Asante Sana kaka davistar kwakutukumbuka tulikua tumekumiss Sana sisi shabiki zako umetuletea story mpya🎉chukua maua yako mungu akubariki uendele kutupa story nzuri za kutufundisha🌹❤️
@DavistarMataMediaDMАй бұрын
Amen ahsante tupo pamoja
@sophiebanga9533Ай бұрын
Welcome back umenona saana mtu makini
@jumayusuph9609Ай бұрын
@@DavistarMataMediaDMasate sana tumekumic kaka mpka tumekonda ukipotea uwe unatuambia tusiwe na wasi wasi
@josephmulli37Ай бұрын
@@DavistarMataMediaDM28:04
@maureenmwende351528 күн бұрын
Davister hii Chanel izidi kupokewa na wengi ikona mafudisho mazuri
@saidabdalla8996Ай бұрын
Mzee wa kazi anaonekana kuna mambo anapitia ambayo magumu sana kwasababu na hisi tangu anze ichi kipindi kunavitu vingi vibaya anavijuwa na pia na watu wanao fanya ivyo vitu vibaya pia anawajuwa kwahiyo watu wana muinda sana tumombeeni wadau
@LamaribamJumbe15 күн бұрын
Upo sahihi ndugu
@osmundmtavanguАй бұрын
Davista kanyong'onyea sana. I fell something bad had been going through him. Mungu akutie nguvu tuko pamoja.
@dianawilliam644312 күн бұрын
Hayupo sawa kbs kwa muonekano tuu
@edithaeugeni9695Ай бұрын
Karibu sana Mtu makini ulitugaya ila ulipo tuacha hatujasogea tumekusubri kwa uaminifu mkubwa❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@mwami_the_don_Ай бұрын
Jamani tumchangieni davista tujiongeze kaaah mpak aseme wakat katutoa mbal na katoa sana matongo tongo juu ya hii dunia
@mwakilamwaki1718Ай бұрын
Awake namba tumsapoti davista ata elfu 5 to kwa kazi nzuri anayo fanya
@paustephanoАй бұрын
Tunaanzia wap Sasa?
@paustephanoАй бұрын
Mnaonaje tukatengeneza group whatsup na tutume humu link anataka atajiunga na mwenyew davista awepo then tuanze michango hapo