Safi sana dada, ulienda kufanya kazi kwa malengo ..nidhamu yapesa imekufikisha hapo ulipo..
@gagagracia41503 жыл бұрын
Nakupenda sana dada yani umeongea vizuri kabisa umeweka wazi kila kitu
@theroots27433 жыл бұрын
Hongera dada muelewa wa maisha mwenyezi mungu akufungulie kila lenye kheri na wewe Amin
@fatumahassan82123 жыл бұрын
Hongera sana inaonyesha wazi mwanamke mwenye uelewa wa kina na ujasiri wa pekee...allah akusimamiye kwa kila hatuwa
@Hassan-vn6nn3 жыл бұрын
You are The one in millions....
@damariszuckschwert94893 жыл бұрын
She is beautiful 😍 Badala mngemtangazia biashara yake ilipo, ni maswali yasiyo na mshiko tu.
@jamaljimmy3 жыл бұрын
Masha Allah dadangu mola akuzidishie tujifunze kuwa hamna pesa ndogo ni ukubwa tuu wa kufikiria ...keep it up dadangu
@suremake99463 жыл бұрын
Naomba namba yke
@nooor11203 жыл бұрын
Hongera dada yetu Allah akubariki ktk biashara zako
@jimmyjumasufijimmyjumasufi38733 жыл бұрын
Wow mwanamkee wakibusara kwakweli unarizisha sana big up dally Allah akuzidishie.
@mohamedkikale72413 жыл бұрын
IQ ni mhimu sana katika maisha ya yeyote, safi sana bint kwa kuwa na marengo nakuyasimamia 👊
@michaelkasogela3703 жыл бұрын
Jaman kabint aka ni brit...sanaaaaaa
@asianfadhil42823 жыл бұрын
Matokeo oman yapo mm nipo omani yamenikuta ila kwasasa Alhamdulilah
@heyumi23403 жыл бұрын
huku kikubwa uvumilivu yataka moyo wengine hurudi home kutokana na dhiki
@nshimirimana.ibrahim95663 жыл бұрын
Umefanya vyema dada kwa sasa inajitegemea siyo kuwategemea wengine Mungu akujalie kwa hayo
@axiommirgab8823 жыл бұрын
mimi nakaa na bos wangu yan sio mkorofiki sana anakaukali flan lakin ninkarim mnoo nina miaka 6 sasa nipo nae manina mpngo wa kuonheza mkataba hakuna binadam alie kamili na hakuna sehem ukakuta wote niwazur lazima wapo na wabaya mbona Tz kwetu wapo wengi tu wenyerohombaya wanayesa dada wakaz mshahara wenyewe elf 30 matezo ndio mateso sasa sibora kwa mwarabu nalipwa laki 5 kwamwez
@zaudatmakula34543 жыл бұрын
Haswaa deer watuache waanze kwanza kasoro za kwetu ndio ije kwa watu sasa hivi mpaka laki 8 watu wanapata mshahara Lakin mtu anaongea pumba mtu akishindwa rudi kwenu khalas sio maneno kibao mfyuuu
@hawaissah80693 жыл бұрын
Jamani nutafutieni na mm kazi 0656485831
@kimarohuba74413 жыл бұрын
Nakupendeaga hapo tu naswiat brembo huongeagi uongo huyo Dada yako hakutaka kukumiza wala kukukwaza pesa yako umeiyona Maa shaa Allaah Mimi ndoto yangu sio biashara kweli nikumalizia nyumba ndyo Biashara baadae
@faithdaniel56523 жыл бұрын
Hata mimi
@innocentjoseph91213 жыл бұрын
Waooo uko vizuri unajielewa sana. Na Mungu azidi kukubariki
@abdulsaid45793 жыл бұрын
umefanya vizuri sana dada yng...🤗🤗🤗🤗
@khalidtv62003 жыл бұрын
Pole Sana dada mshahara mdogo Sana.Ila umepambana Sana, MASHAALLAH ALLAH AKUJAALIE
@mzuvendi3 жыл бұрын
Mshahara sio mdogo piga laki mbili mara miezi 24 aliokaa oman ni ngapi alipata? Mshahara unaendana na maisha sasa hivi yaya wa ndani ni laki 4 na 60 elfu! Ukiwa na malengo utafanikiwa.
