PART4:DADA ANAEISHI NA DONDA NDUGU LISILOPONA MAAGANO/NILIINGIA TUMBONI KWA NYOKA/NYOKA WA KICHAWI

  Рет қаралды 13,243

Davistar Mata Media

Davistar Mata Media

Күн бұрын

Пікірлер: 241
@heavenmakundi7480
@heavenmakundi7480 2 жыл бұрын
Jamani,tumchangie huyu dada, 😭 roho imeniuma Sana huyu dada alifungwa Toka kwa yule mme wa mwanzo, yaaani hakustuka mapema, tatizo lilianza kwa yule aliyekwambia kuhusu maji ya maiti
@marthashenenga9076
@marthashenenga9076 2 жыл бұрын
Ndiyo hata Mimi na msapoti aliyesema kuhusu maji ya maiti akufunguka tu. Lakini ndiyo chanzo.
@farajamkuchu8458
@farajamkuchu8458 2 жыл бұрын
Daaaa nimejisikia huzuni sana ajent washetan siokabisaa yupo Yesu mwenye huruma amekuhulumia pole sana dada
@vivicagreco7767
@vivicagreco7767 8 ай бұрын
Pole mamy,,, wewe unautumishi WA Mungu NDANI yako,, pole.. kibinadamu inauma sana,,, ila Kuna mahali pazuri unaenda.
@lilianmrema6568
@lilianmrema6568 2 жыл бұрын
Bwana Yesu asifiwe, pole sana dadangu najua hali unayopitia katika ulimwengu wa roho ngumu kweli. Lkn naomba nikushauri kama utaweza kusafiri naomba uende Tabora kunamtumishi atakusaidia kukuombea na kujua chanzo cha tatizo ni kipi na utafunguliwa kabisa na kuwa huru kabisa lakini unatakiwa kuwa na Imani kuwa Mungu anaweza na anaponya. Kanisa ni Horebu ministry lipo cheyo B karibu na msikiti.
@frankchande3063
@frankchande3063 2 жыл бұрын
Pole sana dadaangu,utapona tu hakuna jambo linaloshindikana kwa mbele za Mungu
@annazacharianmko4657
@annazacharianmko4657 2 жыл бұрын
Abarikiwe aliekushauri kwa mtumishi wa mungu Elibariki sumbe wataaibika waliokutendea hayo watamuona mungu wako
@rachelwanganga939
@rachelwanganga939 2 жыл бұрын
May our mighty living God heal and deliver you. May he restore you, in mighty name of Jesus Christ. Amen and Amen.
@winniefloeys9460
@winniefloeys9460 2 жыл бұрын
Huyu dada namfaham sana alikuwa anaishi kwa fina buzuruga nilikuwa nampenda sana hata yeye ananifaham mimi nilikuwa dada yao,kumbe upo mama nilikutafuta sana nilikatishwa tamaa
@elpidiusezekiel2729
@elpidiusezekiel2729 2 жыл бұрын
Huna mawasiliano yake jamani
@julithmsokwa6197
@julithmsokwa6197 2 жыл бұрын
Chukua namb ake kwa davister
@nasrasway7143
@nasrasway7143 2 жыл бұрын
Final umempata
@deomassawe8462
@deomassawe8462 2 жыл бұрын
Dada mtafute kuhani Musa wa Kimara Temboni
@angelalyimo2862
@angelalyimo2862 2 жыл бұрын
Pole
@sarahkeivaly3351
@sarahkeivaly3351 2 жыл бұрын
Pole Sana dadayetu, kama ambavyo wengine wameweza kukushauri uende kwenye maombi. mm pia nakushauri dada uzidi kumtumaini Mungu amini kwamba Hutakufa bali Utaishi ili uyasimulie Matendo makuu ya MUNGU!! Ee Bwana Yesu Kristo tunakuomba, Umponye dada huyu, ili arudi pia na kuendelea na majukumu yake ya kawaida!!
@marymolel800
@marymolel800 2 жыл бұрын
Daaah nimeumia shetan n mpuuz sana tuko pamoja dda mungu wa mbingun akuinue na utasimama tena
@josephinejoseph3622
@josephinejoseph3622 2 жыл бұрын
Pole dada nimelia sana.Mungu atakuponya hebu jaribu kukitia mafuta ya upako Kuna mtu alikuwa na Fonda km Hilo na akapona.
