Hey bro...ningependa kukutana na huyu kaka am from Kenya and I really love his story
@mwanaidishadhily-jz6xb Жыл бұрын
Dah..🤣huyo jamaa nilipishana nae uchochoroni maeneo ya kichangani tandika..weeee🤣 ile hofu tu mkojo ulikuja ghafla namjua sio poa alikua kifaru kifaru kweli..weee
@joycemuhoja4729 Жыл бұрын
Nashukuru umebadilika Bro big up Sanaa
@mahengomwenyewe4204 Жыл бұрын
Dah miaka hiyo kichangani tunaogopa balaa huyu mwamba wa mtoni kweli katisha sana
@lizzybeth6344 Жыл бұрын
Umeona bhana🤣🤣
@patrickjoseph7593 Жыл бұрын
Umenusurika Uteja mwanangu,Mtoni vijana wenzio wa Enzi hzo wote wanakula Ngada
@aboually24729 ай бұрын
Duh mbwa mwtu s wamiaka ya karbun tuu kma sio 5 bas 6 hv
@josephjonass3050 Жыл бұрын
I like it
@abdimohamed3953 Жыл бұрын
Mbwamwitu charambe foma lilibamba kweli miaka hio hatari sanaa
@tanzaniayetu1 Жыл бұрын
UNAONA BWANA😁
@kilogreekachananawatuwasio4054 Жыл бұрын
NIKUAMINIA MWAMBA NIMEPENDA SANA STOLY SAKO KUWAFUNDISHA VIJANA WETU WAPIGE KAZI KIALALI 🇹🇿🇬🇷🙋
@neymuu3086 Жыл бұрын
Kuna mwaka alikamatwa watu wakawa wanashangilia akawa anatuangalia.. ikawa watu wakienda kumuona anatuma salamu waambieni walokuwa wanasahangilia nimewaona nikitoka huku nakata kata makalio yao.... Alivyotoka ilikuwa mtu ukimuona yuleè unakimbia🤣🤣🤣🤣🤣
@scholamwasi2782 Жыл бұрын
Kauli mbiu yetu kwenye story hii UNAONA BHANA😄😄😄😄
@masoudmasasi1801 Жыл бұрын
hahahahhaah
@mkanulamajid500 Жыл бұрын
Hahhaaaaa umeskia bhanaa
@mtengwadj9390 Жыл бұрын
Sauti yake Kama Musa Chesa
@jeremiahmagau8623 Жыл бұрын
nice story na kipindi kizuri but host anazingua, mara ashike simu, mara apige miyao, mara afungue vifungo vya koti mara anajionesha kachoka, ajitahidi ku observe ethics za kazi zake. Mara ahangaike na kiti
@phoenixdsm765 Жыл бұрын
acha kunyanyka kila sekunde
@tanzaniayetu1 Жыл бұрын
Line SIO ZA FUNGA POINT(Finger print) 😂😂
@theblackandrew4119 Жыл бұрын
First to like and comment
@ramerkiangoh3090 Жыл бұрын
mtoni mtongani relin (NAKOZ CAMP) ishi humo bro yalemaisha sio
@treyvissy9854 Жыл бұрын
Oya hao mbwa mwitu sio poa .. hadi mitaa ya mwenge nilikuwa nawasikia show zao huko mbagala
@shukrimusa528 Жыл бұрын
Huyu anafaa kufungwa,mbwa huyu hata hajutii kubaka mwanamke na watoto.
@sophsoph4740 Жыл бұрын
Yan naumia
@loycesaid2352 Жыл бұрын
Hii story mbona kama inatisha mwamba kwanini hajaficha sura