Davistar unahubir vizur sana kakaangu Mungu akutunze tu
@abdimohamed39533 жыл бұрын
Huu ushuhuda unanigusa+wa Rwanda magere the way anavyoelezea lait tungemjua MUNGU wetu alivyo hakika Kwa shetani tusingeenda MUNGU awabariki sana Kwa kazi mzifanyazo naamini miongoni mwetu tunatoka katika maovu ya shetani nakuingia kwenye misingi MUNGU aipenndayo
@jeresigirya62483 жыл бұрын
😂 tunashushia na azam energy... Much appreciation bro🙏
@charlesmadata93183 жыл бұрын
Nimenda sana mafundisho yako inapendeza sana kutuweka katika imani ya kumutumikia Kristo Yesu
@lucianameena6953 жыл бұрын
God bless you my dad prophet David Richard.
@brendajadevera95973 жыл бұрын
Thank u for enlightening us much about the angles, their names both from light an darkness. God bless u .
@myfairskintz3 жыл бұрын
U bless me alot, keep it up man of God! God bless you mooore
@swaeleesalim12723 жыл бұрын
DM UR SO FUNNY MACHO 3 INAKUZENGUA 🤣 ALAFU PROPHET LOVER BOY HUYO 😉
@angelbenjamin73263 жыл бұрын
Nimepata somo zuri sana
@vaghoghontweki98273 жыл бұрын
Prophet niombee naona kuna roho inanizuia kuskliza hii hbr,,,😁😁😁😁,,,Mungu kakupendlea kweli unapga story hadi na malaika🙏🙏
@annamadraga16273 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@khadijajuma71423 жыл бұрын
😁😁😁😁😁😁
@seasonepisode33283 жыл бұрын
Eehhh kumbe ujui?malaika wapo kwa ajili yko ww apo. Ww unaweza kumuamuru malaika yyte yule na akafanya ila kupitia jina la Yesu tuu..mbona sodoma na gomorrah malaika walimtokea rutu kwa maumbile ya wanadamu. Mbona yohana alienda mbinguni soma ktk ufunuo..😀😀😀😀mkimjua uyu Mungu basi uwezi shangaa..ila uyu nabiii nae ni kina TB Joshua tuu ..manabii wa uongo..ila ata ww apo ukitaka kuwatumia malaika unaweza tena bureee na wapo kwa ajili yko...
@vaghoghontweki98273 жыл бұрын
@@khadijajuma7142 😜😜
@vaghoghontweki98273 жыл бұрын
@@seasonepisode3328 Sio kila mtu kapewa hiyo Karama,,,,na kumjua yupi kapewa ni ishu kidogo ndo maana wengi wanajificha humo,,,Lkn Mungu wetu ni mwaminifu atashulka na wote wanaocheza na utukufu wa jina lake🙏🙏
@princelb94233 жыл бұрын
prophet umenisahidiya sana
@learnselfdefense7653 жыл бұрын
Tatizo kizazi hiki kina Dini za kukaririshwa toka utotoni kwan alivyo kwambia sio lazima umwamini anachosema lkn ukitenda mema according to amri kumi za Mungu na kuabudu kwa imani yako ili usifie dhambin ni discussion tena.... Tatizo wengi wetu kinatusumbua UZINZI, Wizi, dhuluma, uuaji, uongo na kujisifia and ubora wa Dini yako bila kuendana na matendo yako ndo mnaona ugumu YAANI ILI UJIONE WEWE C MWENYE DHAMBI UNAKANA KILA KITU..... Sema kuhusu adhabu ya huko kuzimu kuna Dini fulani hivi imeelezea sema haiamini kuhusu no.2 nadhan coz ya kulelewa na Dini toka utotoni Dini Imekuwa kimazoea sio deep imani... AMINI MUNGU +MATENDO YAKO HATA KAMA UTAMWAMINI MTU
@emmaraphael59823 жыл бұрын
Ni kweli sis tumefichwa na mambo ya neema ila ya ajabu kila kukicha tunaviona pls pofect David tuombee kwa mungu atufungue atupe macho ya rohon
@emmaraphael59823 жыл бұрын
Mi DAVID naomba nione malaika hao pls naogopa san dhambi nahitaji nguvu ya mungu ndani yangu
@kakajoss24643 жыл бұрын
DM hebu mwulize kwa nini hana mpango wa kufungua kanisa Kenya.
