Hivo vimapacha mashaaalah,vtakua, lailahailalah,aoe wote, watoto watamlaani,
@HappynessLombo3 ай бұрын
Pole sana dada wanaume wanaroho mbaya sana
@FatumaBakari-c3lАй бұрын
Pole sna mama yafika wanawake
@MonicaNkindikwa4 ай бұрын
Pole sana mama kwa kuachwa bila hata kupewa talaka,Mshirikishe Mungu akupambanie katika hilo
@VanisyJonathan3 ай бұрын
Exactly 😢😢😢
@janejoshua4338 ай бұрын
O God bless this woman because of this kids o jesus of nazarethe remember this woman
@jacquelinelukambuzi50858 ай бұрын
Ee Mungu amhurumie huyu mama na kumuinua kwa ajili ya uzao wake tu, wanawake tunapitia mengi jamani🙆
@ANNASTACIAMWENDE-bo7dw5 ай бұрын
Sana
@CelestineAngatia5 ай бұрын
Tena sana
@virginiacarolinewanjiru5568 ай бұрын
Beautiful twins kids looks like father.
@EditaMaro6 ай бұрын
Mungu amjalie huyu Dada ampe nguvu ya kushinda majaribu haya
@faustinamuroАй бұрын
Pole sana
@RoseBuyebe-m8j8 ай бұрын
🎉Huu ni ukatili mkubwa huyu mwanaume Mungu anamuona kuamua kinyonga watoto na njaa kisa mwanamme Na atashughulika naye
@RashedaSalem-mk3yb5 ай бұрын
Pole sana dada fumilia mwenyenzi munguako na wewe atarundi
@JenniferFalanzisk4 ай бұрын
Mungu anatuona kwa haya tuyatendao analipa kwa wakati muamin Mungu
@cleophaxgeremy21488 ай бұрын
wuuuuuuueeeeeeh izi ndoa jamani ndoa jamani,mie Mungu anijalie nikioa nisiwe mume wa tamaa😢😢,na mume naye anaacha mke mwema tena mzuuri zaidi anafuata vitu vya ajabu ajabu, jamani ndoa😢😢
@berthasalim13137 ай бұрын
Aaa
@naslaahmada51876 ай бұрын
Yaan wanaume waongo kwel katelekeza familia nakwenda kuoa tena daah
@khadijanurdin31633 күн бұрын
Omba sana mungu
@vailethdaudi-tb9jb4 ай бұрын
Ahsante Mungu kwa kunipatia afya njema
@ShadiaIdrisa2 ай бұрын
Pore sana dada
@kassimukipingu79178 ай бұрын
Duu hii ni hatari sana mungu aniepushe na tamaa hizi Maana siku zangu za kuishi siinyingi
@DamarisJoshua-r2y8 ай бұрын
kweli wanaume nimitihan aiseeeee mungu atuongoze daima
@RosemaryMakoye-r9w3 ай бұрын
Pole dada Mungu atakutetea
@umfahad26099 ай бұрын
Inaskitisha saana. Baadhi ya wanaume ni wanya nyasaji kwa wtt na wake zao. Wakipenda mwengine, mke wa mwanzo ana telekezwa. Ila na huyu mpa ajue. Na yeye itafika cku pia yatamkuta km yalio mkuta mwenake. 😢😢
@ExcitedAurora-gd8mp8 ай бұрын
Jama uyo ni panya
@RobertRange-uf3rf6 ай бұрын
Kama umegundua kuwa afrimax ndio walimzanua huyu dada kwamba kuna harusi gonga like😅😅
@MagesaJulius-k9o2 ай бұрын
😂😢😂😂😂😢🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉😂🎉🎉🎉🎉🎉🎉😢😢🎉😢😂😂1❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤111qq1❤❤
@IrenGagwa7 ай бұрын
Pole sana dada
@KabulaJoin4 ай бұрын
Pole Sana dada
@StellaHailonje2 ай бұрын
Jamni Pole sana dada MUNGU yupo na ndio msada wako binadamu ni wasaliti lakini MUNGU hasaliti i atalipwa jipe moyo
@SahilMtumbaАй бұрын
Jamani c igizo kabsa ilo mnampa polee ya nn
@SahilMtumbaАй бұрын
😊😊😊
@umfahad26099 ай бұрын
Naomba serikali ichukue hatua ya haki, kwa huyu baba. Ili iwe fundisho kwa wengine.
