268 8 ай бұрын
Asante mchungaji napendekeza afungwe miezi 6
@evancymassawekenya7521
@evancymassawekenya7521 8 ай бұрын
Pole sister Mungu Yuko nawe awezi kuacha
@HamisMghuna-fj3vz
@HamisMghuna-fj3vz 8 ай бұрын
Hivo vimapacha mashaaalah,vtakua, lailahailalah,aoe wote, watoto watamlaani,
@HappynessLombo
@HappynessLombo 3 ай бұрын
Pole sana dada wanaume wanaroho mbaya sana
@FatumaBakari-c3l
@FatumaBakari-c3l Ай бұрын
Pole sna mama yafika wanawake
@MonicaNkindikwa
@MonicaNkindikwa 4 ай бұрын
Pole sana mama kwa kuachwa bila hata kupewa talaka,Mshirikishe Mungu akupambanie katika hilo
@VanisyJonathan
@VanisyJonathan 3 ай бұрын
Exactly 😢😢😢
@janejoshua433
@janejoshua433 8 ай бұрын
O God bless this woman because of this kids o jesus of nazarethe remember this woman
@jacquelinelukambuzi5085
@jacquelinelukambuzi5085 8 ай бұрын
Ee Mungu amhurumie huyu mama na kumuinua kwa ajili ya uzao wake tu, wanawake tunapitia mengi jamani🙆
@ANNASTACIAMWENDE-bo7dw
@ANNASTACIAMWENDE-bo7dw 5 ай бұрын
Sana
@CelestineAngatia
@CelestineAngatia 5 ай бұрын
Tena sana
@virginiacarolinewanjiru556
@virginiacarolinewanjiru556 8 ай бұрын
Beautiful twins kids looks like father.
@EditaMaro
@EditaMaro 6 ай бұрын
Mungu amjalie huyu Dada ampe nguvu ya kushinda majaribu haya
@faustinamuro
@faustinamuro Ай бұрын
Pole sana
@RoseBuyebe-m8j
@RoseBuyebe-m8j 8 ай бұрын
🎉Huu ni ukatili mkubwa huyu mwanaume Mungu anamuona kuamua kinyonga watoto na njaa kisa mwanamme Na atashughulika naye
@RashedaSalem-mk3yb
@RashedaSalem-mk3yb 5 ай бұрын
Pole sana dada fumilia mwenyenzi munguako na wewe atarundi
@JenniferFalanzisk
@JenniferFalanzisk 4 ай бұрын
Mungu anatuona kwa haya tuyatendao analipa kwa wakati muamin Mungu
@cleophaxgeremy2148
@cleophaxgeremy2148 8 ай бұрын
wuuuuuuueeeeeeh izi ndoa jamani ndoa jamani,mie Mungu anijalie nikioa nisiwe mume wa tamaa😢😢,na mume naye anaacha mke mwema tena mzuuri zaidi anafuata vitu vya ajabu ajabu, jamani ndoa😢😢
@berthasalim1313
@berthasalim1313 7 ай бұрын
Aaa
@naslaahmada5187
@naslaahmada5187 6 ай бұрын
Yaan wanaume waongo kwel katelekeza familia nakwenda kuoa tena daah
@khadijanurdin3163
@khadijanurdin3163 3 күн бұрын
Omba sana mungu
@vailethdaudi-tb9jb
@vailethdaudi-tb9jb 4 ай бұрын
Ahsante Mungu kwa kunipatia afya njema
@ShadiaIdrisa
@ShadiaIdrisa 2 ай бұрын
Pore sana dada
@kassimukipingu7917
@kassimukipingu7917 8 ай бұрын
Duu hii ni hatari sana mungu aniepushe na tamaa hizi Maana siku zangu za kuishi siinyingi
@DamarisJoshua-r2y
@DamarisJoshua-r2y 8 ай бұрын
kweli wanaume nimitihan aiseeeee mungu atuongoze daima
@RosemaryMakoye-r9w
@RosemaryMakoye-r9w 3 ай бұрын
