MUNGU akubariki sana prophet simama imara kabisa na Kazi ya MUNGU utabarikiwa zaidi na zaidi uzidi kufungua watu kutokwa kwa utumwa wa ibilisi bwana yesu apewe sifa milele nguvu na ufukufu ni vyake milele tumsifu MUNGU ni wa neema kubwa. tuombee sana prophet..
@fidelbarutwanayo40683 жыл бұрын
Tatizo huwa mnaamini mtu kwenda kuzimu lakini mtu akisema kamuona Malaika kila mtu huwa anakuwa kwenye Dunia yake ila tunaweza msikia wote
@rahaisacl99543 жыл бұрын
Kwakwel mpzi kwann shetani aeze kukupa majini 1000 why mungu asikupe malaika wake na yy wakulinde mm namuamini kwakweli acha mungu atuonyeshe yake tumepotea sn
@abdimohamed39533 жыл бұрын
Upo sahihi mnoo ninacho gundua watu wamezoea habari flani hizi zingine zenye neema ndani yake watu hawapo teyar kuamini Bali ninaimani had mwisho wa story mwenye akili na maarifa atapata kuelewa na kujifunza zaid nayaweza kua akapata kurekebika Kwa namna moja ama nyingne
@Samir200053 жыл бұрын
Nime barikiwa kweli from 🇺🇸
@miriamngosha68563 жыл бұрын
Yaani Davista una araka 😃 yaan katika story zako zote hii ndiyo unakiwewe sana yaan una muhao sio wa nchi hii 🤣🤣🤣🤣🤣 embu tuliza mzuka bas boss
@subiramohd18953 жыл бұрын
Muulize davi daah hawa mitume wa uongo muulize hasaaaa usimuache salama
@just_this_way3 жыл бұрын
Za kina Zabron na kina Lwanda magere.
@just_this_way3 жыл бұрын
Yani ni uongo tu. Ht stor ya yule shekh omari ni ya uongo. Stori za kweli ni
@sayari_ya_simulizi3 жыл бұрын
Yeu kafa,kaadhibiwa kuzim..yesu n mungu yesu n mwan w mungu ...tuelew vp
@mariamndimbo88333 жыл бұрын
Vyote amini
@idanysedrc12003 жыл бұрын
Kijamaaa kiongoo😃😃😃😃😃 Hamna shalobaro akamjua mungu
@jamesolando24793 жыл бұрын
Ukweli ni upi ndugu?
@sayari_ya_simulizi3 жыл бұрын
Mungu ana roho ...so anaweza kufa
@alfambaga98233 жыл бұрын
Mungu ni Mungu tu
@costantinekikinda75743 жыл бұрын
Acha ushetaniki story uwezi mwona mungu ukaishi
@sayari_ya_simulizi3 жыл бұрын
Hakuna aliewahi kumuona mungu
@sadamkhamis19563 жыл бұрын
🤣🤣 kwa kweli triple hii tumewezekana
@nurafedrick3783 жыл бұрын
Round hii mko mahalii pazuri hongereni kama nikwa prophet hongeraa zake
@maserafirecord81783 жыл бұрын
Haya nimambo ya Ndani sana ki roho wengi hawawezi Eliwa Lazma uwe Wa Rohone Ndo Uelewe
😳😳😳😳😳😳😳😳huyu jamaa nimuongo jamani duh kitu cha Arusha bado kipokichwani mwake
@pili37503 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@ole_larusai5873 жыл бұрын
Davistar unafeli wapi ndugu yangu? Hii story ni ya kutunga! Tuletee sheikh Mnyeshani kaka.
@jamesolando24793 жыл бұрын
Ila za kichawi ndio sio za kutunga?
@ole_larusai5873 жыл бұрын
@@jamesolando2479 sijamaanisha hivo. ..ukisikiliza vizuri utajua ni za kutunga...kama yule Danny naye alitunga tu
@jamesolando24793 жыл бұрын
@@ole_larusai587 sehemu gani ya story uliyosikiliza vizuri ukaona hapa katunga?