@evansanyona94998 ай бұрын
Police cannot force a man to love a woman he doesn't love, But watoto wake anafaa kushughulikia.
@Ibrahim-s4tАй бұрын
So sorry maa,mungu akupiganie,na akutie nguvu,na atusaidie.
@wilper63182 ай бұрын
Machozi ya huyu mama na watoto Mungu mkumbuke, mhifadhi, mtajirishe.
@josephineariga4386 ай бұрын
I was l was the first lady with children. S8ngeenda kustop their wedding . Ningesahau na nilee watoto wangu na Mwenyezi Mungu.😊
@crispakyando88548 ай бұрын
Du,Inauma sana
@KayagoAziza9 ай бұрын
Mbona ya zamani
@KhadijaJacob9 ай бұрын
Hata mm niliwai kuiona au nimovie tu
@mwitaagness4559 ай бұрын
Danaaaa😮
@jospinemokeira8 ай бұрын
Hii ni ya zamani
@ZenaUsangi8 ай бұрын
WENGINE NDIO TUNAIONA LEO.
@RichardMkondyaАй бұрын
Mungu awalinde
@Octavinaelisa-fn6js9 ай бұрын
Kweri huyo mwanaume chòzi la mke wake litamugalimu sana
@SalomeMbwambo8 ай бұрын
Mungu amwone Huyo mwanaume Hana hata huruma ya watoto Kuna kesho yake
@zarafimnyamafitv8 ай бұрын
watoto bdo wadogo
@GRACEMKWELEАй бұрын
Ni kweli kesho yake ni mbaya sana sana . Kuna baba mmoja naye aliacha mke hakujali watoto saa hz amerudi akiwa hana kitu.hata hawezi kujitafutia riziki.
@MaggyGesare7 ай бұрын
Dada yangu mungu hakushindie majaribu🙏
@BrendaWaningu3 ай бұрын
pole dada
@MaombiJoseph-h1u8 ай бұрын
Pole San dada
@Irriswhartirris8 ай бұрын
As women we need to stop letting these men get away with this. If a man finds out that you got a child he didn't know about.. He would leave you without thinking twice even if it was a lie.. But a whole woman with children come crying at your wedding and the pastor continues to officiate and you just stand there like it's nothing.. God is not with you and that marriage, if he can do this to his own family then he will show you flames 😮😮😮
@JaneKathenya5 ай бұрын
Pole sana mama kwa hiko
@VeronicaGasper-v1t2 ай бұрын
Naombeni hao mapacha
@lazarojembe85329 ай бұрын
Polesana
@EstherClement-wb4jo5 ай бұрын
Pole sana
@euniceadhiambo2288 ай бұрын
it is Soo hearting
@BeatriceAchieng-n9y7 ай бұрын
otek matin
@marthakagiri58738 ай бұрын
Huyo mwanaume alaaniwe sana na Mungu
@MildredNamalwa5 ай бұрын
Pole dadangu ni ujungu sana
@yoabuboaz68544 ай бұрын
pole San mama mushukur mung Kwan jambo Hilo ipo siku mung atainuw uzao wako tu
@Mtumishi-je6el5 ай бұрын
Ee Mungu utuhurumie cc wanaume
@ImanNjogolo13 күн бұрын
Wanaume washenzi sana..