Pole dada Mungu atakutetea
@umfahad2609
@umfahad2609 9 ай бұрын
Inaskitisha saana. Baadhi ya wanaume ni wanya nyasaji kwa wtt na wake zao. Wakipenda mwengine, mke wa mwanzo ana telekezwa. Ila na huyu mpa ajue. Na yeye itafika cku pia yatamkuta km yalio mkuta mwenake. 😢😢
@ExcitedAurora-gd8mp
@ExcitedAurora-gd8mp 8 ай бұрын
Jama uyo ni panya
@RobertRange-uf3rf
@RobertRange-uf3rf 6 ай бұрын
Kama umegundua kuwa afrimax ndio walimzanua huyu dada kwamba kuna harusi gonga like😅😅
@MagesaJulius-k9o
@MagesaJulius-k9o 2 ай бұрын
😂😢😂😂😂😢🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉😂🎉🎉🎉🎉🎉🎉😢😢🎉😢😂😂1❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤111qq1❤❤
@IrenGagwa
@IrenGagwa 7 ай бұрын
Pole sana dada
@KabulaJoin
@KabulaJoin 4 ай бұрын
Pole Sana dada
@StellaHailonje
@StellaHailonje 2 ай бұрын
Jamni Pole sana dada MUNGU yupo na ndio msada wako binadamu ni wasaliti lakini MUNGU hasaliti i atalipwa jipe moyo
@SahilMtumba
@SahilMtumba Ай бұрын
Jamani c igizo kabsa ilo mnampa polee ya nn
@SahilMtumba
@SahilMtumba Ай бұрын
😊😊😊
@umfahad2609
@umfahad2609 9 ай бұрын
Naomba serikali ichukue hatua ya haki, kwa huyu baba. Ili iwe fundisho kwa wengine.
@evansanyona9499
@evansanyona9499 8 ай бұрын
Police cannot force a man to love a woman he doesn't love, But watoto wake anafaa kushughulikia.
@Ibrahim-s4t
@Ibrahim-s4t Ай бұрын
So sorry maa,mungu akupiganie,na akutie nguvu,na atusaidie.
@wilper6318
@wilper6318 2 ай бұрын
Machozi ya huyu mama na watoto Mungu mkumbuke, mhifadhi, mtajirishe.
@josephineariga438
@josephineariga438 6 ай бұрын
I was l was the first lady with children. S8ngeenda kustop their wedding . Ningesahau na nilee watoto wangu na Mwenyezi Mungu.😊
@crispakyando8854
@crispakyando8854 8 ай бұрын
Du,Inauma sana
@KayagoAziza
@KayagoAziza 9 ай бұрын
Mbona ya zamani
@KhadijaJacob
@KhadijaJacob 9 ай бұрын
Hata mm niliwai kuiona au nimovie tu
@mwitaagness455
@mwitaagness455 9 ай бұрын
Danaaaa😮
@jospinemokeira
@jospinemokeira 8 ай бұрын
Hii ni ya zamani
@ZenaUsangi
@ZenaUsangi 8 ай бұрын
WENGINE NDIO TUNAIONA LEO.
@RichardMkondya
@RichardMkondya Ай бұрын
Mungu awalinde
@Octavinaelisa-fn6js
@Octavinaelisa-fn6js 9 ай бұрын
Kweri huyo mwanaume chòzi la mke wake litamugalimu sana
@SalomeMbwambo
@SalomeMbwambo 8 ай бұрын
Mungu amwone Huyo mwanaume Hana hata huruma ya watoto Kuna kesho yake
@zarafimnyamafitv
@zarafimnyamafitv 8 ай бұрын
watoto bdo wadogo
@GRACEMKWELE
@GRACEMKWELE Ай бұрын
Ni kweli kesho yake ni mbaya sana sana . Kuna baba mmoja naye aliacha mke hakujali watoto saa hz amerudi akiwa hana kitu.hata hawezi kujitafutia riziki.