@brendajadevera95973 жыл бұрын
Naomba pia nami nitembelewa na malaika
@kdbmcee7893 жыл бұрын
Prophet anapenda kusema sijui kama unanielewa😂😂😂
@emmaraphael59823 жыл бұрын
Kwa sababu anataka tujue hiki kinachoongelewa kipo na anaendelea kuviona mi napenda na naamini anachoongea isee sijui hata ni kwa nini,,,tena naumia akitaja baazi ya matukio
Mungu wetu ni tajiri so lazima na sisi tuwe matajiri
@zeuscus5013 жыл бұрын
الْحَمْدُ لِلَّهِ فَاطِرِ السَّمَاوَاتِ وَالْأَرْضِ جَاعِلِ الْمَلَائِكَةِ رُسُلًا أُولِي أَجْنِحَةٍ مَّثْنَىٰ وَثُلَاثَ وَرُبَاعَ ۚ يَزِيدُ فِي الْخَلْقِ مَا يَشَاءُ ۚ إِنَّ اللَّهَ عَلَىٰ كُلِّ شَيْءٍ قَدِيرٌ (FAAT'IR - 1) Sifa zote njema ni za Mwenyezi Mungu, Muumba wa mbingu na ardhi, aliye wafanya Malaika kuwa wajumbe wenye mbawa, mbili-mbili, na tatu- tatu, na nne-nne. Huzidisha katika kuumba apendavyo. Hakika Mwenyezi Mungu ni Muweza juu ya kila kitu.
Mi kwakweli nikiona mtumishi wa mungu ni tajiri na mwingine pia ni maskini si shangai kwasababu wote ni wa mungu kama ilivo hata makanisani kuna waumini walioko matajiri na wengine ni maskini ila wameokoka lakini pia tukisoma Biblia mfalme DAUD ayubu sulemani walikuwa matajiri lakini pia eliya na lazaro walikuwa ni maskini lakini wote wali muabudu mungu kwaiyo mtumishi wa mungu kuwa tajiri siyo zambi
@jamesolando24793 жыл бұрын
Mr Dm mkumbushe kuhusu masheikh walivyomuekea vikao wamuangamize kwamba anazuia njia zao
@fahadjinni58453 жыл бұрын
Lini hio???