@saidessry99423 жыл бұрын
inawezekana ikawa sio ya kutunga lakini aliwowaona moja kwa moja ni mashetani mtu mvuta bangi anapewa utume ndani ya miezi mitano ila mengi ktk maneno yake anatoa ktk ufahamu wake binafsi kila maswali anayoulizwa anajibu kwa ufahamu wake na ianoneshea bado kijana mdogo hajapekua vitabu vya kutosha lazima tuwe makini asante alphonce
@jamesolando24793 жыл бұрын
@@saidessry9942 kwa nini wawe mashetani na sio malaika?
@kahindiwanje903 жыл бұрын
Safi Sana broo
@suzansimon52963 жыл бұрын
Yahvo mbn n kawaida tuu hata mm huwa naota mengi yatakayotokea mbele
@jotafungo46223 жыл бұрын
😂😂😂atakayemaliza hii story atanihadithia. Mi naona mapichapicha tu😂😂😂
@user-wv3th2ln4d3 жыл бұрын
Yani mimi ndo kwanza alivoaanza2 naona mapicha picha2
@jotafungo46223 жыл бұрын
@@user-wv3th2ln4d tumepigwa😂😂😂
@sayari_ya_simulizi3 жыл бұрын
Mm naskiliza story....ila nina uhakika 💯 jamaa kaonana na falme ya majini waovu kaja kuwapoteza na hawa watu wa humu
@glorynguma35933 жыл бұрын
That's my Dad MTU hatarii sana
@costantinekikinda75743 жыл бұрын
Kanisa lako nalipiga na kuliangamiza wewe na familia yako acheni uchawi kwajina la YESU KRISTO MUNGU WETU AMEN AMEN mgeukieni mungu haraka kama hamtogeuka basi nafyeka wote na kanisa nalifunga kwa jina la YESU KRISTO AMEN
@nurafedrick3783 жыл бұрын
Haha Mata bn eti usiachee hata moja hatakama tutachukuwa mwexi mximaa😂😂😂😂💥💥
@oscarkibate19133 жыл бұрын
Mungu atusaidie tuwe macho wakristo
@faridaahmed26713 жыл бұрын
Eti nikamkasirika mungu jamani😂😂😂😂
@mariamndimbo88333 жыл бұрын
Yes
@happykajeli54533 жыл бұрын
Asante baba yangu unanijenga ktk imani
@makame35243 жыл бұрын
Mr dm mulize alimuona furkum wa mnyeshan alipoenda uko mbinguni🤭
@khadijaomari93443 жыл бұрын
😀😀😀😀😀
@just_this_way3 жыл бұрын
Yani stori ya Uongoooo. Eti malaika wana jinsia 😳😳😳
@jonnyfranco53183 жыл бұрын
Wap nchibalonda aje kuskia hii k2
@achsahcharles67283 жыл бұрын
😂😂😂yuko Kalemii
@nurafedrick3783 жыл бұрын
Mata kilamwanadamu anamalaika wake wakumilindaa
@swaeleesalim12723 жыл бұрын
Interesting story tunataka movie sasa
@happynesskimt62493 жыл бұрын
Na mimi nafatilia ila sielewielewi 🤭😅😅😅😅😅
@paulagola9193 жыл бұрын
Bakora za kimkakati yupo wapi?huyu wa kuvaa jeans zilizochanika mwache ahojiwe na daniel shillah 🤣🤣🤣
@marthachai.humjuimalaikata9393 жыл бұрын
Ukiwa unajua hii haikubari Acha kuangalia na inamana inakubariki ukiendelea kusikiliza story za uongo ndio watu hupenda lakini za kweli kwao huboeka.