@MaggyGesare
@MaggyGesare 7 ай бұрын
Dada yangu mungu hakushindie majaribu🙏
@BrendaWaningu
@BrendaWaningu 3 ай бұрын
pole dada
@MaombiJoseph-h1u
@MaombiJoseph-h1u 8 ай бұрын
Pole San dada
@Irriswhartirris
@Irriswhartirris 8 ай бұрын
As women we need to stop letting these men get away with this. If a man finds out that you got a child he didn't know about.. He would leave you without thinking twice even if it was a lie.. But a whole woman with children come crying at your wedding and the pastor continues to officiate and you just stand there like it's nothing.. God is not with you and that marriage, if he can do this to his own family then he will show you flames 😮😮😮
@JaneKathenya
@JaneKathenya 5 ай бұрын
Pole sana mama kwa hiko
@VeronicaGasper-v1t
@VeronicaGasper-v1t 2 ай бұрын
Naombeni hao mapacha
@lazarojembe8532
@lazarojembe8532 9 ай бұрын
Polesana
@EstherClement-wb4jo
@EstherClement-wb4jo 5 ай бұрын
Pole sana
@euniceadhiambo228
@euniceadhiambo228 8 ай бұрын
it is Soo hearting
@BeatriceAchieng-n9y
@BeatriceAchieng-n9y 7 ай бұрын
otek matin
@marthakagiri5873
@marthakagiri5873 8 ай бұрын
Huyo mwanaume alaaniwe sana na Mungu
@MildredNamalwa
@MildredNamalwa 5 ай бұрын
Pole dadangu ni ujungu sana
@yoabuboaz6854
@yoabuboaz6854 4 ай бұрын
pole San mama mushukur mung Kwan jambo Hilo ipo siku mung atainuw uzao wako tu
@Mtumishi-je6el
@Mtumishi-je6el 5 ай бұрын
Ee Mungu utuhurumie cc wanaume
@ImanNjogolo
@ImanNjogolo 13 күн бұрын
Wanaume washenzi sana..
@antonelatweve478
@antonelatweve478 2 ай бұрын
Malipoo nii dunian na Soo mbingunii dadaa utiwee nguvuu na bwanaa maan Soo mchezoo
@CesiliaGodwin
@CesiliaGodwin 7 ай бұрын
🎉tupo pamoja kwa maombi
@hawamafuru6791
@hawamafuru6791 5 ай бұрын
pole Sana mama uchungu wako umenikumbusha mbali nikama umeniotonesha kidonda Ina Uma Sana
@evancymassawekenya7521
@evancymassawekenya7521 8 ай бұрын
Mungu Simama na Mimi nikuombaye Mke mwema hutoka kwako nijaliye hitaji la moyo wangu liwe takatifu,maana dunia ya Leo Mungu bila wewe atuwezi,Mungu naamini sitakuwa na stress ya Mke ni pesa tu nitatafuta kwa nguvu zote Amen
@shedracklesudai95
@shedracklesudai95 8 ай бұрын
Hakika Mungu aingilie kati kweli kwenye ndoa
@AntusaUrio
@AntusaUrio 8 ай бұрын
Nimeumia sanaa jamn
@evancymassawekenya7521
@evancymassawekenya7521 8 ай бұрын
Hii inauma sana haki huyu mwanaume amelaaniwa kweli, Mungu anakupa Mke anaye kupenda na uko na Watoto naye alafu unamkimbia Mke wako😳 wanaume wenzangu tukioa tukuwe na msimamo kujua kuona ni pingu za maisha,mpendwa mtunze mkeo,tamaa za Nini,eeh Mungu nimesimama na wewe ninajiheshimu sana nakupenda sana najielewa na sitakaa niwe Mme wa kumtesa Mke wangu nitampenda na kintunza kwa Upendo wangu wote daah hii inauma sana 😢😢
@roselinemoshi5008
@roselinemoshi5008 9 ай бұрын
Watoto jamani uwiiiiii 😢😢😢
@ElizabethChesang-u5v
@ElizabethChesang-u5v 6 ай бұрын
Eeeiih sisi wanawake tunayapitia machungu sana 😢😢
@sofiaomar9919
@sofiaomar9919 9 ай бұрын
Sio haki kbsa ww uwache famili yako kwa mke mwengine lkn waume kaeni mukijua km mkeo hakua mwema kwako hata huyo pia atakutenda km ulivyo mfanya mkeo mkubwa
@fraidamsemwa5518
@fraidamsemwa5518 8 ай бұрын
Hiyo ni dharau iliyopitilizaa Mungu amhukumu kwakweli
@HawaHusen-l2s
@HawaHusen-l2s 8 ай бұрын
Enyi wanaume kuweni nahurma kwa sisi wanawake mtuonehe huruma ivi kweli umemzalisha mtoto wamwenzio watoto wote hao leo hii wamfanyia hivo dada .mungu atankulipa ishaallah munagu yupo pamoja nawe jitaidi sana kumuomba mwenyezimungu atakujalia riziki
@adelinaamosi9437
@adelinaamosi9437 4 ай бұрын
Yani tena mapacha mara mbili hushukuru tu
@NeemaSamweli-mt7ho
@NeemaSamweli-mt7ho 2 ай бұрын
Hyo ndoa haitadum kwa jina la yesu
@HusseinZakia
@HusseinZakia Ай бұрын
Ana watt wazuri maskin wameniliza daah wanaume mtavishwa taji za miiba yaani anawaacha wanae kiss mwanamke
@elfapaul4191
@elfapaul4191 9 ай бұрын
Sio kwa mwanaume tuu, huyo bb harusi mpya anapaswa kujiuliza kama mwenzake kafanyiwa hivyo yeye atakuwa salama hapo baadae ??? Ukiona mwenzio ananyolewa za kwako tia maji.