@wazomyakinifu23013 жыл бұрын
Davista mpe muda jamaa asimulie mambo aliyoyaona. Acha mbwembwe nyingi zinazokatisha mtiririko wa stori ya msimulizi. Unajazia mno mambo mengine mengine. Acha nabii atiririke bwana. Achana na mambo ya vitu vitu vya kununua km mavazi, saa, magari, nk
@الوردالورد-ز4غ3 жыл бұрын
Nakwambia anashobokea vitu vya nabii kweli
@fidelbarutwanayo40683 жыл бұрын
Davista ujue Dunia hii watu wamekuwa wakifanya maongezi na rusifer na wamekuwa akiwatumia kufanya vitu anafundisha technology has a wazungu ndio kazi zao
@sheikhabdallahiddi33503 жыл бұрын
kwasisi waisilamu atuamini mtu anaweza kuonana na mungu akiwa hapa duniani. , davistar aiwezikani mtu kuonana na mungu ushahidi ni pale nabi Musa alipo mwambia mungu katika mlima Sinai ewe mungu nataka nikuone dhahiri mungu akamwambia Musa agalia juu ya mlima nitajidhirisha .alipo ataka kujidhirisha mlima ulisagika kukawa na mgurimo mikali Musa akazimia akuweza kumwona mungu.laki anaisikia sauti yake mungu. davistar huyu jama ni wa ajabi eti yeye kamwona mungu. jamani wahongo ni wengi
@kelvinndokole83673 жыл бұрын
Kama kuna watu washawai kwenda kuzimu Nakuonana na shetani Live au Majin au wengine wakaaishi na majini au kuzaa nao hao Majin.....au kwneda baharin je Mungu hawez kufanya hivyo.......???????? Sikiliza vitabu hivyo Ni sehemu ndogo sana ya uhalisia wa Mungu ...Mungu Hana mipaka au ufahamu wako wakuto Amin haiwez mpangia Mungu kufanya anacho taka kufanya.....so kabla ya kubisha tumia akili ya kutofautisha Mungu na binadamu .......watu mnaamini Majin kuliko Mungu poooole
@kelvinndokole83673 жыл бұрын
Kuna tofauti Kati ya Dini na UKWELI...kuwa mwepesi wakusikiliza na kutafakali kabla ya kutumia din kutoa hoja.....din ni iman ambayo wewe umezaliwa nayo maana Yake Ni msingi ulip jengwa kwa muda mlefu....haiwezekan wewe ufike miaka 30 ukaja ukaambiawa baba ako Alie kulea sio mzazi wako kwa siku moja tu....???? Huwez Amin kiaalaka bas hata mambo ya Imani kinacho kufanya ubishe Ni msingi ulip zaliwa nao umejijenga ndani ya moyo wako ..huku ukizani uko sawah kumbe roooh
@wazomyakinifu23013 жыл бұрын
Nadhani umwelewe msimulizi. Ni kweli hakuna mtu anaweza kuonana na Mungu kwa mwili huu wa nyama. Lakini msimulizi anaonesha kuwa ktk matukio yake yaliyo mengi yy huwa ktk roho, ktk Ulimwengu wa roho. Mwili wake wa nyama hubakia kitandani au ndani pindi anapokuwa ktk maono. Ni ktk huo mwili wa roho ndipo anabahatika kukutana na kuona yote hayo. Sema tu labda hatuna mazoea jinsi ukiwa ktk mwili wa roho hali inakuwaje. Wengi tumezoea kuwa ktk mwili wa nyama ndiyo twaona haiwezekani kuwa hivyo. Hata mfano wa Musa ilikuwa ni hivyo hivyo kuwa asingeweza kumuona Mungu akiwa ndani ya mwili wa nyama huu. Lakini kwa mwili wa kiroho na maono hayo anayotushirikisha ndugu yetu yafaa tumuelewe tu.
@johnwanuma72093 жыл бұрын
Bibilia haisemi mtu hawezi ona mungu, ila huwezi muona uso ukaishi, Musa alimuona, mugongo, wazee 70 WA islael walimuona mungu mlimani, Sinai, Isaiah alimuona mungu Isaiah,6:1, yohana katika ufunuo alimuona bwana,
@wazomyakinifu23013 жыл бұрын
@@johnwanuma7209 Nadhani iko hivyo. Itakuwa yawezekana kuona sehemu yake tu. Na siyo yy mzima mzima.