@saidessry99423 жыл бұрын
ninaswali hivi malaika wanamuasi mungu halafu malaika anaweza kushindana na jini nakushindwa nakusudia level ya malaika ni sawa na majini maana naona jibrael alizuiliwa mbinguni siku 21 na mapepo hii ni toomuch huyu kijana ameshukiwa na malaika wakubwa ambao hata hao mitume waliopewa vitabu hawakushukiwa nawo kashukiwa na mikaiil na jibriil namuaminia kwa faida kila mtu ana malaika wawili na anajini mmoja kila mtu anawo malaika kazi zao ni kuandika mema na mabaya yako na huyu jini ni qarin wako unazaliwa nae kazi yake ni kukshawishi ktk maasi hivi viume haviingiliani na binadamu wapo kazini mpaka unakufa
@saidhamad5333 жыл бұрын
Noma
@marthachai.humjuimalaikata9393 жыл бұрын
AAA dada humjui malaika Tamuel Kwa kuwa hutumiki Kwa njia hiyo
@evalineawary36043 жыл бұрын
Watu mmezoe story za kichawi mara majini mpaka mmekolea hata mungu aliye hai mmemsahau, na yeye pia anamatukio kuzidi hao mnaowafagilia yeremia17 amelaaniwa yule amfanyaye mwadamu kuwa Kinga yake, mwaminini mungu
@vellarose25963 жыл бұрын
Amen Amen🇧🇭🇰🇪👏🏽👏🏽👏🏽
@vaghoghontweki98273 жыл бұрын
Davistar hebu punguza basi maneno tupate series ya matukio,,,,hapo hata mfuatano wa matukio haupo kabisa,,,,,,muache atiririke ujaribu kuuliza a penye ulazima🙏🙏
@shukuruilomo7683 жыл бұрын
Nakuelewa sana
@shamimhayat76373 жыл бұрын
Huu uwongo wa kipuuzi
@user-wv3th2ln4d3 жыл бұрын
Atakae maliza anihadithie jmn miye naona mapicha picha2 kama yote
@faridaahmed26713 жыл бұрын
😂😂😂malaika hana jinsia apo umechemsha
@nsubisingailo50063 жыл бұрын
Na mimi usinisahau kwenye mgao wa energy drink
@andrewbigambo67213 жыл бұрын
Sijamfustilia nimesoma maoni nimeshapata picha halisi.Anisidie kupata picha alizopiga mbinguni. Ni hivyo tu.
@suzansimon52963 жыл бұрын
😂😂😂
@edwardsamwel50843 жыл бұрын
Pamoja sana nabi
@frankanold98033 жыл бұрын
Hakika wewe Ni Mtume wa MUNGU
@danieljoseph16103 жыл бұрын
Hi story ni mchosho tu! Tuleteeni story makini ndugu! Huyu jamaa kila kitu anadanganya tu! Hana tofauti na aposto maziwa!
@jamesolando24793 жыл бұрын
Mzee aposto maziwa alikupiga nini? Na kama unasema ni uongo je kweli kwako ni ipi?
@valentinandukuvalentinandu47793 жыл бұрын
na fimbo ya mb maziwa
@danieljoseph16103 жыл бұрын
Mi siwezi kupigwa na manabii wa uongo! Sahau! Walioenda ndo wanao smulia tunayajua!
@angelbenjamin73263 жыл бұрын
Mungu ni mwema
@qelseykenya39333 жыл бұрын
Mimi nipate zawadi Great fan nawapenda bure
@upendoluv71973 жыл бұрын
Davista bhana Eti anakupa hela
@kimsamespa84903 жыл бұрын
Nilisikia urefu wa Malaika ni gorofa 4 kwenda juu anatisha kweli
Davista hebu kaa mbali na mabilisi kama hawa hee hee duuu moto unachochewa huko kwa ajili ya binaadamu umeonana na munguu au ulimuona babaakoo
@pilimusa77703 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@rogermomodesty35683 жыл бұрын
Umenikosha Sana ungekuwa karibu yangu ningekupa chochote
@shimii36623 жыл бұрын
Alimuona baba ako
@pilimusa77703 жыл бұрын
@@rogermomodesty3568 nipe mie badala yake🤣🤣🤣🤣
@francisgaudence5113 жыл бұрын
Tutafutie hamza atueleze kuhusu Israel na Palestina
@Sarah-hl9lr3 жыл бұрын
Haha Davy eti moto utapungua?
@rashidiwataka76183 жыл бұрын
Davister mic 🎙 yako hipo mbali sana sauti yako atusikii sawa swali zako
@elizabethjohn71773 жыл бұрын
Nauifikishe zawadi
@valentinandukuvalentinandu47793 жыл бұрын
napia ututajie hawa mitume waongo
@berthamghanga10933 жыл бұрын
Hilo nalo neno, atutajie tuwajue
@carolinewanza26483 жыл бұрын
Mm ningeomba kama inawezekana nikaongea nae ju nina matatizo
@ahyatibenn83193 жыл бұрын
Astaghafirullah...