@antonelatweve4782 ай бұрын
Malipoo nii dunian na Soo mbingunii dadaa utiwee nguvuu na bwanaa maan Soo mchezoo
@CesiliaGodwin7 ай бұрын
🎉tupo pamoja kwa maombi
@hawamafuru67915 ай бұрын
pole Sana mama uchungu wako umenikumbusha mbali nikama umeniotonesha kidonda Ina Uma Sana
@evancymassawekenya75218 ай бұрын
Mungu Simama na Mimi nikuombaye Mke mwema hutoka kwako nijaliye hitaji la moyo wangu liwe takatifu,maana dunia ya Leo Mungu bila wewe atuwezi,Mungu naamini sitakuwa na stress ya Mke ni pesa tu nitatafuta kwa nguvu zote Amen
@shedracklesudai958 ай бұрын
Hakika Mungu aingilie kati kweli kwenye ndoa
@AntusaUrio8 ай бұрын
Nimeumia sanaa jamn
@evancymassawekenya75218 ай бұрын
Hii inauma sana haki huyu mwanaume amelaaniwa kweli, Mungu anakupa Mke anaye kupenda na uko na Watoto naye alafu unamkimbia Mke wako😳 wanaume wenzangu tukioa tukuwe na msimamo kujua kuona ni pingu za maisha,mpendwa mtunze mkeo,tamaa za Nini,eeh Mungu nimesimama na wewe ninajiheshimu sana nakupenda sana najielewa na sitakaa niwe Mme wa kumtesa Mke wangu nitampenda na kintunza kwa Upendo wangu wote daah hii inauma sana 😢😢
@roselinemoshi50089 ай бұрын
Watoto jamani uwiiiiii 😢😢😢
@ElizabethChesang-u5v6 ай бұрын
Eeeiih sisi wanawake tunayapitia machungu sana 😢😢
@sofiaomar99199 ай бұрын
Sio haki kbsa ww uwache famili yako kwa mke mwengine lkn waume kaeni mukijua km mkeo hakua mwema kwako hata huyo pia atakutenda km ulivyo mfanya mkeo mkubwa
@fraidamsemwa55188 ай бұрын
Hiyo ni dharau iliyopitilizaa Mungu amhukumu kwakweli
@HawaHusen-l2s8 ай бұрын
Enyi wanaume kuweni nahurma kwa sisi wanawake mtuonehe huruma ivi kweli umemzalisha mtoto wamwenzio watoto wote hao leo hii wamfanyia hivo dada .mungu atankulipa ishaallah munagu yupo pamoja nawe jitaidi sana kumuomba mwenyezimungu atakujalia riziki
@adelinaamosi94374 ай бұрын
Yani tena mapacha mara mbili hushukuru tu
@NeemaSamweli-mt7ho2 ай бұрын
Hyo ndoa haitadum kwa jina la yesu
@HusseinZakiaАй бұрын
Ana watt wazuri maskin wameniliza daah wanaume mtavishwa taji za miiba yaani anawaacha wanae kiss mwanamke
@elfapaul41919 ай бұрын
Sio kwa mwanaume tuu, huyo bb harusi mpya anapaswa kujiuliza kama mwenzake kafanyiwa hivyo yeye atakuwa salama hapo baadae ??? Ukiona mwenzio ananyolewa za kwako tia maji.
@AnthonyAnatory9 ай бұрын
Mwanamme huyo n taira San unachukua mume wa mwenzio
@SakinaMyovela-hf2ir8 ай бұрын
Machoz ya mtu hayaendi bure.