@jobmuchiri75142 жыл бұрын
Davista hunichekesha sana
@florencerose8593 жыл бұрын
Hauwezi ingia kwua kanisa na kofia,atakukula sio poa lakini maji ni kawaida unatumia bali poyote
@imagepower36413 жыл бұрын
story nzuri sana
@pilimusa77703 жыл бұрын
Sana
@ayshamahariq66653 жыл бұрын
@@pilimusa7770 sana
@jinyaminkuba13913 жыл бұрын
Nimewaerewa najifunza sana IRA tutawajuaje watumishi waongo
@geitandelwa2992 жыл бұрын
Kama mtu anahubili KUHUSU kutubu dhambi na kuacha huyo Ni mtu wa MUNGU MAANA injili ya YESU NI KUTUBU dhambi na kuacha
@learnselfdefense7653 жыл бұрын
NAONA SHETANI KAMA ALIVYOMWAMBIA JAMAA WATU KUWA ANAFANYA MANUVERS WATU AWATAMWAMINI. . TAYARI ISHAKUWA SHETANI KASHINDA TENA MUNGU ATUREHEMU
@mkuluwaukae22213 жыл бұрын
Mm hii story nimeogopaga kuskiliza nlivoona eti kaenda mbinguni mara 30 😢😢😢
@zakiarama98423 жыл бұрын
Uwongo huo
@omanghomangh90983 жыл бұрын
Yan kufuru mpaka unatetemeka
@khadijaomari93443 жыл бұрын
@@omanghomangh9098 wallahi
@ericalexandre21663 жыл бұрын
Normally mwanadamu hawezi kwenda mbinguni ao Peponi bila kufa ingawa kuna wanadamu 2 walio kwenda bila kufa, Nabii Elia na Enoch maana hata Yesu alikufa akafufuka ndo kaenda
@geitandelwa2992 жыл бұрын
Walio kalibu na MUNGU MBONA WANAONGEA NA MUNGU MUDA WOTE NA WANAONYESHWA MAMBO MENGI YA MUNGU NA YA shetani
@saidhamad5333 жыл бұрын
Sasa mungu unasema haelezeki.ikiwa kuna wanaosema yesu ji mungu je yesu haelezeki?
@ericalexandre21663 жыл бұрын
Yesu sio Mungu, alizaliwa na mwanadamu ambae ni Mariam
@salumsamesame17413 жыл бұрын
Amina
@happymrema67283 жыл бұрын
Wewe Kaka
@serengetishipping21962 жыл бұрын
Hawa waongo wengine badi jamani
@bekaleonard83413 жыл бұрын
Ndio
@qelseykenya39333 жыл бұрын
Hapo kwa big G chewing gum NIMEWAHI katazwa kanisani
@Sarah-hl9lr3 жыл бұрын
Nadhani ni ju ya ustaarabu tu
@qelseykenya39333 жыл бұрын
@@Sarah-hl9lr nilikasirika sana pia niliskia kuwa mtu anaweza kuwa anatafuna madawa ziharibu ibada
@Sarah-hl9lr3 жыл бұрын
@@qelseykenya3933 sasa madawa c mtu atatafuna kisirisiri haha, ila kuna watu wao kila kitu wanakitafsiri kishirikana alafu hawana hekima yakukanya mtu ndo maana uyu prophet anasema wakristo wengi Sisi ni wanafki
@qelseykenya39333 жыл бұрын
@@Sarah-hl9lr true true I wish I saw how that woman alinitoa church sikurudi huko
@Sarah-hl9lr3 жыл бұрын
@@qelseykenya3933 aky pole yani ulitolewa ... hawakufanya poa aky pole najua ulifeel vibaya saana msamee tu uombe Mungu akuoneshe church ingne uende ..... sasa ata kama ingekua ni dawa alafu akufukuze atakua amesaidia nn akufanya poa aky
@hancymachibbula43553 жыл бұрын
Muulize je anaamini katika Mafuta ya upako?