@danielyohana72713 жыл бұрын
Mshahala mkubwa Sana kibongobongo hata laki haifiki mtu analipwa 50000 kwa mwezi unategemea malengoyake yatatimia kwa miaka mingapi daaaa bongo bado sana tuko nyuma ya tivii
@husseintayar6993 жыл бұрын
Allah akubariki zaid .umeongea point nzur
@alleoo2733 жыл бұрын
Mashaaa Allah umeongea vizuri sn mabrook habipt
@maxwellking93993 жыл бұрын
Hebu waandishi kuweni professional kidogo si jambo sahihi kulazimisha mtu ajue ana mtaji kiasi gani au anaingiza shilingi ngapi kwenye biashara zake...hilo ni jambo private...akiamua kusema ni sawa lakini kama mtu hayupo tayari usilazimishe...Katika kulijibu suala hilo linaweza sababisha matatizo makubwa kwa agencies nyingine za kiserikali na mtu kuanza kuwa "targeted"....Hivyo jifunzeni kufanya kazi zenu kwa weledi...badala ya mambo ya Kibongobongo....Kwa mfano pamoja na mzuri yote ulimuuliza huyu dada interview yako imengia dosari katika kulazimisha suala hilo...hujamtendea haki mteja wako...Ni hayo tu
@elizabethmwandu69373 жыл бұрын
Hongera sana Dada kwa kufanya kazi kwa malengo Mungu azibariki biashara zako zote ulizozifungua na pia akuletee wateja wa kutosha🙏
@sophiamfikwa73403 жыл бұрын
Upo sahihi dadangu ,safi sana kwa kutoa shuhuda nzuri...hongera kwa kurejea inchini🇹🇿 wenzio bado tunakomaa
@marthadaudi33403 жыл бұрын
Namimi nataka kuja huko
@marianapatrick59933 жыл бұрын
Sophia mambo jaman nisaidie na mimi jaman na tafuta kazi huko pia Nina passport tayar
@buuwahiid28982 жыл бұрын
@@marianapatrick5993 zipo
@luciadaud9298 Жыл бұрын
Sofia please naitaji mpenz
@RoseStephano-sh9mg11 ай бұрын
@@marthadaudi3340Mbon vip umefanikiwa kwenda Oman kufanya kaz
@gosbertrwezahura36453 жыл бұрын
Hongera sana dada. Nimekukubali saaaana!
@burundishallsmile1day1093 жыл бұрын
Urembo wake tu 😍 Mash'Allah ✊🏾🇧🇮
@mozzaliuleiza92883 жыл бұрын
Mdomo mkubwa
@idrissamohamed84693 жыл бұрын
@@mozzaliuleiza9288 mdomo mkubwa ndiomzuri hata machine yake itakua umbozuriiii 😋😋
@mozzaliuleiza92883 жыл бұрын
@@idrissamohamed8469 hahahahahahaha
@mohamedjeizan59293 жыл бұрын
Mashaallah. Allah akuzidishie
@salmaathuman91563 жыл бұрын
Kazi yeyote inachangamoto na pesa za uhalali lazima upitie changamoto kwa hiyo ww mwanamke achana na mambo ya kuzungumza hizi habari za oman ww fanya mambo yako usipende kuongea hivi vitu ndo maana tunaambiwa watanzania tuna midomo sana
@prettyh75093 жыл бұрын
Sahihi
@mayasajamari84693 жыл бұрын
Vzr sana my umeongea point 😍😍
@beatricekamenge70003 жыл бұрын
Point nawanaalibia watu wengine
@bibianayonah9127 Жыл бұрын
Sahihi kabisaa
@adamzdamz65923 жыл бұрын
That's is good bussuness, good lady very active and so durable for ambitious in life actually,she so accurate, anafanya biashara very good system,coz most of the lady wakienda gulf hurudi kapa, lakini uyu actually she so wanferfull delicious lady, kila la kheri sana Madam
@wm96693 жыл бұрын
Mashallah. Huyu msichana ni mzuri na mkweli
@vumiliahamisi70463 жыл бұрын
Mtoto wa dada angu kachezea fimbo kisa hajavaa glove ,watu wananya nyasika sana ,ukijaaliwa sehemu nzuri sema alihamdulilah