@irenedaniel35468 ай бұрын
Mimi yalishanikuta sikwenda hata kupinga ndoa yao bt mingu alinilipia ile ndoa haikumaliza hata miez mitatu acheni sina hamu na hawa wanaume
@begumisachristopher46978 ай бұрын
Maombi ni silaha. Tujitahidi kumaliza matatizo yetu mapema na haraka.viongozi wa dini ni muhimu sana kuwa makini kabla ya kufungisha ndoa,
@marthaonyango93018 ай бұрын
Wanaume sio watu jamani
@jovitusiinnocent75348 ай бұрын
Hii ni stor bwana kwaiyo kipidi anapigiwa simu camera zilitoka wapi acheni upumbavu
@alexjosephmambo69908 ай бұрын
Story tu hii kwani yeye anaishi na camera kila siku au!! Et mpaka anaenda kujiandaa na wanae na camera inaona hiyo haipo snario tu hiyo
@jovitusiinnocent75348 ай бұрын
Kabisa sorry hii
@GetruderMfinanga8 ай бұрын
Hata mm sijaelewa hapo
@erastolyimo24238 ай бұрын
Yaani kituko kabisa, wasioelewa wabaki hivo tulioelewa tumeeleea
@ELM-pv4ou4 ай бұрын
Stor ime rudishwa nyuma sikiliza vizuli
@PaulineKawira-dn7ph6 ай бұрын
Ningeenda pia
@muunganoshow42128 ай бұрын
Wawawawa
@veronicaUrio-wv5vj5 ай бұрын
Inauma sana dada pole we mwanaume utaenda motoni
@ruzindazajonas85068 ай бұрын
Ni laana tu kwa huo mwanaume! Hata huo mwanamke mpya hanamume ni picha tu. Tena yule mke alieachwa ni mzuri zaidi kuliko huo mpya.
@hudhudisonline20408 ай бұрын
😢😢
@Kelvinchristopher0728 ай бұрын
Ivi ni kweli au story ya kuigiza
@AnithaPaulus6 ай бұрын
Wee mwanume mungu akulaan
@KajangeJana8 ай бұрын
Daaa,inauma Sana jamani.
@nancygitonga32825 ай бұрын
This lady needs justice
@DianahOsmundi3 ай бұрын
Fainali uzeeni tutunze watoto wetu tuache kuwafikilia
@DianahOsmundi3 ай бұрын
Nawachukia sana hao kunguru
@JaneFadhili-l6d9 ай бұрын
Inaumiza Jaman
@hellenwanjiru79898 ай бұрын
Asante Mungu. Huu si mwanaume wa kuoa. Hana hisia kwa mke wala watoto. Hata atakayeolewa naye, hatakuwa muema kuliko huyu mama na hatazaa dhahabu iwe atalidhika
@gikaroalexnchagoa82268 ай бұрын
Mbona kama movie. Anaanza kupigiwa simu kamera zikiwepo, anaenda Nyumbani kujiandaa kamera ipo, safari ya kwenda kanisani kamera ipo. Duh😂😂😂
@happynesskizuri79486 ай бұрын
Mungu atakulipia dada atakufuta machoz
@Serah-b7v6 күн бұрын
Tuko wengi jamani tunapitia waaaa tuombeane
@StivinMwaipaja-e6f8 ай бұрын
Na hata mwanamke alie fumaniwa hana akili, angekuwa anazo angemuacha mwanaume papo hp na kuondoka, je angefanyiwa yy angejisikiaje? Kama alifunga ndoa amekosea kwa mkewe si vizuri kutelekeza familia, na hata hy atatelekezwa tu. By mwaipaja . Gua D
@vailethdaudi-tb9jb4 ай бұрын
Ee menyezi Mungu nipe moyo wa huruma na upendo kwa watu wote
@nahidabooko14468 ай бұрын
Subhana Allah, wallahi uwamuzi wakuu walitoa na mbaya
@remidusmwanandenje-yy5gs8 ай бұрын
Vitoto vizuli jamani ivi sisi wanaume tupoje jamani ani kwa mimi ata ikipita siku mbili sijawaona wanangu moyo wangu unakua haupo poa sababu nikiwaza 2 machozi yatitilika kwa maixha yaduniani yalivyo mafupi hii adi nalia jaman😢😢😢😢😪
@Salome-f8n6 ай бұрын
Pole😢😢😢mama
@ZulphatOthman8 ай бұрын
Uyu mama mungu ampe haki yake.