@geitandelwa2992 жыл бұрын
Ameongea KUHUSU Imani za uongo
@erickkyando10913 жыл бұрын
Unazingua una maswali mengi ambayo hayana msingi unakatisha mahubiri
@zeuscus5013 жыл бұрын
Fourth to reply 👏
@moreenmbatha11473 жыл бұрын
Zuu niko number 1
@ayshamahariq66653 жыл бұрын
pia mm w kwanzaaa😂😂💃💃
@pilimusa77703 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 hongera
@pilimusa77703 жыл бұрын
@@ayshamahariq6665 muongo kaaa🤣🤣🤣🤣
@ayshamahariq66653 жыл бұрын
@@pilimusa7770 umeona eee🤣🤣🤣🤣💃💃💃
@geitandelwa2992 жыл бұрын
Ni KWELI kabisa nguvu za MUNGU Ni zile za KUMUTAFUTA MUNGU TU sio maigizo
@macamezungu70313 жыл бұрын
Together 💯🔥
@berthamghanga10933 жыл бұрын
Yani Davistar mchimbi Sana, unaulizia hadi bei ya simu hatari😂😂😂😂😂
@kakajoss24643 жыл бұрын
Hadi anamuonea wivu anatamani awe nabii kiwango hicho pia. Anatamani utajiri sana
@allanothuman29413 жыл бұрын
je unaamin km huy ni nbiii
@khadijaomari93443 жыл бұрын
@@allanothuman2941 😉😉😀
@kakajoss24643 жыл бұрын
@@khadijaomari9344 simulizi lake li wazi. Hawezi danganya.
@allanothuman29413 жыл бұрын
@@khadijaomari9344 👏🥰😘😘
@macamezunguzungu56973 жыл бұрын
Together 💪🇹🇿🔥
@shubimwela47453 жыл бұрын
Dah namwamini sana huyu Prophet, hila Davistar unaongea sana bana acha prophet atuelezee sasa wewe unachukua muda na bundle linaisha kwa story zako.
@moreenmbatha11473 жыл бұрын
Pill musa ujatoka mbinguni dear
@ayshamahariq66653 жыл бұрын
@@sweetie6934 😀😀😀😀😀
@pilimusa77703 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 mbavu zangu
@pilimusa77703 жыл бұрын
Hujambo best
@pilimusa77703 жыл бұрын
@@sweetie6934 jirani hujambo
@pilimusa77703 жыл бұрын
@@sweetie6934 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@lazarojohn80803 жыл бұрын
Davistar hii stori niyakweli mimi namwamini sana huyu nabii
@meenalaza28393 жыл бұрын
Kama movie yani
@pilimusa77703 жыл бұрын
Kabisa yani
@happymrema67283 жыл бұрын
Unaongea vizur
@kamachohebrania41373 жыл бұрын
Akaonana na nani?? 🤔🤔🤔🤔🤔🤦🏿♂️
@khadijaomari93443 жыл бұрын
na mungu. maraika. shetani.rusfa.nk😀😀😀😀
@kamachohebrania41373 жыл бұрын
@@khadijaomari9344 🤭🤭🤭🤭🤭🤭🤭🤭🤭😩😩😩😩😩
@geitandelwa2992 жыл бұрын
Umeongea vizuri MUNGU HATAFAKALIKI YY NI WA AJABU ILA YY HAPENDI DHAMBI
@msrj57643 жыл бұрын
Wakwanza nipen likes zangu jamani
@ayshamahariq66653 жыл бұрын
Hongera
@hancymachibbula43553 жыл бұрын
Nabii gani huyu kavaa matakataka mkononi kama wahuni wengine tu.
@avierastevens51413 жыл бұрын
Acha kutoa maneno yasiyokuwa na hekima kwa NABII wa BWANA utakuja kupigwa fimbo wewe
@khadijaomari93443 жыл бұрын
😀😀😀😉
@hancymachibbula43553 жыл бұрын
@@avierastevens5141 Hakuna kitu kama hicho fumbua Macho.