@AnthonyAnatory
@AnthonyAnatory 9 ай бұрын
Mwanamme huyo n taira San unachukua mume wa mwenzio
@SakinaMyovela-hf2ir
@SakinaMyovela-hf2ir 8 ай бұрын
Machoz ya mtu hayaendi bure.
@irenedaniel3546
@irenedaniel3546 8 ай бұрын
Mimi yalishanikuta sikwenda hata kupinga ndoa yao bt mingu alinilipia ile ndoa haikumaliza hata miez mitatu acheni sina hamu na hawa wanaume
@begumisachristopher4697
@begumisachristopher4697 8 ай бұрын
Maombi ni silaha. Tujitahidi kumaliza matatizo yetu mapema na haraka.viongozi wa dini ni muhimu sana kuwa makini kabla ya kufungisha ndoa,
@marthaonyango9301
@marthaonyango9301 8 ай бұрын
Wanaume sio watu jamani
@jovitusiinnocent7534
@jovitusiinnocent7534 8 ай бұрын
Hii ni stor bwana kwaiyo kipidi anapigiwa simu camera zilitoka wapi acheni upumbavu
@alexjosephmambo6990
@alexjosephmambo6990 8 ай бұрын
Story tu hii kwani yeye anaishi na camera kila siku au!! Et mpaka anaenda kujiandaa na wanae na camera inaona hiyo haipo snario tu hiyo
@jovitusiinnocent7534
@jovitusiinnocent7534 8 ай бұрын
Kabisa sorry hii
@GetruderMfinanga
@GetruderMfinanga 8 ай бұрын
Hata mm sijaelewa hapo
@erastolyimo2423
@erastolyimo2423 8 ай бұрын
Yaani kituko kabisa, wasioelewa wabaki hivo tulioelewa tumeeleea
@ELM-pv4ou
@ELM-pv4ou 4 ай бұрын
Stor ime rudishwa nyuma sikiliza vizuli
@PaulineKawira-dn7ph
@PaulineKawira-dn7ph 6 ай бұрын
Ningeenda pia
@muunganoshow4212
@muunganoshow4212 8 ай бұрын
Wawawawa
@veronicaUrio-wv5vj
@veronicaUrio-wv5vj 5 ай бұрын
Inauma sana dada pole we mwanaume utaenda motoni
@ruzindazajonas8506
@ruzindazajonas8506 8 ай бұрын
Ni laana tu kwa huo mwanaume! Hata huo mwanamke mpya hanamume ni picha tu. Tena yule mke alieachwa ni mzuri zaidi kuliko huo mpya.
@hudhudisonline2040
@hudhudisonline2040 8 ай бұрын
😢😢
@Kelvinchristopher072
@Kelvinchristopher072 8 ай бұрын
Ivi ni kweli au story ya kuigiza
@AnithaPaulus
@AnithaPaulus 6 ай бұрын
Wee mwanume mungu akulaan
@KajangeJana
@KajangeJana 8 ай бұрын
Daaa,inauma Sana jamani.