@dativajoachimwai1194
@dativajoachimwai1194 2 жыл бұрын
mdada mzuri sana,akili nyingi,heshima nyingi, Mungu akufunue macho uone sawasawa. usikubali kuendelea kukanguliwa mguu wako mwisho wataukata maana ndo mpango wa shetani. ingia kwenye maombi na utapona wala hutachukua muda.
@vivicagreco7767
@vivicagreco7767 8 ай бұрын
Kweli kabisa, tumuombe jaman,
@graytonndamgoba4805
@graytonndamgoba4805 2 жыл бұрын
Naomba Bwana Yesu akuponye.utapona kwa Jina la Yesu Dada
@mercyanyango5323
@mercyanyango5323 2 жыл бұрын
Aje kenya kwa maombi kwa pastor eziekiel kilifi mavueni atasaidika kwa maombi mungu atamsaidia
@eliethmwanguya7118
@eliethmwanguya7118 2 жыл бұрын
Davistar mshauri mama amrudie Mungu maisha yake yatakuwa sawa, hakuna linaloshindikana kwa Mungu
@khadijamwenda1851
@khadijamwenda1851 2 жыл бұрын
Polee sana Mumy.. Davista msaidie watumishi WA Mungu wenye nguvu
@rashidyasser9423
@rashidyasser9423 2 жыл бұрын
Pole sana dadayangu !! daah unapitia wakati mgumu kwa kweli lakini na kuhakikishia utapona kwa uwezo wake Mungu amen 🙏
@annazacharianmko4657
@annazacharianmko4657 2 жыл бұрын
Dada mungu amesha kuponya nasubiri testimony jpili nilikuona kwa sumbe mungu akushike mkono
@ayshasaid1547
@ayshasaid1547 2 жыл бұрын
Pole dada iyo atakua amechelewa angesema sumu imeshatambaa mungu yu pamoja nawe kapime na sukari pia
@venessaroselyne566
@venessaroselyne566 2 жыл бұрын
Pastor ezekiel mombasa kenya dadangu nakuambia akienda uko atapona na ata mtoto atarudishwa n miroho ametupiwa na spirit of rejection anayo pia mungu akurehemu na ailinde nyota yako sana wanaitafuta ao kwa sana
@lowassaloitore4774
@lowassaloitore4774 2 жыл бұрын
Dada mtegemee Mungu katika Kristo Yesu, hakika yeye ndio mponyaji, hakuna jambo lisilowezekana kwake hata siku moja. Kinachohitajika ni Imani tu juu yake Yesu.. Mungu anakupenda sana, Wachawi hutumika sana na kuzimu kuharibu maisha ya watu na kuleta mateso makubwa sana kwao... Sio muda wa kutangatanga simama imara katika Imani, Mtafute Yesu Kristo na atakusaidia... Hila za kichawi zina mwisho, lakini Uwezo na Uweza wa Mungu hauna mipaka, Unachohitaji ni kujisalimisha kwake, YEYE huleta tumaini jipya pale ambapo mwanadamu amekata tamaa kabisa, usikubali kushawishika kurudi kwenye uganga, Mtafute aliyekuumba ambaye ni Mungu Mwenyeenzi Katika Kristo Yesu. Atakutetea sana, Mungu anatupenda sisi wanadamu,, Upendo wake hauwezi linganisha na chochote, amekutetea sana na ni Imani yangu atakuponya hakika,anasubiri tu pale utakapoachilia moyo wako wote kwake, kwamba huna tena msaada mwingine hapa duniani zaidi yake, Mkimbilie Mungu atakuponya dada yangu, na atakutumia sana maana wewe ni mtoto wake na ni mtumishi wake. Hata pamoja na madhambi tumetenda kwa kujua ama kwa kutokuja YEYE hutusamehe bure, na kutuponya.. Mungu akupe uzima na akuponye kabisa kutoka katika nguvu za giza.. Mungu Muumba wa Mbingu na Nchi, Mungu wa Wote Wenye Mwili katika Kristo Yesu Tusaidie Sisi Watoto Wako, Ututenge na maagano ya kichawi,kiganga,kishirikina na utupe afya njema. Amen,
@irenemolely8661
@irenemolely8661 2 жыл бұрын
Pole sana dada mungu akuvushe
@wemamanikana9791
@wemamanikana9791 2 жыл бұрын
Pole sana dada, nimeumia mnoo, Mungu atalipiza kisasi kwa aliyekufanyia hivyo
@beatricepallangyo2821
@beatricepallangyo2821 2 жыл бұрын
Pole sana Dada. Mwenyenzi Mungu Akuguse na Mkono wake wa Kuume wenye Nguvu ukawe juu yako!!!!!! 😭😭😭😭😭
@rodasanga1312
@rodasanga1312 2 жыл бұрын
Pole sana dada njoo moshi kwa mtumishi tumsifu matiasi utapona hospitali YA Mungu
@macingatvmedia4868
@macingatvmedia4868 2 жыл бұрын
Mungu akutendee mema kwa utatu mtakatifu.