@rosemarry20203 жыл бұрын
Devi naomba namba zake tafadhali sana
@alphoncekusaja11143 жыл бұрын
Nahtaji kulifaham kanisa lake
@juliusmushi64283 жыл бұрын
Davista mi zawadi yangu nitakuja kuchukua mwenyewe
@qelseykenya39333 жыл бұрын
Nikija tz lazima nitafute kanisa lake
@evasaimon67642 жыл бұрын
Shuhuda haieleweki haina mpangilio wa matukio yan kelele tupu
@pilimusa77703 жыл бұрын
Nani aliye muhukumu Yesu?
@mariamndimbo88333 жыл бұрын
Yesu ajahukumiwa
@musicworldwide26253 жыл бұрын
Okay okay okay sawa
@rukiyaissa20053 жыл бұрын
Muong mkubwa ww
@khadijaomari93443 жыл бұрын
😀😀😀😀😀
@ole_larusai5873 жыл бұрын
Davistar niseme tu nilikuwa nakuamini sana! Sasa naona umekuwa kama unashindwa kutambua stori za kutungwa? Huyu ndio wale akina Mtakatifu Mziwa! Ni walewale! Akiimaliza huu uongo uniwekee sheik Omary niendelee kupata shule.
@just_this_way3 жыл бұрын
Na mimi nakusapoti. Yani ni stori ya uongo.
@just_this_way3 жыл бұрын
@@ikabako2454 Ninyi wakristo mmezoea hizo fix, sisi waislamu hatu-intatain mambo ya fix. Kwa waislamu ukija na hizo fix unatiwa bakora mpaka unashika adabu.
@ole_larusai5873 жыл бұрын
@@ikabako2454 hatuwezi tukanyamazia upuuzi wa kusimuliwa uongo. Hii channel bila sisi watazamaji haina maana
@happyperson30163 жыл бұрын
Huyo spiritual father wake ndio bonge la false prophet...matukio kibao amekuwa na scandal juzi tuu
@georgemaji79153 жыл бұрын
Huyu kaka ni takataka ya Ibilisi: rusifer!
@jamesolando24793 жыл бұрын
Kwa nini sio Mungu iwe ibilisi?
@macamezunguzungu56973 жыл бұрын
Duh🙄💪
@jesusislord91903 жыл бұрын
Haya.... twende..labda tutaelewa
@nsengakabulo40763 жыл бұрын
Davist tupe story ya mana siyo iyu tutakajioneya siku ya mwisho njo tukawajuwe namAjina ya malaika
@abushaddad9893 жыл бұрын
Uongo mkubwa Malaika hawana jinsia Acha kudanganya kijana.
@paulinerathgeber10453 жыл бұрын
Wajuaje hayo?
@rahaisacl99543 жыл бұрын
Prophet ako na macho matatu........ Atupe no jmn tunahitaji maombi
@chingaboy69173 жыл бұрын
Hii story ikiisha mtaniadisia yani uwongo mtupu
@florencerose8593 жыл бұрын
Malaika jina Tamael? Hilo ni kigeni kwuangu na Mimi ni mkiristo
@bensonswai75753 жыл бұрын
Ulitaman bibilia iwataj wt maelfu ya malaika yangeixha na ww tumika kiroho iliuzbtxh co mkristo jna afu unaongea ongea
@milkahotieno21983 жыл бұрын
Safari ya mbinguni ya pendeza
@kakajoss24643 жыл бұрын
Mtumishi yuko sawa huyu
@petersume27803 жыл бұрын
Mbona kama movie hivi, au imani yangu haba.
@Sarah-hl9lr3 жыл бұрын
😁😁 engeza imani
@user-wv3th2ln4d3 жыл бұрын
Asitaghafrulilah Jamani dunia naona imefika mwisho 🤣🤣🤣🤣🤣
@jamesolando24793 жыл бұрын
Unahitaji kujifunza zaidi.akili yako isifungwe kwenye be open minded. Hivi mtume Muhammad alikutana na nani kule pangoni?