@nancygitonga3282
@nancygitonga3282 5 ай бұрын
This lady needs justice
@DianahOsmundi
@DianahOsmundi 3 ай бұрын
Fainali uzeeni tutunze watoto wetu tuache kuwafikilia
@DianahOsmundi
@DianahOsmundi 3 ай бұрын
Nawachukia sana hao kunguru
@JaneFadhili-l6d
@JaneFadhili-l6d 9 ай бұрын
Inaumiza Jaman
@hellenwanjiru7989
@hellenwanjiru7989 8 ай бұрын
Asante Mungu. Huu si mwanaume wa kuoa. Hana hisia kwa mke wala watoto. Hata atakayeolewa naye, hatakuwa muema kuliko huyu mama na hatazaa dhahabu iwe atalidhika
@gikaroalexnchagoa8226
@gikaroalexnchagoa8226 8 ай бұрын
Mbona kama movie. Anaanza kupigiwa simu kamera zikiwepo, anaenda Nyumbani kujiandaa kamera ipo, safari ya kwenda kanisani kamera ipo. Duh😂😂😂
@happynesskizuri7948
@happynesskizuri7948 6 ай бұрын
Mungu atakulipia dada atakufuta machoz
@Serah-b7v
@Serah-b7v 6 күн бұрын
Tuko wengi jamani tunapitia waaaa tuombeane
@StivinMwaipaja-e6f
@StivinMwaipaja-e6f 8 ай бұрын
Na hata mwanamke alie fumaniwa hana akili, angekuwa anazo angemuacha mwanaume papo hp na kuondoka, je angefanyiwa yy angejisikiaje? Kama alifunga ndoa amekosea kwa mkewe si vizuri kutelekeza familia, na hata hy atatelekezwa tu. By mwaipaja . Gua D
@vailethdaudi-tb9jb
@vailethdaudi-tb9jb 4 ай бұрын
Ee menyezi Mungu nipe moyo wa huruma na upendo kwa watu wote
@nahidabooko1446
@nahidabooko1446 8 ай бұрын
Subhana Allah, wallahi uwamuzi wakuu walitoa na mbaya
@remidusmwanandenje-yy5gs
@remidusmwanandenje-yy5gs 8 ай бұрын
Vitoto vizuli jamani ivi sisi wanaume tupoje jamani ani kwa mimi ata ikipita siku mbili sijawaona wanangu moyo wangu unakua haupo poa sababu nikiwaza 2 machozi yatitilika kwa maixha yaduniani yalivyo mafupi hii adi nalia jaman😢😢😢😢😪
@Salome-f8n
@Salome-f8n 6 ай бұрын
Pole😢😢😢mama
@ZulphatOthman
@ZulphatOthman 8 ай бұрын
Uyu mama mungu ampe haki yake.
@Zakiaaa-dr3vn
@Zakiaaa-dr3vn 8 ай бұрын
Kabisa
@EverlyneNangekhe-yq3eq
@EverlyneNangekhe-yq3eq 6 ай бұрын
The tears of this woman will torment them
@leonardnewschannel2965
@leonardnewschannel2965 8 ай бұрын
GOD Is watching
@PrincessHellen-pg1oy
@PrincessHellen-pg1oy 8 ай бұрын
Dah
@josephinemativo390
@josephinemativo390 8 ай бұрын
Hii kinaelewekwa kwa mwenye amepitia haya,Soo paining...
@HellenMacha
@HellenMacha 5 ай бұрын
Aachane nae...moyo wake haupo naye,akapambane na Mungu hatamuacha.
@MbiseMbise-k2s
@MbiseMbise-k2s 6 ай бұрын
Poleni walimwengu
@josephmassimba4856
@josephmassimba4856 9 ай бұрын
unaedai wanaume wote mashetani kumbuka mambo mawili baba yako ni mwanaume na uliyenaye ni mwanaume.jifunze kuona Hali na kuikabili Hali sio kugeneralise eadely like that😊
@BahatiDaudi-l7m
@BahatiDaudi-l7m 8 ай бұрын
Mungu amtete huyu mama wa watoto,,kwa mwanaume anastahili kuludi kwa mke wa watoto ikishindikana Shelia ichukue mkondo wake.
@marthanahumu6360
@marthanahumu6360 5 ай бұрын
Kuna wanaume ninkatili aiseew
@yusternyirenda7231
@yusternyirenda7231 9 ай бұрын
Mwisho wa siku watoto waje wafanikiwe baba choka mbaya alafu mbwa flan aje aseme watoto hawamjali baba yao fyuuuu!