@stay_onit360
@stay_onit360 2 жыл бұрын
Mungu akakuponye mamangu 😭😭😭😭daah umeniliza sana love u mom 🙏🙏🙏❤️❤️❤️
@marthashenenga9076
@marthashenenga9076 2 жыл бұрын
Mungu ni mwema kwakweli. Ulipigwa kitu kibaya sana ila Mungu anakusimamia sana
@dudumankidume3046
@dudumankidume3046 2 жыл бұрын
Pole saana dada , naweza kusaidia na chochote kitu Ila kukufikia ndio sielewi Niko uganda
@usalamaedward1189
@usalamaedward1189 2 жыл бұрын
Mpigie kwa namba alizo zitaja hapo ndo utajua namna gani msaada wako atamfikia
@theunseen.believe5672
@theunseen.believe5672 2 жыл бұрын
God has a purpose for you in this world,suffering is but for a while but God will surely heal you and make you great person,Amen
@bijouxdiana1527
@bijouxdiana1527 2 жыл бұрын
Pole dada yetu utapona mungu yupo
@katalinasangama193
@katalinasangama193 2 жыл бұрын
Pole sana dada jalibu kwa kuahani Musa kimala temboni mungu atakusaidia
@rehemaabinelynyagawa2878
@rehemaabinelynyagawa2878 2 жыл бұрын
Pole sana Mungu wa mbinguni akutane na haja ya moyo wako tafuta makanisa ya kiroho kweli kweli achana na hawa maarufu wengine ni ma agent wa shetani jipe moyo ni jaribu litapita usiende kwa Waganga mshikilie Mungu hakuna jambo linalo mshinda 🙏
@christaoman8890
@christaoman8890 2 жыл бұрын
Aisee.pole sana ila sumu ya nyoka ilisambaa sana hapo mguuni ndio maana mguu ulitaka kuoza Mungu akutie nguvu
@nasrasway7143
@nasrasway7143 2 жыл бұрын
Pole ndugu yangu mungu akusikie maombi yako kua na iman u will be safe dear pole Sana my
@agapejosceline8262
@agapejosceline8262 2 жыл бұрын
Pole sana mama. Endelea kumu omba mungu aku oneshe tena zaïdi. Mungu ana tu penda sote kila mtu ana riziki yake
@khadijamohanani6476
@khadijamohanani6476 2 жыл бұрын
Dah pole dadangu huo ni mthihani mungu amekupa .inshaallah ipo siku utapona urudi kama zamani
@godfreymollec8206
@godfreymollec8206 2 жыл бұрын
Pole sana ukiona kitu kama hiyo siku nyingine chukua hatua haraka maombi ni muhimu kemea kwa pepo kwa jina la yesu
@glorialaizer9450
@glorialaizer9450 2 жыл бұрын
Pole sana, ni maombi na yesu anaponya.
@TheSalma1999
@TheSalma1999 Жыл бұрын
Pole mama ngoja tukuchangie mpendwa
@kevindaud9069
@kevindaud9069 2 жыл бұрын
Pole dada yesu yupo atakusaidia utapona ..