@strongweakpriceactiontradi97613 жыл бұрын
We pray for you 🙏🙏☺️
@barakashamba58113 жыл бұрын
Davistar uje umtafute mama mmoja wa Mbeya na yeye anaushuhuda mzito wa kwenda mbinguni na kuzimu, kama atakubali kufanya nae kipindi itakuwa Vizuri sana. Anaitwa Nyisake Chaula Andika "USHUHUDA WA NYISAKE CHAULA" humu KZbin taona namna alivyosimulia. Fanya kipindi nae utuletee pia. Asante
@jotafungo46223 жыл бұрын
Jamaa akienda tena Kwa Mungu mwambie ampe hi
@nxym2tired3 жыл бұрын
😂😂😂
@pilimusa77703 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@pilimusa77703 жыл бұрын
Yani anakwenda kila siku dah
@jotafungo46223 жыл бұрын
@@sweetie6934 ni ombi tu
@jotafungo46223 жыл бұрын
@@pilimusa7770 mashaka sana
@ibrahimabdallah94303 жыл бұрын
Tunamkata Latino bhn
@pilimusa77703 жыл бұрын
Latino imeisha
@serengetishipping21962 жыл бұрын
Uende peponi ??? Nyie watu msikubalibkudanganywa kama wajinga
@officialkamdudu3 жыл бұрын
mimi nachojua siku ya qiama tutafufuliwa wote na tutaenda viwanja vya hukumu na baada ya hukumu ndipo wa peponi wataenda peponi na wa motoni wataenda motoni. sasa unaposema tayari watu wameshaanza kutumikia adhabu zao motoni siku ya mwisho ina maana gani sasa ? acheni maigizo bhana…
@zeuscus5013 жыл бұрын
Anazungumzia kuzimu ya duniani
@officialkamdudu3 жыл бұрын
@@blessedlovedandfavoured4129 halafu wakitoka kwenye mangojeo wanaenda wapi wakati tayari wako motoni?
@seasonepisode33283 жыл бұрын
@@officialkamdudu wapo ktk mateso moto bado..moto ataingizwa shetani na aho waliopo kuzimu..kuzimu ni sehemu ya shetani baada ya kulaaniwa. So ukifa saiz ktk maasi unàenda kuzimu kule ni mateso tuu mpaka Yesu akishuka ndipo mnaungana na shetani na wale majini woteee motoni moja kwa moja..
@seasonepisode33283 жыл бұрын
We unazani kwann wachawi wanaua?kuzimu ipo na yenye mateso mazito mateso tofauti ila moto bado..moto ni jehanamu nafas zenye zambi saiz zipo kuzimu kwa shetani. Ndo uko gamboshi si story kibao apa tunazisikiza. Uko kwa malikia baharini uko nako ni kuzimu uko ni mateso tuu ..msikikize zabroni utaelewa alisema gamboshi wapo watu walio kufa duniani miaka mingi kule wapo wanatumikishwa wengine wanazeekea uko...na siku ikifika siku Mungu alio andika ya kifo chako unakufa tena uko uko. Yan watu wengi wanauliwa na wachawi wanapelekwa kuzimu au wengine wanakufa kwa utajiri wa mali nao wanaenda kuzimu. Jehanamu badooo. Sisi binadamu kwa shetani na majini ni maadui so akikuchukua jua ndo umekwisha. Kibaya zaidi anawatumia ndugu zetu kuuwana wenyewe kwa wenyewe ila shetani ndie anae faidi. Anabeba roho yko na kuipeleka kuzimu. Siku ikifika motoni
@officialkamdudu3 жыл бұрын
@@seasonepisode3328 hizo zote ni story ambazo hazina uhakika 100% maana ni tofauti na imani za dini. sasa Shetani atakuchukuaje akakupe mateso wakati ulikua unamtumikia yeye? je kinyume cha hapo wengine wanaenda wapi? maana huwezi kusema 100% ya watu wanaokufa wanaenda huko mnakokusema nyinyi
@ryhislamminamuonamsengetu91113 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
@lindazawadi7323 жыл бұрын
Davista you ask to much you just need to ask about God only
@esthermgonja44753 жыл бұрын
Doh hata sielewi. Mungu atusaidie jamani...ila kuna watu wanajua kutunga khaaa