@mdzainb37223 жыл бұрын
🤣🤣mpe pole sana daaaa
@vumiliahamisi70463 жыл бұрын
@@mdzainb3722 haya asante kashapoa alibadili nyumba mana ilikua balaa mwishowe alimbiwa atamwagiwa mafuta ya moto,ikabidi nikazi yalumuambia kimbilia ubalozi mana hapo nimtihani tena alie mleta anamwambia wee kaatu vumilia ,vumilia unatanfikwa kama mtoto mdogo kisa glove kuvaa ukikanda ngano ,tujikaze tu na kusema ukweri sio mtu akurupuke uko nakuja wee uje napakukimbilia ukishachapwa makofii
@hawaamohammed66873 жыл бұрын
Nikweli tupo huku tunayaona mengi
@happypa20273 жыл бұрын
😅😁😅😁😁😁😁😅😅😁😁duuh uyo mabuja wake nibala
@sophiamfikwa73403 жыл бұрын
Ni kweli nyumba zinatofautiana
@safiyatheonlything78483 жыл бұрын
Mm niko omani naelekea mwaka wa sita ss na naishi kama home madam wangu anashida muhimu kuheshimiana basi na wala sijawai sikia kwenye family yao kuna mtu kateswa nashukuru kwa ili angarau wapo wanao kutana na matatizo makubwa lakini siyo nyumba zote ziko hivyo kama ilivyo kuwa nchi nyengine lazima kutakuwa na watu wa aina tofauti mm sm mda wote kazi zangu najipangia na mpaka ss na viwanja vitatu ambavyo bado sijajenga na kimoja nimeshaamka ujezi na nimefungua biashara ya ges mwaka huu alhamdullha lnshallha mwakani narudi tz likizo zeni nakuja kukaa miaka yangu miwili ya mwisho Mungu alitupa uzima lnshallha ongera sana bi dd kwa ulipo fikia
@saidikaniki16323 жыл бұрын
Inshaallah MUNGU akujaalie upate unachokihitaji.
@elizabethmhagama8605 Жыл бұрын
nikipa mimi nita shukulu
@zeshahamisi18033 жыл бұрын
Asante sana dada umeongea vizur sana 😘😘
@mariaalsaid36903 жыл бұрын
Asante sana Mungu akupe kila la kheir.
@selemankishema57803 жыл бұрын
Acheni ujinga matatizo yanayotokea huko nikama hata hapa yanatokea kama hayo ila mnataka kuyakuza nyie wenyewe mtakuta mnawanyanyasa wafanyakazi wenu saana tu.
@bjzee19813 жыл бұрын
Sana. Kuna watoto wengi tu wanateseka kwenye nyumba nyingi tu. Wengine hutesa yatima wa ndugu zao
@axiommirgab8823 жыл бұрын
kweli kabisa nakuunga mkono Tena Tz na kipigo juu
@mariamelias19153 жыл бұрын
Ni kweli
@husnaiyasulesh46873 жыл бұрын
Wala sio uwongo ila tuu waarab wanawachukia kutokan labd nazil stor za zaman hatakam yap lakin kwan tz hakun mabos waain iyo ten wanapigwa wengin wanachomw mot had kuuliw namshahar mdog hat lakimbil haufik lakin hawasemw vibay naukiangalia wa tz wamekomaa mdom mtu akiend kule anajyw kaend kufany kaz lakin anakuw mshenz akiambiw analet jeur ndiy iko kinawaponz anaach kusem mim nimekun huk kutafut nanikikisea uwez kurud nyumbn sio rahis niwemnyenyekev hatak analet mdog mtu anachukia anakudhul ten hat bong ndiy imejaa kibao
@bjzee19813 жыл бұрын
@@husnaiyasulesh4687 . Unasema laki mbili wakati wanao tolewa nje ya mikoa wanalipwa 15000 au 20000 na mshahara wenyewe hapewi kila mwezi na kazi anazifanya hadi usiku wa manane. Kuna wanton jiita wa Islam nyakati za Ramadhani huwapigisha kazi hadi saa tisa usiku mda wa kula daku na bado ata takiwa kuamka saa 5.00 kuandaa watoto wa shule.