@naimakhamis8748
@naimakhamis8748 2 жыл бұрын
Pole dada usikate tamaa Kwenye maombi mapadre na mashehe nenda
@julyhaule6850
@julyhaule6850 2 жыл бұрын
Pole sana dada tunaomba Mungu akuponye
@mohamedsuleiman2785
@mohamedsuleiman2785 2 жыл бұрын
Pole dada mola atakusaidia ni mitihan tu ya maisha
@stellahbosibori2968
@stellahbosibori2968 2 жыл бұрын
Dada tafuta deliverence kwa suguye,kuhani musa,Ebarikiwe sumbe,malisa
@jamilankaya6825
@jamilankaya6825 2 жыл бұрын
Jamani ,,,jamani. Mwenyezi mungu msaidie huyu dada mungu wangu. Mwenyewe ni mchspa kazi jamani. Kiukweli wanadamu tunapita mengi,,,lakini ili ushinde vita hii ya dunia Lazina upitie mengi. Ila yote ni mapito
@rahmamngoya9044
@rahmamngoya9044 2 жыл бұрын
Pole sana dada lakini ungeenda kwenye maombi sana sana imeniuma sana sana sana.kazana maombi.
@saidmatikiti1566
@saidmatikiti1566 2 жыл бұрын
Pole dada Mungu atakuinua tena shetan ni mbaya
@donathamwangobe2776
@donathamwangobe2776 2 жыл бұрын
Pole sana Mama angu Mungu akukumbuke nakuombea
@mariamfritsi4943
@mariamfritsi4943 2 жыл бұрын
Pole sana,
@GoldenDave01
@GoldenDave01 2 жыл бұрын
Watching from kenya,it's so painful
@safiahamad9502
@safiahamad9502 2 жыл бұрын
Pole sana dada ni mtihani tuu utaushinda
@koperawasona9551
@koperawasona9551 2 жыл бұрын
Pole sana dada Mungu yupo amesikia chako
@BenjaAmosi-i4k
@BenjaAmosi-i4k Жыл бұрын
Mwamni mungu atakuponya kweli muschawi hana huruma
@ashurakiswamba7085
@ashurakiswamba7085 2 жыл бұрын
Mimi nnachoona kabla ya hospital nenda Kwa kuhani Musa au mwamposa Mimi natumaini mungu atakusimamia naamini
@rezikomer9552
@rezikomer9552 2 жыл бұрын
Muombe mngu sana mungu ndiyo ana kutaka umukumbuke
@jacklinejerr2447
@jacklinejerr2447 2 жыл бұрын
Mungu akutie nguvu
@allyhusseinally2461
@allyhusseinally2461 2 жыл бұрын
Muombe allah allah ndokilakitu 🤲inshallah kwa uwezo wake na shifah yake allah utapona inshallah
@vivicagreco7767
@vivicagreco7767 8 ай бұрын
Jaman watu tuna stori mpk unaweza ukaweka msiba mwaka mzima tuliaga tuu. Mungu. Damu ya YESU KRISTO iponye icho kidonda,,
@estawilison1372
@estawilison1372 Жыл бұрын
Lkn Dada uliambiwa usimame na mungu ungetii yasingekukuta
@jovinessjovith9775
@jovinessjovith9775 2 жыл бұрын
pole sana mama angu mungu atasaidia utapona
@tatukigua5456
@tatukigua5456 2 жыл бұрын
😭😭😭😭 mungu mponye huyu dada
@jacklinejerr2447
@jacklinejerr2447 2 жыл бұрын
Pole san
@hellenjulius7790
@hellenjulius7790 2 жыл бұрын
Pole mah
@nasizakayo3592
@nasizakayo3592 2 жыл бұрын
Yaani angeisikiliza sauti ya Mungu iliyomwambia afunge huyo nyoka asingemuuma maana angeomba kabla kufungua angekua na ulinzi wa Mungu pole sana ila kupitia wewe nimejifunza kuisikiliza sauti ya Mungu na kusimama vizuri kwenye wokovu nimeokoka davista kazi yako ienee uwasaidie na wengine.
@othmanmulendelwa9622
@othmanmulendelwa9622 2 жыл бұрын
Nenda kwa sheikh othman michael atakusaidia usingalie imani
@apostlejoshuakuhanda5524
@apostlejoshuakuhanda5524 2 жыл бұрын
Ahsante sana. Nimeiona namba yake...kazi njema
@asiasalim9323
@asiasalim9323 2 жыл бұрын
Subhana ALLAH pole Sana
@heritier5119
@heritier5119 2 жыл бұрын
Msaidieni huyu mama yupo stressed hata usoni hayupo sawa. Hii ni ishu ya uchawi tu hio ni michezo midogo sana, KWA wataalamu wa tiba za kiroho.