@Hussein-gx4qu
@Hussein-gx4qu 9 ай бұрын
acha aoe make mwingine nyinyi wanawake mna jeuri na viburi sana yaani unamjibu mwanaume unavotaka na Hadi wewe ujisikie ndio unampa akikugusa tu utasikia niache sasa we unataka afanyeje
@mzeeicon913
@mzeeicon913 9 ай бұрын
Wewe ni Mjinga
@Hussein-gx4qu
@Hussein-gx4qu 9 ай бұрын
@@mzeeicon913 muacheni aoe mwanamke mmoja kamwe hajamtosha mwanaume hao wanawake wenyewe majeuri na viburi kama Nini na hivi anakua anajua ukristo hauluhusu mke wa pili ndio atakuletea jeuri mpaka basi wanaume wanayofanyiwa ni Siri yao acha waoe ndio hao wanawake viburi na majeuri kwa wame zao watatia akili
@StellaMcharo-es5zv
@StellaMcharo-es5zv 7 ай бұрын
​@@Hussein-gx4qu❤❤❤ 85
@valenakomba7686
@valenakomba7686 8 ай бұрын
NA HIYO KANISA SIYO YA UKWELI . MAANA MUNGU NI MMOJA . HUWEZI KUFUNGISHA NDOWA MARA MBILI KAMA NI MCHUNGAJI.
@julyodette6945
@julyodette6945 8 ай бұрын
Miaka ya nyuma ningekuwa kama huyu mama lakini kwa sasa 😅😅😂😂 I dont care kabisa jamani akioa anipe kadi ya harusi ntamchangia kiroho safi 😅😅
@gladysmwatabu9154
@gladysmwatabu9154 8 ай бұрын
Umekuwa na roho kama yangu,hawa wanaume wanatunyanyasa kisha wanalimbikiza makosa kwetu aty sisi ndio tunachagia...sooooo saaad😭
@Maxpaul-oi8pw
@Maxpaul-oi8pw 8 ай бұрын
Dawa ya kucht ni kutelekeza na kuoa mwngne
@MonicaAgapitiBruno
@MonicaAgapitiBruno 6 ай бұрын
Duuu aisee sijui alipatwa masawabu gani mume adi kwenda kuoa mke mwingine daaa atuwezi jua siri wanajua wenywe jamani daaa Sema inauma usiombe ikukute😔😢😢😢
@ChikuOmmary-ii2xf
@ChikuOmmary-ii2xf 8 ай бұрын
Watoto 5 unamuacha Mungu atakulipia
@user-masanja
@user-masanja 8 ай бұрын
Kafsnya jambo sio zuri. Mapenzi ya wake wenza ni kama chumvi kuwekwa kwenye kidonda. Penzi la mke wa ndoa ni tofauti la wale wa nje
@hellenkibone
@hellenkibone 8 ай бұрын
That couple will never see peace 😢😢
NDOA YA SIKU MOJA YAVUNJIKA TABATA KISA ZA YA PICHA ZA EX WA BIBI HARUSI
23:00
SIMULIZI ZONE (SZ BONGO)
Рет қаралды 79 М.
#BABA #ALINIVUA #NGUO #ZOTE
13:09
XPLUS TZ
Рет қаралды 720 М.
兔子姐姐最终逃走了吗?#小丑#兔子警官#家庭
00:58
小蚂蚁和小宇宙
Рет қаралды 11 МЛН
啊?就这么水灵灵的穿上了?
00:18
一航1
Рет қаралды 85 МЛН
PART 2:MAMA MENDE AFICHUA MAZITO KUHUSU KINYESI CHA MENDE / KAMA CHAI
16:56
MUIMBI HOSIAH CHIPANGA MUDARE RAMAMBO MUTASA VS LEON MATESVA  KARANGANDA TV KUTORWA KWEMUNDA
18:01
PENZI LA DADA WA KAZI 💞 | Love Story
30:06
DONTA TV
Рет қаралды 5 МЛН
MAMA HUYU AWATOA WATU MACHOZI KWENYE IBADA: BISHOP ELIBARIKI SUMBE
15:54
Bishop Elibariki Sumbe
Рет қаралды 1,2 МЛН
ITAKUTOA MACHOZI: MFANYA KAZI WA NDANI AMNYONGA MTOTO WA MIEZI 6/UCHAWI
25:46
兔子姐姐最终逃走了吗?#小丑#兔子警官#家庭
00:58
小蚂蚁和小宇宙
Рет қаралды 11 МЛН