@sadasaid44083 жыл бұрын
Duh umenikumbusha mbali ndugu yangu hongera sana una akili sana, Mshahara ulikuwa mdogo sana, lkn umeufanyia maarfa,
@fatmasalim82932 жыл бұрын
Umejieleza vizuri ukhty nimependa sana shukran
@marthajohn91202 жыл бұрын
Hongera sana dada, dah umejitahidi kwa hela hiyo umeweza kubana bacheti
@thabitmohamed87443 жыл бұрын
Dada yupo sawa habu tuwekee no ya simu ili tupate hiyo huduma yako
@fatmaahamad6333 жыл бұрын
Mwaka wa 11 niko oman 🇴🇲 na nina enjoy alhamdulillah
@UladaTv3 жыл бұрын
MIGUU YA BINADAMU INAOKOTWA IKIWA PEMBEZONI MWA BAHARI 👇👇 kzbin.info/www/bejne/ioKbmpymfc12qJY
@stevenhassan2693 жыл бұрын
Hivi huko Oman wanafanya kazi ni wadada tu naomba kujua
@sabrinasab29103 жыл бұрын
Duuuu
@stevehiraly91273 жыл бұрын
Unafumuliw tu acha kutudanganya hapa
@mamussi68723 жыл бұрын
@@stevenhassan269 hata wewe kaka unaweza kufanya kazi zipo kazi za wakaka
@joojombi23413 жыл бұрын
Hongera sana sstr safi sana sio wengine wapo huku wanadanga tu na walotoraka kwa sponsored wao na ID kadi zimesha ni lazima waondoke mwisho mwaka huu
@adamzdamz65923 жыл бұрын
Amejaribu sana sana all the best Madam,you delivered very nice advice to the others lady wajaribu wao pia wape faida,
@salamamohammed54463 жыл бұрын
Nashukulu nin mungu nimejenga nyumb yngu
@jacklinekiria64522 жыл бұрын
Dada natamani sana kuja oman naomba nitumie namba zako plz tuwasiliane vizur
@grationmartinАй бұрын
Dada naweza kupata kazi
@faudhiasalum72793 жыл бұрын
We nae. Au Ulikuwa Huna mtaka. Boss wako!? Wache wenzio wafanye kazi acha Hunafi. Watu wana ENJOY 💃💃💃💃💃 OMANI 👌🏽
@alihaji72013 жыл бұрын
Real
@maryamalhajri43063 жыл бұрын
😘
@alihaji72013 жыл бұрын
@@maryamalhajri4306 hodiiiiii
@maryamalhajri43063 жыл бұрын
@@alihaji7201 welcome
@alihaji72013 жыл бұрын
@@maryamalhajri4306 hodii hukuuu
@111dudi2 жыл бұрын
Hata sisi tukija Tanzania, tunanyanyaswa sana,rangu uwanja wa ndege,acha njiani kama unaendesha gari. Unasimamishwa bila kosa na unatetemeshwa mpaka uwape pesa.
@zainaalmahlruqy58292 ай бұрын
Nimependa ulivyoelezea vizuri NA haujaeleza uongo wowote . . Mashaallah sio wanaozungumza uongo mtupu NA kulazimishwa kulala NA mbwa Oman ni uongo mtupu hakuna muoman anaweka mbwa ni najis
@feisalmohamed78633 жыл бұрын
Ila dada umekoroga kusema. Oman hakuna matukio kushinda falme nyengine za kiarabu unyanyaji sana hutokea saudia na Oman na hizi nchi huchangia pia kutokosa sheria na ubaguz pia umo katika jeshi la police zao ila Dubai hukuti ubaguz ndani ya jeshi la police kwasababu Dubai police ata kama hujui kiswahili ukipata tatizo atakuja police wa hiyo nchi yako ata kusaidia Mana police wa Dubai ni mchanganyiko wa nchi nyingi wakiwemo watanzania
@Worldunite3 жыл бұрын
Tatizo dada zetu wa kibongo bwana, wakienda ng'ambo au wakifanya kazi sehemu za maana basi wanakuwa na ulimbukeni wa kujifanya hawajui kuongea vizuri lugha ya kiswahili,lazima wachanganye maneno ya kiingereza, hata matamshi ya herufii "r" wanaitmka kizungu. Yaani swaga za kiswanglish kwenda mbele lkn walio wengi hawawezi hata kumaliza sentensi yote kwa kiingereza
@shangazshangaz42222 жыл бұрын
🤣😂🤣😂🤣😂 haki umenifanya nicheke kidogo
@janethkomba44852 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂
@ibrahimnadir44903 жыл бұрын
Uyu mwanamke nina mengi niliopenda kwake. Ni jembe na ni mfano mzuri sana wa kuigwa. Huyu ndo mwanamke anapaswa kudai haki zake sio awa kucha ndefu. Dah JESHI KAKUBALI KUA BEKI 3 KWA MALENGO YAKE. BADILISHA TITTLE IO WEWE MUANDISHI HAPO HAKUNA MACHUNGU NI KUTUTIA MOYO TU
@charleschanai6013 жыл бұрын
Mtangazaji anasound km millad....!