@TheSalma1999
@TheSalma1999 Жыл бұрын
Usilie it’s done in the name of Jesus utapona
@nasrasway7143
@nasrasway7143 2 жыл бұрын
Dada nenda maombi ndugu yangu umechezewa na Hawa watoto WA nyoka wanakufata sababu tayar uko na chata Yao ya uyu nyoka mjinga alietumwa pole Sana Dada
@daylight1707
@daylight1707 2 жыл бұрын
Pole dada
@marieunique3265
@marieunique3265 2 жыл бұрын
Tupo live mama keshafunguliwa kwenye madhabahu yetu ya vuka yoldan arusha
@pstv4409
@pstv4409 2 жыл бұрын
Always Niko na DAVISTAR 🙏🙏🙏 God bless you 🙏
@cyantess8423
@cyantess8423 2 жыл бұрын
there is a reason God allowed this to happen take heart he will heal you completely amen🙏
@reisezone4574
@reisezone4574 2 жыл бұрын
acheni kudanganya watu Mungu hawezi ruhusu binadamu aumie kwa kazi ya shetani, huyo ni shetani tu kafanya ubaya acheni kumsingizia Mungu,
@cyantess8423
@cyantess8423 2 жыл бұрын
@@reisezone4574 read the book of job in the bible & punguza upumbavu
@nasizakayo3592
@nasizakayo3592 2 жыл бұрын
@@reisezone4574 ni kweli ni mambo ya giza story iko wazi.
@teresakapinga7947
@teresakapinga7947 2 жыл бұрын
Dunia hii ngumu Sana,Mungu tusaidie
@othmanmulendelwa9622
@othmanmulendelwa9622 2 жыл бұрын
Pole dada yangu kwa mateso unayo pitia mpaka leo nenda kwawa taalam wa kuponeshe apo wa chungaji awezi kukutibu ilo donda sugu
@catherineangel2529
@catherineangel2529 2 жыл бұрын
Polesana dada mungu yupo anafanya mambo magum yasiowezekana kwa mwanadam kwa mungu anatuuponya yupo Yesu alietumwa na mungu mtetezi wetu alikufa ili sisi tuwe hai alichukua magonjwa yetu shida zetu amini tuu mungu yupo atafanya nenda kwa mwamposa au kwa sumbe au kwakuhani musa utapona kabisaa amini tuu
@jackiemaggy2484
@jackiemaggy2484 2 жыл бұрын
Pole saana dada MUNGU akuponya tafuta kanisa ya kiroho hiyo nguvu ya giza zitaiisha
@aryanamendes8700
@aryanamendes8700 2 жыл бұрын
Nguvu ya uponyaji unayo ndani yako jiombee hio nguvu itakuachiaa
@marymeela2092
@marymeela2092 2 жыл бұрын
Eeeh! Mwenyezi Mungu naomba umponye huyu dada!