@user-wv3th2ln4d3 жыл бұрын
Achana na habara za mtume Muhammad huyo anaongea habari za mtume Muhammad acheni kufanya comedian jmn aty amalaika wakiume anamabawa🤣🤣 astaghafrullah
@jamesolando24793 жыл бұрын
@@user-wv3th2ln4d malaika unayemjua wewe yukoje?
@user-wv3th2ln4d3 жыл бұрын
@@jamesolando2479 my brother miye sijawahi kumuona malaika na sijui umbo lake lkn haya ninayo yasikia hayaingii akili
@jamesolando24793 жыл бұрын
@@user-wv3th2ln4d sister moja hujawahi kumuona malaika, lakini pili hata umbo lake hulijui, sasa inakuaje unaanza kupinga? Ungekuwa unajua basi ungetwambia kwamba hayuko hivyo bali yuko hivi, unahitaji kujifunza zaidi dada
@edwardsamwel50843 жыл бұрын
Manabii wa uongo wako wapi wasikie
@saidessry99423 жыл бұрын
hii kali leo ndio mara ya kwanza kusikia mashetani ni watoto wa mungu
@nooor11203 жыл бұрын
Hhhhh umeona ee Akili ni mali
@mamyomar92063 жыл бұрын
1
@kabulagodfrey53433 жыл бұрын
D naomba umuulize mtumishi kwanini manabii wengi makanisani,huwa wanaweza kuwatabilia wageni tu kwa mara ya kwanza lkn ukiendelea kusali kwa huyo nabii huwa hawezi kukutabilia tena?
@achsahcharles67283 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
@subiramohd18953 жыл бұрын
Ndio hawa wanaokuja kutubu wakasema wameuwa watu elfu moja kwa siku
@rogermomodesty35683 жыл бұрын
Mnaofatilia hi stor naomba kujua Ni mzuri au mbaya maana mi stor za Hawa akina aposto uwa sifatilii
@lifezest62743 жыл бұрын
Huyu ni nabii wa kweli. Msikilize utajifunza mengi. Ana neema kubwa ya kupata mafunuo mengi, anajua siri nyingi za ulimwengu wa roho. Usiangalie muonekano wake au umri wake, Mungu humchagua amtakae akitaka kutoa nishani. Waongo wengi ila huyu ni nabii kweli, labda akengeuge badae ila kwa sasa ni mtu makini na lucifer ana taarifa zake. Mungu amlinde mtumishi aendelee kumuaibisha shetani. The light side always wins.
@valentinandukuvalentinandu47793 жыл бұрын
davistar wataka malaika wa mafanikio ee
@musicworldwide26253 жыл бұрын
Na hiyo zawadi ifike bana mi wa kwanza
@pilimusa77703 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
@mainapatrick22953 жыл бұрын
Nice story big up brother 🙏
@Maryam-vj1rb3 жыл бұрын
Davistar iko wapi sheikh Omar hatutaki hiyo Story
@msrj57643 жыл бұрын
Utak wewe pekeako wengine tunataka
@FineLOOKtZ3 жыл бұрын
Number zake please mr fact... naishi mbali sana nahitaji number zake za watsapp...
@subiramohd18953 жыл бұрын
Unataka mukamuone mungu pamoja auu
@subiramohd18953 жыл бұрын
Unataka mukamuone mungu pamoja auu
@rukiyaissa20053 жыл бұрын
Muong
@FineLOOKtZ3 жыл бұрын
Так точно
@pilimusa77703 жыл бұрын
@@subiramohd1895 🤣🤣🤣🤣🤣
@nooor11203 жыл бұрын
Astaghfirullah... Makubwa haya Baba yake na shetani ni mungu?🤔🤣🤣
@khadijaomari93443 жыл бұрын
😀😀😀😄
@tututz1003 жыл бұрын
SAFARI NZIMA.
@oscarkibate19133 жыл бұрын
“Beloved, do not believe every spirit, but test the spirits to see whether they are from God, for many false prophets have gone out into the world” (1 John 4:1). In this verse believers are commanded to “test the spirits to see whether they are from God.” This same command is echoed in other parts of Scripture as well. For example, in 1 Thessalonians 5:20-21 we find Paul exhorting the Christians to not “despise prophecies, but test everything; hold fast what is good.”