@Aggrey21073 жыл бұрын
Nisingemuona Hapo Ningedhani Ni Millard
@mangapineema76523 жыл бұрын
Msichana weeeeee nmekupenda bure aiseeeeeee
@eshyndibalema15293 жыл бұрын
Safi sana ulienda kufanya kazi kwa malengo
@ummohamed44043 жыл бұрын
Hufahamiki mara waikashifu omn mara wasifu.Tatizo hujaelimika.upuuzi mtupu.Mungu anakuona lembukeni.
@salimhemed33213 жыл бұрын
Itakuwa we hufahamu kiswahili vzr maana alichoongea kimeeleweka vzr na Wala hakukashifu omani naona ww ndo hufahamiki
@zezezeze84083 жыл бұрын
mashaAllah....
@jamilajamila45723 жыл бұрын
Dubai sijasikia matatizo Sema saudia
@salehalzakwani32833 жыл бұрын
Mashaallaah
@shukranjulius59103 жыл бұрын
Asante my tumesikia aisee inatupasa tutafute mitaji tuludi makwetu
@emilymideva87833 жыл бұрын
Dada nimekupenda bure sio tajiri wote wabaya hata nami nko hapa na pambana na hali yangu 254🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@kakosokigassu32113 жыл бұрын
Asante sana dada. Halafu waandishi kuweni waungwana. Mtu anapokupa nafasi nyumbani kwake, akakukaribu sebuleni, yanini kutamani kuingia hadi chumbani?
@hijaabdalah92352 жыл бұрын
Hongera sana good inspiration
@irenenduku50122 жыл бұрын
Hongera kwa kazi zuri dada
@mattarmuhammed13303 жыл бұрын
Millard naomba mtafute mdada ambae anafanya kazi yuko oman mpka sasa ufanye mahojiano kama ni kweli
@shadyasalumu87573 жыл бұрын
Mimi nipo OMAN 🇴🇲 🇴🇲 miaka 5⃣ mpaka leo nipo napambana maisha mazuri yaaani naishi kama nyumbani na ukofanya vibaya lazima aseme ili kesho ulekebishe siajabu kusewa ata mama nyumbani ata kusema tuuu mimi naomba kila nifanikiwe kwenye maisha yangu inshaaaaalllaah 🙏 🙏 🙏
@solomonadams63373 жыл бұрын
tanks inavyo oneshea kama unao muelekeo wa maisha,mimi nimezaliwa katika bussines family,lakini acha nikufundishe siri moja ya wafanya biashara wa kikweli siri zao za mambo ya biashara wanakua hawamwambii mtu sawa¿ukimuona mfanya biashara anaropokwa ropokwa basi huyo sio mfanya biashara sawa¿tanks
@rahmanassor26523 жыл бұрын
true maana waarabu & wahindi hawasemi biashara yao hata jinsi ya kufanya lolote maana tunajua ujuzi hautoki bure
@bbb6nnn5613 жыл бұрын
Pole sana daah milion mbili umerud nao lkn naamini kila ulicho rudi nacho kimeandikwa my inshaallah utadhid kufungukani yaan unanifunza meng bora ya hilo kuliko kua huna amani ya maisha maana huna amani lkn sasa upo huru
@AashaAli-wf9bfАй бұрын
Safi sana dada wengi wao tunainjoy omani
@estermuna68023 жыл бұрын
Bado nipo Oman nakaza💪
@genovevalaurent63933 жыл бұрын
Tupo pamoj mpenziiii
@rahmanassor26523 жыл бұрын
Nakutakia kila la kheri naamini hamna kibaya kwani maneno kila mtu na lake kazi buti dear waarabu tofauti na hawa waafrika wee
@rahmanassor26523 жыл бұрын
@@genovevalaurent6393 nakutakia kila la kheri never give up dear stay there with a lot of steps of successful
@happypa20273 жыл бұрын
@@rahmanassor2652 👌👌
@khadijaahmed74553 жыл бұрын
Yani ukiwa na ngongingo wana bugza huku kila nguo unayovaa kosa
@bjzee19813 жыл бұрын
Kama ni mateso hata humu nchini mwetu wako watu wenye roho chafu wenye kutesa watoto wa watu na Hakuna anae wachukulia hatua
@loner_wolf3 жыл бұрын
Tofauti ni nyumbani na nje ya nchi..... Hata ukitaka kumueleza mtu akusaidie lugha hujui.... Acha tu