@Zakiaaa-dr3vn8 ай бұрын
Kabisa
@EverlyneNangekhe-yq3eq6 ай бұрын
The tears of this woman will torment them
@leonardnewschannel29658 ай бұрын
GOD Is watching
@PrincessHellen-pg1oy8 ай бұрын
Dah
@josephinemativo3908 ай бұрын
Hii kinaelewekwa kwa mwenye amepitia haya,Soo paining...
@HellenMacha5 ай бұрын
Aachane nae...moyo wake haupo naye,akapambane na Mungu hatamuacha.
@MbiseMbise-k2s6 ай бұрын
Poleni walimwengu
@josephmassimba48569 ай бұрын
unaedai wanaume wote mashetani kumbuka mambo mawili baba yako ni mwanaume na uliyenaye ni mwanaume.jifunze kuona Hali na kuikabili Hali sio kugeneralise eadely like that😊
@BahatiDaudi-l7m8 ай бұрын
Mungu amtete huyu mama wa watoto,,kwa mwanaume anastahili kuludi kwa mke wa watoto ikishindikana Shelia ichukue mkondo wake.
@marthanahumu63605 ай бұрын
Kuna wanaume ninkatili aiseew
@yusternyirenda72319 ай бұрын
Mwisho wa siku watoto waje wafanikiwe baba choka mbaya alafu mbwa flan aje aseme watoto hawamjali baba yao fyuuuu!
@Hussein-gx4qu9 ай бұрын
acha aoe make mwingine nyinyi wanawake mna jeuri na viburi sana yaani unamjibu mwanaume unavotaka na Hadi wewe ujisikie ndio unampa akikugusa tu utasikia niache sasa we unataka afanyeje
@mzeeicon9139 ай бұрын
Wewe ni Mjinga
@Hussein-gx4qu9 ай бұрын
@@mzeeicon913 muacheni aoe mwanamke mmoja kamwe hajamtosha mwanaume hao wanawake wenyewe majeuri na viburi kama Nini na hivi anakua anajua ukristo hauluhusu mke wa pili ndio atakuletea jeuri mpaka basi wanaume wanayofanyiwa ni Siri yao acha waoe ndio hao wanawake viburi na majeuri kwa wame zao watatia akili
@StellaMcharo-es5zv7 ай бұрын
@@Hussein-gx4qu❤❤❤ 85
@valenakomba76868 ай бұрын
NA HIYO KANISA SIYO YA UKWELI . MAANA MUNGU NI MMOJA . HUWEZI KUFUNGISHA NDOWA MARA MBILI KAMA NI MCHUNGAJI.
@julyodette69458 ай бұрын
Miaka ya nyuma ningekuwa kama huyu mama lakini kwa sasa 😅😅😂😂 I dont care kabisa jamani akioa anipe kadi ya harusi ntamchangia kiroho safi 😅😅
@gladysmwatabu91548 ай бұрын
Umekuwa na roho kama yangu,hawa wanaume wanatunyanyasa kisha wanalimbikiza makosa kwetu aty sisi ndio tunachagia...sooooo saaad😭
@Maxpaul-oi8pw8 ай бұрын
Dawa ya kucht ni kutelekeza na kuoa mwngne
@MonicaAgapitiBruno6 ай бұрын
Duuu aisee sijui alipatwa masawabu gani mume adi kwenda kuoa mke mwingine daaa atuwezi jua siri wanajua wenywe jamani daaa Sema inauma usiombe ikukute😔😢😢😢
@ChikuOmmary-ii2xf8 ай бұрын
Watoto 5 unamuacha Mungu atakulipia
@user-masanja8 ай бұрын
Kafsnya jambo sio zuri. Mapenzi ya wake wenza ni kama chumvi kuwekwa kwenye kidonda. Penzi la mke wa ndoa ni tofauti la wale wa nje