Рет қаралды 175,200
#UMENIBEBA Ni wimbo nimemsifu mwenyezi Mungu kwamba amenibeba kwa sababu amenitendea mengi mema katika maisha yangu.
Namshukuru Mchungaji na mwimbiji nguli wa nyimbo za Injiri Africa Bahati Bukuku kwa ushirikiano alio nionesha hakika ni huruma ya Mungu na neema imetubeba. LAKINI PIA NINAISHUKURU KAMPUNI YA B O G PRODUCTION CHINI YA DIRECTOR BANJIMAN DIRECTOR MKUBWA AFRICA KWA KAZI NZURI NA USHIRIKIANO MKUBWA ALIOUONESHA KWENYE KAZI HII NISIWE MCHOYO WA FADHIRIRA KAMA MTU ATAVUTIWA NA UBORA WAKE WA KAZI, NIKUPE MAWASILIANO YAKE HAYA +255 688184191.