@aishasaid67493 жыл бұрын
Wanachukuliwa hatua cku hizi
@magdalenamagdalena82633 жыл бұрын
Hata tanzania shida zipo tena kibao mm niliwahi kufanya kazi huko Dar es yaani Boss wangu alitaka kunibaka yaani hata bongo watu waroho mbaya
@looruaolendere25973 жыл бұрын
Wah lugha nzuri mashallah 👍👍👍👍👍
@saudismailbkri18943 жыл бұрын
Nipo Oman mwaka wanane nashukur nimejenga japo cjamalia ila alhamdulillah nyumba moja cjabadilisha
@sharifaali37953 жыл бұрын
Miaka 8 nyumba haijaisha
@saudismailbkri18943 жыл бұрын
Ndio haijaisha kwasababu ninafamilia inanitegemea bila ivo ningekuwa mbali tatizo nikuwa mother single hahahaa
@swaiseif29893 жыл бұрын
Tupo oman miaka 8 hio pesa alosem Nikweli tulokuja oman miaka 2012 mishahara ilikua laki 250,000 tofaut na sasahiv nahuku unatkiwa ukae kwa akili namie nashkur sikuwahi badilisha nyumba lkn wengine tunajionea kwa macho kabisa mtu anatumishwa kma mtumwaa haswaa sio mfanyakaz sikumoja ntaongelea hili watu wajue huyu ajajua kiundani zaid
@jacksonswai80903 жыл бұрын
Mm n mwaandishi wa habar, embu nitafute
@zaudatmakula34543 жыл бұрын
Nyumba ziko tofauti mbona bongo wanauliwa uiiwahi ongelea Kila mtu anabahati yake acheni wenzenu watafte risiki kama umeteseka wewe wengine hawajateseka na wanasomesha watoto na Nyumba wamejenga
@swaiseif29893 жыл бұрын
@@zaudatmakula3454 unakurupuka kujibu wee dada alokwambia nimesema wasitafte risk nani punguza kulopoka soma nilichoandika engine tunataka haki itendeke kwa wengine huyo mwenyewe amehojiwa nimfanyakaz wa 2015 malenged tupo natunapambana kunamtu anazibiwa riski kwani umeona uwarabuni hawakuja kucheza wala kumshobokea mtu nikaz na pesa mbele
@swaiseif29893 жыл бұрын
@@zaudatmakula3454 watu Wenye roho mbaya wapo kila sehem kikubwa usiishi kwa woga muamini mungu katk kila jambo
@zaudatmakula34543 жыл бұрын
@@swaiseif2989 hili ndio jibu sasa
@aminamodi89273 жыл бұрын
KWA NINI MWAMTUKANA? SI KILA KILICHOKUPATA WEWE BASI NA WENGINE WAPATE NDIYO MAANA KILA MTU ATSKUFA KWA SIKU YAKE MSIWAKISHE TAMAA WA DADA AMBAO WANATAKA KUJARIBU KILA MTU NA BAHATI YAKE ALLAH ASEMA UTALIPWA KWA NIA YAKO😎
@ayshamahariq66653 жыл бұрын
Alhamdulillah 🤗🤗🇪🇭🇪🇭🇪🇭🇪🇭
@aiyamhassan13213 жыл бұрын
Dada ad huku upo
@asiakibali12533 жыл бұрын
Kabisa my Dada 😘 I love you
@mdmahammed28523 жыл бұрын
Mie niko oman miaka 4 sasa na naongeza inakuwa 6 alhamdulilah niko powa
@dapinitiative24513 жыл бұрын
Nawe pia Una malengo yako! Hongera Sana
@wahiduitsverycommentmane54213 жыл бұрын
Nitafutie job ukoo plzzz my blood
@salamamohammed54463 жыл бұрын
@@wahiduitsverycommentmane5421unatak kuja onan mm nawez kukusaidi mm nina mwak wa pili ss km unatak nichek nitakukimutafut kz zp kibao
@wahiduitsverycommentmane54213 жыл бұрын
Nitakupata vp naomba namba yako ya watsap
@sigradampete39453 жыл бұрын
@@wahiduitsverycommentmane5421 0715046868
@everlyneiminza57223 жыл бұрын
Msiwe mnauliza mtu eti unapata faida ngapi kwa siku au mwezi, huku vibaka wanamuona wanaskia afu wamtime wamuibie wamfanyie vitu vibaya kumbe chanzo ni nyinyi mlivyo muuliza kiwango cha pesa 🤔🤔🤔
@user-jz8sj5us1h3 жыл бұрын
Masha allah my
@khamisali35963 жыл бұрын
Mungu atakusaidia zaidi,don't give.