@abangaabanga4677
@abangaabanga4677 2 жыл бұрын
Pole sana mama, Mungu awe nawe, Yesu atakupoona 🙏
@gracewelschemeyer665
@gracewelschemeyer665 2 жыл бұрын
Amen 🙏🏽
@heriethinnocent3283
@heriethinnocent3283 2 жыл бұрын
YESU akuponye my dada😭😭😭😭😭
@julithmsokwa6197
@julithmsokwa6197 2 жыл бұрын
pole sana mama angu
@TheSalma1999
@TheSalma1999 2 жыл бұрын
Jamani tumchangie ndugu yetu jamani
@evelynesabina8168
@evelynesabina8168 2 жыл бұрын
Hyu mama karogwa na yule aliyemwambia kuhusu maji ya maiti
@allyhusseinally2461
@allyhusseinally2461 2 жыл бұрын
Inauma sana🤲🤲🤲
@zahirrajab7713
@zahirrajab7713 2 жыл бұрын
Yn yule mama alie zaa na mumewe ndio anae mtesa mpk leo binadamu wabaya sana
@mwanahamisiselemani7119
@mwanahamisiselemani7119 2 жыл бұрын
Pole sana ndugu yangu
@joshuayusufu4223
@joshuayusufu4223 2 жыл бұрын
Mama unasema waganga ni shetani unakosea sana mungu alikuwepo nakufanya Kazi kabla ya ulokole kuingia au uislam, heshima imani za watu huwezi jua ni nani mungu anamtumia jua kuna wachungaji wa uongo na waganga wa uongo pia wako wa ukweli
@msaysha5886
@msaysha5886 2 жыл бұрын
Pole sana aisee ila Mungu yupamoja na wewe
@Monika-cp2gk
@Monika-cp2gk 2 жыл бұрын
Pole sana 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@chazp6436
@chazp6436 2 жыл бұрын
Wanadamu wabaya sana
@furahaedmundi2302
@furahaedmundi2302 2 жыл бұрын
Pole sana dada yangu
@venessaroselyne566
@venessaroselyne566 2 жыл бұрын
Mwambie uyu dada akimbilie 🇰🇪 kenya 🇰🇪 kwa pastor ezekiel stapona mbona
@joycemuhoja4729
@joycemuhoja4729 2 жыл бұрын
Pole Sana dada je huyo nyoka alikuwa ana ukubwa gani nimeogopa Sanaa
@tahirnephessalum3678
@tahirnephessalum3678 2 жыл бұрын
Hujazunguka kwa wataalam wa tiba huo mguu unapona vzur tu... usiwadharau wataalam wa tiba Asili ndizo tiba zetu za kiafrica... ukizalau Itakuwa mbaya sana
@stejasatv7349
@stejasatv7349 2 жыл бұрын
Davita asante kwa story kali tunajifunza maisha
@tanzaniawomenyouthempowerm267
@tanzaniawomenyouthempowerm267 2 жыл бұрын
Nenda kwa kuhani Musa kimara tembon, utapona dada
@norahkalunde3845
@norahkalunde3845 2 жыл бұрын
Dada jiungamanishe na mazabau za mungu
@norahkalunde3845
@norahkalunde3845 2 жыл бұрын
Yes uko aswa ndio maari sahihi sana ngomeni ndio jibu lake uyo dada Musa ana dressing ya uponyaji
@katherinasamwel3937
@katherinasamwel3937 2 жыл бұрын
😭😭 pole sana dada yangu Mungu atakuponya
@TheSalma1999
@TheSalma1999 2 жыл бұрын
It well tutakuchangia dada
@hajiabdalla5772
@hajiabdalla5772 2 жыл бұрын
Njoo Zanzibar.mtafute shekh Salum Mardhiya utapata tiba za asili na dua utasomewa.ishallah utapowa au sikiliza Zenji TV Zanzibar utaweza kupata namba yake.usizarau fanya hivyo.dada
@patrickmaina5459
@patrickmaina5459 2 жыл бұрын
Shetani hawezi kumtoa shetani.....Yesu kristo Msaada wetu 🙏
@donathamwangobe2776
@donathamwangobe2776 2 жыл бұрын
Kaka naomba no zako namm npo zanzibar nashida
@donathamwangobe2776
@donathamwangobe2776 2 жыл бұрын
Kaka plz naomba no yako
@hajiabdalla5772
@hajiabdalla5772 2 жыл бұрын
@@donathamwangobe2776 samahani sipo Zanzibar kwa sasa
@heritier5119
@heritier5119 2 жыл бұрын
Hapa ni ishu ya uchawi umeingia mwilini inatakiwa utolewe mwilini kwanza.
@apostlejoshuakuhanda5524
@apostlejoshuakuhanda5524 2 жыл бұрын
It is a spiritual attack.... JESUS CHRIST IS ABLE TO FREE HER FROM SUCH TORMENT...
黑天使只对C罗有感觉#short #angel #clown
00:39
Super Beauty team
Рет қаралды 36 МЛН
So Cute 🥰 who is better?
00:15
dednahype
Рет қаралды 19 МЛН
Cheerleader Transformation That Left Everyone Speechless! #shorts
00:27
Fabiosa Best Lifehacks
Рет қаралды 16 МЛН
I Spent 100 Hours Inside The Pyramids!
21:43
MrBeast
Рет қаралды 38 МЛН
黑天使只对C罗有感觉#short #angel #clown
00:39
Super Beauty team
Рет қаралды 36 МЛН