@hidayamakuka58193 жыл бұрын
Hongeera Dada umefany Kaz kwa malengo.
@jumamiraji30813 жыл бұрын
Ww Dada unajierewa sana safi MUMGU akusimamie inshaalah
@rumesibarka53123 жыл бұрын
Dada nakupongeza kwa juhudi zako. Umeweza kutimiza lengo lako la kijtegemea
@aishasaid67493 жыл бұрын
Ukiwa mvumilivu utaweza ishi popote ni nipo mwaka wa 8 huu nalipwa nalala nakula ila changamoto nakutana nazo nyingi boss ana gubu kila wakati kuongea malalamiko mwingi wa dhana mbaya halafu ukikosea kitu watahadithiwa ukoo mzima na si msaidizi wa kazi hata ukiumwa ni mshindani some time kam nakaa na mke mwenza ila mm naangalia malengo yangu changamoto nazipuuza
@salamamohammed54463 жыл бұрын
Mashaalah habit mungu akufanyie wepes mm niko hp maaber nilikuwa al mawal yul bos wa mala kwanz kidgo alikuwa na matatiz ss iv niko maber nashukul mungu nadany kz zangu akun mtu wa kuni pigia makelel wal nn
@mwanaishakiribiti98483 жыл бұрын
Ww Dada wadanganya wenzako Oman na Saudi ndio nchi mbaya zaidi kuliko Dubai na Qatar haina hata usaidizi hata kwa embassy kupata usaidizi ni shida kama ulipata sehemu nzuri shukuru
@fikirinijr68073 жыл бұрын
Have you been there before?? Au unaongea kwa kuhadithiwa
@musasabu69693 жыл бұрын
Duu kazi mnayo poleni
@salisali37383 жыл бұрын
NA nyie pia kama mwataka kujua ukweli njoni kama flora nitetee kaja kaona na kajua ukweli
@al-tanas Жыл бұрын
Umefanya k2 muhimu katika Misha yk 💗💗💗💗💗💗🧛
@buuwahiid28982 жыл бұрын
Hongera Sana kw kweli wanawake munajituma Mungu awabariki wengine hudhulumiwa na familia mtu analeta pesa kujengewa nyumba watu wanakula kw kweli inasukitisha
@Maryam-vj1rb3 жыл бұрын
Mimi na mfanyakazi mika 10 kutoka Tanzaniya iko kama mtoto wa nyumbani sasa hivi ana nyumba nakiwanja
@ukhutfatumah11543 жыл бұрын
Manshallah
@myunaniniahmad64633 жыл бұрын
Nivizuri dada hata mtume kaelekeza hivo. Mabruuk.
@zaudatmakula34543 жыл бұрын
Hongera sana dear Watu waache kusema mengine tunafaidika na kazi zetu
@muhinasundi14393 жыл бұрын
Mashallah
@wm96693 жыл бұрын
May Allah help you with your business
@sheddybhulji81963 жыл бұрын
You must teach me Swahili beautiful young lady
@maryamoscar4383 жыл бұрын
Kila kazi zinachangamoto kwel. Ni navumilia na kuangalia malengo, nina mwaka wa 6 sasa oman changamoto zip ila sio mbaya
@nadyahamisi27633 жыл бұрын
Akuna kazi zisizo na changamoto mm nnamwaka pili sasa Dubai tunavumilia tu
@williamrdeus28083 жыл бұрын
Kabisaaaa kupambana na kuvulia ndo kila kitu
@shadyasalumu87573 жыл бұрын
Huku kuvumilia tuu jamanii tuvumilie ili tujenge yetu ya baadae🇴🇲🇴🇲🇴🇲
@faustadonasian27773 жыл бұрын
@@nadyahamisi2763 vumilia tuu Mungu atakusaidia
@nadyahamisi27633 жыл бұрын
@@faustadonasian2777 Amina ishallah khell
@janatahmad70483 жыл бұрын
dada sio nyumba yote inawatu wabaya kwa ju na huko tanzania unaweza kutumikia mtu mbaya mimi nipo saudia ninamyaka4 mimi unazani ni nyumbani vingine wengine wanakuja huku umalaya tu bingine kama ufata kazi huwezi kupata mazara
@abdullahhaji87793 жыл бұрын
Hongera
@jasminyiddysulaiman98073 жыл бұрын
Jamany mi saud naipendaaa ila napaogopa😂..huko wana roho za kibabe sn..bora na oman
@user-rd7jt1vi5x3 жыл бұрын
Umalaya nani ulimuona anajiuza nchi za kifalme za kiarabu au umeamua kuchekesha walio nuna tu chefuuu kweli nipo Oman mwaka 6 huu sijaona mwanamke anajiuza hata moja sasa huo umalaya umetoka wapi
@janatahmad70483 жыл бұрын
@@user-rd7jt1vi5x kama hubijui nyamanza upoo
@user-rd7jt1vi5x3 жыл бұрын
@@janatahmad7048 kuandika kwenyewe hujui kwenda kule
@rashidkalimbo24513 жыл бұрын
Dadangu nimekuelewa na nakuona msimamo wako ulipo na Mwenyezi Akubariki kwa hilo, hivyo ndo watu wanapaswa kuwa......
@AashaAli-wf9bfАй бұрын
Kuna wengine wanakatisha watu nia ya kuja omani kwa uchizi wao dada angu mi nakupongeza sana sana mi nipo oman tena naishi vizuri tu na madam wangu tena ananidekeza kama mtoto wake
@majidalimussa51983 жыл бұрын
iyo heading sio ya kwl inayohusiana na oman maan huyu mtangazaji km analazimish kutaja matukio mabaya ya oman wkt hakun ukwl huo
@zainabmohammed13053 жыл бұрын
Tupo huku kwa malengo sio kuishi milele
@dotosalim50903 жыл бұрын
Umeonaee
@fadiajunjuwithmyfamily5803 жыл бұрын
Jamani mm niko omani sasa nina miaka 4 kasoro miez 2 Allah niko sawa sawa nime pata nyumba iko salama ipia huku ni kila boss na roho yake afu wengi wako na roho mbaya wana tuona sisi wa afurika ni kama vili hatupumzikagi kazi yetu ni kufanya kazi tu hio nisha shuhudia kwa mama ake na boss wangu ame badiki wafanya kazi 6 ila sasa kapata mfanya kazi wa naijeria na ame mpokonya sm daaa
@hamidangitu2273 жыл бұрын
Yani mimi ninashida lakini kuja kukaa uko siwezi kwakweri
@rehemakiswago48433 жыл бұрын
Dada upo sawa mm np uko naiona changamoto
@lm63733 жыл бұрын
Huyo mwanamke ni muongo sana aliwahi kutukana sana wa omani na omani shakula wanatupa ndo wewe ulikuwa una gombana juu ya msosi????
@pendothomas72583 жыл бұрын
Hivi mnalazimishaga watu waseme wanaingiza sh ngapi ili iweje?
@rukiamboka5867 Жыл бұрын
Nimeipenda hiyo hitafvuu ya huyo dada naomba mnisaidie number yak na mm aniunganishe na maswal ya kazi passport ninayo na Nina mtoto mmoj naitaji niende nikafany kazi hili nipate pesa nitimize malengo yangu
@halimahalima11863 жыл бұрын
Hasnati nakukumbuka best wenzio bado tuko Oman tupe michongo
@ajikanyenje10173 жыл бұрын
Ni kweli wasicHana wengi wanashindwa kutofautisha mazingira ya nyumbani na ya kwa mtu baki iyo ndio shida kubwa. Me boss wangu anachoyo lakini MI najua kumsoma mtu ivyo sijawai kugombana nae huu mwaka wa Sita niko nae nikienda nyumbani ananirudisha tena kwake niponae naenda narudi.
@shadyasalumu87573 жыл бұрын
Nipo OMAN 🇴🇲🇴🇲🇴🇲sasa miaka 5⃣ bado nipo napambana lakini sio wooote wanaroho mimi wooote kwangu wapo safi jamanii tupambane tuuu
@najmaaniry84313 жыл бұрын
Natak na Mimi kufanykaz niunganishe please +255686083806
@shadyasalumu87573 жыл бұрын
@@najmaaniry8431 upo wapi wewe
@najmaaniry84313 жыл бұрын
@@shadyasalumu8757 dar es salam
@najmaaniry84313 жыл бұрын
@@shadyasalumu8757 tunaweza kuwasilian kawaida na WhatsApp-+255686083806